< 2 Petro 3 >

1 Ssa, ninakuandikia wewe, mpendwa hii barua ya pili ili kukuamsha katika akili,
Beloved, this second epistle I now write to you, in which epistles I stir up your sincere mind to remembrance:
2 ili kwamba uweze kukumbuka maneno yaliyosemwa kabla na manabii watakatifu na kuhusu amri ya Bwana wetu na mwokozi kwa kutumia mitume.
to be mindful of the words before spoken by the holy prophets, and of the commandment of us, the Apostles of the Lord and Saviour.
3 Ujue ili kwanza, kwamba wasaliti watakuja katika siku za mwisho kuwasaliti ninyi, wakienenda sawasawa na matakwa yao.
Knowing this first, that scoffers will come in the last days, walking after their own lusts,
4 Na wakisema “Iko wapi ahadi ya kurudi? Baba zetu walikufa, Lakini vitu vyote vilikuwa hivyo tangu mwanzo wa uumbaji.
and saying, Where is the promise of his coming? for from the time the fathers fell asleep, all things continue as at the beginning of the creation.
5 Wakajifanya kusahau kwamba nchi na mbingu vilianza kutokana na maji na kupitia maji zamani za kale, kwa neno la Mungu,
But this willfully escapes them, that, by the word of God the heavens were of old, and the earth subsisting from the water, and by water:
6 na kwamba kupitia neno lake na maji yakawa ulimwengu kwa kipindi hicho, ikiwa imejaa maji, iliharibiwa.
by which the world that then was, being deluged with water, perished.
7 Lakini sasa mbingu na dunia zimetunzwa kwa neno hilo hilo kwa ajili ya moto. Vimehifadhiwa kwa ajili ya siku ya hukumu na maangamizi ya watu wasio wa Mungu
But the present heavens and the earth, by the same word are treasured up, being kept for fire to a day of judgment, and destruction of ungodly men.
8 Hii haiwezi kuchenga ujumbe wako, wapendwa, kwamba siku moja kwa bwana ni kama miaka elfu moja. Na miaka elfu moja ni kama siku moja.
But this one thing, let it not escape you, beloved, that one day is with the Lord as a thousand years, and a thousand years as one day.
9 Si kwamba Bwana anafanya pole pole kutimiza ahadi, kama inavyofikiriwa kuwa, Lakini yeye ni mvumilivu kwa ajili yenu, yeye hatamani hata mmoja aangamie, Lakini hutamani kutoa muda ili wote wapate kutubu.
The Lord does not delay his promise in the manner some account delaying; but he exercises long-suffering toward us, not desiring that any should perish, but that all should come to reformation.
10 Ingawa, siku ya Bwana itakuja kama mwizi, mbingu itapita kwa kupaza kelele. Vitu vitateketezwa kwa moto. Nchi na vitu vyote vilivyomo vitafunuliwa wazi.
However, as thief, the day of the Lord will come; in which the heavens shall pass away with a great noise, and the elements burning shall be dissolved; and the earth, and the works that are upon it, shall be utterly burned.
11 Kwa kuwa vitu vyote vutateketezwa kwa njia hii. Je utakuwa mtu wa aina gani? Uishi kitakatifu na maisha ya kimungu.
Seeing, then, all these things shall be dissolved; --what sort of persons ought you to be, in holy behavior and godliness,
12 Inakupasa kujua na kutambua haraka ujio wa siku ya Mungu. Siku hiyo mbingu itateketezwa kwa moto. Na vitu vitayeyushwa katika joto kali.
expecting and earnestly desiring, the coming of the day of God; in which the heavens being set on fire, shall be dissolved, and the elements burning, shall be melted?
13 Lakini kutokana na ahadi yake, tunasubiri mbingu mpya na nchi mpya, ambapo wenye haki wataishi
But we, according to his promise, expect new heavens, and a new earth, in which dwells righteousness.
14 Hivyo wapendwa kwa kuwa tunatarajia vitu hivi, jitahidi kuwa makini na kutolaumika na kuwa na amani pamoja naye.
Wherefore, beloved, expecting these things, diligently endeavor to be found of him spotless, and irreproachable, in peace.
15 Na zingatia uvumilivu wa Bwana wetu katika wokovu, kama mpendwa kaka yetu Paulo, alivyowaandikia ninyi, kutokana na hekima ambayo alipewa.
And reckon the long-suffering of our Lord, to be for salvation; as also our beloved brother Paul, according to the wisdom given to him, has written to you.
16 Paulo anaongelea hayo yote katika barua zake, kuna vitu ambavyo ni vigumu kuvielewa. Watu wasio na adabu na uimara wameviharibu vitu hivyo, Na kama wanavyofanya kwa maandiko. Kuelekea maangamizi yao.
As, indeed, in all his epistles, speaking in them concerning these things: in which there are some things hard to be understood, which the untaught and unstable wrest, as they do also the other scriptures, to their own destruction.
17 Hivyo, wapendwa kwa kuwa mnayafahamu hayo. Jilindeni wenyewe ili kwamba msipotoshwe na udanganyifu wa walaghai na kupoteza uaminifu.
Therefore, beloved, foreknowing these things, be on your guard; lest being also carried away by the deceit of the lawless, you fall from your own steadfastness.
18 Lakini mkue katika neema na ufahamu wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo. Na sasa utukufu una yeye sasa na milele. Amina. (aiōn g165)
But grow in favor, and in the knowledge of our Lord and Saviour Jesus Christ. To him be glory, both now and to the day of eternity. Amen. (aiōn g165)

< 2 Petro 3 >

The Great Flood
The Great Flood