< 2 Samweli 10 >

1 Ikawa baadaye mfalme wa watu wa Amoni akafa, na Hanuni mwanaye akawa mfalme mahali pake.
Kutu pacl tok, Tokosra Nahash lun Ammon el misa, ac Hanun wen natul, el tokosrala.
2 Daudi akasema, “Nitaonesha fadhiri Hanuni mwana wa Nahashi, kwa kuwa baba yake alinifadhiri.” Hivyo Daudi akatuma watumishi wake kumfariji Hanuni kwa habari ya baba yake. Watumishi wake wakaingia katika nchi ya watu wa Amoni.
Tokosra David el fahk, “Nga enenu in akkalemye nunak in kawuk pwaye luk nu sel Hanun, oana ke Nahash papa tumal, el tuh oru nu sik.” Ouinge David el supwala mwet utuk kas in fahkak nunak in pakomuta lal ke misa papa tumal ah. Ke elos sun acn Ammon,
3 Lakini viongozi wa watu wa Amoni wakamwambia Hanuni bwana wao, “Je unathani kwa hakika Daudi anamweshimu baba yako hata ametuma watu kukutia moyo? Daudi hajawatuma watumishi wake kwako ili kuuangalia mji, kuupeleleza, ili kuupindua?
mwet kol lun mwet Ammon elos fahk nu sin tokosra, “Ku kom nunku mu David el akfulatye papa tomom, pa sis el supwama mwet inge in fahkak kas in pakomuta lal nu sum? Sutuu na sutuu! El supwaltalma in tuh tuni siti uh, elan mau ku in eisla sesr!”
4 Hivyo Hanuni akawachukuwa watumishi wa Daudi, akawanyoa nusu ya ndevu zao, akachana mavazi yao hadi kwenye matako, naye akawaacha waende zao.
Na Hanun el sruokya mwet utuk kas lal David, ac resaela alut lalos, ac wotela nuknuk lalos ah ke finyepalos, ac supwalosla.
5 Daudi alipoelezwa kuhusu hili, akatuma watu kwenda kuwalaki, kwa kuwa walikuwa wamefedheheshwa sana. Mfalme akawambia, “Kaeni Yeriko mpaka ndevu zenu zitakapoota, ndipo mrudi.”
Elos arulana mwekin in folokla nu yen selos. Ke David el lohng ke ma sikyak ah, el sapla nu yorolos tuh elos in mutana Jericho ac tia foloko nwe ke alut lalos ah kapak.
6 Watu wa Amoni walipoona kwamba wamenuka kwa Daudi, wakatuma wajumbe na kuwaajiri Washami wa Bethi Rehobu na Soba, askari elfu ishirini waendao kwa mguu, na mfalme wa Maaka pamoja na watu elfu, na watu wa Tobu elfu kumi na mbili.
Ke mwet Ammon elos akilen lah elos sifacna oru tuh David elan mwet lokoalokla lalos, na elos som moli longoul tausin mwet mweun Syria in acn Bethrehob ac Zobah, ac singoul luo tausin mwet Tob, oayapa tokosra lun Maacah wi sie tausin mwet.
7 Daudi aliposikia, akamtuma Yoabu na jeshi lote la askari.
David el lohngak, na el supwalla Joab ac un mwet mweun lal nukewa.
8 Waamoni wakatoka na wakafanya mistari ya vita katika maingilio ya lango la mji wao, wakati Washami wa Soba na wale wa Rehobu, na watu wa Tobu na Maaka, wakasimama peke yao uwandani.
Mwet Ammon elos fahsr som nu ke nien utyak nu Rabbah, siti fulat lalos, ac tu na akola we. Mwet nukewa saya — mwet Syria, mwet Tob, ac mwet Maacah — elos som nu yen turangang ac akola pac in mweun we.
9 Yoabu alipoona mistari ya vita ikimkabili pote mbele na nyuma, alichagua baadhi ya waisraeli wajuao kupigana vizuri na akawapanga dhidi ya Washami.
Joab el liye tuh mwet lokoalok lalos ac mweunelos meet ah me ac tokolos me. Ouinge el sulela mwet ma wo emeet ke mweun sin mwet Israel, ac oakelosi in lain mwet Syria.
10 Na sehemu iliyosalia ya jeshi, akawaweka chini ya Abishai nduguye, naye akawaweka katika mistari ya vita dhidi ya jeshi la Amoni.
Ac el sang Abishai, tamulel lal, in kol mwet mweun lula nukewa, na Abishai el oakelosi in lain mwet Ammon.
11 Yoabu akasema, “ikiwa Washami watakuwa na nguvu zaidi juu yangu, kisha wewe, Abishai, lazima uniokoe. Lakini ikiwa jeshi la Amoni litakuwa na nguvu zaidi juu yako, nitakuja kukuokoa.
Joab el fahk nu sel, “Kom fin liye tuh mwet Syria ac kutangyula, na kom tuku kasreyu. Ac nga fin liye tuh mwet Ammon ac kutangkomla, na nga ac fahsrot kasrekom.
12 Iweni na nguvu, nasi tujioneshe kuwa wenye nguvu kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu wetu, kwa maana Yahwe atatenda yapendezayo kwa ajili ya kusudi lake.
Kom in ku ac pulaik! Lela kut in sang kuiyasr nufon in mweun ke mwet lasr ac ke siti nukewa lun God lasr. Finsrak tuh in fahsr ou ma lungse lun LEUM GOD!”
13 Hivyo Yoabu na askari wa jeshi lake wakasonga mbele katika vita dhidi ya Washami, waliolazimika kukimbia mbele ya jeshi la Israeli.
Joab ac mwet lal elos fahsryak nu ke mweun, ac mwet Syria elos kaing.
14 Jeshi la Amoni lilipoona kwamba Washami wamekimbia, nao pia wakakimbia kutoka kwa Abishai wakarudi ndani ya mji. Ndipo Yoabu akarudi kutoka kwa watu wa Amoni na akarejea Yerusalemu.
Ke mwet Ammon elos liye lah mwet Syria kaing, na elos kaingla lukel Abishai, ac foloki nu in siti uh. Na Joab el forla sisla mweun lal yurin mwet Ammon, ac folokla nu Jerusalem.
15 Washami walipoona kwamba wameshindwa na Israeli, walijikusanya pamoja tena.
Mwet Syria elos akilen lah mwet Israel elos kutangulosla, na elos pangoneni mwet mweun lalos nukewa nu sie.
16 Kisha Hadareza akatuma kuleta vikosi vya Washami ng'ambo ya Mto Frati. Wakaja Helamu pamoja na Shobaki, mkuu wa jeshi la Hadareza juu yao.
Tokosra Hadadezer el sapla nu sin mwet Syria su muta layen kutulap in Infacl Euphrates, ac elos tuku nu Helam, ye kolyuk lal Shobach, captain lun un mwet mweun lal Tokosra Hadadezer lun Zobah.
17 Daudi alipoambiwa, aliwakusanya Israeli wote pamoja, akavuka Yordani, na akafika Helamu. Washami wakajipanga katika mistari ya vita dhidi ya Daudi na wakapigana naye.
Ke David el lohngak ma inge, el orani mwet mweun lun Israel ac tupalla Infacl Jordan ac som nu Helam, yen mwet Syria elos akola soanel we. Mweun uh mutawauk,
18 Washami wakakimbia mbele ya Israeli. Daudi akaua askari mia saba wa magari na askari wa farasi elfu arobaini. Shobaki mkuu wa jeshi lao alijeruhiwa na akafa huko.
na mwet Israel elos ukwauk mwet mweun Syria. David ac mwet lal ah uniya mwet itfoko su kasrusr ke chariot, ac angngaul tausin mwet kasrusr fin horse, ac elos kantelya Shobach, captain lun un mwet mweun su lainulos, ac el misa na yen mweun ah orek we.
19 Wafalme wote waliokuwa watumishi wa Hadareza walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, walifanya amani na Israeli na wakawa watumishi wao. Hivyo washami wakaogopa kuwasaidia watu wa Amoni tena.
Ke tokosra ekasr su fahsr tokol Hadadezer elos akilen lah kutangyukla elos, na elos orek misla yurin mwet Israel, ac mutawauk orekma nu selos. Ac mwet Syria elos sangeng in sifilpa kasru mwet Ammon.

< 2 Samweli 10 >