< 2 Wafalme 3 >

1 Basi katika mwaka wa kumi na nane wa Yehoshefati mfalme wa Yuda, Yoramu mwana wa Ahabu alianza kutawala juu ta Israeli katika Samaria; alitawala miaka kumi na miwili.
Judah manghai Jehoshaphat kah kum hlai rhet dongah Ahab capa Jehoram loh Samaria ah Israel a manghai thil tih kum hlai nit manghai.
2 Alifanya yaliyo maovo usoni kwa Yahwe, lakini si kama baba yake na mama yake; kwa kuwa aliiondoa ile nguzo ya mungu wa Baali ambayo baba yake aliitengeneza.
Tedae a manu a napa bang lamtah BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii moenih. A napa loh a saii Baal kah kaam te khaw a khoe pah.
3 Hata hivyo alishikilia dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambaye alisababisha Israeli kufanya dhambi; wala hakuziacha mbali nao.
Israel aka tholh sak Nebat capa Jeroboam kah tholhnah dongah balak tih te lamloh nong pawh.
4 Basi Mesha mfalme wa Moabu alifuga kondoo. Alikuwa akimpatia mfalme wa Israeli kondoo 100, 000 na manyoya ya kondoo dume 100, 000.
Te vaengah Moab manghai Mesha tah saelhung boei la om tih Israel manghai te tuca thawng yakhat, tutal thawng yakhat mul neh a thuung.
5 Ila baada ya Ahabu kufa, yule mfalme wa Moabu aliasi dhidi ya mfalme wa Israeli.
Tedae Ahab a duek van neh Moab manghai loh Israel manghai taengah boe a koek.
6 Hivyo Mfalme Joramu alikaondoka Samaria katika muda huo kuwahamasisha Waisraeli wote kwa ajili ya vita.
Manghai Jehoram tah amah khohnin ah Samaria lamloh cet tih Israel pum te a soep.
7 Akatuma mjumbe kwa Yehoshafati mfalme wa Yuda, akisema, “Mfalme wa Moabu ameasi dhidi yangu. Je mtakwenda pamoja nami kupigana dhidi ya Moabu?” Yehoshafati akajibu, “Nitaenda. Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako.”
Cet tih Judah manghai Jehoshaphat taengla ol a pat vaengah, “Moab manghai loh kai taengah boe a koek coeng dongah Moab te caemtloek thil ham kai taengla na lo aya?” a ti nah. Te vaengah, “Ka lo ni, kai khaw nang banghui, ka pilnam khaw na pilnam banghui, ka marhang khaw na marhang banghui ni,” a ti nah.
8 Ndipo akasema, “Tutawashambulia kwa njia gani?” Yehoshafati akajibu, “Kwa njia ya jangwa la Edemu.
Te phoeiah, “Longpuei he me long nim n'caeh eh?” a ti nah vaengah, “Edom khosoek longpuei ah,” a ti nah.
9 Hivyo huyo mfalme wa Israeli, Yuda, na Edomu wakazunguka kwa mda wa siku saba. Hapakuwa na maji kwa ajili ya jeshi lao, wala kwa farasi au wanyama.
Te dongah Israel manghai neh Judah manghai khaw, Edom manghai khaw cet uh tih hnin rhih longcaeh hil a hil uh vaengah tah lambong ham neh a kho kung kah rhamsa ham khaw tui om pawh.
10 Basi mfalme wa Israeli akasema, “Hii ni nini? Yahwe amewaita wafalme watatu ili kutekwa mikononi mwa Moabu?”
Israel manghai loh, “Ya-oe Manghai pathum he Moab kut ah tloeng ham nim BOEIPA loh n'khue dae,” a ti.
11 Lakini Yehoshafati akasema, “je hakuna nabii wa Yahwe, ambaye tunaweza kufanya shauri kuhusu Yahwe kupitia yeye?” Mtumishi mmoja wa wafalme wa Israeli akajibu na kusema, “Elisha mwana wa Shafati yuko hapa, ambaye alikuwa akimimina maji kwenye mikono ya Eliya.”
Tedae Jehoshaphat loh, “Heah he BOEIPA kah tonghma a om moenih a? Anih lamloh BOEIPA te n'dawt lah mako,” a ti nah. Israel manghai kah sal pakhat loh a doo tih, “Shaphat capa Elisha, Elijah kut dongah tui a bueih te heah om,” a ti nah.
12 Yehoshafati akasema, “Neno la Yahwe liko pamoja nami.” Hivyo mfalme wa Israeli, Yehoshaphati, na mfalme wa Edomu wakashuka chini kwenda kwake.
Te vaengah Jehoshaphat loh, “Anih taengah BOEIPA ol om,” a ti. Te dongah a taengla Israel manghai neh Jehoshaphat khaw, Edom manghai khaw suntla uh.
13 Elisha akamwambia mfalme wa Israeli, “Nifanye nini kwa ajili yako? Nenda kwa manabii wa baba na mama yako.” Ndipo mfalme wa Israeli akamwambia, “Hapana, kwa sababu Yahwe amewaita hawa wafalme watatu pamoja ili kuruhusu jeshi la Moabu liwateke.”
Elisha loh Israel manghai taengah, “Kai taeng neh nang taengah balae aka om? Na pa kah tonghma rhoek neh na nu kah tonghma rhoek taengah cet,” a ti nah. Tedae anih te Israel manghai loh, “Pawh, Moab kut ah tloeng hamla he manghai pathum he BOEIPA loh a khue,” a ti nah.
14 Elisha akajibu, “Kama Yawhe wa majeshi aishivo, ambaye nimesimama mbele zake, hakika kama nisingemheshimu uwepo wa Yehoshafati mfalme wa Yeda, Nisingevuta usikivu kwako, au hata kukutazama.
Elisha loh, “Caempuei BOEIPA kah hingnah bangla amah mikhmuh ah ni ka pai. Judah manghai Jehoshaphat kah maelhmai pawt koinih kai loh nang kan hinyah venim. Nang te kan paelki pawt vetih nang te kan hmu pawt mako.
15 Lakini sasa niletee mwanamuziki.” Ndipo alipokuja mpiga muziki alipocheza, mkono wa Yahwe ukaja juu ya Elisha.
Tedae rhotoeng aka tum mah kai taengla hang khuen uh laeh,” a ti nah. Rhotoeng aka tum loh a tum van neh BOEIPA kut te anih sola cet coeng.
16 Akasema, “'Yahwe asema hivi, 'Fanya hili bonde la mto mkavu lijae mahandaki.'
Te dongah, “BOEIPA loh he ni a thui. Soklong he tuito, tuito kak la om saeh.
17 Kwa kuwa Yahwe asema hivi, 'Hutaona upepo, wala hamtaona mvua, bali hili bonde la mto litajaa maji, na mtakunywa, ninyi na mifugo yenu na wanyama wenu wote.'
He he BOEIPA loh a thui coeng dongah, khohli na hmu uh pawt tih khonal na hmuh uh pawt cakhaw, soklong he tui bae vetih namamih neh na boiva neh na rhamsa neh na ok uh bitni.
18 Hiki ni kitu rahisi usoni mwa Yahwe. Pia atawapa ushindi juu ya hao Wamoabu.
He he BOEIPA mik ah yoeikoek mai, Moab te na kut dongah m'paek ni.
19 Mtaiteka kila ngome ya mji na kila mji mzuri, kukata kila mti mzuri, kusimamisha chemichemi zote za maji, na kuharibu kila sehemu nzuri ya nchi na miamba.”
Khopuei hmuencak boeih neh khopuei tung boeih te na tloek uh vetih thing then boeih te na hum uh ni. Tuisih tui boeih te na mak uh vetih lo then boeih te lungto neh thak na khoeih sak uh bitni,” a ti.
20 Hivyo asubuhi karibia na mda wa kutoa sadaka ya kuteketeza, yakaja maji kutoka uelekeo wa Edomu; nchi ikajaa maji.
Mincang a pha tih khocang a nawn ham vaengah tah Edom longpuei lamloh tui tarha long tih khohmuen ah tui bae.
21 Ndipo wakati Wamoabu wote waliposikia kwamba wafalme wamekuja kupigana dhidi yao, walikusanyika pamoja, wote waliotakiwa kubeba silaha, na wakasimama mpakani.
Amih taengah vathoh ham manghai rhoek a caeh te Moab pum loh a yaak vaengah cihin aka yen thai neh a so hang boeih te a khue tih khorhi ah pai uh.
22 Walitembea asubuhi na mapema na jua likang'aa kwenye maji. Wakati Wamoabu walipoyaona yale maji yaliyowaelekea, yanaonekana mekundu kama damu.
Mincang a thoh uh vaengah tah khomik loh tui soah a thoeng pah tih Moab loh tui te thii bangla a ling la a hmuh phai.
23 Wakatamka kwa hasira, “Hii ni damu! Yamkini hao wafalme wameharibiwa, na wameuna wao kwa wao! Sasa basi, Moabu, ngoja tuende tukawateke nyara!”
Te dongah, “Manghai rhoek a khah la khah uh thae kah thii ni he, hlang loh a hui khaw a ngawn coeng tih Moab kah kutbuem la om coeng,” a ti uh.
24 Wakati walipokuja kwenye kambi ya Israeli, Waisraeli wakawashtukiza na kuwashambulia Wamoabi, ambao walikimbia mbele yao. Hilo jeshi la Israeli waliwakimbiza hao Wamoabu hadi kwao wakiwaua.
Israel caem te a paan uh dongah Israel te thoo tih Moab te a ngawn. Te dongah amih mikhmuh lamloh rhaelrham uh coeng dae a pawk nah kungah khaw Moab te a ngawn la a ngawn uh.
25 Waliiharibu miji, na kila aina ya amani ya nchi kila mtu alirusha jiwe mpaka ulipojaa. Walizuia kila chemichemi ya maji na kukata chini miti mizuri yote. Kir-haresethi tu ndiyo ilichwa na mawe yake. Lakini hao maaskari wakawashambulia na makombeo wakiwazunguka na kuishambulia.
Khopuei rhoek te a koengloeng uh tih lo then boeih khaw hlang loh lungto a voeih tih a kuk thil uh. Tuisih tui boeih te a mak uh. Kirhareseth ah lungto bueng a sueng hil thing then te boeih a hum uh. Tedae payai aka pom rhoek loh a vael uh tih a ngawn uh.
26 Ndipo Mfalme Mesha wa Moabu alipoona kwamba ameshindwa, alichukua watu hodari wa upanga mia saba pamoja naye kwenda kwa mfalme wa Edomu, lakini walishindwa.
Caemtloek loh amah a et te Moab manghai loh a hmuh vaengah amah taengkah cunghang aka pom hlang ya rhih te a khuen tih Edom manghai te a va dae coeng thai pawh.
27 Ndipo akamchukua mtoto wake wa kwanza, ambaye angetawala baada ya yeye, na akamuudhi kwa kumtoa kama sadaka ya kuteketezwa juu ya ukuta. Hivyo, kulikuwa na hasira kubwa dhidi ya Israeli, na hao Waisraeli, na Jeshi la Israeli likamuacha mfalme Mesha na kurudi kwenye nchi yao.
Te dongah amah yueng aka manghai ham a capa caming te a loh tih vongtung dongah hmueihhlutnah la a khuen. Israel soah a thinhul bat doela a taeng lamloh nong uh tih amah kho la mael uh.

< 2 Wafalme 3 >