< 2 Petro 3 >
1 Ssa, ninakuandikia wewe, mpendwa hii barua ya pili ili kukuamsha katika akili,
This second letter, beloved, I now write to you, in both which I stir up your pure minds by putting you in remembrance;
2 ili kwamba uweze kukumbuka maneno yaliyosemwa kabla na manabii watakatifu na kuhusu amri ya Bwana wetu na mwokozi kwa kutumia mitume.
that ye may be mindful of the words which were spoken before by the holy prophets, and of the commandment of the Lord and Saviour by your apostles;
3 Ujue ili kwanza, kwamba wasaliti watakuja katika siku za mwisho kuwasaliti ninyi, wakienenda sawasawa na matakwa yao.
knowing this first, that there will come in the last days open scoffers following their own lusts,
4 Na wakisema “Iko wapi ahadi ya kurudi? Baba zetu walikufa, Lakini vitu vyote vilikuwa hivyo tangu mwanzo wa uumbaji.
and saying, Where is his promised coming? for, from the time when the fathers fell asleep, all things continue as then, and as they have continued from the beginning of the creation.
5 Wakajifanya kusahau kwamba nchi na mbingu vilianza kutokana na maji na kupitia maji zamani za kale, kwa neno la Mungu,
For of this they are willingly ignorant, that of old by the word of God there were heavens, and an earth formed out of the water and by the water,
6 na kwamba kupitia neno lake na maji yakawa ulimwengu kwa kipindi hicho, ikiwa imejaa maji, iliharibiwa.
by means of which the world that then was, being overflowed with water, perished;
7 Lakini sasa mbingu na dunia zimetunzwa kwa neno hilo hilo kwa ajili ya moto. Vimehifadhiwa kwa ajili ya siku ya hukumu na maangamizi ya watu wasio wa Mungu
but the present heavens and the present earth are by his word kept in store, reserved for fire against the day of judgment and the perdition of ungodly men.
8 Hii haiwezi kuchenga ujumbe wako, wapendwa, kwamba siku moja kwa bwana ni kama miaka elfu moja. Na miaka elfu moja ni kama siku moja.
But forget not, beloved, this one thing, that one day is with the Lord as a thousand years, and a thousand years as one day.
9 Si kwamba Bwana anafanya pole pole kutimiza ahadi, kama inavyofikiriwa kuwa, Lakini yeye ni mvumilivu kwa ajili yenu, yeye hatamani hata mmoja aangamie, Lakini hutamani kutoa muda ili wote wapate kutubu.
The Lord is not tardy concerning his promise, as some men count tardiness; but is long-suffering toward you, not willing that any should perish, but that all should come to repentance.
10 Ingawa, siku ya Bwana itakuja kama mwizi, mbingu itapita kwa kupaza kelele. Vitu vitateketezwa kwa moto. Nchi na vitu vyote vilivyomo vitafunuliwa wazi.
But the day of the Lord will come as a thief; in which the heavens will pass away with a great noise, and the elements will melt with fervent heat, and the earth and the works that are therein will be burned up.
11 Kwa kuwa vitu vyote vutateketezwa kwa njia hii. Je utakuwa mtu wa aina gani? Uishi kitakatifu na maisha ya kimungu.
Seeing that all these things are thus to be dissolved, what manner of persons ought ye to be in holy conduct and godliness,
12 Inakupasa kujua na kutambua haraka ujio wa siku ya Mungu. Siku hiyo mbingu itateketezwa kwa moto. Na vitu vitayeyushwa katika joto kali.
looking for and hastening the coming of the day of God, by reason of which the heavens being on fire will be dissolved, and the elements will melt with fervent heat!
13 Lakini kutokana na ahadi yake, tunasubiri mbingu mpya na nchi mpya, ambapo wenye haki wataishi
But, according to his promise, we look for new heavens and a new earth, wherein dwelleth righteousness.
14 Hivyo wapendwa kwa kuwa tunatarajia vitu hivi, jitahidi kuwa makini na kutolaumika na kuwa na amani pamoja naye.
Wherefore, beloved, seeing that ye look for these things, be diligent that ye may be found without spot and blameless before him in peace,
15 Na zingatia uvumilivu wa Bwana wetu katika wokovu, kama mpendwa kaka yetu Paulo, alivyowaandikia ninyi, kutokana na hekima ambayo alipewa.
and account the long-suffering of our Lord salvation; as also our beloved brother Paul, according to the wisdom given to him, wrote to you,
16 Paulo anaongelea hayo yote katika barua zake, kuna vitu ambavyo ni vigumu kuvielewa. Watu wasio na adabu na uimara wameviharibu vitu hivyo, Na kama wanavyofanya kwa maandiko. Kuelekea maangamizi yao.
as also in all his letters, speaking in them of these things; in which things are some that are hard to be understood, which they that are unlearned and unstable wrest, as also the other Scriptures, to their own destruction.
17 Hivyo, wapendwa kwa kuwa mnayafahamu hayo. Jilindeni wenyewe ili kwamba msipotoshwe na udanganyifu wa walaghai na kupoteza uaminifu.
Do ye therefore, beloved, seeing ye know these things beforehand, beware lest, being led away with the error of the lawless, ye fall from your own steadfastness.
18 Lakini mkue katika neema na ufahamu wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo. Na sasa utukufu una yeye sasa na milele. Amina. (aiōn )
But grow in the grace and knowledge of our Lord and Saviour Jesus Christ. To him be the glory, both now and for ever. (aiōn )