< 2 Wafalme 25 >

1 Ilitokea kwamba katika mwaka wa tisa wa utawala wa mfalme Sedekia, katika mwezi wa kumi, na siku ya kumi ya huo mwezi, Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuja pamoja na jeshi lake lote kwa ajili ya kupigana dhidi ya Yerusalemu. Akaweka kambi kuelekeana nayo, na wakajenga ukuta kuizunguka.
V devetem letu njegovega kraljevanja, v desetem mesecu, na deseti dan meseca se je pripetilo, da je prišel babilonski kralj Nebukadnezar, on in vsa njegova vojska, zoper Jeruzalem in so se utaborili zoper njega in vsenaokrog so zoper njega zgradili bojne stolpe.
2 Hivyo mji huo ulizungukwa mpaka miaka kumi na moja ya utawala wa Sedekia.
In mesto je bilo oblegano do enajstega leta kralja Sedekíja.
3 Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne wa huo mwaka, njaa ilikuwa kali sana kwenye huo mji kwamba hapakuwa na chakula kwa ajili ya watu wa nchi.
Na deveti dan četrtega meseca je lakota prevladala v mestu in tam ni bilo kruha za ljudstvo dežele.
4 Wakati huo ule mji ulikuwa umebomoka ndani, na wapiganaji wote wakakimbia usiku kwa njia ya lango kati ya kuta mbili, karibu na bustani ya mfalme, ingawa Wakaldayo walikuwa wote wameuzunguka mji. Mfalme akaenda kuelekea upande wa Araba.
Mesto je bilo predrto in vsi bojevniki so ponoči zbežali po poti velikih vrat med dvema zidovoma, kar je ob kraljevem vrtu (Kaldejci so bili zoper mesto vsenaokoli) in kralj je odšel po poti proti ravnini.
5 Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuata mfalme Sedekia na kumchukua katika tambarare ya bonde la Mto Yoradani karibu na Yeriko. Jeshi lake lote lilitawanyika wakamwacha.
Kaldejska vojska je zasledovala kralja in ga dohitela na ravninah Jerihe in vsa njegova vojska se je razbežala proč od njega.
6 Wakamkamata mfalme na kumleta mpaka kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, ambapo walipitisha hukumu juu yake.
Tako so vzeli kralja in ga privedli gor k babilonskemu kralju v Riblo in nad njim izrekli sodbo.
7 Kama kwa watoto wa Sedekia, wakawachinja mbele ya macho yake. Kisha akamtoa macho Sedekia, wakamfunga pingu, na kumpeleka hadi Babeli.
Pred njegovimi očmi so usmrtili Sedekíjeve sinove in Sedekíju iztaknili oči, ga zvezali z okovi iz brona in ga odvedli v Babilon.
8 Basi katika mwezi wa tano, katika siku ya saba ya mwezi, ambapo ulikuwa mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadreza mfalme wa Babeli, Nebuzaradani, mtumishi wa mfalme wa Babeli na amrijeshi wa walinzi wake, wakaja hadi Yerusalemu.
V petem mesecu, na sedmi dan meseca, kar je devetnajsto leto babilonskega kralja Nebukadnezarja, je prišel Nebuzaradán, poveljnik straže, služabnik babilonskega kralja, do Jeruzalema.
9 Akaichoma moto nyumba ya Yahwe, nyumba ya mfalme, na nyumba zote za Yeruselemu; pia kila jengo la muhimu katika mji akayachoma.
Požgal je Gospodovo hišo, kraljevo hišo, vse jeruzalemske hiše in hišo vsakega velikega človeka je požgal z ognjem.
10 Kama kwa kuta zote zilizoizunguka Yerusalemu, jeshi lote la Wababeli ambao walikuwa chini ya amrishi wa walinzi wakaziharibu.
In vsa vojska Kaldejcev, ki je bila s poveljnikom straže, je naokoli porušila jeruzalemske zidove.
11 Basi watu waliokuwa wamebaki ambao walikuwa wameondoka katika mji, wale waliokuwa wameasi kwa mfalme wa Babeli, na mabaki ya watu-Nebuzadani, amiri jeshi wa mlinzi, wakachukuliwa kwenda utumwani.
Torej ostanek ljudstva, ki so ostali v mestu in ubežnike, ki so s preostankom množice pobegnili proč k babilonskemu kralju, je Nebuzaradán, poveljnik straže, odvedel proč.
12 Lakini amiri jeshi wa mlinzi aliwaacha baadhi ya maskini wa nchi ili wafanye kazi kwenye shamba la mizabibu na kulima.
Toda poveljnik straže je pustil revne iz dežele, da bi bili obrezovalci trte in poljedelci.
13 Na zile nguzo za shaba ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, na misimamio na bahari ya chuma ambayo ilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, Wakaldayo wakazivunja vipande vipande na kubeba shaba kuirudisha Babeli.
Bronasta stebra, ki sta bila v Gospodovi hiši, podstavke in bronasto morje, ki je bilo v Gospodovi hiši, so Kaldejci razbili na koščke in bron od tega odnesli v Babilon.
14 Masufuria, mabeleshi, makasi, vijiko, na vyombo vyote vya shaba ambavyo kuhani alivyokuwa amevitunza kwenye hekalu-Wakaldayo wakavichukua vyote.
Lonce, lopate, utrinjala, žlice in vse posode iz brona, s katerimi so služili, so odnesli proč.
15 Masufuria ya kuhamisha majivu na mabakuli ambayo yalikuwa yametengenezwa kwa dhahabu, na yale yaliyotengenezwa kwa fedha-yule nahodha wa mlinzi wa mfalme akavichukua pia.
Ponve za žerjavico, skledice in takšne stvari, ki so bile zlate v zlatu in srebrne v srebru, je poveljnik straže odnesel proč.
16 Zile nguzo mbili, ile bahari, na vile vitako ambavyo Suleimani alivitengeneza kwa ajili ya nyumba ya Yahwe shaba ya vyombo hivyo vyote haikuwa na uzani.
Dva stebra, eno morje in podstavke, ki jih je Salomon naredil za Gospodovo hišo. Brona vseh teh posod je bilo brez teže.
17 Urefu wa ile nguzo ya kwanza ulikuwa ridhaa kumi na nane, na kichwa cha shaba kilikuwa juu yake. Na urefu wa kichwa ulikuwa ridhaa tatu, pamoja na mapambo ya wavu na makomamanga yote yakizunguka kwenye hicho kichwa, vyote vilikuwa vimetengenezwa kwa shaba. Na ile nguzo nyingine ilikuwa vivyo hivyo kama ile ya kwanza pamoja na wavu wake.
Višina enega stebra je bila osemnajst komolcev in kapitel na njem je bil iz brona. Višina kapitela tri komolce, in spleteno delo in granatna jabolka na kapitelu naokoli vsa iz brona. Podobno tem je imel drugi steber s pletenim delom.
18 Yule amiri jeshi wa mlinzi akamchukua Seraya kuhani mkuu, pamoja za Sefania, yule kuhani wa pili, na walinzi watatu wa kwenye lango.
Poveljnik straže je vzel Serajája, vélikega duhovnika in Cefanjája, drugega duhovnika in tri čuvaje vrat
19 Kutoka mjini akamchukua mlinzi, afisa mmoja ambaye aliyekuwa msimamizi wa maaskari, na watu watano ambao walikuwa wakimshauri mfalme, ambao walikuwa bado katika mji. Pia alimchukua mfungwa wa afisa jeshi la mfalme, kwa ajili ya kuandika watu kwenye jeshi, pamoja na watu sitini muhimu kutoka hiyo nchi ambao walikuwa katika mji.
in iz mesta je vzel častnika, ki je bil postavljen nad bojevniki in pet mož izmed tistih, ki so bili v kraljevi prisotnosti, ki so bili najdeni v mestu in glavnega pisarja vojske, ki je nabiral ljudstvo dežele in šestdeset mož izmed ljudstva dežele, ki so bili najdeni v mestu.
20 Kisha Nebuzaradani, amiri wa mlinzi, akawachukua na kuwapeleka kwa mfalme Babeli huko Ribla.
Nebuzaradán, poveljnik straže, je te vzel in jih privedel k babilonskemu kralju v Riblo
21 Mfalme wa Babeli akawaua huko Ribla katika nchi ya Hamathi. Kwa njia hii, Yuda akaiacha nchi yake kwenda utumwani.
in babilonski kralj jih je udaril in jih usmrtil v Ribli, v Hamátovi deželi. Tako je bil Juda odveden proč iz svoje dežele.
22 Na wale watu waliokuwa wamebakia katika nchi ya Yuda, wale ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwaacha, akamuweka Gedalia mwana wa Ahikamu, mwana wa Shafani, msimamizi wao.
Glede ljudstva, ki je preostalo v Judovi deželi, ki jih je babilonski kralj Nebukadnezar pustil, celo nad njimi je postavil Gedaljája, sina Ahikáma, sina Šafána, vladarja.
23 Kisha wakati maamiri wote wa majeshi, wao na watu wao, waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemfanya Gedalia kuwa liwali, wakaenda kwa Gedalia huko Mispa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana wa Nethania, Yohanani mwana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi Mnetofa, na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
Ko so vsi poveljniki vojsk, oni in njihovi možje, slišali, da je babilonski kralj postavil Gedaljája za voditelja, so prišli h Gedaljáju v Micpo. Celo Netanjájev sin Jišmaél, Karéahov sin Johanán, Serajá, sin Tanhúmeta Netófčana in Maahčánov sin Jaazanjá, oni in njihovi možje.
24 Gedalia akafanya kiapo kwa watu wake na kuwaambia, “Msiwaogope Wakaldayo. Muishi katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babeli, na itakuwa vema kwenu.”
Gedaljá je prisegel njim in njihovim možem ter jim rekel: »Ne bojte se biti služabniki Kaldejcem. Prebivajte v deželi in služite babilonskemu kralju in z vami bo dobro.«
25 Lakini ilitokea kwamba katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania mwana wa Elishama, kutoka familia ya kifalme, wakaja na watu kumi na kumshambulia Gedalia. Gedalia akafa, pamoja na watu wa Yuda na Wababeli ambao walikuwa pamoja nae huko Mizpa.
Toda pripetilo se je v sedmem mesecu, da je prišel Jišmaél, Netanjájev sin, Elišamájev sin, iz kraljevega semena in deset mož z njim in udaril Gedaljája, da je umrl in Jude in Kaldejce, ki so bili z njim v Micpi.
26 Kisha wale watu wote, kutoka chini kwenda juu, na maamiri wa jeshi, wakainuka na kwenda Misri, kwasababu walikuwa wanawaogopa Wababeli.
Vse ljudstvo, tako mali kakor veliki in poveljniki vojsk, so vstali in prišli v Egipt, kajti bali so se Kaldejcev.
27 Ilitokea baadaye katika mwaka wa thelathini na saba wa utumwa wa Yekonia mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na saba ya mwezi, Evil-merodaki mfalme wa Babeli akamtoa Yekonia mfalme wa Yuda kutoka gerezani. Hii ilitokea katika mwaka ambao Evil-Merodaki alipoanza kutawala.
Pripetilo se je v sedemintridesetem letu ujetništva Judovega kralja Jojahína, v dvanajstem mesecu, na sedemindvajseti dan meseca, da je babilonski kralj Evíl Merodáh, v letu, ko je začel kraljevati, povzdignil glavo Judovega kralja Jojahína iz ječe
28 Akaongea naye kwa ukarimu na kumpatia kiti kizuri zaidi kuliko kile cha wafalme wengine ambao walikuwa pamoja naye Babeli.
in prijazno govoril z njim in njegov prestol postavil nad prestol kraljev, ki so bili z njim v Babilonu
29 Evil-Merodaki akamvua Yekonia nguo za gerezani,
in zamenjal njegove jetniške obleke in on je nenehno jedel kruh pred njim, vse dni svojega življenja.
30 na Yekinia akala siku zote kwenye meza ya mfalme katika maisha yake yote yaliyokuwa yamebakia.
Njegova renta mu je bila dana od kralja, nenehna renta, dnevna mera za vsak dan, vse dni njegovega življenja.

< 2 Wafalme 25 >