< 2 Petro 3 >

1 Ssa, ninakuandikia wewe, mpendwa hii barua ya pili ili kukuamsha katika akili,
Voici déjà, bien-aimés, la seconde lettre que je vous écris. Dans l'une et dans l'autre, je cherche à éveiller en vous une saine intelligence,
2 ili kwamba uweze kukumbuka maneno yaliyosemwa kabla na manabii watakatifu na kuhusu amri ya Bwana wetu na mwokozi kwa kutumia mitume.
en faisant appel à votre mémoire, pour que vous vous souveniez des prédictions faites par les saints prophètes, et du commandement de notre Seigneur et Sauveur, transmis par vos apôtres.
3 Ujue ili kwanza, kwamba wasaliti watakuja katika siku za mwisho kuwasaliti ninyi, wakienenda sawasawa na matakwa yao.
Sachez d'abord que, dans les derniers jours, il viendra des moqueurs pleins de raillerie, vivant au gré de leurs propres convoitises;
4 Na wakisema “Iko wapi ahadi ya kurudi? Baba zetu walikufa, Lakini vitu vyote vilikuwa hivyo tangu mwanzo wa uumbaji.
et ils diront: Où est la promesse de son avènement? Car, depuis que nos pères sont morts, toutes choses demeurent dans le même état que depuis le commencement du monde.
5 Wakajifanya kusahau kwamba nchi na mbingu vilianza kutokana na maji na kupitia maji zamani za kale, kwa neno la Mungu,
Ils oublient volontairement qu'il a existé autrefois des cieux et une terre, tirée de l'eau et formée au moyen de l'eau par la parole de Dieu:
6 na kwamba kupitia neno lake na maji yakawa ulimwengu kwa kipindi hicho, ikiwa imejaa maji, iliharibiwa.
c'est ainsi que le monde d'alors périt, submergé par l'eau du déluge.
7 Lakini sasa mbingu na dunia zimetunzwa kwa neno hilo hilo kwa ajili ya moto. Vimehifadhiwa kwa ajili ya siku ya hukumu na maangamizi ya watu wasio wa Mungu
Mais les cieux et la terre d'à présent sont gardés par cette même parole et réservés pour le feu, qui doit les consumer au jour du jugement et de la destruction des hommes impies.
8 Hii haiwezi kuchenga ujumbe wako, wapendwa, kwamba siku moja kwa bwana ni kama miaka elfu moja. Na miaka elfu moja ni kama siku moja.
Pour vous, bien-aimés, ce que vous ne devez pas oublier, c'est que, devant le Seigneur, un jour est comme mille ans, et mille ans sont comme un jour.
9 Si kwamba Bwana anafanya pole pole kutimiza ahadi, kama inavyofikiriwa kuwa, Lakini yeye ni mvumilivu kwa ajili yenu, yeye hatamani hata mmoja aangamie, Lakini hutamani kutoa muda ili wote wapate kutubu.
Le Seigneur ne retarde point l'exécution de sa promesse, comme quelques-uns se l'imaginent; mais il use de patience envers vous, voulant que personne ne périsse, mais que tous, au contraire, viennent à la repentance.
10 Ingawa, siku ya Bwana itakuja kama mwizi, mbingu itapita kwa kupaza kelele. Vitu vitateketezwa kwa moto. Nchi na vitu vyote vilivyomo vitafunuliwa wazi.
Cependant, le jour du Seigneur viendra comme un voleur. Alors les cieux passeront avec fracas, les éléments embrasés se dissoudront, et la terre, avec les oeuvres qu'elle renferme, sera consumée.
11 Kwa kuwa vitu vyote vutateketezwa kwa njia hii. Je utakuwa mtu wa aina gani? Uishi kitakatifu na maisha ya kimungu.
Puisque toutes ces choses doivent se dissoudre, combien ne devez-vous pas être saints et pieux dans votre conduite,
12 Inakupasa kujua na kutambua haraka ujio wa siku ya Mungu. Siku hiyo mbingu itateketezwa kwa moto. Na vitu vitayeyushwa katika joto kali.
attendant et hâtant la venue du jour de Dieu, ce jour dans lequel les cieux enflammés seront dissous, et les éléments embrasés se fondront!
13 Lakini kutokana na ahadi yake, tunasubiri mbingu mpya na nchi mpya, ambapo wenye haki wataishi
Or, nous attendons, selon sa promesse, de nouveaux cieux et une nouvelle terre où la justice habite.
14 Hivyo wapendwa kwa kuwa tunatarajia vitu hivi, jitahidi kuwa makini na kutolaumika na kuwa na amani pamoja naye.
C'est pourquoi, bien-aimés, dans cette attente, faites tous vos efforts, pour qu'il vous trouve sans tache et sans reproche, dans la paix.
15 Na zingatia uvumilivu wa Bwana wetu katika wokovu, kama mpendwa kaka yetu Paulo, alivyowaandikia ninyi, kutokana na hekima ambayo alipewa.
Et reconnaissez que la longue patience de notre Seigneur sert à votre salut, comme Paul, notre frère bien-aimé, vous l'a aussi écrit, avec la sagesse qui lui a été donnée.
16 Paulo anaongelea hayo yote katika barua zake, kuna vitu ambavyo ni vigumu kuvielewa. Watu wasio na adabu na uimara wameviharibu vitu hivyo, Na kama wanavyofanya kwa maandiko. Kuelekea maangamizi yao.
C'est ce qu'il fait dans toutes les lettres où il parle de ces choses, et où se trouvent des passages difficiles à comprendre, dont les esprits ignorants et mal affermis tordent le sens, comme ils le font à l'égard des autres Écritures, pour leur propre perdition.
17 Hivyo, wapendwa kwa kuwa mnayafahamu hayo. Jilindeni wenyewe ili kwamba msipotoshwe na udanganyifu wa walaghai na kupoteza uaminifu.
Vous donc, bien aimés, puisque vous êtes prévenus, tenez-vous sur vos gardes, de peur que vous ne soyez entraînés, vous aussi, dans l'égarement de ces pervers, et que vous ne veniez à déchoir de votre fermeté.
18 Lakini mkue katika neema na ufahamu wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo. Na sasa utukufu una yeye sasa na milele. Amina. (aiōn g165)
Croissez dans la grâce et dans la connaissance de notre Seigneur et Sauveur Jésus-Christ. A lui soit la gloire, maintenant et jusqu'au jour de l'éternité! (aiōn g165)

< 2 Petro 3 >

The World is Destroyed by Water
The World is Destroyed by Water