< 2 Samweli 1 >
1 Baada ya kifo cha Sauli, Daud alirudi kutoka kuwashambulia Waamaleki na akakaa Siklagi kwa siku mbili.
Efter Sauls död, då David igenkommen var ifrå de Amalekiters slagtning, och hade blifvit två dagar i Ziklag,
2 Siku ya tatu, mtu mmoja alikuja kutoka kambi ya Sauli nguo zake zikiwa zimeraruliwa na akiwa na vumbi juu ya kichwa chake. Alipofika kwa Daudi alinamisha uso wake chini akajifanya yeye mwenyewe kuwa si kitu.
Si, på tredje dagen kom en man ifrå Sauls här, med sönderrifven kläder, och jord på hans hufvud. Och som han kom till David, föll han ned på jordena, och tillbad.
3 Daudi akamuliza, “Unatoka wapi?” Yeye akajibu, “Nimeponyoka kutoka kambi ya Israeli.”
Men David sade till honom: Hvadan kommer du? Han sade till honom: Ifrån Israels här hafver jag flytt.
4 Daudi akamwambia, “Tafadhari nieleze jinsi mambo yalivyokuwa.” Akajibu, “Watu walikimbia kutoka vitani. Wengi wameanguka, na wengi wao wameuawa. Sauli na Yonathani mwanawe pia wameuawa.”
David sade till honom: Säg mig, huru tillgånget är. Han sade: Folket är flydt af stridene, och mycket folk är fallet; dertill är ock Saul död, och hans son Jonathan.
5 Daudi akamwuliza kijana, “unajuaje kuwa Sauli na Yonathani mwanawe wameuawa?”
David sade till den ynglingen, som detta bådade: Hvaraf vetst du, att Saul och hans son Jonathan äro döde?
6 Yule kijana akajibu, “Kwa bahati nilikuwa juu ya Mlima Gilboa, na pale alikuwepo Sauli ameegemea mkuki wake, na magari ya farasi na waongozaji walikuwa karibu kumkamata.
Ynglingen, som detta bådade, sade: Jag kom oförvarandes upp på Gilboa berg; och si, Saul böjde sig neder på sitt spjut, och vagnar och resenärer jagade efter honom.
7 Sauli alipogeuka aliniona na akaniita. Nikajibu, 'Mimi hapa.'
Och han vände sig om, och fick se mig, och kallade mig, och jag sade: Här är jag.
8 Akaniuliza, 'Wewe ni nani?' Nikamjibu, 'Mimi ni Mwamaleki,'
Och han talade till mig: Ho äst du? Jag sade till honom: Jag är en Amalekit.
9 Akaniambia, Tafadhari simama juu yangu uniuwe, kwa kuwa shida kubwa imenipata, lakini uhai ungalimo ndani yangu.'
Och han sade till mig: Kom hit till mig, och dräp mig; ty ångest hafver begripit mig; ty mitt lif är ännu allt helt i mig.
10 Hivyo nilisimama juu yake nikamuuwa, kwa maana nilijua kwamba asingeweza kuishi baada ya kuwa ameanguka. Ndipo nikachukuwa taji iliyokuwa juu ya kichwa chake na kikuku kilichokuwa mkononi mwake, na nimevileta hapa kwako, bwana wangu.”
Så gick jag till honom, och drap honom; förty jag visste väl, att han icke skulle kunna lefva efter hans fall; och jag tog kronona af hans hufvud, och armsmidet af hans arm, och hafver burit det hit till dig, min herra.
11 Kisha Daudi akararua mavazi yake, na watu wote waliokuwa pamoja naye wakafanya vilevile.
Då fattade David sin kläder, och ref dem sönder, och alle de män, som när honom voro;
12 Walilia, wakaomboleza na kufunga mpaka jioni kwa ajili ya Sauli, Yonathani mwanawe, watu wa Yahwe, na kwa ajili ya nyumba ya Israeli kwa maana wameanguka kwa upanga.
Och jämrade sig, och greto, och fastade allt intill aftonen öfver Saul och Jonathan hans son; och öfver Herrans folk, och öfver Israels hus, att de genom svärd fallne voro.
13 Daudi akamwambia yule kijana, “Unatokea wapi?” Akajibu, mimi ni kijana wa mgeni Mwamaleki.”
Och David sade till ynglingen, som honom det bådat hade: Hvadan äst du? Han sade: Jag är en främling, en Amalekits son.
14 Daudi akamwambia, “Kwa nini haukuogopa kumwua mfalme, mtiwa mafuta wa Yahwe kwa mkono wako?”
David sade till honom: Hvi hafver du icke fruktat dig komma dina hand vid Herrans smorda, till att dräpa honom?
15 Daudi akamwita mmojawapo wa vijana na akamwambia, “Nenda ukamuue.” Hivyo kijana huyo akaenda na kumpiga hata ata chini, Mwamaleki akafa.
Och David sade till en af sina unga män: Fram, och slå honom. Och han slog honom, att han blef död.
16 Ndipo Daudi akamwambia Mwamaleke aliyekufa, “Damu yako iwe juu ya kichwa chako kwa kuwa kinywa chako kimeshuhudia dhidi yako kusema, Nimemuua mfalme mtiwa mafuta wa Yahwe.
Då sade David till honom: Ditt blod vare öfver ditt hufvud; ty din mun hafver talat emot dig sjelf, och sagt: Jag hafver dräpit Herrans smorda.
17 Ndipo Daudi akaimba wimbo wa maombolezo juu ya Sauli na Yonathani mwanawe.
Och David klagade denna klagan öfver Saul och Jonathan hans son;
18 Akawaamuru watu kuufundisha wimbo wa Bow kwa wana wa Yuda, ambao umeandikwa katika Kitabu cha Yashari.
Och befallde, att man skulle lära Juda barn bågan: Si, det är skrifvet uti den redeligas bok:
19 “Utukufu wako, Israel, umeondolewa, umeondolewa juu ya mahali pako pa juu! Jinsi mwenye nguvu alivyoanguka!
De ädlaste i Israel äro slagne på din berg; huru äro de hjeltar fallne!
20 Msiiseme katika Gathi, msiitangaze katika mitaa ya Ashikeloni, ili binti za wafilisti wasifurahi, ili binti za wasiotailiwa wasisherehekee.
Bebåder det icke i Gath, förkunner det icke på gatomen i Askelon; på det att de Philisteers döttrar sig icke fröjda skola, att de oomskornas döttrar icke glädjas skola.
21 Milima ya Gilboa, kusiwe na umande au mvua juu yenu. wala mashamba yasitoe nafaka kwa ajili ya sadaka, kwa maana hapo ngao ya mwenye nguvu imeharibiwa. Ngao ya Sauli haiwezi tena kutiwa mafuta.
I Gilboa berg, komme på eder hvarken dagg eller regn, icke heller vare åkrar, der häfoffer af kommer; förty der är de hjeltars sköld afslagen, Sauls sköld, likasom han icke hade varit smord med oljo.
22 Kutoka katika damu ya waliouawa, kutoka katika miili ya wenye nguvu, upinde wa Yonathani haukurudi nyuma, na upanga wa Sauli haukurudi patupu.
Jonathans båge felade icke, och Sauls svärd kom aldrig fåfängt igen ifrå de slagnas blod, och ifrå de hjeltars fetma.
23 Sauli na Yonathani walikuwa wakipendwa na walikuwa wenye neema maishani, hata wakati wa mauti yao walikuwa pamoja. Walikuwa na kasi kuliko tai, walikuwa na nguvu kuliko simba.
Saul och Jonathan, ljuflige och täcke medan de lefde, äro också icke åtskiljde i döden; raskare än örnar, och starkare än lejon.
24 Enyi binti wa Israeli lieni juu ya Sauli, aliyewavika mavazi ya thamani pamoja na vito vya thamani, na aliyetia mapambo ya dhahabu katika mavazi yenu.
I Israels döttrar, gråter öfver Saul, den eder klädde med rosenfärgo i kräselighet, och prydde eder med gyldene klenodier på edor kläder.
25 Jinsi wenye nguvu walivyoanguka vitani! Yonathani ameuawa juu ya mahali pako pa juu.
Huru äro de hjeltar så fallne i stridene; Jonathan är slagen på dina högar.
26 Nimesikitishwa sana kwa ajili yako, Yonathani ndugu yangu. Ulikuwa mpendwa wangu sana. Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu, ukipita upendo wa wanawake.
Jag sörjer om dig, min broder Jonathan; du hafver varit mig mycket kär; din kärlek var mig närmare än qvinnokärlek.
27 Jinsi wenye nguvu walivyoanguka na silaha za vita zimeteketea!”
Huru äro de hjeltar fallne, och vapnen borto blefne!