< 2 Wafalme 4 >
1 Ndipo mke wa mmoja wa watoto wa manbii alipokuja kwa Elisha akilia, akisema, “Mtumishi wako mme wangu amukufa, na unajua kwamba mtumishi wako alikuwa anamcha Yahwe. Basi aliyemuwia amekuja kuwachukua watoto wangu wawili kwenda kuwa watumwa.”
Bir gün, peygamber topluluğundan bir adamın karısı gidip Elişa'ya şöyle yakardı: “Efendim, kocam öldü! Bildiğin gibi RAB'be tapınırdı. Şimdi bir alacaklısı geldi, iki oğlumu benden alıp köle olarak götürmek istiyor.”
2 Hivyo Elisha akamwambia, “Nikusaidie nini? Niambie una nini kwenye nyumba yako?” Akamwambia “Mtumishi wako hana kitu kwenye nyumba, isipokuwa chupa ya mafuta.”
Elişa, “Senin için ne yapsam?” diye karşılık verdi, “Söyle bana, evinde neler var?” Kadın, “Azıcık zeytinyağı dışında, kulunun evinde hiçbir şey yok” dedi.
3 Kisha Elisha akasema, “Nenda kaazime vyombo kwa majirani zako, vyombo vitupu. Azima vyombo vingi uwezavyo.
Elişa, “Bütün komşularına git, ne kadar boş kapları varsa iste” dedi,
4 Kisha lazima uende ndani na kujifungia mlango wewe na watoto wako, na kumiminia mafuta vyombo vyote; vile vilivyojaa ukavitenge.”
“Sonra oğullarınla birlikte eve git. Kapıyı üzerinize kapayın ve bütün kapları yağla doldurun. Doldurduklarınızı bir kenara koyun.”
5 Basi akamuacha Elisha na kujifungia mlango yeye na watoto wake. Wakavileta vile vyombo kwake, na akivijaza kwa mafuta.
Kadın oradan ayrılıp oğullarıyla birlikte evine gitti, kapıyı kapadı. Oğullarının getirdiği kapları doldurmaya başladı.
6 Ikawa vyombo vilipojaa, akamwambia mtoto wake, “Niletee chombo kingine.” Ila akamwambia, “Hakuna vyombo vingine.” Kisha mafuta yakakoma kutoka.
Bütün kaplar dolunca oğullarından birine, “Bana bir kap daha getir” dedi. Oğlu, “Başka kap kalmadı” diye karşılık verdi. O zaman zeytinyağının akışı durdu.
7 Ndipo akaja na kumwambia mtu wa Mungu. Akasema, “Nenda kauze mafuta; lipa deni lako, na yatakayobaki waachie watoto wako.”
Kadın gidip durumu Tanrı adamı Elişa'ya bildirdi. Elişa, “Git, zeytinyağını sat, borcunu öde” dedi, “Kalan parayla da oğullarınla birlikte yaşamını sürdür.”
8 Siku moja Elisha alitembea Shunemu ambapo mwanamke muhimu aliishi; alimsihi ale chakula pamoja naye. Ikawa alipopita mara nyingi, angeweza kusimama pale na kula.
Elişa bir gün Şunem'e gitti. Orada zengin bir kadın vardı. Elişa'yı yemeğe alıkoydu. O günden sonra Elişa ne zaman Şunem'e gitse, yemek için oraya uğradı.
9 Huyo mwanamke akamwambia mme wake, “Ona, sasa nadhani kwamba huyu ni mtu mtakatifu wa Mungu ambaye hupita siku zote.
Kadın kocasına, “Bize sık sık gelen bu adamın kutsal bir Tanrı adamı olduğunu anladım” dedi,
10 Ngoja tutengeneze chumba kidogo kwenye paa kwa ajili ya Elisha, na tuweke kitanda juu ya hicho chumba, meza, na taa. Kisha atakapokuwa anakuja kwetu, atakuwa anakaa hapo.”
“Gel, damda onun için küçük bir oda yapalım; içine yatak, masa, sandalye, bir de kandil koyalım. Bize geldiğinde orada kalsın.”
11 Ikawa siku moja akaja tena kwamba Elisha akasimama pale, akakaa kwenye hicho chumba na kupumzika hapo.
Bir gün Elişa geldi, yukarı odaya çıkıp uzandı.
12 Elisha akamwambia Gehazi mtumishi wake, “Mwite huyu Mshunami.” Wakati alipomuita, alisimama mbele yake.
Uşağı Gehazi'ye, “Şunemli kadını çağır” dedi. Gehazi kadını çağırdı. Kadın gelince,
13 Elisha akamwambia, “Mwambie, 'Umetusumbukia kwa kutujali. Nini kifanyike kwa ajili yako? Tunaweza kukuombea kwa mfalme au amri jeshi?”” Akajibu, “Ninaishi miongoni mwa watu wangu.”
Elişa Gehazi'ye şöyle dedi: “Ona de ki, ‘Bizim için katlandığın bunca zahmetlere karşılık ne yapabilirim? Senin için kralla ya da ordu komutanıyla konuşayım mı?’” Kadın, “Ben halkımın arasında mutlu yaşıyorum” diye karşılık verdi.
14 Kisha Elisha akajibu, “Tumfanyie nini kwa ajili yake, sasa?” Gehazi akajibu, “Kweli hana mtoto, na mume wake ni
Elişa, “Öyleyse ne yapabilirim?” diye sordu. Gehazi, “Kadının oğlu yok, kocası da yaşlı” diye yanıtladı.
15 mzee.” Hivyo Elisha akajibu, “Mwite.” Wakati alipomuita, akasimama kwenye mlango.
Bunun üzerine Elişa, “Kadını çağır” dedi. Gehazi kadını çağırdı. Kadın gelip kapının eşiğinde durdu.
16 Elisha akasema, “Katika kipindi kama hiki mwakani, katika kipindi cha mwaka mmoja, utakuwa ukimkumbatia mtoto.” Akasema “Hapana, bwana wangu na mtu wa Mungu, usidanganye kwa mtumishi wako.”
Elişa, kadına, “Gelecek yıl bu zaman kucağında bir oğlun olacak” dedi. Kadın, “Olamaz, efendim!” diye karşılık verdi, “Sen ki bir Tanrı adamısın, lütfen kuluna yalan söyleme!”
17 Lakini yule mwanamke akabeba mimba na kujifungua mtoto wakume kipindi hicho hicho katika mwaka uliofuata, kama Elisha alivyokuwa amemwambia.
Ama kadın gebe kaldı ve bir yıl sonra, Elişa'nın söylediği günlerde bir oğul doğurdu.
18 Wakati mtoto alipokuwa mkubwa, akaenda kwa baba yake siku moja, ambaye alikuwa na watu wanaovuna.
Çocuk büyüdü. Bir gün orakçıların başında bulunan babasının yanına gitti.
19 Akamwambia baba yake, “Kichwa changu, kichwa changu.” Baba yake akamwambia mtumishi wake, “Mbebe mpeleke kwa mama yake.”
“Başım ağrıyor, başım!” diye bağırmaya başladı. Babası uşağına, “Onu annesine götür” dedi.
20 Wakati mtumishi alipombeba kumrudisha kwa mama yake, yule mtoto alikaa kwenye magoti yake hadi mchana na baada ya hapo mtoto alikufa.
Uşak çocuğu alıp annesine götürdü. Çocuk öğlene kadar annesinin dizlerinde yattıktan sonra öldü.
21 Hivyo yule mwanamke akambeba na kumlaza kwenye kile kitanda cha mtu wa Mungu, akafunga mlango, na kutoka nje.
Annesi onu yukarı çıkardı, Tanrı adamının yatağına yatırdı, sonra kapıyı kapayıp dışarıya çıktı.
22 Akamwita mume wake, na kusema, “Tafadhali nitumie mmoja wa watumishi wako na moja ya punda wako ili niweze kuwahi kwa mtu wa Mungu ili niweze kurudi.”
Kocasını çağırıp şöyle dedi: “Lütfen bir eşekle birlikte uşaklarından birini bana gönder. Tanrı adamının yanına gitmeliyim. Hemen dönerim.”
23 Mume wake akasema, “Kwa nini unataka kwenda kwake leo? Sio mwezi mpya wala Sabato.” alijibu, “Itakuwa sawa.”
Kocası, “Neden bugün gidiyorsun?” dedi, “Ne Yeni Ay, ne de Şabat bugün.” Kadın, “Zarar yok” karşılığını verdi.
24 Ndipo akatandika kwenye punda na kumwambia mtumishi wake, “Mwendeshe haraka; usinipunguzie mwendo hadi nitakapokwambia ufanye hivyo.”
Eşeğe palan vurup uşağına, “Haydi yürü, ben sana söylemedikçe yavaşlama” dedi.
25 Hivyo alienda na kuja na mtu wa Mungu katika mlima Karmeli. Basi wakati mtu wa Mungu alipomuona kwa mbali, akamwambia Gehazi mtumishi wake, “Tazama, mwanamke Mshunami anakuja.
Karmel Dağı'na varıp Tanrı adamının yanına çıktı. Tanrı adamı, kadını uzaktan görünce, uşağı Gehazi'ye, “Bak, Şunemli kadın geliyor!” dedi,
26 Tafadhali mkimbilie na umwambie, 'Hamjambo kwako pamoja na mume wako na mtoto wako?” Akajibu, “Hawajambo.”
“Haydi koş, onu karşıla, ‘Nasılsın, kocanla oğlun nasıllar?’ diye sor.” Kadın Gehazi'ye, “Herkes iyi” dedi.
27 Baada ya kufika kwa huyo mtu wa Mungu katika mlima, alimkumbatia miguu yake. Gehazi akaja karibu ili kumuondoa lakini mtu wa Mungu akasema, “Muache, kwa kuwa amefadhaika sana. na Yahwe amenificha tatizo kwangu, na hajanambia kitu.”
Kadın dağa çıkıp Tanrı adamının yanına varınca, onun ayaklarına sarıldı. Gehazi kadını uzaklaştırmak istediyse de Tanrı adamı, “Kadını rahat bırak!” dedi, “Çünkü acı çekiyor. RAB bunun nedenini benden gizledi, açıklamadı.”
28 Ndipo aksema, “Nilikuuliza mtoto wako, bwana wangu? Sikusema, 'Usinifiche'?
Kadın ona, “Efendim, ben senden çocuk istedim mi?” dedi, “Beni umutlandırma demedim mi?”
29 Ndipo Elisha akamwambia Geahazi, “Vaa kwa ajili ya safari na uchukue fimbo yangu mkononi mwako. Nenda kwake. Kama ukimkuta mtu yeyote, usimsalimie, na kama mtu yeyote akikusalimia, usimjibu. Laza fimbo yangu kwenye uso wa mtoto.
Elişa Gehazi'ye, “Hemen kemerini kuşan, değneğimi al, koş” dedi, “Biriyle karşılaşırsan selam verme, biri seni selamlarsa karşılık verme. Git, değneğimi çocuğun yüzüne tut.”
30 Lakini mama yake na huyo mtoto akasema, “Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.” Hivyo Elisha akainuka na kumfuata.
Çocuğun annesi, “Yaşayan RAB'bin adıyla başın üzerine ant içerim ki, senden ayrılmayacağım” dedi. Sonra Gehazi'yle birlikte yola çıktı.
31 Gehazi akawatangulia na kulaza ile fimbo kwneye uso wa yule mtoto, lakini yule mtoto hakuongea wala kusikia. Hivyo baada ya hapo Gehazi akarudi kuonana na Elisha na kumwambia akisema, “Mtoto hakuamka.”
Gehazi önden gidip değneği çocuğun yüzüne tuttu, ama ne bir ses vardı, ne de bir yanıt. Bunun üzerine Gehazi geri dönüp Elişa'yı karşıladı ve ona, “Çocuk dirilmedi” diye haber verdi.
32 Ndipo Elisha alipofika kwenye ile nyumba, yule mtoto alikuwa amekufa na alikuwa bado yupo kwenye kitanda.
Elişa eve vardığında, çocuğu yatağında ölü buldu.
33 Hivyo Elisha aliingia ndani na kufunga malango yeye mwenyewe na yule mtoto na kuomba kwa Yahwe.
İçeri girdi, kapıyı kapayıp RAB'be yalvarmaya başladı.
34 Alipanda juu na kulala juu ya yule mtoto; aliweka mdomo wake kwenye mdomo wake, macho yake kweneye macho yake, na mikono yake kwenye mikono yake. Akajinyoosha yeye mwenyewe kwa yule kijna, na mwili wa yule mtoto ukaanza kupata joto.
Sonra ağzı çocuğun ağzının, gözleriyle elleri de çocuğun gözleriyle ellerinin üzerine gelecek biçimde yatağa, çocuğun üzerine kapandı. Çocuğun bedeni ısınmaya başladı.
35 Baada ya hapo Elisha aliinuka na kuanza kutembea kuzunguka kile chumba na kurudi tena juu na kujinyoosha mwenyewe kwa yule kijana. Yule kijana alipiga chafya mara saba na kisha akafungua macho yake!
Elişa kalkıp odanın içinde sağa sola gezindi, sonra yine dönüp çocuğun üzerine kapandı. Çocuk yedi kez aksırdı ve gözlerini açtı.
36 Hivyo Elisha akamwita Gehazi na kumwambia, “Mwite yule Mshunami!” Hivyo akamwita, na wakati alipofika kwenye kile chumba, Elisha akasema, “Mchukue mtoto wako.”
Elişa Gehazi'ye, “Şunemli kadını çağır” diye seslendi. Gehazi kadını çağırdı. Kadın gelince, Elişa, “Al oğlunu” dedi.
37 Kisha akainamisha uso wake chini kwenye miguu yake na kusujudu, na kisha kumchukua mtoto wake na kuondoka.
Kadın Elişa'nın ayaklarına kapandı, yerlere kadar eğildi, sonra çocuğunu alıp gitti.
38 Kisha Elisha akarudi tena Gilgali. Kulikuwa na njaa katika nchi, na wana wa manabii walikuwa wamekaa mbele yake. Akamwambia mtumishi wake, “Weka sufuria kubwa kwenye moto na pika kwa ajili ya watoto wa manabii.”
Elişa Gilgal'a döndü. Ülkede kıtlık vardı. Elişa bir peygamber topluluğuyla otururken uşağına, “Büyük tencereyi ateşe koy, peygamberlere çorba pişir” dedi.
39 Mmoja wao akaenda kwenye shamba kukusanya mboga mboga. Alikuta matango ya porini na kukusanya ya kutosha hadi alipojaza kwenye nguo yake. Walizikata na kuziweka kwenye sufuria, lakini hakujua zilikuwa za aina gani.
Biri ot toplamak için tarlaya gitti ve yabanıl bir bitki buldu. Bitkiden bir etek dolusu yaban kabağı topladı, getirip tencereye doğradı. Bunların ne olduğunu kimse bilmiyordu.
40 Basi, wakawapakulia na kusambaziwa kwa watu kwa ajili ya kula. Baadae, kadiri walivyokuwa wakiendelea kula, walipiga kelele na kusema, “Mtu wa Mungu, kuna kifo kwenye sufuria!” Hivyo wasingeweza kula tena.
Çorba yenmek üzere boşaltıldı. Ama adamlar çorbayı tadar tatmaz, “Ey Tanrı adamı, zehirli bu!” diye bağırdılar ve yiyemediler.
41 Lakini Elisha akasema, “Late unga.” Alitupia kwenye sufuria na kusema, “Pakua kwa watu kwa ajili ya kula, kwa hiyo wanaweza kula.” Kisha hapakuwa kitu chochote kibaya kwenye ile sufuria.
Elişa, “Biraz un getirin” dedi. Unu tencereye atıp, “Koy önlerine, yesinler” dedi. Tencerede zararlı bir şey kalmadı.
42 Akaja mtu kutoka Baal Shalisha kwa mtu wa Mungu na kumletea chakula cha kwanza cha mavuno yake mikate shirirni ya shayiri, na masuke mabichi kwenye gunia. Akasema, “Wape haya watu ili waweze kula.”
Baal-Şalişa'dan bir adam geldi. Tanrı adamına o yıl ilk biçilen arpadan yapılmış yirmi ekmekle taze buğday başağı getirdi. Elişa uşağına, “Bunları halka dağıt, yesinler” dedi.
43 Mtumishi wake akasema, “Je, niandae hii mbele ya watu mia moja?” Lakini Elisha akasema, “Wapeni hawa watu, ili waweze kula, kwa sabau Yahwe anasema, 'Watakula na kingine kitabaki.”'
Uşak, “Nasıl olur, bu yüz kişinin önüne konur mu?” diye sordu. Elişa, “Halka dağıt, yesinler” diye karşılık verdi, “Çünkü RAB diyor ki, ‘Yiyecekler, birazı da artacak.’”
44 Basi mtumishi wake akawaandalia mbele yao; wakala, na kuacha kingine kimebaki, kama neno la Yahwe lilivyokuwa limesema.
Bunun üzerine uşak yiyecekleri halkın önüne koydu. RAB'bin sözü uyarınca halk yedi, birazı da arttı.