< 2 Petro 1 >
1 Simon Petro, Mtumwa na Mtume wa Yesu Kristo, Kwa wale walioipokea imani ile ile ya thamani kama tulivyoipokea sisi, imani iliyo ndani ya haki ya Mungu na mwokozi wetu Yesu Kristo.
Simon petro, N'tumwa na Mtume ghwa Yesu Kristu, Kwa bhala bhabhajijhambelili imani j'helaj'hela j'ha thamani kama kyatuj'hi j'hambelili tete, imani j'haijhele j'ha ij'hele mugati mu haki j'ha k'yara ni mwokozi ghwitu Yesu Kristu.
2 Neema iwe kwenu; amani iongezeke kupitia maarifa ya Mungu na Bwana wetu Yesu.
Neema ijhiaghe kwa jhomu; amani j'hij'hongesikabaghe kup'hetela maarifa gha k'yara ni Bwana bhitu Yesu
3 Kupitia maarifa ya Mungu tumepata mambo yake yote kwa ajili ya uchaji wamaisha, Toka kwa Mungu aliyetuita kwa ajili ya uzuri wa utukufu wake.
Kup'hetela maarifa gha k'yara tukabhili mambo ghake ghoha kwandabha j'ha uchaji bhwa maisha, kuh'omela kwa k'yara j'heatukutilisha, kwandabha j'ha bhunofu bhwa bhutukufu bhwake.
4 Kwa njia hii alitutumainishia ahadi kuu za thamani. Alifanya hili ili kutufanya warith wa asili ya Mungu, kwa kadiri tunavyoendelea kuuacha uovu wa dunia hii.
Kwa nj'hela ej'he atutumainisili ahadi kuu sya thamani. Abhombi naha ili kutubhomba bharithi bha asili j'ha k'yara, kwa kadri kyatwi j'hendilela kubhuleka bhuovu bhwa dunia ej'he.
5 Kwa sababu hii, fanyeni bidii kuongeza uzuri kwa njia ya imani yenu, kwa sababu ya uzuri, maarifa.
Kwa ndabha ej'he mubhombaghe bidii kujhongesya bhunofu kwa nj'ela j'ha imani j'hinu, kwandabha j'ha bhunofu, maarifa.
6 Kupitia maarifa, kiasi, na kupitia kiasi saburi, na kupitia saburi, utauwa.
Kup'hetela maarifa, kiasi, ni kup'hetela kiasi saburi, bhwibeta kukhoma.
7 Kupitia utauwa upendo wa ndugu na kupitia upendo wa ndugu, upendo.
Kup'hetela bhutaua luganu lwa ndongobhu ni kup'hetela lugano lwa ndongobhu, luganu.
8 Kama mambo haya yamo ndani yenu, yakiendelea kukua ndani yenu, basi ninyi hamtakuwa tasa au watu msiozaa matunda katika maarifa ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Kama mambo agha ghaj'hele mugati mwinu, kyaghij'hendelela kukhola mugati mwinu, basi muenga mwibeta lepi kuj'ha tasa au bhanu mwa mwihogola lepi matunda mu maarifa gha Bwana Yesu Kristu.
9 Lakini yeyote asiyekuwa na mambo haya, huyaona mambo ya karibu tu; yeye ni kipofu. amesahau utakaso wa dhambi zake za kale.
Lakini j'hej'hoha j'haabeli kuj'ha ni mambo agha akaghabhona mambo gha karibu tu; muene kipofu. ajhebhelili bhutakaso bhwa dhambi sya muandi
10 Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni juhudi ili kujihakikishia uteule na wito kwa ajili yenu. Kama mtayafanya haya, hamtajikwaa.
bhalongo bhangu, m'mbombaghe juhudi ili kwihakikishia bhuteule ni bhwito kwandabha j'hinu. Kama m'mbeta kubhomba agha m'betalei kwikungufula.
11 Hivyo mtajipatia wingi wa lango la kuingilia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu na mwokozi Yesu Kristo. (aiōnios )
m'beta kwikabhila bhwingi bhwa lango lya kuj'hingilila mu mufalme bhwa milele bhwa Bwana ghwitu ni mwokozi Yesu Kristu (aiōnios )
12 Kwa hiyo mimi nitakuwa tayari kuwakumbusha mambo haya kila mara, hata kama mnayafahamu, na sasa mmekuwa imara katika kweli.
nene nibetakuj'ha tayari kubhakhombosya mambo agha kila mara, hata kama mughamanyili ni henu muj'hele imara mu bhukweli.
13 Nafikiria kuwa niko sahihi kuwaamsha na kuwakumbusha juu ya mambo haya, ningali nimo katika hema hii.
kuj'ha njele kinofu kubhasisimula ni kubhakhombosya juu j'ha mambo agha, ningali j'hele mu lihema e'le.
14 Kwa maana najua kuwa si muda mrefu nitaiondoa hema yangu, kama Bwana Yesu Kristo alivyonionyesha.
maana nimanyili kuj'ha si mda mrefu nibhoke nikajhibhosya hema j'hangu, kama Bwana Yesu Kristu kyaandasisye.
15 Nitajitahidi kwa bidii kwa ajili yenu ili mkumbuke mambo haya baada ya mimi kuondoka.
kwitanga kwa bidii kwa ndabha j'hinu ili mkhombokaj'hi mambo agha baada j'ha nene kubhoka.
16 Kwa kuwa sisi hatukufuata hadthi zilizoingizwa kwa ustadi pale tulipowaeleza juu ya nguvu na kujidhihirisha kwa Bwana wetu Yesu Kristo, bali sisi tulikuwa mashahidi wa utukufu wake.
tete twafwatiti lepi hadithi syasij'hingisibhu kwa ustadi pala patwabhabholili juu j'ha ngofu ni kukidhihirisha kwa Bwana bhwitu Yesu Kristu, bali tete twaj'hele mashahidi bha bhutukufu bhwake.
17 Yeye alipokea Utukufu na heshima toka kwa Mungu baba pale sauti iliposikika toka katika utukufu mkuu ikisema, “Huyu ndiye mwanangu, mpendwa wangu ambaye nimependezwa naye.”
aj'hamb'elili bhutukufu ni litengo kuhoma kwa k'yara tata pale sauti bhoj'hip'helekiki kuhoma mu bhutukufu mbaha kyaj'hijobha, “Ojho ndo mwanabhangu, n'ganwa ghwangu ambaj'he nikyelili naku.
18 Tuliisikia sauti hii ikitokea mbinguni pale tulipokuwa naye kwenye ule mlima mtakatifu.
sauti ej'he kuhomela kumbinguni pala bhotujhenakupa kid'onda kitakatifu.
19 Tunalo hili neno la unabii lililothibitika, ambalo kwalo mwafanya vyema kulitekeleza. Ni kama taa ing'aayo gizani mpaka kuchapo na nyota za mawio zionekanazo katika mioyo yenu.
e'le lilobhi lya bhunabii lyalithibitiki, ambalyo mwibhomba kinofu kulitekelesya. Ni kama taa kyaj'hing'ara mu ngisi mpaka kwibhalala ni matondo gha mawio kyasibhonekana mu mi'teema ghinu.
20 Tambueni haya ya kwamba, hakuna unabii unaoandikwa kwa sababu ya kujifikirisha kwa nabii mwenyewe.
Mumanyaghe agha j'he kuj'ha j'hij'helepi bhunabii bhwabhwij'handikibhwa kwa ndabha j'ha kujifikirisya kwa nabii muene.
21 Kwa kuwa hakuna unabii uliokuja kwa mapenzi ya mwanadamu, isipokuwa wanadamu waliwezeshwa na Roho Mtakatifu aliyeongea toka kwa Mungu.
kuj'ha bhuj'helepi bhunabii bhwabhuhidili kwa mapenzi gha mwanadamu, isipokuj'ha bhanadamu bhabhwezeshibhu ni Roho Mtakatifu j'haalongili kuh'omela kwa K'yara.