< 2 Petro 2 >
1 Manabii wa uongo walijitokeza kwa Waisraeli, na walimu wa uongo watakuja pia kwenu. Kwa siri wataleta mafundisho ya uongo nao watamkana Bwana aliyewanunua. Wanajiletea uharibifu wa haraka juu yao wenyewe.
Anyakidagu nia uteele ai igeelekile ku a Israeli, ni a ng'walimu ni uteele akupembya ga nu kitalanyu. Ku kimpinyi mpinyi akuleta umanyisa nua uteele ni enso akamuhita uMukulu nai uaguile. Akiletela u ugazanja nua kukaya migulya ao akola.
2 Wengi watafuata njia zao za aibu na kupitia wao wataikufuru njia ya ukweli.
Idu akutyata nzila ni ao nia minyala kukiila enso akamisensa inzila a tai.
3 Kwa uchoyo watawanyonya watu wakitumia maneno ya uongo Hukumu yao haitachelewa, uharibifu utawafuata.
Ku ubi nua nkolo akuanuna i antu aze tumila makani a uteele. Ulamulwa nuao shanga ukutinia, ugazanja ukuatyata.
4 Maana Mungu hakuwaacha malaika waliokengeuka. Bali aliwatupa kuzimu ili wafungwe minyororo mpaka hukumu itakapowajilia. (Tartaroō )
Ndogoelyo Itunda shanga ai ualekile ia malaika nai apilukile. Ila ai uagumile ku ulungu iti atungwe i minyororo kupikiila ulamulwa nui ika ahangiilya. (Tartaroō )
5 Wala Mungu hakuuvumilia ulimwengu wa zamani. Bali, alimhifadhi Nuhu, mwenye wito wa haki, pamoja na wengine saba, wakati alipoachila gharika juu ya ulimwengu ulioasi.
Uugwa Itunda shanga ai uugimiiye unkumbigulu nua kali. Ila, uNuhu, mukola witagwi nua tai ane, palung'wi ni auya mupungati, itungo nai ulekee ukimpupu migulya a unkumbigulu nu upilukile.
6 Mungu aliihukumu miji ya Sodoma na Gomora kiasi cha kuwa majivu na uharibifu ili iwe mfano kwa ajili ya waovu katika siku za usoni
Itunda ai uilamue i isali nia Sodoma ni Gomora ngele a kutula mau nu ubipigwa iti itule mpyani a kunsoko a abii mu mahiku na tyatiie.
7 Lakini alipofanya hilo, alimwokoa Lutu mtu wa haki, aliyekuwa amehuzunishwa na tabia chafu za wasiofuata sheria za Mungu.
Kuiti nai witumile ni lanso, ai umugunile uLutu muntu nua tai ane, nai utuile uhumigwe kinya uwai ni ntendo ni mbii ni nshanga ityataa i malagiilyo nang'wa Itunda.
8 Kwa kuwa huyo mtu wa haki, aliyeishi nao siku kwa siku akiitesa nafsi yake kwa ajili ya yale aliyoyasikia na kuyaona.
Kunsoko umuntu uyu nua tai ane, nai wikie nienso mahiku ku mahiku azemaja inkolo akwe kunsoko a ayo nai umigulye nu kumihenga.
9 Kwa hiyo Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa watu wake wakati wa mateso na jinsi ya kuwavumilia waovu kwa ajili ya hukumu katika siku ya mwisho.
Ku lulo Mukulu ulingile kinya kuaguna antu akwe itungo nila wagigwa ni kinya kuagimiilya i abii kunsoko a ulamulwa mu mahiku a mpelo.
10 Kwa hakika huu ndio ukweli kwa wale wanoendelea kuishi katika tamaa za mwili huu na kuyadharau mamlaka. Watu wa jinsi hii wana ujasiri katika dhamiri zao, Hawaogopi kuwakufuru watukufu.
Ku kulu kuulu iyi yiyi tai ku awo nia longolekile kikie mu nsula ni muili uwu nu ku umela u kulu. Antu nia iti akete ugimya mu masigo ao. Shanga itumbaa kuasensa ielu.
11 Ingawa malaika wana uwezo na nguvu kuliko wanadamu, lakini hawawezi kuleta hukumu dhidi yao kwa Bwana
Anga itule a malaika akete uhumi ni ngulu kukila i ana adamu, Kuiti shanga ahumile kuleta ulamulwa ki italao ku Mukulu.
12 Lakini hawa wanyama wasio na akili wametengenezwa kwa asili ya kukamatwa na kuangamizwa.
Kuiti izi ikali ni igila imahala izepigwe ku upumoo nua kuambwa nu kulimiligwa.
13 Wanaumizwa kwa ujira wa maovu yao. Mchana kutwa huishi kwa anasa. Wamejaa uchafu na maovu. Hufurahia anasa za udanganyifu wanaposherehekea na wewe.
Akuaaligwa ku kinyamulio nika ubi nu ao. Mung'wi wihi ikiee ku usambo. Izue u ushapu nu ubii. Iloeelya u usambo nu ukongelwa ni akiloeelya nu ewe.
14 Macho yao yamefunikwa na uzinzi; hawatosheki kutenda dhambi. Huwalaghai na kuwaangusha waumini wachanga katika dhambi. Wana mioyo iliyojaa tamaa, ni watoto waliolaaniwa.
Miho ao akumbasiwe nu ugoolya; shanga enela kituma u mulandu. Iapembaa nu kuagwisa iahuili nia dabu mu milandu. Akete nkolo ni yizue nsula, ingi ang'yinya nia zumilwe.
15 Wameiacha njia ya kweli. wamepotoka na wameifuata njia ya Balaam mwana wa Beori, aliyependa kupata malipo ya udhalimu.
Amilekilee inzila a tai, Alimiie nu kutyata nzila ang'wa Balaamu ng'wana nuang'wa Beori, naiuloilwe kulija ulipwa nua wii.
16 Lakini alikemewa kwa ajili ya ukosai wake. Punda aliyekuwa bubu akiongea katika sauti ya binadamu, alizuia wazimu wa nabii.
Kuiti ai upatigwe kunsoko a utumuli nuakwe. Ndogwe nai atuile kimumi ikuligitya mu luli nula bina adamu, ai ugiiye ikihali nika unya kidagu.
17 Watu hawa ni kama chemichemi zisizo na maji. Ni kama mawingu yanayotoweshwa na upepo. Wingu zito limehifadhiwa kwa ajili yao.
Ku antu awa ingi anga i ndiilyo ningila anga mazi. Ingi anga malunde nakulimiligwa nu ng'wega. Ilunde ilito liikilwe kunsoko ao. ()
18 Huongea kwa majivuno matupu. Huwaangusha watu kwa tamaa ya mwili. Huwalaghai watu wanaojaribu kuwakimbia wale waishio katika ukosaji.
Iligitya ku liketo lutili. Iagwisaa iantu ku nsula a muili. Iapembaa i antu niakugema kuamanka awo ni ikiee mu utumuli.
19 Huwaahidi watu uhuru wakati wao wenyewe ni watumwa wa dhambi ya ufisadi. Maana mwanadamu hufanywa kuwa mtumwa wa kile kinachomtawala.
Ia lagaa antu ulyuuku matungo enso a kola igi atuung'waa nia milandu a wii. Ndogoelyo ung'waana adamu witendwaa kutula mutuung'waa nua iko nikimuhumiiye.
20 Yeye ajiepushaye na uchafu wa ulimwengu kwa kutumia maarifa ya Bwana na mwokozi Yesu Kristo, na kisha akarudia uchafu huo tena, hali yake huwa mbaya kuliko ile ya mwanzo.
Nuanso nui hujaa nu ushapu nua unkumbigulu ku kutumila uhugu nua Mukulu hangi muguni uYesu Kilisto, ni hangi wisukilaa u ushapu nuanso hangi, hali akwe itulaa mbibe kukila iyo nai ang'wandyo.
21 Ingefaa watu hao kama wasingeifahamu njia ya haki kuliko kuifahamu na kisha tena kuziacha amri takatifu walizopewa.
Aza izipiie antu nianso aza ahite kumilinga inzila a tai ane kukila kumilinga ni uugwa hangi kumaleka imalagiilyo ni melu nai inkiilgwe.
22 Mithali hii huwa na ukweli kwao. “mbwa huyarudia matapishi yake. Na nguruwe aliyeoshwa hurudi tena kwenye matope.”
Ihalityo ili litulaa ni tai kitalao. “i mbwa imasukilaa imaluki akwe. Ni ngulima nogigwe isukaa hangi mu malolo.”