< 2 Wafalme 1 >
1 Moabu aliasi dhidi ya Israeli baada ya kifo cha Ahabu.
Isala: ili hina bagade A: iha: be da bogoi. Amogalu fa: no Moua: be soge fi dunu da Isala: ili fi ilima odoga: i.
2 Baada hapo Ahazi akaanguka chini ya dirisha lenye waya zinazikinzana kwenye chumba chake juu katika Samaria, na alikuwa amejeruhiwa. Kwa hiyo alituma wajumbe na kuwaambia, “Nendeni, muulizeni Baal Zebubu, mungu wa Ekroni, kama nitapona hili jeraha.”
Isala: ili hina bagade A: ihasaia da ea hina bagade diasu Samelia ganodini, amo da: iya gadonini osoba gudu gala: la sa: ili, se bagade nabi. Amaiba: le, e da sia: adola ahoasu dunu amo Filisidini soge ganodini Egelone moilai bai bagade fi ilia ogogosu ‘gode’ Ba: ilesibabe, ema e da uhima: bela: le o hame uhima: bela: le, amo adole ba: ma: ne asunasi.
3 Lakini malaika wa Yahwe wakamwambia Eliya Mtishbi, “Inuka, nenda ukaonane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, na uwaulize, 'Je ni kwasababu hakuna Mungu katika israeli ambaye mnayekwenda kuuliza pamoja na Zebebu, mungu wa Ekroni?
Be Hina Gode Ea a: igele dunu da Disiabe balofede dunu Ilaidia, e da amo adola ahoasu dunu ilima amane adole ba: ma: ne sia: i, “Dilia da abuliba: le Egelone fi ilia ‘gode’ Ba: ilesibabe amo ea fada: i sia: naba ahoabela: ? Bai Isala: ili soge ganodini Gode hame esala, dilia dawa: sala: ?
4 Kwa hiyo Yahwe anasema, “Hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ambacho ulichokipanda; badala yake, utakufa hakika."”” Baada ya hapo Eliya akaondoka.
Hina bagade A: ihasaiama amane sia: ma, ‘Hina Gode da amane sia: sa, Di da dia se nabi amo mae uhini, di da bogomu.’” Ilaidia da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi.
5 wakati wale wajumbe waliporudi kwa Ahazia, akawaambia, “Kwa nini mmerudi?”
Amaiba: le, sia: adola ahoasu dunu ilia da hina bagadema buhagi. Hina bagade da amane sia: i, “Dilia abuliba: le buhagibala: ?”
6 Wakamwambia, “mtu amekuja kuonana na sisi ambaye ametuambia, 'Turudi kwa mfalme ambaye aliyewatuma, na mkamwambie, Yahwe amesema hivi: 'Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli mpaka mmewatuma watu kwenda kumuuliza kwa Baal Zabubu, mungu wa Ekron? Kwa hiyo hutashuka kutoka kitanda ulichokipanda; badala yake, utakufa hakika."””
Ilia bu adole i, “Ninia da logoa dunu gousa: le, e da nini dima buhagili misini, Hina Gode dima sia: i liligi dima adoma: ne sia: i. Hina Gode da amane sia: i, ‘Di da abuliba: le Egelone fi ilia ‘gode’ Ba: ilesibabe amo ea fada: i sia: naba ahoabela: ? Bai Isala: ili soge ganodini Gode hame esala, dilia dawa: sala: ? Di da dia se nabi amo mae uhini, di da bogomu.’”
7 Ahazi akawaambia wajumbe wake, “'Alikuwa mtu wa aina gani, yule ambaye alikuja kuonana na ninyi na akasema haya maneno kwenu?”
Hina bagade A: ihasaia da ilima amane adole ba: i, “Dunu e da haboda: i ganabela: ?”
8 Wakamjibu, “Alikuwa amevaa kanzu yenye manyaya na alikuwa na mkanda wa ngozi kiunanoni kwake.'” Hivyo mfalme akajibu, '“Yule alikuwa Eliya Mtishbi.”
Ilia bu adole i, “E da ohe gadofoga hamoi abula ga: ne amola bulamagau gadofoga bulu ga: i ba: i.” Hina bagade da ha: giwane adole i, “Go da Ilaidia goa!”
9 Ndipo mfalme akatuma nahodha wa askari hamsini kwa Elya. Nahodha akaenda mpaka kwa Eliya ambapo alipokuwa amekaa juu ya mlima. Nahodha akamwambia Eliya, “Wewe, mtu wa Mungu, mfalme amesema, 'shuka chini.'”
Amalalu, e da dadi gagui ouligisu dunu afae amola dadi gagui dunu 50 agoane Ilaidia lala masa: ne asunasi. Dadi gagui ouligisu dunu da asili, ba: loba, Ilaidia da agolo da: iya esalebe ba: i. E da Ilaidiama amane sia: i, “Gode Ea hawa: hamosu dunu! Hina bagade da di gudu sa: ima: ne sia: sa.”
10 Eliya akajibu na kusema kwa nahodha, “Kama mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke chini kutoka mbinguni na kukula wewe na watu wako hamsini.” Kisha moto ukashuka chini kutoka mbinguni na kumla yeye na watu wake hamsini.
Ilaidia da bu adole i, “Defea! Na da Gode Ea dunu galea, lalu da muagadonini sa: ili, di amola dia dunu fane legei ba: mu.” Hedololewane, lalu da sa: ili, ouligisu dunu amola ea dadi gagui dunu nene dagoi.
11 Tena Mfalme Ahazi akamtuma nahodha mwingine pamoja na maaskari wengine hamsini. Huyu nahodha pia akasema kwa Eliya, “Wewe, mtu wa Mungu, mfalme anasema, teremka chini haraka.”'
Hina bagade da ouligisu dunu eno amola dadi gagui 50 agoane Ilaidiama heda: ma: ne asunasi. Amoga asili, ouligisu dunu da amane sia: i, “Gode Ea dunu! Hina bagade da di wahadafa sa: ima: ne sia: sa!”
12 Eliya akajibu na kuwaambia, “Kama mimi ni mtu wa Mungu, ngoja moto ushuke kutoka mbinguni na ukule wewe na watu wako hamsini.” Moto wa Mungu ukashuka chini tena kutoka mbinguni na kumla yeye na watu wake hamsini.
Ilaidia da bu adole i, “Defea! Na da Gode Ea dunu galea, lalu da muagadonini sa: ili, di amola dia dunu fane legei ba: mu.” Hedololewane, lalu da sa: ili, ouligisu dunu amola ea dadi gagui dunu nene dagoi.
13 Bado tena mfalme alituma kundi la tatu la wapiganaji hamsini. Huyu nahodha akaenda, akaanguka mbele ya miguu ya Eliya, na kumsihi na kumwambia, “Wewe, mtu wa Mungu, Nakuomba, acha uzima wangu na uzima wa hawa watumishi wako hamsini uwe na thamani machoni kwako.
Eno agoane, hina bagade da ouligisu dunu amola dadi gagui dunu 50 agoane asunasi. Ouligisu dunu e da agoloba: le heda: le, Ilaidia ea midadi muguni bugili, ha: giwane amane adole ba: i, “Gode Ea dunu! Di da nama amola na dunuma asigima! Nini mae medole legema!
14 Ndipo, moto ukashuka chini kutoka mbinguni na kuwala wale manahodha wawili wa kwanza pamoja na watu wao, bali sasa acha uzima wangu uwe na thamani machoni kwako.”
Ouligisu dunu aduna musa: misi amola ilia dunu da muagadodini lalu misini, amo nene dagoi ba: i. Be nama asigima!”
15 Malaika wa Yahwe akamwambia Eliya, “'Nenda chini pamoja naye. Usimwogope.”' Hivyo Eliya akainuka na kwenda chini pamoja naye kwenda kwa mfalme.
Hina Gode Ea a: igele dunu da Ilaidiama amane sia: i, “Ali gilisili sa: ima! Amola mae beda: ma!” Amaiba: le, Ilaidia da ouligisu dunu ela A: ihasaia ema asili,
16 Baadye Eliya akamwambia Ahazia, '“Hivi ndivyo Yahwe asemavyo, Umewatuma wajumbe kuzungumza pamoja na Baal-Zebubu, mungu wa Ekron. Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ambaye unayeweza kumuuliza habari? Kwa hiyo sasa, hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ulichokipanda; utakufa hakika.'”
ema amane sia: i, “Hina Gode da amane sia: sa, “Di da abuliba: le amo Egelone ‘gode’ Ba: ilesibabe ema ea fada: i sia: nabimusa: , sia: adole ahoasu dunu asunasibala: ? Bai Isala: ili soge ganodini Gode hame esala, di dawa: sala: ? Di da amo hamobeba: le, mae uhini bogomu.”
17 Hivyo Mfalme Ahazia alikufa kulingana na neno la Yahwe ambalo Eliya alilisema. Yoramu alianza kutawala katika eneo lake, katika mwaka wa pili Yoramu mwana wa Yohoshafati mfalme wa Yuda, kwa sababu Ahazia hakuwa na mtoto.
Hina Gode da Ilaidia ea lafidili sia: i defele, A:ihasaia da bogoi. A: ihasaia da egefelali hame galu. Amaiba: le, eaeya Youla: me da e bagia hina bagade hamoi. E da Yuda hina bagade Yihoula: me (Yihosiafa: de egefe) ea ouligibi ode aduna ouligilalu, Isala: ili hina bagade hamoi.
18 Kama mambo mengine yanayomuhusu Ahazia, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Hina bagade A: ihasaia ea hamoi liligi oda amo huluane da “Isala: ili hina bagade Ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.