< 2 Wafalme 6 >
1 Wana wa manabii wakamwambia Elisha, “Sehemu ambayo tunayoishi na wewe ni ndogo sana kwa ajili ya wote.
and to say son: child [the] prophet to(wards) Elisha behold please [the] place which we to dwell there to/for face your narrow from us
2 Tafadhali, tuache tuende Yordani, na umwache kila mtu akate mti hapo ambako tunaweza kuishi.” Elisha akajibu, “unaweza kwenda mbele.”
to go: went please till [the] Jordan and to take: take from there man: anyone beam one and to make to/for us there place to/for to dwell there and to say to go: went
3 Mmoja wao akasema, “Nenda na watumishi wako tafadhali.” Elisha akajibu, “Nitaenda.”
and to say [the] one be willing please and to go: went with servant/slave your and to say I to go: went
4 Kwa hiyo akaenda pamoja nao, na wakati walipokuja Yordani, wakaanza kukata miti.
and to go: went with them and to come (in): come [the] Jordan [to] and to cut [the] tree
5 Lakini mmoja wao alipokuwa akikata, kichwa cha shoka kikaangukia kwenye maji; akalia kwa sauti na kusema, “la hasha, bwana wangu, kilikuwa kimeazimwa!”
and to be [the] one to fall: fell(trees) [the] beam and [obj] [the] iron to fall: fell(trees) to(wards) [the] water and to cry and to say alas! lord my and he/she/it to ask
6 Basi mtu wa Mungu akasema, “kiliangukia wapi?” Yule mtu akamwonyesha Elisha ile sehemu. akakata fimbo, akarusha kwenye maji, na kufanya chuma kuelea.
and to say man [the] God where? to fall: fall and to see: see him [obj] [the] place and to shear tree: stick and to throw there [to] and to flow [the] iron
7 Elisha akasema, “Kichukue.” Basi yule mtu akafikisha mkono wake na kukinyakua.
and to say to exalt to/for you and to send: reach hand his and to take: take him
8 Basi mfalme wa Shamu alikuwa akipigana vita dhidi ya Israel. Akafanya shauri na watumishi wake, akisema, “kambi yangu itakuwa sehemu flani na flani.”
and king Syria to be to fight in/on/with Israel and to advise to(wards) servant/slave his to/for to say to(wards) place someone someone encampment my
9 Basi huyo mtu wa Mungu akamtuma kwa mfalme wa Israeli, akisema, “Kuwa makini usipite ile sehemu, kwa kuwa ndipo Washamu wanakoshukia hapo.”
and to send: depart man [the] God to(wards) king Israel to/for to say to keep: careful from to pass [the] place [the] this for there Syria descended
10 Mfalme wa Israeli akatuma mjumbe kwenda pale sehemu ambayo mtu wa Mungu alipaongelea na kumtahadharisha. Zaidi ya mara moja au mbili, wakati mfalme alipoenda pale, alikuwa kwenye ulinzi wake.
and to send: depart king Israel to(wards) [the] place which to say to/for him man [the] God (and to warn him *Q(K)*) and to keep: guard there not one and not two
11 Huyo mfalme wa Shamu alikasirishwa kuhusu haya maonyo, na akawaita watumishi wake na kuwaambia, “Je hamtaniambia ni nani miongoni mwetu aliye upande wa Israeli?”
and to rage heart king Syria upon [the] word: because [the] this and to call: call to to(wards) servant/slave his and to say to(wards) them not to tell to/for me who? from which/that to/for us to(wards) king Israel
12 Hivyo mmoja wa watumishi wake akasema, “Hapana, bwana wangu, mfalme, kwa ajili ya Elisha yule nabii katika Israeli humwambia yule mfalme wa Israeli maneno ambayo uyaongeayo kwenye kitanda chako cha kulala!”
and to say one from servant/slave his not lord my [the] king for Elisha [the] prophet which in/on/with Israel to tell to/for king Israel [obj] [the] word which to speak: speak in/on/with chamber bed your
13 Yule mfalme akajibu, “Nenda na uone Elisha alipo hivyo naweza kutuma watu na kumkamata.” Akaambiwa, “Tazama yuko Dothani.”
and to say to go: went and to see: see where? he/she/it and to send: depart and to take: take him and to tell to/for him to/for to say behold in/on/with Dothan
14 Kwa hiyo yule mfalme akatuma farasi kwenda Donathi, magari ya farasi, na jeshi kubwa. Wakaja usiku na kuzunguka ule mji.
and to send: depart there [to] horse and chariot and strength: soldiers heavy and to come (in): come night and to surround upon [the] city
15 Wakati yule mtumishi wa mtu wa Mungu alipoamka mapema na kutoka nje, kumbe, jeshi kubwa pamoja na farasi na magari ya farasi yameuzunguka mji. Mtumishi wake akamwabia, “Kumbe, bwana wangu! Tutafanya nini?”
and to rise to minister man [the] God to/for to arise: rise and to come out: come and behold strength: soldiers to turn: surround [obj] [the] city and horse and chariot and to say youth his to(wards) him alas! lord my how? to make: do
16 Elisha akajibu, “usiogope, wale walio na sisi ni zaidi kuliko wale walio nao.”
and to say not to fear for many which with us from whence with them
17 Elisha akajibu na kusema, “Yahwe, nakuomba kwamba utamfungua macho yake ili kwamba aweze kuona.” Ndipo Yahwe alipofungua macho ya mtumishi, na akaona. Kumbe, ule mlima ulikuwa umejaa farasi na magari ya farasi ya moto yamemzunguka Elisha!
and to pray Elisha and to say LORD to open please [obj] eye his and to see: see and to open LORD [obj] eye [the] youth and to see: see and behold [the] mountain: mount to fill horse and chariot fire around Elisha
18 Wakati hao Washami walipomshukia chini, Elisha aliomba kwa Yahwe na kusema, “Uwapige hawa watu kwa upofu, nakuomba.” Hivyo Yahwe akawafanya vipofu, kama Elisha alivyoomba.
and to go down to(wards) him and to pray Elisha to(wards) LORD and to say to smite please [obj] [the] nation [the] this in/on/with blindness and to smite them in/on/with blindness like/as word Elisha
19 Kisha Elisha akawaambia Washami, “Hii njia sio, pia mji huu sio. Nifuateni mimi, na nitawaleta kwa yule mtu ambaye mnayemtafuta.” Ndipo akawaongoza kweda Samaria.
and to say to(wards) them Elisha not this [the] way: road and not this [the] city to go: follow after me and to go: take [obj] you to(wards) [the] man which to seek [emph?] and to go: take [obj] them Samaria [to]
20 Hata walipokwisha kufika Samaria, Elisha akasema, “Yahwe, fungua macho ya hawa watu ili waweze kuona.” Yahwe akawafungua macho yao na wakaona, na kumbe, walikuwa katikati ya mji wa Samaria.
and to be like/as to come (in): come they Samaria and to say Elisha LORD to open [obj] eye these and to see: see and to open LORD [obj] eye their and to see: see and behold in/on/with midst Samaria
21 Yule mfalme wa Israeli akamwambia Elisha, wakati alipowaona, “Baba yangu, niwaue? Niwaue?”
and to say king Israel to(wards) Elisha like/as to see: see he [obj] them to smite to smite father my
22 Elisha akajibu, “Usiwaue. Ungeweza kuwaua wale ambao uliokuwa umewachukua mateka kwa upanga na upinde wako? Weka mkate na maji mbele yao, ili kwamba waweze kula na kunywa, na kwenda kwa bwana wao.”
and to say not to smite which to take captive in/on/with sword your and in/on/with bow your you(m. s.) to smite to set: make food: bread and water to/for face: before their and to eat and to drink and to go: went to(wards) lord their
23 Ndipo mfalme akaandaa chakula kingi kwa ajili yao, na wakati walipokula na kunywa, akawapeleka mbali, na walirudi kwa bwana wao. Lile kundi la jeshi la Wasahami halikurudi kwa mda mrefu katika nchi ya Israeli.
and to feed to/for them feast great: large and to eat and to drink and to send: depart them and to go: went to(wards) lord their and not to add: again still band Syria to/for to come (in): come in/on/with land: country/planet Israel
24 Baadaye baada ya huyu Ben Hadadi mfalme wa Shamu kukusanya majeshi yake yote na kuiteka Samaria na kuizingira.
and to be after so and to gather Ben-hadad Ben-hadad king Syria [obj] all camp his and to ascend: rise and to confine upon Samaria
25 Hivyo kulikuwa na njaa kubwa katika Samaria. Kumbe, wakauzingira hadi kichwa cha punda kilipouzwa kwa vipande themanini vya fedha, na sehemu ya nne ya sehemu ya kibaba cha kinyesi cha njiwa kwa vipande vitano vya fedha.
and to be famine great: large in/on/with Samaria and behold to confine upon her till to be head donkey in/on/with eighty silver: money and fourth [the] kab (quano *Q(K)*) in/on/with five silver: money
26 Wakati mfalme wa Israeli alipokuwa akipita karibu na ukuta, mwanamke mmoka akamlilia akisema, “Nisaidie, bwana wangu, mfalme.”
and to be king Israel to pass upon [the] wall and woman to cry to(wards) him to/for to say to save [emph?] lord my [the] king
27 Akasema, “Kama Yahwe hawezi kukusaidia, je nitakusaidiaje? je kuna kitu chochote kinakuja kutoka sehemu ya kupuria nafaka au shinikizoni?”
and to say not to save you LORD from where? to save you from [the] threshing floor or from [the] wine
28 Mfalme akaendelea, “Nini kinakusumbua?” Akajibu, “Huyu mwanamke ameniambia, 'Mtoe mtoto wako ili tuweze kumla leo, na tutamla wakwangu kesho.”
and to say to/for her [the] king what? to/for you and to say [the] woman [the] this to say to(wards) me to give: give [obj] son: child your and to eat him [the] day and [obj] son: child my to eat tomorrow
29 Hivyo tulimchemsha mtoto wangu na kumla, na siku ya pili yake nikamwambia, “Mtoe mtoto wako ili tuweze kumla, lakini alikuwa amemficha mtoto wake.”
and to boil [obj] son: child my and to eat him and to say to(wards) her in/on/with day [the] another to give: give [obj] son: child your and to eat him and to hide [obj] son: child her
30 Basi mfalme aliposikia yale maneno ya yule mwanamke, akayachana mavazi yake (sasa alikuwa akitembelea kwenye ukuta), na watu wakatazama na kuona kwamba alikuwa amevaa nguo ya gunia chini, dhidi ya ngozi yake.
and to be like/as to hear: hear [the] king [obj] word [the] woman and to tear [obj] garment his and he/she/it to pass upon [the] wall and to see: see [the] people and behold [the] sackcloth upon flesh his from house: inside
31 Kisha akasema, “Mungu afanye hivyo kwangu, na zaidi pia, kama kichwa cha Elisha mwana wa Shafati kitabaki juu yake leo.”
and to say thus to make: do to/for me God and thus to add if to stand: stand head Elisha son: child Shaphat upon him [the] day: today
32 Basi Elisha alikuwa ameketi kwenye nyumba yake, na wazee walikuwa wamekaa pamoja naye. Yule mfalme akamtuma mtu wa mbele yake, lakini wakati mjumbe alipokuja kwa Elisha, akawaambia wazee, “Ona jinsi huyu mwana wa muuaji alivytumwa kuchukua kichwa changu? Tazama, wakati yule mjumbe atakapokuja, funga mlango, na uushikilie huo mlango funga dhidi yake asiingie. Je sio sauti ya bwana wake nyuma mguuni pake?”
and Elisha to dwell in/on/with house: home his and [the] old: elder to dwell with him and to send: depart man from to/for face: before his in/on/with before to come (in): come [the] messenger to(wards) him and he/she/it to say to(wards) [the] old: elder to see: behold! for to send: depart son: warrior [the] to murder [the] this to/for to turn aside: remove [obj] head my to see: behold! like/as to come (in): come [the] messenger to shut [the] door and to oppress [obj] him in/on/with door not voice: sound foot lord his after him
33 Wakati alipokuwa bado akiongea pamoja nao, kumbe, yule mjumbe alishuka kwake. Mfalme akasema, “Kumbe, masumbuko haya yatoka kwa Yahwe. Kwa nini nimsubiri Yahwe tena?”
still he to speak: speak with them and behold [the] messenger to go down to(wards) him and to say behold this [the] distress: harm from with LORD what? to wait: wait to/for LORD still