< 2 Wafalme 8 >
1 Basi, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye alimfufulia mtoto wake. Akamwambia, “Inuka na uenede pamoja na nyumba yako, na uishi popote uwezapo katika nchi nyingine, kwa sababu Yahwe ameiita njaa ambayo itakuja katika hii nchi kwa miaka saba.”
and Elisha to speak: speak to(wards) [the] woman which to live [obj] son: child her to/for to say to arise: rise and to go: went (you(f. s.) *Q(K)*) and house: household your and to sojourn in/on/with in which to sojourn for to call: call to LORD to/for famine and also to come (in): come to(wards) [the] land: country/planet seven year
2 Basi yule mwanamke akainuka na akatii lile neno la mtumishi wa Mungu. Akaenda na nyumba yake na kuishi kwenye nchi ya Wafilisti miaka saba.
and to arise: rise [the] woman and to make: do like/as word man [the] God and to go: went he/she/it and house: household her and to sojourn in/on/with land: country/planet Philistine seven year
3 Ikafika kama mwishoni mwa miaka saba yule mwanamke akarudi kutoka kwenye ile nchi ya Wafilisti, na kwenda kwa mfalme kumuomba nyumba yake na kwa ajili ya nchi yake.
and to be from end seven year and to return: return [the] woman from land: country/planet Philistine and to come out: come to/for to cry to(wards) [the] king to(wards) house: home her and to(wards) land: country her
4 Basi mfalme alikuwa anaongea na Gehazi yule mtumishi wa Mungu, akisema, “Tafadhali niambie yale mambo makubwa ambayo Elisha ameyafanya.”
and [the] king to speak: speak to(wards) Gehazi youth man [the] God to/for to say to recount [emph?] please to/for me [obj] all [the] great: large which to make: do Elisha
5 Basi alipokuwa akimwambia yule mfalme jinsi gani Elisha alivyomfufua yule mtoto aliyekufa, huyo mwanamke ambaye mtoto wake aliyekuwa amefufuliwa akaja kumuomba yule mfalme kwa ajili ya nyumba yake na nchi yake. Gehazi akasema, “Bwana wangu, mfalme, huyu ndiye yule mwanamke, na huyu ndiye mtoto wake, ambaye Elisha amemfufua.”
and to be he/she/it to recount to/for king [obj] which to live [obj] [the] to die and behold [the] woman which to live [obj] son: child her to cry to(wards) [the] king upon house: home her and upon land: country her and to say Gehazi lord my [the] king this [the] woman and this son: child her which to live Elisha
6 Wakati yule mfalme alipomuuliza yule mwanamke kuhusu mtoto wake, alimwelezea yule mfalme. Ndipo mfalme akamwagizia ofisa makini, akisema, “Mrudishie vyote vilivyokuwa vyake na mavuno yake yote ya kwenye mashamba tangu siku alipoondoka hadi sasa.”
and to ask [the] king to/for woman and to recount to/for him and to give: put to/for her [the] king eunuch one to/for to say to return: rescue [obj] all which to/for her and [obj] all produce [the] land: country from day to leave: forsake [obj] [the] land: country/planet and till now
7 Elisha akaja Damaskasi ambako Ben Hadadi yule mfalme wa Shamu alikuwa anaumwa. Yule mfalme aliambiwa, “Yule mtu wa Mungu amekuja hapa.”
and to come (in): come Elisha Damascus and Ben-hadad Ben-hadad king Syria be weak: ill and to tell to/for him to/for to say to come (in): come man [the] God till here/thus
8 Mfalme akamwambia Hazaeli, “Chukua zawadi kwenye mkono wako na uende ukakutane na mtu wa Mungu, na ukazungumze na Yahwe kupitia yeye, ukisema, “Je nitapona huu ugonjwa wangu?”
and to say [the] king to(wards) Hazael to take: take in/on/with hand: themselves your offering: gift and to go: went to/for to encounter: meet man [the] God and to seek [obj] LORD from [obj] him to/for to say to live from sickness this
9 Basi Hazaeli akaenda kuonana naye na kuchukua zawadi zake za kila kitu kizuri cha Damskasi, akabeba ngamia arobaini. Hivyo Hazaeli akaja na kusimama mbele ya Elisha na kusema, “Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamu amenituma kwako, kusema, “Je nitapona huu ugonjwa?”
and to go: went Hazael to/for to encounter: meet him and to take: take offering: gift in/on/with hand: to his and all goodness Damascus burden forty camel and to come (in): come and to stand: stand to/for face: before his and to say son: child your Ben-hadad Ben-hadad king Syria to send: depart me to(wards) you to/for to say to live from sickness this
10 Elisha akamwambia, “Nenda, kwa Ben Hadadi, 'Utapona hakika,' lakini Yahwe amenionyesha kwamba atakufa hahkika.”
and to say to(wards) him Elisha to go: went to say (to/for him *Q(K)*) to live to live and to see: see me LORD for to die to die
11 Basi Elisha akamtumbulia macho Hazaeli hadi alipojisikia aibu, na yule mtu wa Mungu akalia machozi.
and to stand: stand [obj] face his and to set: consider till be ashamed and to weep man [the] God
12 Hazaeli akauliza, kwa nini unalia, bwana wangu?” Akajibu, “Kwa sababu najua uovu ambao utakaoufanya kwa watu wa Israeli. Utazichoma moto ngome zao kwa moto, na utawaua vijana wao kwa upanga, kuwaseta vipande vipande watoto wao wachanga, na kuwapasua mimba zao wanawake wenye mimba.”
and to say Hazael why? lord my to weep and to say for to know [obj] which to make: do to/for son: descendant/people Israel distress: evil fortification their to send: burn in/on/with fire and youth their in/on/with sword to kill and infant their to dash in pieces and pregnant their to break up/open
13 Hazaeli akajibu, Ni nani mtumwa wako, ambaye atafanya jambo hili kubwa? Yeye ni mbwa tu.” Elisha akajibu, “Yahwe amenionyesha kwamba utakuwa mfalme juu ya Shamu.”
and to say Hazael for what? servant/slave your [the] dog for to make: do [the] word: thing [the] great: large [the] this and to say Elisha to see: see me LORD [obj] you king upon Syria
14 Ndipo Hazaeli akamwacha Elisha na kuja kwa bwana wake, ambaye alimwambia, “Je Elisha alikwambiaje?” Akajibu, “Ameniambia kwamba utapona bila shaka.”
and to go: went from with Elisha and to come (in): come to(wards) lord his and to say to/for him what? to say to/for you Elisha and to say to say to/for me to live to live
15 Basi siku ya pili yake Hazaeli akachukua blangeti na kulichovya kwenye maji, na kulitandaza kwenye uso wa Ben Hadadi hivyo akafa. Basi Hazaeli akawa mfalme katika sehemu sehemu yake.
and to be from morrow and to take: take [the] cloth and to dip in/on/with water and to spread upon face his and to die and to reign Hazael underneath: instead him
16 Katika mwaka wa kumi na tano wa Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Yehoramu akaanza kutawala. Alikuwa mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. Alianza wakati Yehoshafati alikuwa mfalme wa Yuda.
and in/on/with year five to/for Joram son: child Ahab king Israel and Jehoshaphat king Judah to reign Jehoram son: child Jehoshaphat king Judah
17 Yoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na mbili alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka minane katika Yerusalemu.
son: aged thirty and two year to be in/on/with to reign he and eight (year *Q(K)*) to reign in/on/with Jerusalem
18 Yoramu akatembea kwenye njia ya huyo mfalme wa Israeli, kama walivyokuwa wakifanya kwenye nyumba ya Ahabu; kwa kuwa alikuwa na binti wa Ahabu kama mke wake, na alifanya uovu usoni kwa Yahwe.
and to go: walk in/on/with way: conduct king Israel like/as as which to make: do house: household Ahab for daughter Ahab to be to/for him to/for woman: wife and to make: do [the] bad: evil in/on/with eye: seeing LORD
19 Walakini, kwa sababu ya mtumishi wake Daudi, Yahwe hakutaka kuiharibu Yuda, tangu alipomwambia kwamba atampatia wazao.
and not be willing LORD to/for to ruin [obj] Judah because David servant/slave his like/as as which to say to/for him to/for to give: give to/for him lamp to/for son: descendant/people his all [the] day: always
20 Katika siku za Yoramu, Edomu akaasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, na wakamfanya mfalme juu yao wenyewe.
in/on/with day his to transgress Edom from underneath: owning hand: owner Judah and to reign upon them king
21 Basi Yehoramu akaenda na maamri jeshi na magari ya farasi yote. Ilitokea kwamba akaamka usiku na kushambulia na kuwazunguka Waedomu, waliokuwa wamemzunguka na wale maamri jeshi wa magari ya farasi. Ndipo wanajeshi wa Yehoramu wakakimbilia wajumbani kwao.
and to pass Joram Zair [to] and all [the] chariot with him and to be he/she/it to arise: rise night and to smite [obj] Edom [the] to turn: surround to(wards) him and [obj] ruler [the] chariot and to flee [the] people: soldiers to/for tent: home his
22 Hivyo Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi. Libna pia aliasi katika kipindi hicho hicho.
and to transgress Edom from underneath: owning hand: owner Judah till [the] day: today [the] this then to transgress Libnah in/on/with time [the] he/she/it
23 Kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoramu, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
and remainder word: deed Joram and all which to make: do not they(masc.) to write upon scroll: book Chronicles [the] day to/for king Judah
24 Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na baba zake, na akalala pamoja na baba zake katika mji wa Daudi. Ndipo Ahazi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
and to lie down: be dead Joram with father his and to bury with father his in/on/with city David and to reign Ahaziah son: child his underneath: instead him
25 Katika mwaka wa kumi na mbili wa Yohoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
in/on/with year two ten year to/for Joram son: child Ahab king Israel to reign Ahaziah son: child Jehoram king Judah
26 Ahazi alikuwa ana umri wa miaka ishirini na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Athalia; alikuwa mtoto wa Omri, mfalme wa Israeli.
son: aged twenty and two year Ahaziah in/on/with to reign he and year one to reign in/on/with Jerusalem and name mother his Athaliah daughter Omri king Israel
27 Ahazia alitembelea katika nyumba ya Ahabu; alifanya yale yaliyo maovu katika uso wa Yahwe, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa kuwa Ahazia alikuwa mkwe kwenye nyumba ya Aabu.
and to go: walk in/on/with way: conduct house: household Ahab and to make: do [the] bad: evil in/on/with eye: seeing LORD like/as house: household Ahab for son-in-law house: household Ahab he/she/it
28 Ahazia akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Shamu, katika Ramath Geleadi. Washami wakamjeruhi Yoramu.
and to go: went with Joram son: child Ahab to/for battle with Hazael king Syria in/on/with Ramoth (Ramoth)-gilead and to smite Syrian [obj] Joram
29 Mfalme Yoramu akarudi ili auguzwe huko Yezreeli kwenye yale majeraha ambayo Washami walimpatia huko Rama. Wakati alipopigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Hivyo Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme Yuda, akashuka kwa Yezreeli kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
and to return: return Joram [the] king to/for to heal in/on/with Jezreel from [the] wound which to smite him Syrian in/on/with Ramah in/on/with to fight he with Hazael king Syria and Ahaziah son: child Jehoram king Judah to go down to/for to see: see [obj] Joram son: child Ahab in/on/with Jezreel for be weak: ill he/she/it