< 2 Wafalme 5 >
1 Basi Naamani, amri jeshi wa mfalme wa Shamu, alikuwa mtu mkubwa na mtu mwenye kuheshimiwa mbele ya bwana wake, kwa sababu kwa ajili yake Yahwe aliwapa ushindi Washami. Pia alikuwa hodari, mtu shujaa, lakini alikuwa anaukoma.
Syria lengpa hin asepai lamkaipa Naaman hi ajabol lheh jingin ahi. Ajeh chu Pakaiyin amahi amang chan galjona thupi tahtah ana pejin ahi. Ahinla Naaman hi mihang galsatje themtah ana hivang in amahi miphah anahin ahi.
2 Washami walikuwa wametoka kuongoza kikosi na kumchukua kijana mdogo wa kike kutoka nchi ya Israeli. Akamuhudumia mke wa Naamani.
Amahin agalsatna a Israel gamhi ana delkhum’in galhing tamtah ahin mat lah ahin nungah chapang khat ana pang khan ahileh ajinnu jen ding in anapansah in ahi.
3 Yule binti akamwambia bibi yake, “Natamani kwamba bwana wangu angelikuwa na nabii ambaye yupo Samaria! Halafu angelimponya bwana wangu ukoma wake.
Nikhat hi hiche nungahnu hin apinu kom’a, “Kapupahi Samaria um themgaopa khu gaki mupi leh aman aphah hi aboldampeh tei ding ahi,” ati.
4 Hivyo Naamani akaingia na kumwambia mfalme kile ambacho yule binti kutoka nchi ya Israeli alichokuwa amekisechosema.
Hiche Israel a kona nungah chapangnu thusei chu Naaman hin lengpa kom’ah aga lhut tan ahi.
5 Kisha mfalme wa Shamu akase, “Nenda sasa, na nitatuma barua kwa mfalme wa Israeli.” Naamani akaondoka na kuchukua talanta zake kumi za fedha, vipande elfu sita vya dhahabu, na nguo kumi za kubadilisha.
Syria lengpan, “Chenlang themgaopa chu ga kimupitan kenjong Israel lengpa kom’ah nang chung chang ngah lekha thot nange,” ati. Hichun Naaman akipatdohin kipa thilpeh dingin dangka pound jasagi le som nga, sana pound jakhat le som nga chuleh pon hoitah tah jatsom akipoh in ahi.
6 Pia alichukua barua ya kumpelekea mfalme wa Israeli inayosema, “Sasa wakati hii barua itakapoletwa kwako, utaona kwamba nimemtuma mtumishi wangu Naamani kwako, hivyo basi utamponya ukoma wake.”
Israel lengpa dinga alekhajih chun hitin aseijin ahi, “Hiche lekhapum hin kalhachapa Naaman hi kahinsolle ahitheileh aphahna hi hinboldam peh in,” ati.
7 Wakati mfalme wa Israeli alipoisoma ile barua, alichana mavazi yake na kusema, “Je mimi ni Mungu, niue na nirudishe uhai, kwamba huyu mtu anataka nimponye mtu ukoma wake? Inaonekana anatafuta mashindano na mimi.”
Hiche lekhathot hi Israel lengpan asimdoh phat chun avon abottel jingin, hitin aseitan ahi, “Hichepa hin kakom’a miphah khat boldam dinga ahinsol hi kei Pathen kahi beh a, ken mihem kahinsah a kathisah theibeh ding ham? Amahin kisat pidinga eichouna ahibouve,” ati tai.
8 Ikawa wakati Elisha mtu wa Mungu aliposikia kwamba mfalme wa Israeli alichana nguo zake, akatuma neno kwa mfalme akisema, “Kwa nini umechana nguo zako? Muache aje kwangu sasa, na atajua kwamba kuna nabii katika Israeli.”
Ahinlah Pathen mipa Elisha chun Israel lengpan avon abotse jinge ti ajah phat chun hitin thu athot tan ahi, “Ibola lung hang’a nahim? Hiche Naaman chu keikom’ah hinsoltan chutileh aman Israelte lah ahin themgao dihtah chu aume ti henante,” ati.
9 Basi Naamani akaja na farasi wake na mikokoteni yake ya kukokotwa na farasi na kusimama kwenye mlango wa nyumba ya Elisha.
Hichun Naaman chu asakol tetoh akangtalai toh Elisha kotbullah angahtauve.
10 Elisha akamtumia mjumbe, akisema, “Nenda na ukazame mwenyewe katika Yordani mara saba, na ngozi ya mwili wako itajirudi; utakuwa msafi.”
Ahinlah Elisha’n amakom’a chun thu agah thot’in, “Chenlang Jordan vadunga khun sagi vei gaki delut lechun navunchu hung kiledohin tin chuleh naphahna jong damdoh tan nate,” atin ahi.
11 Lakini Naamani alikasirika na kuondoka na kusema, “Tazama, Nilidhani bila shaka angekuja kwangu na kusimama na kuliita jina la Yahwe Mungu wake, na kupitisha mkono wake kwenye sehemu ya ugonjwa na kuponya ukoma wangu.
Ahinlah Naaman chu alunghang in, akihai mangin hitin aseije, “Keima geldannin ama hung potdoh intin, eiki mupin tin, kaphahna chungah hin akhut hin peilen tin, Pakai a Pathen min hinpan intin eidamsah ding ham kati ahi,” ati.
12 Je sio Abana na Faepari, mito ya Damaskasi, bora kuliko maji yote ya Israeli?” Je siwezi kuoga ndani yao na kuwa safi?” Hivyo akageuka na kwenda kwa hasira.
Hiche Israel te vadung ho jouse sanga hi Damascus ahung longlut Abana le Pharpar vadung teni hi phajo lou ding ong? Hichea chu kaki delut leh kadamjing louding ong?” atin Naaman chu akihei mangin lunghang tah’in achemang jengtan ahi.
13 Ndipo watumishi wa Naamani wakaja karibbu na kumwambia, “Baba yangu, kama yule nabii alikuamuru kufanya kitu kigumu, singelifanya? Je si zaidi basi, atakapokwambia rahisi, 'Zama mwenyewe na uwe safi?”
Ahinlah anoija asepaite hochun hetthem sah tei agouvin hitin aseijun, “Hepu themgaopa hin, thil hahsa khat tong dinga nasol leh ibola nabolda dingham? Aman chenlang gakidelut in chutileh nadamding ahi atichu naboljing leh iti ham! atiuvin ahi.
14 Ndipo akashuka chini na kuzama mwenyewe mara saba kwenye Yordani, akitii maelekezo ya mtu wa Mungu. Nyama ya mwili wake ikarudi tena kama nyama ya mwili ya mtoto mdogo, na alikuwa amepona.
Hichun Naaman chu Jordan vadunga agachesuh in themgaopan aseipeh bang bang chun sagi vei aga kidelut in ahileh ahung damdoh in avou jong chapang voutoh abang jing tan ahi.
15 Naamani akarudi kwa yule mtu wa Mungu, yeye na watu wake wengine, na kuja na kusimama mbele yake. Akasema, “Tazama, sasa najua kwamba hakuna Mungu katika Dunia nzima isipokuwa katika Israeli. Kwa hiyo basi, chukua zawadi kutoka kwa mtumishi wako tafadhali.”
Hijou chun Naaman le aloi hocheng chu Pathen mipa kom’a dingin ahungkile tauvin ahi. Amaho ama sanga adingun Naaman in hitin aseije, “Israel gamtilou vannoi leiset gamdanga hin Pathen aumpoi ti kahe chentai, hijeh chun nasohpa a konin kipa thilpeh hi nei sanpehtan,” ati.
16 Lakini Elisha akajibu, “Kama Yahwe aishivyo, ambaye nimesimama mbele yake, sintopokea chochote.”Naamani akamsihi Elisha apokee zawadi, lakini alikataa.
Ahin Elisha’n adonbut in, “Keiman kahoujing Pakai minna kasei ahi, keiman thilpeh imacha kilah ponge,” ati. Naaman in kilahsahtei agot vang'in Elisha anom pon ahi.
17 Hivyo Naamani akasema, “Kama sivyo, nakuomba ache apewe mtumishi wako pale mzigo wa baghala mbili za aridhi, kwa kuwa kuanzia sasa, mtumishi wako hatotoa tena sadaka ya kuteketezwa wala dhabihu kwa mungu yeyote isipokuwa Yahwe.
Hichun Naamanin, “Aphai ahileh sakol pot-ni poh khopset hiche leiset hi ka inlanga kipoh ingting tuapat’in Pakai kom tilouvin semthu Pathen dang kom’ah kilhaina gantha bol taponge,” ati.
18 Katika jambo hili moja Yahwe anaweza kumsamehe mtumishi wako, hii ni, wakati mfalme wangu atakapoenda kwenye nyumba ya Rimoni kuabudu pale, na kujifunza kwenye mikono yangu na kumuinamia mwenyewe kwenye nyumba ya Rimoni, Yahwe aweze kumsamehe mtumishi wako katika hili jambo.”
“Ahinla hiche thilkhat chunga vang hin Pakaiyin eingaidam hen. Hiche kapu lengpa hi Rimmon munna, milimdoi houva ache tengleh keima banjanga kingaiji ahin het banga keimajing jong kabokhup teng Pakaiyin nasohpa hi hiche thudolla hin eingaidam hen,” ati.
19 Elisha akamwambia, “Nenda kwa amani.” Hivyo Naamani akaondoka.
Hichun Elisha’n ajah a “Lungmongin chetan” atin, Naaman in jong ainlang ajontai.
20 Alikuwa amesafiri lakini umbali mfupi, wakati Gehazi mtumishi wa Elisha mtumishi wa Mungu alisema mwenyewe, “Tazama, bwana wangu amemuandaa huyu Naamani Mshami kwa kuacha kupokea zawadi kutoka kwenye mikono yake ambazo alizileta. Kama Yahwe aishivyo, Nitakimbia nikimfuata na kupokea kitu kutoka kwake.
Ahinlah Pathen mipa Elisha sohpa Gehazi hi amale ama akihouvin, “Kapupan Syria mipa thilpeh khatcha lalouva asoldoh jing hi adihpoi, hingjing Pathen minna kasei ahi keiman del in kating themkhat beh kalah ding ahi,” ati.
21 Hivyo Gehazi akamfuata Naamani. Wakati Naamani alipomuona mtu mmoja anakimbia akimfuata, aliruka chini kutoka kwenye gari yake kuonana naye na kusema, “Je kila kitu kiko sawa?”
Hiti chun Gehazi hin Naaman anung deltan ahi. Naaman in Gehazi in ahin nungdel chu amu phat in, asakol kangtalaija konchun ahung kumlhan, “Imajouse pha pha a hinam?” atileh,
22 Gehazi akasema, “kila kitu kiko sawa. Bwana wangu amenituma, akisema, 'Tazama, sasa wamekuja kwangu kutoka nchi ya mlima ya Efraimu vijana wawili wa watoto wa manabii. Tafadhali, wapatie talanta ya fedha na nguo mbili za kubadilisha.”
Gehazi in “Aphanai, Ephraim gam’ah konin themgao gollhang ni tutah chun ahung lhonnin ahileh kapupan nakom’a eihinsol ahi. Aman dangka pound som sagi le nga leh pon hoi jatni hi amani peh dingin angaichan hijeh a chu eihinsol ahi,” ati.
23 Naamani akajibu, “Ninafuraha kubwa kukupatia talanta mbili.” Naamani akamsihi Gehazi na kujaribu talanta mbili za fedha kwenye mifuko miwili ya kubebea, pamoja na nguo mbili za kubadilisha, na kutandaza kwa wafanyakazi wake wawili, ambao walikuwa wamebebea ile mifuko miwili ya fedha mbele ya Gehazi.
Naaman in jong, “Dangka nasei jatni chu kilah in” atin, ponhoi jong jatni apen sumchu sakhaoni in achun in asohte mini achoisah in ahi.
24 Wakati Gehazi alipokuja kwenye ule mlima, alichukua ile mifuko ya fedha kutoka kwenye mikono yao na kuificha kwenye nyumba; akawatuma wale watu, na wakaondoka.
Khopi chu alhun phat’un Gehazin soh tenia kon chun thilchu alaan amani alesoltan ahi. Hijouchun amachan thil ho chu insunga asel tan ahi.
25 Wakati Gehazi alipoingia na kusimama mbele ya bwana wake, Elisha akamwambia, “Umetokea wapi, Gehazi?” Akajibu, “Mtumishi wako hakwenda mahali.”
Ama a Pakaipa koma agalut chun Elisha’n, “Gehazi hoiya nacheham?” ati. Aman “Hoikoma kachepoi” ati.
26 Elisha akamwambia Gehazi, “Je roho yangu haikuwa na wewe wakati yule mtu alipoyarudisha magari yake ya farasi ili kukutana na wewe? Je uu ni mda wa kupokea pesa na nguo, mashamba ya mzaituni na mizabibu, na kondoo na Ng'ombe, na watumishi wakiume na watumishi wakike?
Ahinlah Elisha’n, “Naaman asakol kangtalaija kona ahung kumlhah a nakimuto lhonna chu keima lhagaova hiche kom’a chu kaum nahet louham? Hiche phat chu sumle pon kilah phat hija, Olive thingbohle lengpilei kilahphat hija, kelngoile bongchalte kisan phat, soh pasal le soh numei tampi kisanphat mong hi nam?” ati.
27 Basi ukoma wa Naamani utakuwa kwenye uzao wako daima.” Basi Gehazi akatoka kwenye uwepo wake, mwenye ukoma kama theluji.
Hitobanga nachonjeh hin Naaman phahna hi nang le nason napah ho chunga atonsot geijin chuta hen ati. Gehazi chu indan sunga kona agah potdoh leh apum changin aphahin avunjong buhbang bangin abang let lutjing tan ahi.