< 2 Wafalme 8 >
1 Basi, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye alimfufulia mtoto wake. Akamwambia, “Inuka na uenede pamoja na nyumba yako, na uishi popote uwezapo katika nchi nyingine, kwa sababu Yahwe ameiita njaa ambayo itakuja katika hii nchi kwa miaka saba.”
Ilaisia da musa: Siunemega esalu uda (amo ea mano bogoi e da uhinisi) ema, Hina Gode da ha: i bagade Isala: ili sogega iasimu amo olelei. E da amane sia: i, “Amo ha: i bagade da ode fesuale agoane dialumu. Di amola dia sosogo fi amo Isala: ili soge fisili, asili, eno sogega esalumusa: masa.”
2 Basi yule mwanamke akainuka na akatii lile neno la mtumishi wa Mungu. Akaenda na nyumba yake na kuishi kwenye nchi ya Wafilisti miaka saba.
Siuneme uda da ea hamoma: ne sia: i nababeba: le, e da ea sosogo fi amo Filisidini fi ilia sogega oule asili, amogawi ode fesuale esalu.
3 Ikafika kama mwishoni mwa miaka saba yule mwanamke akarudi kutoka kwenye ile nchi ya Wafilisti, na kwenda kwa mfalme kumuomba nyumba yake na kwa ajili ya nchi yake.
Ha: i bagade ode fesuale gidigibiba: le, e da Isala: ili sogega buhagili, hina bagadema asili, e da ea diasu amola soge, amo hima bu ima: ne adole ba: i.
4 Basi mfalme alikuwa anaongea na Gehazi yule mtumishi wa Mungu, akisema, “Tafadhali niambie yale mambo makubwa ambayo Elisha ameyafanya.”
E da Isala: ili hina bagadema doaga: loba, e amola Ilaisia ea hawa: hamosu dunu Gihaisai ela gilisili sia: dalebe ba: i. Hina bagade da Ilaisia ea musa: hame ba: i gasa bagade hou amo dawa: mu hanai.
5 Basi alipokuwa akimwambia yule mfalme jinsi gani Elisha alivyomfufua yule mtoto aliyekufa, huyo mwanamke ambaye mtoto wake aliyekuwa amefufuliwa akaja kumuomba yule mfalme kwa ajili ya nyumba yake na nchi yake. Gehazi akasema, “Bwana wangu, mfalme, huyu ndiye yule mwanamke, na huyu ndiye mtoto wake, ambaye Elisha amemfufua.”
Gihaisai da hina bagadema, Ilaisia ea bogoi dunu bu esaloma: ne hamoi sia: adodoloba, Siuneme uda da misini, hina bagadema ea adole ba: su adole ba: i. Gihaisai da hina bagadema amane sia: i, “Hina bagade! Uda amo ea hou na dima olelei amola egefe amo bogoi amola Ilaisia da bu uhinisi, ela da goea!”
6 Wakati yule mfalme alipomuuliza yule mwanamke kuhusu mtoto wake, alimwelezea yule mfalme. Ndipo mfalme akamwagizia ofisa makini, akisema, “Mrudishie vyote vilivyokuwa vyake na mavuno yake yote ya kwenye mashamba tangu siku alipoondoka hadi sasa.”
Isala: ili hina bagade da Siuneme udama adole ba: beba: le, uda da Gihaisai ea sia: be da dafawane sia: i. Amaiba: le, hina bagade da eagene ouligisu dunu afae amo ema misa: ne sia: ne, e da Siuneme udama ea musa: gagui huluane, amola ha: i manu ea sogega bugi, amola e soge enoga esaloba ode fesuale amoga ea lai defei, amo huluane hima bu ima: ne sia: i.
7 Elisha akaja Damaskasi ambako Ben Hadadi yule mfalme wa Shamu alikuwa anaumwa. Yule mfalme aliambiwa, “Yule mtu wa Mungu amekuja hapa.”
Silia hina bagade Beneha: ida: de da Dama: sagase moilai bai bagade ganodini oloi dialu. Amogalu, Ilaisia da Dama: saga: se moilaiga asi. Beneha: ida: de da Ilaisia amogai esala sia: be nababeba: le,
8 Mfalme akamwambia Hazaeli, “Chukua zawadi kwenye mkono wako na uende ukakutane na mtu wa Mungu, na ukazungumze na Yahwe kupitia yeye, ukisema, “Je nitapona huu ugonjwa wangu?”
e da ea eagene ouligisu dunu Ha: sa: iele, ema amane sia: i, “Di balofede dunuma hahawane iasu iasili, ema amane adole ba: ma, ‘Di Hina Godema adole ba: ma, amo hina bagade ea oloi da uhima: bela: le?”
9 Basi Hazaeli akaenda kuonana naye na kuchukua zawadi zake za kila kitu kizuri cha Damskasi, akabeba ngamia arobaini. Hivyo Hazaeli akaja na kusimama mbele ya Elisha na kusema, “Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamu amenituma kwako, kusema, “Je nitapona huu ugonjwa?”
Amaiba: le, Ha: sa: iele da Dama: saga: sega masusa: liligi noga: idafa ga: mele40agoane amo da: iya ligisili, Ilaisiama asi. Ha: sa: iele da Ilaisia gousa: le, ema amane sia: i, “Dia hawa: hamosu dunu hina bagade Beneha: ida: de da dima amane adole ba: ma: ne, na asunasi, ‘Na oloi da uhima: bela: o hame uhima: bela: ?’”
10 Elisha akamwambia, “Nenda, kwa Ben Hadadi, 'Utapona hakika,' lakini Yahwe amenionyesha kwamba atakufa hahkika.”
Ilaisia da bu adole i, “Hina Gode da nama amane olelei, ‘e da bogomu’. Be di ema asili, e da uhimu, ema amane adoma!”
11 Basi Elisha akamtumbulia macho Hazaeli hadi alipojisikia aibu, na yule mtu wa Mungu akalia machozi.
Amalalu, Ilaisia da Ha: sa: ielema fofogadigili nani sosodoaligili, Ha: sa: iele da beda: i. Hedolowane, Ilaisia da doleledane di.
12 Hazaeli akauliza, kwa nini unalia, bwana wangu?” Akajibu, “Kwa sababu najua uovu ambao utakaoufanya kwa watu wa Israeli. Utazichoma moto ngome zao kwa moto, na utawaua vijana wao kwa upanga, kuwaseta vipande vipande watoto wao wachanga, na kuwapasua mimba zao wanawake wenye mimba.”
Ha: sa: iele da ema adole ba: i, “Hina! Di da abuliba: le disala: ?” Ilaisia da bu adole i, “Bai na da gugunufinisisu hou amo di da Isala: ili fi dunuma hamomu, amo dawa: Di da ilia gagili sali moilai laluga ulagimu. Amola ilia ayeligi noga: idafa huluane medole lelegemu, amola ilia mano huluane fufuga: le lelegemu. Amola ilia uda abula agui huluane oda hihidamu.”
13 Hazaeli akajibu, Ni nani mtumwa wako, ambaye atafanya jambo hili kubwa? Yeye ni mbwa tu.” Elisha akajibu, “Yahwe amenionyesha kwamba utakuwa mfalme juu ya Shamu.”
Ha: sa: iele da bu adole ba: i, “Na da habodane agoane gasa bagade hou hamoma: bela: ? Na da hamedei dunu fawane!” Ilaisia da bu adole i, “Hina Gode da nama amane olelei. Di da Silia hina bagade hamomu.”
14 Ndipo Hazaeli akamwacha Elisha na kuja kwa bwana wake, ambaye alimwambia, “Je Elisha alikwambiaje?” Akajibu, “Ameniambia kwamba utapona bila shaka.”
Ha: sa: iele da Beneha: ida: dema buhagi. Beneha: ida: de da ema amane adole ba: i, “Ilaisia da adi sia: bela: ?” Ha: sa: iele da bu adole i, “E da di uhimu sia: i.”
15 Basi siku ya pili yake Hazaeli akachukua blangeti na kulichovya kwenye maji, na kulitandaza kwenye uso wa Ben Hadadi hivyo akafa. Basi Hazaeli akawa mfalme katika sehemu sehemu yake.
Be aya amoga, Ha: sa: iele da abula sosone diasu lale, hano gele, hina bagade ea midofoga: le gagulaligili, medole legei dagoi. Amola Ha: sa: iele da Beneha: ida: de bagia, Silia hina bagade hamoi.
16 Katika mwaka wa kumi na tano wa Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Yehoramu akaanza kutawala. Alikuwa mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. Alianza wakati Yehoshafati alikuwa mfalme wa Yuda.
Isala: ili hina bagade Youla: me (A: iha: be egefe) amo da ode biyale ouligilalu, Yihoula: me (Yihosiafa: de egefe) da Yuda hina bagade hamoi.
17 Yoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na mbili alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka minane katika Yerusalemu.
Amo esoha e da lalelegele, ode 32 agoane esalu. E da Yelusaleme moilai bai bagadega esala, ode godoaneagoane Yuda soge ouligilalu.
18 Yoramu akatembea kwenye njia ya huyo mfalme wa Israeli, kama walivyokuwa wakifanya kwenye nyumba ya Ahabu; kwa kuwa alikuwa na binti wa Ahabu kama mke wake, na alifanya uovu usoni kwa Yahwe.
Ea uda da A: iha: be ea idiwi. Amola Yihoula: me da A: iha: be ea sosogo fi amola Isala: ili hina bagade ilia hou defele, wadela: le bagade hamoi. E da Hina Godema wadela: le hamoi.
19 Walakini, kwa sababu ya mtumishi wake Daudi, Yahwe hakutaka kuiharibu Yuda, tangu alipomwambia kwamba atampatia wazao.
Be Hina Gode da Yuda fi gugunufinisimu higa: i. Bai E da musa: Da: ibidi amola egaga sosogo fi da mae fisili, Yuda fi ouligilaloma: ne ilegele sia: i dagoi.
20 Katika siku za Yoramu, Edomu akaasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, na wakamfanya mfalme juu yao wenyewe.
Yihoula: me da Yuda fi ouligilalebe, Idome fi dunu da Yudama odoga: ne, ilisu ilia fi ouligi.
21 Basi Yehoramu akaenda na maamri jeshi na magari ya farasi yote. Ilitokea kwamba akaamka usiku na kushambulia na kuwazunguka Waedomu, waliokuwa wamemzunguka na wale maamri jeshi wa magari ya farasi. Ndipo wanajeshi wa Yehoramu wakakimbilia wajumbani kwao.
Amaiba: le, Yihoula: me amola ea ‘sa: liode’ fila heda: i dadi gagui dunu da Sa: ie moilaiga gegemusa: asi. Amogawi, Idome dadi gagui wa: i da Yihoula: me ea dadi gagui wa: i amo eale disi. Yihoula: me amola ea ‘sa: liode’ ouligisu dunu da eale disi amomane fili, hobeale asi. Yuda dadi gagui dunu huluane da afogogole, afae afae hi diasua buhagi.
22 Hivyo Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi. Libna pia aliasi katika kipindi hicho hicho.
Amoganini, Idome fi da ilisu ouligisu. Amola Yihoula: me ea ouligilalu, Libina moilai bai bagade fi da ema odoga: i.
23 Kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoramu, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
Yihoula: me ea hou eno huluane da “Yuda hina bagade ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
24 Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na baba zake, na akalala pamoja na baba zake katika mji wa Daudi. Ndipo Ahazi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
Yihoula: me da bogoi amola hina bagade ilia bogoi uli dogosu sogebi Da: ibidi Moilai Bai Bagade ganodini uli dogonesi. Egefe A: ihasaia da e bagia Yuda hina bagade hamoi.
25 Katika mwaka wa kumi na mbili wa Yohoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
Isala: ili hina bagade Youla: me (A: iha: be egefe) da ode fagoyale Isala: ili ouligilalu, A:ihasaia (Yihoula: me egefe) da Yuda fi ilia hina bagade hamoi.
26 Ahazi alikuwa ana umri wa miaka ishirini na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Athalia; alikuwa mtoto wa Omri, mfalme wa Israeli.
E da lalelegele ode22 agoane esalu, Yuda hina bagade hamoi. E da Yelusaleme moilai bai bagadega esala, ode afae fawane Yuda fi ouligilalu. Ea: me da A: dalaia (Isala: ili hina bagade A: iha: be ea idiwi amola Isala: ili hina bagade Omeli amo ea aowa).
27 Ahazia alitembelea katika nyumba ya Ahabu; alifanya yale yaliyo maovu katika uso wa Yahwe, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa kuwa Ahazia alikuwa mkwe kwenye nyumba ya Aabu.
A: ihasaia ea ame da hina bagade A: iha: be ea idiwiba: le, e da A: iha: be ea sosogo fi defele, Hina Godema wadela: le hamoi.
28 Ahazia akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Shamu, katika Ramath Geleadi. Washami wakamjeruhi Yoramu.
Yuda hina bagade A: ihasaia amola Isala: ili hina bagade Youla: me ela da gilisili, Silia hina bagade Ha: sa: ielema gegei. Ilia dadi gagui wa: i da La: imode moilai bai bagade, Gilia: de soge ganodini, amogai migagadenene gegei. Youla: me da amogai gegenana, gala: i ba: i.
29 Mfalme Yoramu akarudi ili auguzwe huko Yezreeli kwenye yale majeraha ambayo Washami walimpatia huko Rama. Wakati alipopigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Hivyo Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme Yuda, akashuka kwa Yezreeli kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
E da e gala: i fa: gi bahoma: ne, Yeseliele moilai bai bagadega buhagi. Amola A: ihasaia da amoga e ba: la asi.