< 2 Wafalme 6 >

1 Wana wa manabii wakamwambia Elisha, “Sehemu ambayo tunayoishi na wewe ni ndogo sana kwa ajili ya wote.
And they said [the] sons of the prophets to Elisha here! please the place where we [are] dwelling there before you it is [too] cramped for us.
2 Tafadhali, tuache tuende Yordani, na umwache kila mtu akate mti hapo ambako tunaweza kuishi.” Elisha akajibu, “unaweza kwenda mbele.”
Let us go please to the Jordan and let us take from there each a beam one and let us make for ourselves there a place to dwell there and he said go.
3 Mmoja wao akasema, “Nenda na watumishi wako tafadhali.” Elisha akajibu, “Nitaenda.”
And he said the one be willing please and go with servants your and he said I I will go.
4 Kwa hiyo akaenda pamoja nao, na wakati walipokuja Yordani, wakaanza kukata miti.
And he went with them and they came the Jordan towards and they cut down trees.
5 Lakini mmoja wao alipokuwa akikata, kichwa cha shoka kikaangukia kwenye maji; akalia kwa sauti na kusema, “la hasha, bwana wangu, kilikuwa kimeazimwa!”
And it was the one [was] making fall the beam and the iron it fell into the water and he cried out and he said alas! O lord my and it [was] asked.
6 Basi mtu wa Mungu akasema, “kiliangukia wapi?” Yule mtu akamwonyesha Elisha ile sehemu. akakata fimbo, akarusha kwenye maji, na kufanya chuma kuelea.
And he said [the] man of God where? did it fall and he showed him the place and he cut off a piece of wood and he threw [it] there towards and he caused to float the iron.
7 Elisha akasema, “Kichukue.” Basi yule mtu akafikisha mkono wake na kukinyakua.
And he said lift [it] yourself and he stretched out hand his and he took it.
8 Basi mfalme wa Shamu alikuwa akipigana vita dhidi ya Israel. Akafanya shauri na watumishi wake, akisema, “kambi yangu itakuwa sehemu flani na flani.”
And [the] king of Aram he was fighting against Israel and he consulted servants his saying [will be] to a place of a certain one a certain one encampments my.
9 Basi huyo mtu wa Mungu akamtuma kwa mfalme wa Israeli, akisema, “Kuwa makini usipite ile sehemu, kwa kuwa ndipo Washamu wanakoshukia hapo.”
And he sent [the] man of God to [the] king of Israel saying take care from passing by the place this for there Aram [is] descending.
10 Mfalme wa Israeli akatuma mjumbe kwenda pale sehemu ambayo mtu wa Mungu alipaongelea na kumtahadharisha. Zaidi ya mara moja au mbili, wakati mfalme alipoenda pale, alikuwa kwenye ulinzi wake.
And he sent [the] king of Israel to the place which he had spoken to him [the] man of God (and he warned him *Q(K)*) and he took care there not one [time] and not two [times].
11 Huyo mfalme wa Shamu alikasirishwa kuhusu haya maonyo, na akawaita watumishi wake na kuwaambia, “Je hamtaniambia ni nani miongoni mwetu aliye upande wa Israeli?”
And it was enraged [the] heart of [the] king of Aram on the matter this and he called to servants his and he said to them ¿ not will you tell to me who? from [those] who [belong] to us [is] to [the] king of Israel.
12 Hivyo mmoja wa watumishi wake akasema, “Hapana, bwana wangu, mfalme, kwa ajili ya Elisha yule nabii katika Israeli humwambia yule mfalme wa Israeli maneno ambayo uyaongeayo kwenye kitanda chako cha kulala!”
And he said one from servants his no O lord my the king for Elisha the prophet who [is] in Israel he tells to [the] king of Israel the words which you speak in [the] chamber of lying down your.
13 Yule mfalme akajibu, “Nenda na uone Elisha alipo hivyo naweza kutuma watu na kumkamata.” Akaambiwa, “Tazama yuko Dothani.”
And he said go and see where? [is] he so I may send so I may capture him and it was told to him saying there! in Dothan.
14 Kwa hiyo yule mfalme akatuma farasi kwenda Donathi, magari ya farasi, na jeshi kubwa. Wakaja usiku na kuzunguka ule mji.
And he sent there towards horses and chariotry and an army massive and they came night and they surrounded the city.
15 Wakati yule mtumishi wa mtu wa Mungu alipoamka mapema na kutoka nje, kumbe, jeshi kubwa pamoja na farasi na magari ya farasi yameuzunguka mji. Mtumishi wake akamwabia, “Kumbe, bwana wangu! Tutafanya nini?”
And he rose early [the] servant of [the] man of God to arise and he went out and there! an army [was] surrounding the city and horse[s] and chariotry and he said servant his to him alas! O lord my how? will we do.
16 Elisha akajibu, “usiogope, wale walio na sisi ni zaidi kuliko wale walio nao.”
And he said may not you be afraid for [are] many [those] who [are] with us more than [those] who [are] them.
17 Elisha akajibu na kusema, “Yahwe, nakuomba kwamba utamfungua macho yake ili kwamba aweze kuona.” Ndipo Yahwe alipofungua macho ya mtumishi, na akaona. Kumbe, ule mlima ulikuwa umejaa farasi na magari ya farasi ya moto yamemzunguka Elisha!
And he prayed Elisha and he said O Yahweh open please eyes his so he may see and he opened Yahweh [the] eyes of the servant and he saw and there! the hill it was full horses and chariotry of fire around Elisha.
18 Wakati hao Washami walipomshukia chini, Elisha aliomba kwa Yahwe na kusema, “Uwapige hawa watu kwa upofu, nakuomba.” Hivyo Yahwe akawafanya vipofu, kama Elisha alivyoomba.
And they came down to him and he prayed Elisha to Yahweh and he said strike please the nation this with sudden blindness and he struck them with sudden blindness according to [the] word of Elisha.
19 Kisha Elisha akawaambia Washami, “Hii njia sio, pia mji huu sio. Nifuateni mimi, na nitawaleta kwa yule mtu ambaye mnayemtafuta.” Ndipo akawaongoza kweda Samaria.
And he said to them Elisha not this [is] the way and not this [is] the city come after me so let me lead you to the man whom you seek! and he led them Samaria towards.
20 Hata walipokwisha kufika Samaria, Elisha akasema, “Yahwe, fungua macho ya hawa watu ili waweze kuona.” Yahwe akawafungua macho yao na wakaona, na kumbe, walikuwa katikati ya mji wa Samaria.
And it was when came they Samaria and he said Elisha O Yahweh open [the] eyes of these [men] so they may see and he opened Yahweh eyes their and they saw and there! [they were] in [the] midst of Samaria.
21 Yule mfalme wa Israeli akamwambia Elisha, wakati alipowaona, “Baba yangu, niwaue? Niwaue?”
And he said [the] king of Israel to Elisha when saw he them ¿ will I strike [them] down will I strike [them] down? O father my.
22 Elisha akajibu, “Usiwaue. Ungeweza kuwaua wale ambao uliokuwa umewachukua mateka kwa upanga na upinde wako? Weka mkate na maji mbele yao, ili kwamba waweze kula na kunywa, na kwenda kwa bwana wao.”
And he said not you must strike [them] down ¿ [those] whom you have taken captive by sword your and by bow your [are] you about to strike down put food and water before them so they may eat and they may drink and they may go to master their.
23 Ndipo mfalme akaandaa chakula kingi kwa ajili yao, na wakati walipokula na kunywa, akawapeleka mbali, na walirudi kwa bwana wao. Lile kundi la jeshi la Wasahami halikurudi kwa mda mrefu katika nchi ya Israeli.
And he gave a feast for them a feast great and they ate and they drank and he let go them and they went to master their and not they repeated again [the] marauding bands of Aram to come in [the] land of Israel.
24 Baadaye baada ya huyu Ben Hadadi mfalme wa Shamu kukusanya majeshi yake yote na kuiteka Samaria na kuizingira.
And it was after thus and he gathered Ben Hadad [the] king of Aram all army his and he went up and he laid siege on Samaria.
25 Hivyo kulikuwa na njaa kubwa katika Samaria. Kumbe, wakauzingira hadi kichwa cha punda kilipouzwa kwa vipande themanini vya fedha, na sehemu ya nne ya sehemu ya kibaba cha kinyesi cha njiwa kwa vipande vitano vya fedha.
And it was a famine great in Samaria and there! [they were] laying siege on it until was [the] head of a donkey for eighty silver and [the] fourth part of the kab (quano *Q(K)*) for five silver.
26 Wakati mfalme wa Israeli alipokuwa akipita karibu na ukuta, mwanamke mmoka akamlilia akisema, “Nisaidie, bwana wangu, mfalme.”
And he was [the] king of Israel passing by on the wall and a woman she cried out to him saying save! O lord my the king.
27 Akasema, “Kama Yahwe hawezi kukusaidia, je nitakusaidiaje? je kuna kitu chochote kinakuja kutoka sehemu ya kupuria nafaka au shinikizoni?”
And he said may not he save you Yahweh from where? will I save you ¿ from the threshing floor or? from the wine-press.
28 Mfalme akaendelea, “Nini kinakusumbua?” Akajibu, “Huyu mwanamke ameniambia, 'Mtoe mtoto wako ili tuweze kumla leo, na tutamla wakwangu kesho.”
And he said to her the king what? [is] to you and she said the woman this she said to me give son your so we may eat him this day and son my we will eat tomorrow.
29 Hivyo tulimchemsha mtoto wangu na kumla, na siku ya pili yake nikamwambia, “Mtoe mtoto wako ili tuweze kumla, lakini alikuwa amemficha mtoto wake.”
And we cooked son my and we ate him and I said to her on the day other give son your so we may eat him and she had hidden son her.
30 Basi mfalme aliposikia yale maneno ya yule mwanamke, akayachana mavazi yake (sasa alikuwa akitembelea kwenye ukuta), na watu wakatazama na kuona kwamba alikuwa amevaa nguo ya gunia chini, dhidi ya ngozi yake.
And it was when heard the king [the] words of the woman and he tore clothes his and he [was] passing by on the wall and it saw the people and there! sackcloth [was] on flesh his from inside.
31 Kisha akasema, “Mungu afanye hivyo kwangu, na zaidi pia, kama kichwa cha Elisha mwana wa Shafati kitabaki juu yake leo.”
And he said thus may he do to me God and thus may he add if it will remain standing [the] head of Elisha [the] son of Shaphat on him this day.
32 Basi Elisha alikuwa ameketi kwenye nyumba yake, na wazee walikuwa wamekaa pamoja naye. Yule mfalme akamtuma mtu wa mbele yake, lakini wakati mjumbe alipokuja kwa Elisha, akawaambia wazee, “Ona jinsi huyu mwana wa muuaji alivytumwa kuchukua kichwa changu? Tazama, wakati yule mjumbe atakapokuja, funga mlango, na uushikilie huo mlango funga dhidi yake asiingie. Je sio sauti ya bwana wake nyuma mguuni pake?”
And Elisha [was] sitting in house his and the elders [were] sitting with him and he sent a man from to before him before he came the messenger to him and he - he said to the elders ¿ do you see that he has sent [the] son of the murderer this to remove head my look - when comes the messenger shut the door and you will push him with the door ¿ not [is] [the] sound of [the] feet of master his after him.
33 Wakati alipokuwa bado akiongea pamoja nao, kumbe, yule mjumbe alishuka kwake. Mfalme akasema, “Kumbe, masumbuko haya yatoka kwa Yahwe. Kwa nini nimsubiri Yahwe tena?”
Still he [was] speaking with them and there! the messenger [was] coming down to him and he said here! this the calamity [is] from with Yahweh why? will I wait for Yahweh still.

< 2 Wafalme 6 >