< 2 Petro 1 >

1 Simon Petro, Mtumwa na Mtume wa Yesu Kristo, Kwa wale walioipokea imani ile ile ya thamani kama tulivyoipokea sisi, imani iliyo ndani ya haki ya Mungu na mwokozi wetu Yesu Kristo.
Jesuh Khritawa mpya ja ngsäa kyaki Sihmon Pita üngka naw, Mi Pamhnama ngsungpyunnak ja Küikyan Bawi Jesuh Khritawa phäh üng kami jumeinaka kba, jumeinak akü säih yahkiea veia;
2 Neema iwe kwenu; amani iongezeke kupitia maarifa ya Mungu na Bwana wetu Yesu.
Pamhnam ja mi Bawipa Jesuh nami ksingnak am bäkhäknak ja dimdeihnak cun nami khana bebang se.
3 Kupitia maarifa ya Mungu tumepata mambo yake yote kwa ajili ya uchaji wamaisha, Toka kwa Mungu aliyetuita kwa ajili ya uzuri wa utukufu wake.
Amäta dawkyanak ja hlüngtainak üng ngpüi hnga khaia jah khüki Khritaw ksingnak üngkhyüh Pamhnam am akcanga hlimtui xünsei vaia, Pamhnama hlüngtaikia johit naw mi hlükaw naküt cun jah pe päng ve.
4 Kwa njia hii alitutumainishia ahadi kuu za thamani. Alifanya hili ili kutufanya warith wa asili ya Mungu, kwa kadiri tunavyoendelea kuuacha uovu wa dunia hii.
Ahikba ni a bekhütnaka, aktäa dämduh lü aphu küiki suhe pi jah pe päng ve. Acuna suhea phäh nangmi cun hina khawmdek khana khyükleih cimpye be theiki mtisa hlükaw ksekhyu üngka naw lätlang lü Pamhnama ningsaw üng nami ngpüi hnga vaia phäh ni.
5 Kwa sababu hii, fanyeni bidii kuongeza uzuri kwa njia ya imani yenu, kwa sababu ya uzuri, maarifa.
Acuna phäh üng, nami jumnak cen nami dawkyanak am; nami dawkyanak cen nami ksingnak am;
6 Kupitia maarifa, kiasi, na kupitia kiasi saburi, na kupitia saburi, utauwa.
nami ksingnak cen nami mlung nängnak am; mlung nängnak cen duneinak am; duneinak cen Pamhnam üng hlimtuinak am;
7 Kupitia utauwa upendo wa ndugu na kupitia upendo wa ndugu, upendo.
Pamhnam üng hlimtuinak cen Khritjana mhlämcehnak am; püi mhlämcehnak cen mhläkphyanak am jah msap lü ktha na ua.
8 Kama mambo haya yamo ndani yenu, yakiendelea kukua ndani yenu, basi ninyi hamtakuwa tasa au watu msiozaa matunda katika maarifa ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Ahin he ni nami jah hlü. Ahin he am nami kümbe üng, mi Bawipa Jesuh Khritaw ksingnak da ning jah thühletsak lü amdanga käh kya khaia ning jah pitpyang khai.
9 Lakini yeyote asiyekuwa na mambo haya, huyaona mambo ya karibu tu; yeye ni kipofu. amesahau utakaso wa dhambi zake za kale.
Ahin he am jah takia khyang naküt ta khawcäpa käh hmu lü, ahlana a mkhyenake jah mthih pet päng cen mhnih bekia khyanga kyaki.
10 Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni juhudi ili kujihakikishia uteule na wito kwa ajili yenu. Kama mtayafanya haya, hamtajikwaa.
Acunakyase, ka benae aw, Pamhnama a ning jah khü ja a ning jah xünak üng nami ngkhängcek vaia, ahina kthaka ktha na ua. Acukba nami kthanak üng, itia pi nami jumeinak am hawih thei uki.
11 Hivyo mtajipatia wingi wa lango la kuingilia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu na mwokozi Yesu Kristo. (aiōnios g166)
Ahikba ani üng ni, mi Bawipa ja mi Küikyan Bawi Jesuh Khritawa angsäi Pea dokhamnak kümcei cun nami yah kawm. (aiōnios g166)
12 Kwa hiyo mimi nitakuwa tayari kuwakumbusha mambo haya kila mara, hata kama mnayafahamu, na sasa mmekuwa imara katika kweli.
Ahin he hin nami jah ksing päng, nami yaha ngthutak üng ngkhängcek kyaw uki lüpi, aläse ka ning jah sümsak khai.
13 Nafikiria kuwa niko sahihi kuwaamsha na kuwakumbusha juu ya mambo haya, ningali nimo katika hema hii.
Ka xünna küt üng, acunea mawngma ka ning jah sümsak lä hin cangkia pi ka ngaieiki.
14 Kwa maana najua kuwa si muda mrefu nitaiondoa hema yangu, kama Bwana Yesu Kristo alivyonionyesha.
Mi Bawipa Jesuh Khritaw naw angsingtea a na mtheh pänga kyase, sängsäng se thi theikia hina pumsa hin ka hawih law khai tia pi ka ksingki.
15 Nitajitahidi kwa bidii kwa ajili yenu ili mkumbuke mambo haya baada ya mimi kuondoka.
Ka thih käna pi, ka ning jah mthehe hin aläa nami jah süm vaia, ka khyaih khawha tuilam ka ning jah pyang pet khai.
16 Kwa kuwa sisi hatukufuata hadthi zilizoingizwa kwa ustadi pale tulipowaeleza juu ya nguvu na kujidhihirisha kwa Bwana wetu Yesu Kristo, bali sisi tulikuwa mashahidi wa utukufu wake.
Mi Bawipa Jesuh Khritaw hlüngtainak am a law be vaia mawng, nangmi üng ka ning jah mtheh hin khyanga mhnüna khuikame am ni. Kami mik am a hlüngtainak hmu lü kami pyenkie ni.
17 Yeye alipokea Utukufu na heshima toka kwa Mungu baba pale sauti iliposikika toka katika utukufu mkuu ikisema, “Huyu ndiye mwanangu, mpendwa wangu ambaye nimependezwa naye.”
Akhlüngtai säih Dämduh säih üngkhyüh, “Ani ta keia mhläkphyanaka ka Ca ni” tia kthai am Pa Pamhnam naw leisawng mhlünmtaiki. Acuna kcün üng keimi pi acuia kami veki.
18 Tuliisikia sauti hii ikitokea mbinguni pale tulipokuwa naye kwenye ule mlima mtakatifu.
Jesuh am atänga ngcingcaihkia mcunga kami ceh üng, khankhaw üngkhyüh lawkia acuna kthai cun kami ngjakie.
19 Tunalo hili neno la unabii lililothibitika, ambalo kwalo mwafanya vyema kulitekeleza. Ni kama taa ing'aayo gizani mpaka kuchapo na nyota za mawio zionekanazo katika mioyo yenu.
Acunakyase, sahma he naw ami sanga ngthua khana mkhüh üpnak kami tak law däm dämkie. Acuna ngthu cen nghngatun u bä. Isenitiüng, Khaw am a thaihnak ham üng nghmüp kcäikia meiim ja, nami mlung k’uma vaiki thaihke am tängki ni.
20 Tambueni haya ya kwamba, hakuna unabii unaoandikwa kwa sababu ya kujifikirisha kwa nabii mwenyewe.
Acunsepi, Cangcim üng vekia malam pyennake cun keimi üngka u naw pi am pyen thei u ngü ti cun ksing ua.
21 Kwa kuwa hakuna unabii uliokuja kwa mapenzi ya mwanadamu, isipokuwa wanadamu waliwezeshwa na Roho Mtakatifu aliyeongea toka kwa Mungu.
Sahmae naw ami pyena ngthu naküt cun nghngicim ngaih üngkhyüh tünei lawki am ni. Ngmüimkhya Ngcima tui mhnuh lam mthehnak naw ni Pamhnam üngkhyüh lawkia ngthu cun ami pyen.

< 2 Petro 1 >