< 2 Wafalme 9 >

1 Nabii Elisha akamwita mmoja wa watoto wa manabii na kumwambia, “Vaa kwa kwa safari, halafu chukua hii chupa ndogo ya mafuta kwenye mikono yako na uende Romoth Geliadi.
در این هنگام الیشع یک نفر از گروه انبیا را احضار کرد و به او گفت: «برای رفتن به راموت جلعاد آماده شو. این ظرف روغن زیتون را نیز بردار و همراه خود ببر.
2 Wakati utakapofika, mtafute Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi, na uende ukaingie na kumfanya ainuke kutoka miongoni mwa rafiki zake, na ukampeleke katika chumba cha ndani.
وقتی به آنجا رسیدی ییهو را پیدا کن. او پسر یهوشافاط و نوهٔ نمشی است. او را از نزد دوستانش به اتاق خلوتی ببر
3 Kisha chukua ile chupa ya mafuta na imiminie kwenye kichwa chake na kusema, 'Yahwe anasema hivi: “Nimekumiminia mafuta uwe mfalme juu ya Israeli. “Halafu fungua mlango, na kukimbia; usichelewe.”
و این روغن را بر سرش بریز. به او بگو که خداوند او را به پادشاهی اسرائیل انتخاب کرده است. سپس در را باز کن و به سرعت از آنجا دور شو.»
4 Basi yule kijana, yule nabii kijana, akaenda Romoth Geliadi.
وقتی آن نبی جوان به راموت جلعاد رسید،
5 Wakati alipofika, kumbe, wale manahodha wa lile jeshi walikuwa wamekaa. Hivyo yule nabii kijana akasema, “Nimekuja mara moja naneno kwako, nahodha.” Yehu akajibu, “kwa yupi katika sisi?” Yule nabii kijana akajibu, “Kwako nahodha.”
ییهو را دید که با سایر سرداران لشکر نشسته است. پس به او گفت: «ای سردار، برای شما پیغامی دارم.» ییهو پرسید: «برای کدام یک از ما؟» جواب داد: «برای شما.»
6 Basi Yehu akainuka na kwenda kwenye nyumba, na yule nabii akammiminia mafuta kwenye kichwa chake na kumwambia Yehu, “Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: 'Nimekumiminia mafuta uwe mfalme juu ya watu wa Yahwe, juu ya Isaraeli.
بنابراین ییهو بلند شد و به داخل خانه رفت. آن نبی روغن را بر سر ییهو ریخت و گفت که خداوند، خدای اسرائیل می‌فرماید: «من تو را به پادشاهی قوم خود، اسرائیل انتخاب کرده‌ام.
7 Wewe lazima uiue familia ya Ahabu bwana wako, ili niweze kulipiza kisasi cha damu ya watumishi wangu manabii, na damu ya watumishi wote wa Yahwe, ambao waliokuwa wameuawa kwa mkono wa Yezebeli.
تو باید خاندان سَروَرت اَخاب را نابود کنی، و من از این راه انتقام خون انبیا و سایر خدمتگزاران مرا که به دست ایزابل، همسر اَخاب کشته شده‌اند، خواهم گرفت.
8 Kwa kuwa nyumba yote ya Ahabu itaangamia, na nitamkatilia mbali kila mtoto wa kiume wa Ahabu, yeyote awe mtumwa au mtu huru.
ریشهٔ خاندان اَخاب باید به کلی از زمین کنده شود و تمام مردانش نابود شوند.
9 Nitaifanya nyumba ya Ahabu kama nyumba ya Yerobohamu mwana wa Nebati na kama nyumba ya Baasha mwana wa Ahiya.
دودمان او را از بین خواهم برد همان‌طور که خاندان یربعام (پسر نباط) و بعشا (پسر اخیا) را از بین بردم.
10 Mbwa watamla Yezebeli katika Yezreeli, na hakutakuwa na mtu wa kumzika.” Kisha nabii akafungua mlango na kukimbia.
ایزابل زن اَخاب را در یزرعیل سگها خواهند خورد و کسی او را دفن نخواهد کرد.» سپس آن نبی در را باز کرد و پا به فرار گذاشت.
11 Kisha Yehu akatoka kwenda kwa watumishi wa bwana wake, na mmoja akamwambia, “Je kila kitu kiko sawa? Kwa nini huyu mwenda wazimu amekuja kwako?” Yehu akawajibu, “Mnamjua huyo mtu na mambo asemayo.”
وقتی ییهو نزد سرداران همقطار خود بازگشت، از او پرسیدند: «آن دیوانه از تو چه می‌خواست؟ آیا اتفاقی افتاده است؟» ییهو جواب داد: «شما که خوب می‌دانید او که بود و چه می‌خواست بگوید.»
12 Wakasema, “Huo ni uongo. Tuambie.” Yehu akajibu, “Alisema hivi na vile juu yangu, na pia akasema, 'hivi ndivyo Yahwe asemavyo: Nimekumiminia mafuta kama mfalme juu ya Israeli.””
گفتند: «نه، ما نمی‌دانیم. بگو چه گفت.» جواب داد: «به من گفت که خداوند مرا به پادشاهی اسرائیل انتخاب کرده است.»
13 Kisha kila mmoja wao akachukua vazi haraka na kuweka chini ya Yehu juu ya madaraja. Wakapiga baragumu na kusema, “Yehu ni mfalme.”
سرداران فوری پله‌های خانه را با رداهای خود فرش کردند و شیپور زده، اعلان کردند: «ییهو پادشاه است!»
14 Katika njia hii Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi akafanya njama juu ya Yoramu. Basi Yoramu alikuwa akiilinda Ramothi Gileadi, yeye na Israeli yote, kwa sababu ya Hazaeli mfalme wa Shamu,
آنگاه ییهو (پسر یهوشافاط و نوهٔ نمشی) بر ضد یورام پادشاه، قیام کرد. (یورام که با نیروهای خود در راموت جلعاد از اسرائیل در برابر نیروهای حزائیل، پادشاه سوریه، دفاع می‌کرد،
15 lakini mfalme Yoramu alikuwa amesharudi kwa Yezreeli ili kuponywa yale majeraha aliyokuwa ameyapewa na Washami, wakati akiwa anapigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Yehu akawaambia watumishi wa Yoramu, “kama hili ndilo wazo lako, kisha usimwache mtu aondoke na kwenda nje ya mji, ili aende kupeleka habari hii Yezreeli.”
در این هنگام به یزرعیل بازگشته بود تا از جراحاتی که در جنگ برداشته بود، التیام پیدا کند.) ییهو به سرداران همراه خود گفت: «اگر شما می‌خواهید من پادشاه شوم، نگذارید کسی به یزرعیل فرار کند و این خبر را به آنجا برساند.»
16 Basi Yehu akaendesha gari la farasi mpaka Yezreeli; kwa kuwa Yoramu alikuwa amelala huko. Basi Ahazi mfalme wa Yuda alikuwa ameshuka chini kuonana na Yoramu.
سپس ییهو بر ارابه‌ای سوار شد و به یزرعیل رفت. یورام مجروح و در شهر یزرعیل بستری بود. (اخزیا، پادشاه یهودا نیز که به عیادت او رفته بود، در آنجا به سر می‌برد.)
17 Mlinzi alikuwa amesimama juu ya mnara katika Yezreeli, akaliona lile kundi la Yehu alipokuwa akija kwa mbali kidogo; akasema, “Naona kundi la watu wanakuja.” Yoramu akasema, “Chukua mwendesha farasi, na umtume akakutane nao; mwambie aseme, “Je mnakuja kwa amani?””
دیدبانی که بر برج شهر یزرعیل بود، وقتی دید ییهو و همراهانش می‌آیند با صدای بلند خبر داده، گفت: «چند سوار به این طرف می‌آیند.» یورام پادشاه گفت: «سواری بفرست تا بپرسد خبر خوشی دارند یا نه.»
18 Hivyo mwendesha farasi akatoka kumlaki; akasema, “Mfalme asema hivi: Je mnakuja kwa amani?”' Basi Yehu akasema, “Wewe una nini na amani? Geuka na unifuate nyuma.” Kisha yule mlinzi akamwambia mfalme, Yule mjumbe ameshaonana nao, lakini anarudi.”
پس سواری به پیشواز ییهو رفت و گفت: «پادشاه می‌خواهد بداند که خبر خوشی دارید یا نه.» ییهو پاسخ داد: «تو را چه به خبر خوش؟ به دنبال من بیا!» دیدبان به پادشاه خبر داده، گفت که قاصد نزد آن سواران رسید، ولی باز نگشت.
19 Kisha akapeleka mpanda farasi wa pili, ambaye alikuja kwao na kusema, “Mfalme asema hivi: 'Je mnakuja na amani?”' Yehu akajibu, “Wewe una nini na amani? Geuka na kunifuata nyuma.
پس پادشاه سوار دیگری فرستاد. او نزد ایشان رفت و گفت: «پادشاه می‌خواهد بداند که خبر خوشی دارید یا نه.» ییهو جواب داد: «تو را چه به خبر خوش؟ به دنبال من بیا!»
20 Tena yule mlinzi akatoa taarifa, “Amekwisha kuonana nao, lakini hatorudi. Kwa kuwa hilo gari la farasi limekuwa likiendeshwa ndivyo ambavyo Yehu mwana wa Nimshi aendeshavyo; anaendesha kwa kasi.”
دیدبان باز خبر داده، گفت: «او هم باز نگشت! این سوار باید ییهو باشد چون دیوانه‌وار می‌راند.»
21 Hivyo Yoramu akasema, “Andaa gari langu la farasi liwe tayari.” Wakaandaa gari lake la farasi, na Yoramu mfalme wa Israeli na Ahazi mfalme wa Yuda akaendesha, kila mmoja kwenye gari lake la farasi, kumlaki Yehu. Wakamkuta kwenye mali ya Nabothi Myezreeli.
یورام پادشاه فرمان داده، گفت: «ارابهٔ مرا آماده کنید!» آنگاه او و اخزیا، پادشاه یهودا، هر یک بر ارابه خود سوار شده، به استقبال ییهو از شهر بیرون رفتند و در مزرعهٔ نابوت یزرعیلی به او رسیدند.
22 Wakati Yoramu alipomuona Yehu, alisema, “Je unakuja katika hali ya amani, Yehu?” Akajibu, “Amani gani hapo, wakati uzinzi wa ukahaba hufanywa na uchawi wa mama yako Yezebeli umejaa tele?”
یورام از او پرسید: «ای ییهو، آیا خبر خوشی داری؟» ییهو جواب داد: «مادامی که بت‌پرستی و جادوگری مادرت ایزابل رواج دارد، چه خبر خوشی می‌توان داشت؟»
23 Basi Yoramu akarudisha magari yake ya farasi na kukimbia na kumwambia Ahazia, “Kuna udanganyifu, Ahazia.
یورام چون این را شنید ارابه‌اش را برگردانید و در حال فرار به اخزیا گفت: «اخزیا، خیانت است! خیانت!»
24 Ndipo Yehu akauvuta upinde wake kwa nguvu zake zote na kumpiga Yoramu kati ya mabega yake; mshale ukaenda kwenye moyo wake, akaanguka chini kwenye gari lake la farasi.
آنگاه ییهو کمان خود را با قوت تمام کشیده به وسط شانه‌های یورام نشانه رفت و قلب او را شکافت و او به کف ارابه‌اش افتاد.
25 Ndipo Yehu akamwambia Bidkari nahodha wake, “Mchukue na mtupie kwenye shamba la Nabothi Myezreeni. Fikiria kuhusu vile ambavyo wewe na mimi tulivyoendesha pamoja baada ya Ahabu baba yake, Yahwe aliuweka juu unabii dhidi yake:
ییهو به سردار خود، بِدقَر گفت: «جنازهٔ او را بردار و به داخل مزرعهٔ نابوت بینداز، زیرا یکبار که من و تو سوار بر ارابه، پشت سر پدرش اَخاب بودیم، خداوند این پیغام را به او داد:”من در اینجا در مزرعهٔ نابوت تو را به سزای عملت خواهم رساند، زیرا نابوت و پسرانش را کشتی و من شاهد بودم.“پس حال همان‌طور که خداوند فرموده است، او را در مزرعهٔ نابوت بینداز.»
26 Jana niliona damu ya Nabothi na damu ya watoto wake - asema Yahwe - na nitahakikisha unalipia hili shamba - asema Yahwe. Sasa basi, mchukue na mtupe kwenye hili shamba, sawa sawa na neno la Yahwe.”
27 Wakati Ahazi yule mfalme wa Yuda alipoliona hili, akakimbia kwa njia ya Bethi Hagani. Lakini Yehu akamfuata, na kusema, “Muulie humo kwenye gari la farasi,” na wakampiga mahali pa kupandia Guri, karibu na Ebleamu. Ahazi akakimbilia Megido na kufia pale.
هنگامی که اخزیا، پادشاه یهودا، این وضع را دید به سوی شهر بیت‌هگان فرار کرد. ییهو به تعقیب وی پرداخت و فریاد زد: «او را هم بزنید.» پس افراد ییهو او را در سربالایی راهی که به شهر جور می‌رود و نزدیک یبلعام است، در ارابه‌اش مجروح کردند. او توانست تا مجدو فرار کند، ولی در آنجا مرد.
28 Watumishi wake wakaubeba mwili wake kwa magari ya farasi kwenda Yerusalemu na kumzika kwenye kaburi lake pamoja na baba zake katika mji wa Daudi.
افرادش جنازهٔ او را در ارابه‌ای به اورشلیم بردند و در قبر خودش در شهر داوود، کنار اجدادش دفن کردند.
29 Basi ilikuwa mwaka wa kumi na moja wa Yoramu mwana wa Ahabu huyo Ahazia akaanza kutawala juu ya Yuda.
(اخزیا در یازدهمین سال سلطنت یورام، پادشاه اسرائیل، پادشاه یهودا شده بود.)
30 Wakati Yahu alipokuja kwa Yezebeli, Yezebeli akasikia juu ya hilo, akapaka wanja kwenye macho yake, akatengeneza nywele zake vizuri, na kuchungulia kwenye dirisha.
ایزابل وقتی شنید ییهو به یزرعیل آمده است، به چشمانش سرمه کشید و موهایش را آرایش کرد و کنار پنجره به تماشا نشست.
31 Kadiri Yehu alipokuwa akiingia kwenye lango, akamwambia, “Je unakuja kwa amani, wewe Zimri, muuaji wa bwana wako?”
وقتی ییهو از دروازه وارد شد، ایزابل او را صدا زده، گفت: «ای قاتل، ای زمری، چرا اربابت را کشتی؟»
32 Yehu akatazama juu ya dirisha na kusema, “Ni nani yuko upande wangu? Nani?” Matowashi wawili au watatu wakachungulia nje.
ییهو به سوی پنجره نگاه کرد و فریاد زد: «در آنجا چه کسی طرفدار من است؟» دو سه نفر از خدمتگزاران دربار از پنجره به او نگاه کردند.
33 Basi Yehu aksema, “Mtupeni chini.” Hivyo wakamtupa Yezebeli chini, na damu yake nyingine ikamwagika kwenye ukuta na farasi, na Yehu akamkanyaga kanyaga chini ya miguu.
ییهو به آنها دستور داد که او را به پایین بیندازند. آنها ایزابل را از پنجره پایین انداختند و خونش بر دیوار و پیکرهٔ اسبها پاشید و خود او زیر سم اسبها لگدمال شد.
34 Basi Yehu akaingia hiyo sehemu, akala na kunywa. Kisha akasema, “Mtazamani sasa huyu mwanamke aliyelaaniwa na kumzika, kwa kuwa ni binti wa mfalme.”
ییهو وارد کاخ شد و به خوردن و نوشیدن پرداخت. سپس گفت: «یکی برود و آن زن لعنتی را دفن کند، چون به هر حال او شاهزاده‌ای بوده است.»
35 Wakaenda kumzika, lakini hawakumkuta ila fuvu, miguu, na viganga vya mikono yake.
ولی وقتی خدمتگزاران برای دفن ایزابل رفتند، فقط کاسهٔ سر و استخوانهای دستها و پاهای او را پیدا کردند.
36 Basi wakarudi na kumwambia Yehu. Akasema, “Hili ndilo neno la Yahwe ambalo ameliongea kupitia Eliya Mtishbi, likisema, 'Katika nchi Yezreeli mbwa ataula mwili wa Yezebeli,
پس بازگشتند و به ییهو گزارش دادند. او گفت: «این درست همان چیزی است که خداوند به ایلیای نبی فرموده بود که سگها گوشت ایزابل را در مزرعهٔ یزرعیل می‌خورند
37 na mwili wa Yezebeli utakuwa kama kinyesi juu ya uso wa mashamba katika nchi ya Yezreeli, kwa hiyo basi hakuna atakayeweza kusema, “Huyu ni Yezebeli.””
و باقیماندهٔ بدنش مثل فضله پخش می‌شود تا کسی نتواند او را تشخیص دهد.»

< 2 Wafalme 9 >