< 2 Petro 3 >

1 Ssa, ninakuandikia wewe, mpendwa hii barua ya pili ili kukuamsha katika akili,
Mu armsad, see on nüüd juba teine kiri, mille ma teile kirjutan. Neis mõlemas olen tahtnud meelde tuletades virgutada teie siirast meelt,
2 ili kwamba uweze kukumbuka maneno yaliyosemwa kabla na manabii watakatifu na kuhusu amri ya Bwana wetu na mwokozi kwa kutumia mitume.
et te meenutaksite ettekuulutusi, mida pühad prohvetid on rääkinud, ning Issanda ja Päästja käsku, mida teile on andnud apostlid.
3 Ujue ili kwanza, kwamba wasaliti watakuja katika siku za mwisho kuwasaliti ninyi, wakienenda sawasawa na matakwa yao.
Kõigepealt teadke seda, et viimseil päevil tuleb jõhkraid pilkajaid, kes elavad oma himude järgi
4 Na wakisema “Iko wapi ahadi ya kurudi? Baba zetu walikufa, Lakini vitu vyote vilikuwa hivyo tangu mwanzo wa uumbaji.
ja ütlevad: „Kus on tema tõotatud tagasitulek? Sestpeale kui meie esiisad läksid magama, on kõik jäänud nõnda nagu loomise algusest peale.“
5 Wakajifanya kusahau kwamba nchi na mbingu vilianza kutokana na maji na kupitia maji zamani za kale, kwa neno la Mungu,
Nad unustavad tahtlikult selle, et muiste olid olemas taevad ja veest tõusis maa, mis püsis Jumala sõna väel;
6 na kwamba kupitia neno lake na maji yakawa ulimwengu kwa kipindi hicho, ikiwa imejaa maji, iliharibiwa.
ja vee läbi tollane maailm ka hukkus veeuputuses.
7 Lakini sasa mbingu na dunia zimetunzwa kwa neno hilo hilo kwa ajili ya moto. Vimehifadhiwa kwa ajili ya siku ya hukumu na maangamizi ya watu wasio wa Mungu
Ent praegused taevad ja maa säilitatakse sama sõna läbi ning hoitakse alles tule jaoks jumalakartmatute inimeste kohtu ja hävitamise päevaks.
8 Hii haiwezi kuchenga ujumbe wako, wapendwa, kwamba siku moja kwa bwana ni kama miaka elfu moja. Na miaka elfu moja ni kama siku moja.
Seejuures ärgu mingu teil meelest, mu armsad, et Issanda juures on üks päev nagu tuhat aastat ja tuhat aastat nagu üksainus päev.
9 Si kwamba Bwana anafanya pole pole kutimiza ahadi, kama inavyofikiriwa kuwa, Lakini yeye ni mvumilivu kwa ajili yenu, yeye hatamani hata mmoja aangamie, Lakini hutamani kutoa muda ili wote wapate kutubu.
Issand ei viivita tõotuse täitmisega, nagu mõned peavad seda viivitamiseks, vaid tema on pika meelega teie vastu. Tema ju ei taha, et keegi hukkuks, vaid et kõik tuleksid meeleparandusele.
10 Ingawa, siku ya Bwana itakuja kama mwizi, mbingu itapita kwa kupaza kelele. Vitu vitateketezwa kwa moto. Nchi na vitu vyote vilivyomo vitafunuliwa wazi.
Aga Issanda päev tuleb nagu varas: siis hävivad taevad raginal, taevakehad lagunevad tules ja maad koos kõige tema peal tehtuga ei leita enam.
11 Kwa kuwa vitu vyote vutateketezwa kwa njia hii. Je utakuwa mtu wa aina gani? Uishi kitakatifu na maisha ya kimungu.
Kui kõik see nõnda laguneb, missugused siis peate olema teie pühas eluviisis ja jumalakartuses,
12 Inakupasa kujua na kutambua haraka ujio wa siku ya Mungu. Siku hiyo mbingu itateketezwa kwa moto. Na vitu vitayeyushwa katika joto kali.
oodates ja kiirendades Jumala päeva tulemist? Sel päeval lagunevad taevad lõõmates ja taevakehad sulavad põledes.
13 Lakini kutokana na ahadi yake, tunasubiri mbingu mpya na nchi mpya, ambapo wenye haki wataishi
Meie ootame aga tema tõotuse järgi uut taevast ja uut maad, kus õigus elab püsivalt.
14 Hivyo wapendwa kwa kuwa tunatarajia vitu hivi, jitahidi kuwa makini na kutolaumika na kuwa na amani pamoja naye.
Seepärast, armsad, kuni te ootate, pingutage selle nimel, et tema teid leiaks veatuina ja laitmatuina rahus.
15 Na zingatia uvumilivu wa Bwana wetu katika wokovu, kama mpendwa kaka yetu Paulo, alivyowaandikia ninyi, kutokana na hekima ambayo alipewa.
Pidage meeles, et meie Issanda pikk meel tähendab päästmist, nii nagu ka meie armas vend Paulus teile on kirjutanud tarkusega, mis Jumal temale andis.
16 Paulo anaongelea hayo yote katika barua zake, kuna vitu ambavyo ni vigumu kuvielewa. Watu wasio na adabu na uimara wameviharibu vitu hivyo, Na kama wanavyofanya kwa maandiko. Kuelekea maangamizi yao.
Nõnda räägib ta neist asjust kõikides kirjades, kus on nii mõnigi raskesti mõistetav koht, mida õppimata ja ebakindlad inimesed väänavad nagu muudki Pühakirja omaenda hukatuseks.
17 Hivyo, wapendwa kwa kuwa mnayafahamu hayo. Jilindeni wenyewe ili kwamba msipotoshwe na udanganyifu wa walaghai na kupoteza uaminifu.
Teie siis, armsad, teades seda juba ette, olge valvel, et teid ei kistaks kaasa kõlbluseta inimeste eksitustega, ja et te ei langeks ära kindlalt aluselt.
18 Lakini mkue katika neema na ufahamu wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo. Na sasa utukufu una yeye sasa na milele. Amina. (aiōn g165)
Ja kasvage meie Issanda ja Päästja Jeesuse Kristuse armus ja tundmises! Temale kuulugu kirkus nüüd ja igavesti! Aamen. (aiōn g165)

< 2 Petro 3 >

The Great Flood
The Great Flood