< 2 Wafalme 4 >

1 Ndipo mke wa mmoja wa watoto wa manbii alipokuja kwa Elisha akilia, akisema, “Mtumishi wako mme wangu amukufa, na unajua kwamba mtumishi wako alikuwa anamcha Yahwe. Basi aliyemuwia amekuja kuwachukua watoto wangu wawili kwenda kuwa watumwa.”
Or une certaine femme d’entre les femmes des prophètes criait à Élisée, disant: Ton serviteur, mon mari, est mort; et toi, tu sais que ton serviteur fut craignant le Seigneur: et voilà qu’un créancier vient, afin de prendre mes deux fils pour le servir.
2 Hivyo Elisha akamwambia, “Nikusaidie nini? Niambie una nini kwenye nyumba yako?” Akamwambia “Mtumishi wako hana kitu kwenye nyumba, isipokuwa chupa ya mafuta.”
Élisée lui dit: Que veux-tu que je fasse pour toi? Dis-moi, qu’as-tu dans ta maison? Et elle répondit: Je n’ai, moi ta servante, dans ma maison qu’un peu d’huile dont je m’oins.
3 Kisha Elisha akasema, “Nenda kaazime vyombo kwa majirani zako, vyombo vitupu. Azima vyombo vingi uwezavyo.
Il lui dit: Va, emprunte de tes voisines un grand nombre de vases vides,
4 Kisha lazima uende ndani na kujifungia mlango wewe na watoto wako, na kumiminia mafuta vyombo vyote; vile vilivyojaa ukavitenge.”
Puis rentre, et ferme ta porte, lorsque tu seras dedans, toi et tes fils; verse de cette huile dans tous ces vases; et quand ils seront pleins, tu les emporteras.
5 Basi akamuacha Elisha na kujifungia mlango yeye na watoto wake. Wakavileta vile vyombo kwake, na akivijaza kwa mafuta.
C’est pourquoi cette femme s’en alla et ferma la porte sur elle et sur ses fils; ceux-ci lui présentaient les vases, et elle y versait l’huile.
6 Ikawa vyombo vilipojaa, akamwambia mtoto wake, “Niletee chombo kingine.” Ila akamwambia, “Hakuna vyombo vingine.” Kisha mafuta yakakoma kutoka.
Et lorsque les vases furent pleins, elle dit à son fils: Apporte-moi encore un vase. Et il lui répondit: Je n’en ai point. Et l’huile s’arrêta.
7 Ndipo akaja na kumwambia mtu wa Mungu. Akasema, “Nenda kauze mafuta; lipa deni lako, na yatakayobaki waachie watoto wako.”
Or cette femme vint et raconta tout à l’homme de Dieu. Et lui: Va, dit-il, vends l’huile, et rends à ton créancier ce qui lui est dû; mais toi et tes fils, vivez avec le reste.
8 Siku moja Elisha alitembea Shunemu ambapo mwanamke muhimu aliishi; alimsihi ale chakula pamoja naye. Ikawa alipopita mara nyingi, angeweza kusimama pale na kula.
Or un certain jour arriva, et Élisée passait par Sunam: or il y avait là une femme considérable, laquelle le retint pour qu’il mangeât du pain; et comme il passait souvent par là, il allait loger chez elle pour manger du pain.
9 Huyo mwanamke akamwambia mme wake, “Ona, sasa nadhani kwamba huyu ni mtu mtakatifu wa Mungu ambaye hupita siku zote.
Cette femme dit à son mari: Je m’aperçois que c’est un saint, cet homme de Dieu qui passe par chez nous fréquemment.
10 Ngoja tutengeneze chumba kidogo kwenye paa kwa ajili ya Elisha, na tuweke kitanda juu ya hicho chumba, meza, na taa. Kisha atakapokuwa anakuja kwetu, atakuwa anakaa hapo.”
Faisons-lui donc une petite chambre, et mettons-y un lit, une table, un siège et un chandelier, afin que, lorsqu’il viendra chez nous, il demeure là.
11 Ikawa siku moja akaja tena kwamba Elisha akasimama pale, akakaa kwenye hicho chumba na kupumzika hapo.
Un certain jour arriva donc, et Élisée venant, alla loger en cette chambre et s’y reposa.
12 Elisha akamwambia Gehazi mtumishi wake, “Mwite huyu Mshunami.” Wakati alipomuita, alisimama mbele yake.
Et il dit à Giézi, son serviteur: Appelle cette Sunamite, Lorsque Giézi l’eut appelée, et qu’elle se tenait devant lui,
13 Elisha akamwambia, “Mwambie, 'Umetusumbukia kwa kutujali. Nini kifanyike kwa ajili yako? Tunaweza kukuombea kwa mfalme au amri jeshi?”” Akajibu, “Ninaishi miongoni mwa watu wangu.”
Il dit à son serviteur: Dis-lui: Voilà que tu nous as servis soigneusement; que veux-tu que je fasse pour toi? As-tu quelque affaire, et veux-tu que je parle au roi ou au prince de la milice? Elle lui répondit: J’habite au milieu de mon peuple.
14 Kisha Elisha akajibu, “Tumfanyie nini kwa ajili yake, sasa?” Gehazi akajibu, “Kweli hana mtoto, na mume wake ni
Il dit encore: Que veut-elle donc que je fasse pour elle? Et Giézi répondit: Ne cherchez pas; car elle n’a point de fils, et son mari est vieux.
15 mzee.” Hivyo Elisha akajibu, “Mwite.” Wakati alipomuita, akasimama kwenye mlango.
C’est pourquoi il ordonna de l’appeler; et lorsqu’elle eut été appelée, et qu’elle se tenait devant la porte,
16 Elisha akasema, “Katika kipindi kama hiki mwakani, katika kipindi cha mwaka mmoja, utakuwa ukimkumbatia mtoto.” Akasema “Hapana, bwana wangu na mtu wa Mungu, usidanganye kwa mtumishi wako.”
Il lui dit: Dans ce temps et à cette même heure, si tu vis encore, tu auras en ton sein un fils. Mais elle répondit: Non, je te prie, mon seigneur, homme de Dieu, non, ne mens pas à ta servante.
17 Lakini yule mwanamke akabeba mimba na kujifungua mtoto wakume kipindi hicho hicho katika mwaka uliofuata, kama Elisha alivyokuwa amemwambia.
Et cette femme conçut, et elle enfanta un fils dans le temps et à la même heure qu’Élisée avait dit.
18 Wakati mtoto alipokuwa mkubwa, akaenda kwa baba yake siku moja, ambaye alikuwa na watu wanaovuna.
Or l’enfant grandit; et comme il arriva un certain jour qu’il était sorti vers son père, vers les moissonneurs,
19 Akamwambia baba yake, “Kichwa changu, kichwa changu.” Baba yake akamwambia mtumishi wake, “Mbebe mpeleke kwa mama yake.”
Il dit à son père: J’ai mal à la tête, j’ai mal à la tête. Celui-ci dit à son serviteur: Prends cet enfant, et conduis-le à sa mère.
20 Wakati mtumishi alipombeba kumrudisha kwa mama yake, yule mtoto alikaa kwenye magoti yake hadi mchana na baada ya hapo mtoto alikufa.
Lorsque le serviteur l’eut pris et l’eut conduit à sa mère, celle-ci le mit sur ses genoux jusqu’à midi, et il mourut.
21 Hivyo yule mwanamke akambeba na kumlaza kwenye kile kitanda cha mtu wa Mungu, akafunga mlango, na kutoka nje.
Or elle monta et le plaça sur le lit de l’homme de Dieu, et elle ferma la porte; et, étant sortie,
22 Akamwita mume wake, na kusema, “Tafadhali nitumie mmoja wa watumishi wako na moja ya punda wako ili niweze kuwahi kwa mtu wa Mungu ili niweze kurudi.”
Elle appela son mari, et dit: Envoie avec moi, je te conjure, un de tes serviteurs et une ânesse, pour que je coure jusqu’à l’homme de Dieu, et je reviendrai.
23 Mume wake akasema, “Kwa nini unataka kwenda kwake leo? Sio mwezi mpya wala Sabato.” alijibu, “Itakuwa sawa.”
Son mari lui demanda: Pour quel motif vas-tu vers lui? Aujourd’hui ce ne sont point des calendes ni un sabbat. Elle répondit: J’irai.
24 Ndipo akatandika kwenye punda na kumwambia mtumishi wake, “Mwendeshe haraka; usinipunguzie mwendo hadi nitakapokwambia ufanye hivyo.”
Et elle sella l’ânesse, et ordonna à son serviteur: Conduis, et hâte-toi, ne me retarde point en allant, et fais ce que je t’ordonne.
25 Hivyo alienda na kuja na mtu wa Mungu katika mlima Karmeli. Basi wakati mtu wa Mungu alipomuona kwa mbali, akamwambia Gehazi mtumishi wake, “Tazama, mwanamke Mshunami anakuja.
Elle partit donc, et vint vers l’homme de Dieu sur la montagne du Carmel; et lorsque l’homme de Dieu l’eut vue en face de lui, il dit à Giézi son serviteur: Voilà cette Sunamite.
26 Tafadhali mkimbilie na umwambie, 'Hamjambo kwako pamoja na mume wako na mtoto wako?” Akajibu, “Hawajambo.”
Va donc à sa rencontre, et dis-lui: Tout va-t-il bien pour vous, pour votre mari et pour votre fils? Elle répondit: Bien.
27 Baada ya kufika kwa huyo mtu wa Mungu katika mlima, alimkumbatia miguu yake. Gehazi akaja karibu ili kumuondoa lakini mtu wa Mungu akasema, “Muache, kwa kuwa amefadhaika sana. na Yahwe amenificha tatizo kwangu, na hajanambia kitu.”
Et, lorsqu’elle fut venue vers l’homme de Dieu sur la montagne, elle saisit ses pieds, et Giézi s’approcha pour l’écarter. Mais l’homme de Dieu dit: Laissez-la: car son âme est dans l’amertume, et le Seigneur me l’a caché et ne me l’a point fait connaître.
28 Ndipo aksema, “Nilikuuliza mtoto wako, bwana wangu? Sikusema, 'Usinifiche'?
Cette femme lui dit: Ai-je demandé un fils à mon seigneur? Ne t’ai-je pas dit: Ne me trompe point?
29 Ndipo Elisha akamwambia Geahazi, “Vaa kwa ajili ya safari na uchukue fimbo yangu mkononi mwako. Nenda kwake. Kama ukimkuta mtu yeyote, usimsalimie, na kama mtu yeyote akikusalimia, usimjibu. Laza fimbo yangu kwenye uso wa mtoto.
Élisée dit à Giézi: Ceins tes reins, et prends mon bâton en ta main, et va. Si un homme te rencontre, ne le salue point; et si quelqu’un te salue, ne lui réponds point, et mets mon bâton sur la face de l’enfant.
30 Lakini mama yake na huyo mtoto akasema, “Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.” Hivyo Elisha akainuka na kumfuata.
Or la mère de l’enfant dit: Le Seigneur vit et ton âme vit! Je ne te quitterai point. Il se leva donc et la suivit.
31 Gehazi akawatangulia na kulaza ile fimbo kwneye uso wa yule mtoto, lakini yule mtoto hakuongea wala kusikia. Hivyo baada ya hapo Gehazi akarudi kuonana na Elisha na kumwambia akisema, “Mtoto hakuamka.”
Or Giézi était allé devant eux, et il avait mis le bâton d’Élisée sur la face de l’enfant; mais il n’y avait en lui ni parole ni sentiment. Aussi il retourna à la rencontre de son maître, et il le lui annonça, disant: L’enfant ne s’est pas levé.
32 Ndipo Elisha alipofika kwenye ile nyumba, yule mtoto alikuwa amekufa na alikuwa bado yupo kwenye kitanda.
Élisée entra donc dans la maison, et voilà que l’enfant mort gisait sur son lit.
33 Hivyo Elisha aliingia ndani na kufunga malango yeye mwenyewe na yule mtoto na kuomba kwa Yahwe.
Et étant entré, il ferma la porte sur lui et sur l’enfant, et adressa des prières au Seigneur.
34 Alipanda juu na kulala juu ya yule mtoto; aliweka mdomo wake kwenye mdomo wake, macho yake kweneye macho yake, na mikono yake kwenye mikono yake. Akajinyoosha yeye mwenyewe kwa yule kijna, na mwili wa yule mtoto ukaanza kupata joto.
Puis il monta sur le lit et se coucha sur l’enfant; et il mit sa bouche sur sa bouche, ses yeux sur ses yeux, et ses mains sur ses mains; et il se courba sur lui, et la chair de l’enfant fut échauffée.
35 Baada ya hapo Elisha aliinuka na kuanza kutembea kuzunguka kile chumba na kurudi tena juu na kujinyoosha mwenyewe kwa yule kijana. Yule kijana alipiga chafya mara saba na kisha akafungua macho yake!
Or étant revenu du lit, il se promena dans la maison une fois ici et une fois là, et il monta et se coucha sur l’enfant; et l’enfant bâilla sept fois et il ouvrit les yeux.
36 Hivyo Elisha akamwita Gehazi na kumwambia, “Mwite yule Mshunami!” Hivyo akamwita, na wakati alipofika kwenye kile chumba, Elisha akasema, “Mchukue mtoto wako.”
Cependant Élisée appela Giézi, et lui dit: Appelle cette Sunamite. Elle ayant été appelée, entra auprès d’Élisée, et Élisée dit: Emmène ton fils.
37 Kisha akainamisha uso wake chini kwenye miguu yake na kusujudu, na kisha kumchukua mtoto wake na kuondoka.
Cette femme vint, et se jeta à ses pieds, et se prosterna jusqu’à terre; et elle prit son fils et sortit.
38 Kisha Elisha akarudi tena Gilgali. Kulikuwa na njaa katika nchi, na wana wa manabii walikuwa wamekaa mbele yake. Akamwambia mtumishi wake, “Weka sufuria kubwa kwenye moto na pika kwa ajili ya watoto wa manabii.”
Et Élisée retourna à Galgala. Or la famine était sur la terre, et les fils des prophètes habitaient auprès de lui; il dit donc à l’un de ses serviteurs: Prends la grande marmite, et fait cuire un mets pour les fils des prophètes.
39 Mmoja wao akaenda kwenye shamba kukusanya mboga mboga. Alikuta matango ya porini na kukusanya ya kutosha hadi alipojaza kwenye nguo yake. Walizikata na kuziweka kwenye sufuria, lakini hakujua zilikuwa za aina gani.
Et l’un d’eux sortit dans la campagne pour cueillir des herbes des champs; et il trouva comme une vigne sauvage, et il en cueillit des coloquintes sauvages, et il remplit son manteau; et, étant revenu, il les coupa par morceaux dans la marmite pour le mets; car il ne savait ce que c’était.
40 Basi, wakawapakulia na kusambaziwa kwa watu kwa ajili ya kula. Baadae, kadiri walivyokuwa wakiendelea kula, walipiga kelele na kusema, “Mtu wa Mungu, kuna kifo kwenye sufuria!” Hivyo wasingeweza kula tena.
Il les versa ensuite de la marmite pour les serviteurs d’Élisée; mais lorsqu’ils eurent goûté de ce mets, ils crièrent, disant: La mort est dans la marmite, homme de Dieu. Et ils ne purent manger.
41 Lakini Elisha akasema, “Late unga.” Alitupia kwenye sufuria na kusema, “Pakua kwa watu kwa ajili ya kula, kwa hiyo wanaweza kula.” Kisha hapakuwa kitu chochote kibaya kwenye ile sufuria.
Mais Élisée: Apportez, dit-il, de la farine. Et lorsqu’ils en eurent apporté, il la mit dans la marmite, et dit: Versez-en pour la troupe, afin qu’ils en mangent. Et il n’y eut plus aucune amertume dans la marmite.
42 Akaja mtu kutoka Baal Shalisha kwa mtu wa Mungu na kumletea chakula cha kwanza cha mavuno yake mikate shirirni ya shayiri, na masuke mabichi kwenye gunia. Akasema, “Wape haya watu ili waweze kula.”
Or un certain homme vint de Baalsalisa, portant à l’homme de Dieu des pains des prémices, vingt pains d’orge et du blé nouveau dans sa besace. Élisée dit à son serviteur: Donne au peuple, afin qu’il mange.
43 Mtumishi wake akasema, “Je, niandae hii mbele ya watu mia moja?” Lakini Elisha akasema, “Wapeni hawa watu, ili waweze kula, kwa sabau Yahwe anasema, 'Watakula na kingine kitabaki.”'
Et son serviteur lui répondit: Qu’est-ce que cela pour que je le serve à cent hommes? Élisée dit de nouveau: Donne au peuple, afin qu’il mange; car voici ce que dit le Seigneur: Ils mangeront, et il en restera.
44 Basi mtumishi wake akawaandalia mbele yao; wakala, na kuacha kingine kimebaki, kama neno la Yahwe lilivyokuwa limesema.
Il mit donc les pains devant eux, et ils mangèrent, et il en resta, selon la parole du Seigneur.

< 2 Wafalme 4 >