< 2 Wafalme 8 >

1 Basi, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye alimfufulia mtoto wake. Akamwambia, “Inuka na uenede pamoja na nyumba yako, na uishi popote uwezapo katika nchi nyingine, kwa sababu Yahwe ameiita njaa ambayo itakuja katika hii nchi kwa miaka saba.”
Élisha özi oghlini tirildürgen ayalgha nesihet qilip: — Sen we öz öydikiliring bilen bérip, qeyerde olturghudek jay tapsang, u yerde turghin; chünki Perwerdigar: — Acharchiliq bolsun, dep békitti. Bu acharchiliq zéminda yette yilghiche tügimeydu, dédi.
2 Basi yule mwanamke akainuka na akatii lile neno la mtumishi wa Mungu. Akaenda na nyumba yake na kuishi kwenye nchi ya Wafilisti miaka saba.
Shuning bilen u ayal Xudaning adimi éytqandek öz öydikiliri bilen bérip, Filistiylerning yurtida yette yilghiche turdi.
3 Ikafika kama mwishoni mwa miaka saba yule mwanamke akarudi kutoka kwenye ile nchi ya Wafilisti, na kwenda kwa mfalme kumuomba nyumba yake na kwa ajili ya nchi yake.
We shundaq boldiki, yette yil ötkende, ayal Filistiylerning yurtidin yénip keldi; u padishahtin öyi bilen zéminini özige qayturup bérishni iltimas qilghili bardi.
4 Basi mfalme alikuwa anaongea na Gehazi yule mtumishi wa Mungu, akisema, “Tafadhali niambie yale mambo makubwa ambayo Elisha ameyafanya.”
Shu waqitta padishah Xudaning adimining xizmetkari Gehazi bilen sözliship uninggha: — Élisha qilghan hemme ulugh emellerni manga bayan qilip bergin, dewatatti.
5 Basi alipokuwa akimwambia yule mfalme jinsi gani Elisha alivyomfufua yule mtoto aliyekufa, huyo mwanamke ambaye mtoto wake aliyekuwa amefufuliwa akaja kumuomba yule mfalme kwa ajili ya nyumba yake na nchi yake. Gehazi akasema, “Bwana wangu, mfalme, huyu ndiye yule mwanamke, na huyu ndiye mtoto wake, ambaye Elisha amemfufua.”
We shundaq boldiki, u padishahqa Élishaning qandaq qilip bir ölükni tirildürgenlikini dep bériwatqanda, Élisha oghlini tirildürgen shu ayal padishahtin öz öyi we zéminini qayturup bérishni iltimas qilghili keldi. Gehazi: — I padishah ghojam, mana, bular men éytqan ayal we Élisha ölümdin tirildürgen oghli del shu, dédi.
6 Wakati yule mfalme alipomuuliza yule mwanamke kuhusu mtoto wake, alimwelezea yule mfalme. Ndipo mfalme akamwagizia ofisa makini, akisema, “Mrudishie vyote vilivyokuwa vyake na mavuno yake yote ya kwenye mashamba tangu siku alipoondoka hadi sasa.”
Padishah ayaldin soriwidi, u shu weqeni uninggha dep berdi. Shuning bilen padishah bir aghwatni belgilep: — Uning hemme teelluqatlirini yandurup bergin we shuningdek öz yurtidin ketken kündin tartip bu waqitqiche yéridin chiqqan hosulning barliq kirimini uninggha bergin, dédi.
7 Elisha akaja Damaskasi ambako Ben Hadadi yule mfalme wa Shamu alikuwa anaumwa. Yule mfalme aliambiwa, “Yule mtu wa Mungu amekuja hapa.”
Emdi Élisha Suriyening padishahi Ben-Hadad késel yatqinida Demeshqqe keldi. Padishahqa: Xudaning adimi bu yerge keldi, dep xewer bérildi.
8 Mfalme akamwambia Hazaeli, “Chukua zawadi kwenye mkono wako na uende ukakutane na mtu wa Mungu, na ukazungumze na Yahwe kupitia yeye, ukisema, “Je nitapona huu ugonjwa wangu?”
Padishah Hazaelge: — Özüng bir sowgha élip, Xudaning adimining aldigha bérip uning bilen körüshüp, u arqiliq Perwerdigardin méning toghramda: «U bu késeldin saqiyamdu, saqaymaydu» dep sorighin, — dédi.
9 Basi Hazaeli akaenda kuonana naye na kuchukua zawadi zake za kila kitu kizuri cha Damskasi, akabeba ngamia arobaini. Hivyo Hazaeli akaja na kusimama mbele ya Elisha na kusema, “Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamu amenituma kwako, kusema, “Je nitapona huu ugonjwa?”
Shuning bilen Hazael uning bilen körüshüshke bardi. U özi bilen Demeshqtiki herxil ésil mallardin qiriq töge sowgha élip, uning aldigha bérip: «Oghlung Suriyening padishahi Ben-Hadad méni ewetip, bu késeldin saqiyimenmu, saqaymaymenmu?» dep soraydu, — dédi.
10 Elisha akamwambia, “Nenda, kwa Ben Hadadi, 'Utapona hakika,' lakini Yahwe amenionyesha kwamba atakufa hahkika.”
Élisha uninggha: — Bérip uninggha: — Choqum saqiyisen, dep éytqin. Lékin Perwerdigar manga qandaqla bolmisun u choqum ölidu, dep wehiy qildi, dédi.
11 Basi Elisha akamtumbulia macho Hazaeli hadi alipojisikia aibu, na yule mtu wa Mungu akalia machozi.
Xudaning adimi taki Hazael xijil bolup ketküche uninggha tikilip qarap turdi, andin Xudaning adimi yighlashqa bashlidi.
12 Hazaeli akauliza, kwa nini unalia, bwana wangu?” Akajibu, “Kwa sababu najua uovu ambao utakaoufanya kwa watu wa Israeli. Utazichoma moto ngome zao kwa moto, na utawaua vijana wao kwa upanga, kuwaseta vipande vipande watoto wao wachanga, na kuwapasua mimba zao wanawake wenye mimba.”
Hazael: — Ghojam némishqa yighlayla! dep soridi. U: — Men séning Israillargha qilidighan yaman ishliringni bilimen; chünki sen ularning qorghanlirini köydürüp, yigitlirini qilich bilen öltürüp, ushshaq balilirini chörüp tashlap, hamilidar ayallirining qarnini yériwétisen, dédi.
13 Hazaeli akajibu, Ni nani mtumwa wako, ambaye atafanya jambo hili kubwa? Yeye ni mbwa tu.” Elisha akajibu, “Yahwe amenionyesha kwamba utakuwa mfalme juu ya Shamu.”
Hazael: — Menki ittek bir qulung néme idim, undaq ulugh ishlarni qilalamtim? Élisha: — Perwerdigar manga séning Suriyening padishahi bolidighanliqingni melum qildi, dédi.
14 Ndipo Hazaeli akamwacha Elisha na kuja kwa bwana wake, ambaye alimwambia, “Je Elisha alikwambiaje?” Akajibu, “Ameniambia kwamba utapona bila shaka.”
U Élishaning qéshidin chiqip ghojisining yénigha bardi. Ben-hadad uningdin: — Élisha sanga néme dédi, dep soridi. U: — U manga silining toghrilirida, choqum saqiydu, dep éytti, dédi.
15 Basi siku ya pili yake Hazaeli akachukua blangeti na kulichovya kwenye maji, na kulitandaza kwenye uso wa Ben Hadadi hivyo akafa. Basi Hazaeli akawa mfalme katika sehemu sehemu yake.
Etisi Hazael bir parche bözni élip, sugha chilap padishahning yüzini etti. Shuning bilen u öldi; we Hazael uning ornida padishah boldi.
16 Katika mwaka wa kumi na tano wa Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Yehoramu akaanza kutawala. Alikuwa mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. Alianza wakati Yehoshafati alikuwa mfalme wa Yuda.
Israilning padishahi, Ahabning oghli Yoramning seltenitining beshinchi yilida, Yehoshafat téxi Yehudaning padishahi waqtida, Yehoshafatning oghli Yehoram Yehudaning padishahi boldi.
17 Yoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na mbili alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka minane katika Yerusalemu.
U padishah bolghanda ottuz ikki yashta bolup, Yérusalémda sekkiz yil seltenet qildi.
18 Yoramu akatembea kwenye njia ya huyo mfalme wa Israeli, kama walivyokuwa wakifanya kwenye nyumba ya Ahabu; kwa kuwa alikuwa na binti wa Ahabu kama mke wake, na alifanya uovu usoni kwa Yahwe.
U Ahabning jemeti qilghandek Israil padishahlirining yolida yürdi (chünki uning ayali Ahabning qizi idi); u Perwerdigarning neziride rezil bolghanni qildi.
19 Walakini, kwa sababu ya mtumishi wake Daudi, Yahwe hakutaka kuiharibu Yuda, tangu alipomwambia kwamba atampatia wazao.
Lékin Perwerdigar Dawutqa: — Séning bilen oghulliringgha «menggü öchmeydighan chiragh» bérimen dégen wedisi tüpeylidin u Yehudani xarab qilishni xalimidi.
20 Katika siku za Yoramu, Edomu akaasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, na wakamfanya mfalme juu yao wenyewe.
Uning künliride Édom Yehudaning idare qilishigha isyan kötürüp, azad bolup öz aldigha bir padishahliq tiklidi.
21 Basi Yehoramu akaenda na maamri jeshi na magari ya farasi yote. Ilitokea kwamba akaamka usiku na kushambulia na kuwazunguka Waedomu, waliokuwa wamemzunguka na wale maamri jeshi wa magari ya farasi. Ndipo wanajeshi wa Yehoramu wakakimbilia wajumbani kwao.
Shuning bilen Yoram hemme jeng harwiliri bilen yolgha chiqip Zair shehirige ötti. U kéchisi ornidin turup, özini we jeng harwilirining serdarlirini qorshiwalghan Édomlargha hujum qilip, ularni meghlup qildi; lékin axirida [Yehuda] leshkerliri öz öylirige qéchip ketti.
22 Hivyo Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi. Libna pia aliasi katika kipindi hicho hicho.
Shuning bilen Édomlar Yehudaning hökümranliqidin bügün’giche azad boldi. U waqitta Libnahmu isyan kötürüp azad boldi.
23 Kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoramu, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
Emdi Yoramning bashqa ishliri hem qilghanlirining hemmisi bolsa «Yehuda padishahlirining tarix-tezkiriliri» dégen kitabta pütülgen emesmidi?
24 Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na baba zake, na akalala pamoja na baba zake katika mji wa Daudi. Ndipo Ahazi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
Yoram öz ata-bowiliri arisida uxlidi we «Dawutning shehiri»de ata-bowilirining yénida depne qilindi. Oghli Ahaziya uning ornida padishah boldi.
25 Katika mwaka wa kumi na mbili wa Yohoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
Israilning padishahi, Ahabning oghli Yoramning seltenitining on ikkinchi yili, Yehuda padishahi Yehoramning oghli Ahaziya Yehudagha padishah boldi.
26 Ahazi alikuwa ana umri wa miaka ishirini na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Athalia; alikuwa mtoto wa Omri, mfalme wa Israeli.
Ahaziya padishah bolghanda yigirme ikki yashta bolup, Yérusalémda bir yil seltenet qildi. Uning anisining ismi Ataliya idi; u Israil padishahi Omrining qizi idi.
27 Ahazia alitembelea katika nyumba ya Ahabu; alifanya yale yaliyo maovu katika uso wa Yahwe, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa kuwa Ahazia alikuwa mkwe kwenye nyumba ya Aabu.
[Ahaziya] Ahabning jemetining yolida yürüp Ahabning jemeti qilghandek, Xudaning neziride rezil bolghanni qildi; chünki u Ahabning küy’oghli bolup uninggha hemjemet idi.
28 Ahazia akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Shamu, katika Ramath Geleadi. Washami wakamjeruhi Yoramu.
Ahabning oghli Yoram Suriyening padishahi Hazael bilen Giléadtiki Ramotta soqushqanda Ahaziya uninggha hemdemliship soqushqa chiqqanidi. Suriyler Yoramni zeximlendürdi.
29 Mfalme Yoramu akarudi ili auguzwe huko Yezreeli kwenye yale majeraha ambayo Washami walimpatia huko Rama. Wakati alipopigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Hivyo Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme Yuda, akashuka kwa Yezreeli kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
Yoram padishah Ramahda Suriye padishahi Hazael bilen soqushqanda Suriylerdin yégen zexmini dawalitish üchün, Yizreelge yénip keldi. Ahabning oghli Yoram késel bolghachqa, Yehudaning padishahi, Yehoramning oghli Ahaziya uni yoqlighili Yizreelgimu bardi.

< 2 Wafalme 8 >