< 2 Wafalme 25 >
1 Ilitokea kwamba katika mwaka wa tisa wa utawala wa mfalme Sedekia, katika mwezi wa kumi, na siku ya kumi ya huo mwezi, Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuja pamoja na jeshi lake lote kwa ajili ya kupigana dhidi ya Yerusalemu. Akaweka kambi kuelekeana nayo, na wakajenga ukuta kuizunguka.
I hans niende regjeringsår, i den tiende måned, på den tiende dag i måneden, drog kongen i Babel Nebukadnesar med hele sin hær mot Jerusalem og leiret sig mot det, og de bygget skanser mot det rundt omkring.
2 Hivyo mji huo ulizungukwa mpaka miaka kumi na moja ya utawala wa Sedekia.
Og de holdt byen kringsatt like til kong Sedekias' ellevte år.
3 Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne wa huo mwaka, njaa ilikuwa kali sana kwenye huo mji kwamba hapakuwa na chakula kwa ajili ya watu wa nchi.
På den niende dag i måneden var hungersnøden så stor i byen at landets folk ikke hadde noget å ete.
4 Wakati huo ule mji ulikuwa umebomoka ndani, na wapiganaji wote wakakimbia usiku kwa njia ya lango kati ya kuta mbili, karibu na bustani ya mfalme, ingawa Wakaldayo walikuwa wote wameuzunguka mji. Mfalme akaenda kuelekea upande wa Araba.
Og byens mur blev gjennembrutt, og alle krigsmennene flyktet om natten gjennem porten mellem begge murene ved kongens have, mens kaldeerne lå leiret mot byen rundt omkring; og han tok veien til ødemarken.
5 Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuata mfalme Sedekia na kumchukua katika tambarare ya bonde la Mto Yoradani karibu na Yeriko. Jeshi lake lote lilitawanyika wakamwacha.
Men kaldeernes hær satte efter kongen og nådde ham igjen på Jerikos ødemarker; og hele hans hær spredte sig og forlot ham.
6 Wakamkamata mfalme na kumleta mpaka kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, ambapo walipitisha hukumu juu yake.
Og de grep kongen og førte ham op til Babels konge i Ribla og avsa dom over ham.
7 Kama kwa watoto wa Sedekia, wakawachinja mbele ya macho yake. Kisha akamtoa macho Sedekia, wakamfunga pingu, na kumpeleka hadi Babeli.
De drepte Sedekias' sønner for hans øine, og han lot Sedekias selv blinde og lot ham binde med to kobberlenker; så førte de ham til Babel.
8 Basi katika mwezi wa tano, katika siku ya saba ya mwezi, ambapo ulikuwa mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadreza mfalme wa Babeli, Nebuzaradani, mtumishi wa mfalme wa Babeli na amrijeshi wa walinzi wake, wakaja hadi Yerusalemu.
I den femte måned, på den syvende dag i måneden - det var Babels konge Nebukadnesars nittende år - kom Nebusaradan, høvdingen over livvakten, en av Babels konges menn, til Jerusalem.
9 Akaichoma moto nyumba ya Yahwe, nyumba ya mfalme, na nyumba zote za Yeruselemu; pia kila jengo la muhimu katika mji akayachoma.
Han brente op Herrens hus og kongens hus, og alle Jerusalems hus - alle stormennenes hus - brente han op med ild.
10 Kama kwa kuta zote zilizoizunguka Yerusalemu, jeshi lote la Wababeli ambao walikuwa chini ya amrishi wa walinzi wakaziharibu.
Og hele den hær av kaldeere som høvdingen over livvakten hadde med sig, rev ned murene rundt omkring Jerusalem.
11 Basi watu waliokuwa wamebaki ambao walikuwa wameondoka katika mji, wale waliokuwa wameasi kwa mfalme wa Babeli, na mabaki ya watu-Nebuzadani, amiri jeshi wa mlinzi, wakachukuliwa kwenda utumwani.
Nebusaradan, høvdingen over livvakten, bortførte resten av folket, dem som var blitt tilbake i byen, og overløperne som var gått over til kongen i Babel, og resten av hopen.
12 Lakini amiri jeshi wa mlinzi aliwaacha baadhi ya maskini wa nchi ili wafanye kazi kwenye shamba la mizabibu na kulima.
Bare nogen av de ringeste i landet lot høvdingen over livvakten bli tilbake som vingårdsmenn og jordbrukere.
13 Na zile nguzo za shaba ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, na misimamio na bahari ya chuma ambayo ilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, Wakaldayo wakazivunja vipande vipande na kubeba shaba kuirudisha Babeli.
Kaldeerne slo i stykker kobbersøilene i Herrens hus og fotstykkene og kobberhavet i Herrens hus og førte kobberet av dem til Babel.
14 Masufuria, mabeleshi, makasi, vijiko, na vyombo vyote vya shaba ambavyo kuhani alivyokuwa amevitunza kwenye hekalu-Wakaldayo wakavichukua vyote.
De tok også askebøttene og ildskuffene og knivene og røkelseskålene og alle kobberkarene som hadde vært brukt til tjenesten.
15 Masufuria ya kuhamisha majivu na mabakuli ambayo yalikuwa yametengenezwa kwa dhahabu, na yale yaliyotengenezwa kwa fedha-yule nahodha wa mlinzi wa mfalme akavichukua pia.
Også fyrfatene og skålene til å sprenge blod med, alt hvad det var av gull og alt hvad det var av sølv, det tok høvdingen over livvakten.
16 Zile nguzo mbili, ile bahari, na vile vitako ambavyo Suleimani alivitengeneza kwa ajili ya nyumba ya Yahwe shaba ya vyombo hivyo vyote haikuwa na uzani.
De to søiler, det ene hav og fotstykkene som Salomo hadde latt gjøre for Herrens hus - i alle disse ting var kobberet ikke til å veie.
17 Urefu wa ile nguzo ya kwanza ulikuwa ridhaa kumi na nane, na kichwa cha shaba kilikuwa juu yake. Na urefu wa kichwa ulikuwa ridhaa tatu, pamoja na mapambo ya wavu na makomamanga yote yakizunguka kwenye hicho kichwa, vyote vilikuwa vimetengenezwa kwa shaba. Na ile nguzo nyingine ilikuwa vivyo hivyo kama ile ya kwanza pamoja na wavu wake.
Atten alen høi var den ene søile, og det var et søilehode på den av kobber, og søilehodet var tre alen høit, og det var nettverk og granatepler på søilehodet rundt omkring, alt sammen av kobber, og likedan var det med den andre søile ved nettverket.
18 Yule amiri jeshi wa mlinzi akamchukua Seraya kuhani mkuu, pamoja za Sefania, yule kuhani wa pili, na walinzi watatu wa kwenye lango.
Høvdingen over livvakten tok ypperstepresten Seraja og Sefanja, en prest av annen rang, og de tre voktere ved dørtreskelen,
19 Kutoka mjini akamchukua mlinzi, afisa mmoja ambaye aliyekuwa msimamizi wa maaskari, na watu watano ambao walikuwa wakimshauri mfalme, ambao walikuwa bado katika mji. Pia alimchukua mfungwa wa afisa jeshi la mfalme, kwa ajili ya kuandika watu kwenye jeshi, pamoja na watu sitini muhimu kutoka hiyo nchi ambao walikuwa katika mji.
og fra byen tok han en hoffmann som var høvedsmann over krigsfolkene, og fem menn som ennu fantes i byen av dem som stadig hadde adgang til kongen, og skriveren hos hærføreren, han som utskrev landets folk til krigstjeneste, og seksti menn av landets folk som fantes i byen -
20 Kisha Nebuzaradani, amiri wa mlinzi, akawachukua na kuwapeleka kwa mfalme Babeli huko Ribla.
dem tok Nebusaradan, høvdingen over livvakten, og førte til Babels konge i Ribla,
21 Mfalme wa Babeli akawaua huko Ribla katika nchi ya Hamathi. Kwa njia hii, Yuda akaiacha nchi yake kwenda utumwani.
og Babels konge lot dem slå ihjel i Ribla i Hamat-landet. Således blev Juda bortført fra sitt land.
22 Na wale watu waliokuwa wamebakia katika nchi ya Yuda, wale ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwaacha, akamuweka Gedalia mwana wa Ahikamu, mwana wa Shafani, msimamizi wao.
Over de folk som blev tilbake i Juda land, dem som kongen i Babel Nebukadnesar lot bli tilbake, satte han Gedalja, sønn av Akikam, Safans sønn.
23 Kisha wakati maamiri wote wa majeshi, wao na watu wao, waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemfanya Gedalia kuwa liwali, wakaenda kwa Gedalia huko Mispa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana wa Nethania, Yohanani mwana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi Mnetofa, na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
Da alle høvedsmennene for hærflokkene og deres menn hørte at kongen i Babel hadde satt Gedalja over landet, kom de til ham i Mispa - det var Ismael, Netanjas sønn, og Johanan, Kareahs sønn, og Seraja, Tanhumets sønn, fra Netofat og Ja'asanja, ma'akatittens sønn, med sine menn.
24 Gedalia akafanya kiapo kwa watu wake na kuwaambia, “Msiwaogope Wakaldayo. Muishi katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babeli, na itakuwa vema kwenu.”
Og Gedalja gav dem og deres menn sin ed og sa til dem: Vær ikke redd kaldeernes menn, bli i landet og tjen kongen i Babel! Så skal det gå eder vel.
25 Lakini ilitokea kwamba katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania mwana wa Elishama, kutoka familia ya kifalme, wakaja na watu kumi na kumshambulia Gedalia. Gedalia akafa, pamoja na watu wa Yuda na Wababeli ambao walikuwa pamoja nae huko Mizpa.
Men i den syvende måned kom Ismael, sønn av Netanja, Elisamas sønn, en mann av kongelig ætt, og ti andre menn med ham, og de slo Gedalja ihjel, og likeså de jøder og kaldeere som var hos ham i Mispa.
26 Kisha wale watu wote, kutoka chini kwenda juu, na maamiri wa jeshi, wakainuka na kwenda Misri, kwasababu walikuwa wanawaogopa Wababeli.
Da brøt alt folket op, både store og små, og høvedsmennene for hærflokkene, og de drog til Egypten; for de var redd kaldeerne.
27 Ilitokea baadaye katika mwaka wa thelathini na saba wa utumwa wa Yekonia mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na saba ya mwezi, Evil-merodaki mfalme wa Babeli akamtoa Yekonia mfalme wa Yuda kutoka gerezani. Hii ilitokea katika mwaka ambao Evil-Merodaki alipoanza kutawala.
I det syv og trettiende år efterat Judas konge Jojakin var bortført, i den tolvte måned, på den syv og tyvende dag i måneden, tok kongen i Babel Evilmerodak - i det år han blev konge - Judas konge Jojakin til nåde og førte ham ut av fengslet.
28 Akaongea naye kwa ukarimu na kumpatia kiti kizuri zaidi kuliko kile cha wafalme wengine ambao walikuwa pamoja naye Babeli.
Og han talte vennlig med ham og satte hans stol ovenfor stolene til de andre konger som var hos ham i Babel.
29 Evil-Merodaki akamvua Yekonia nguo za gerezani,
Han la sin fangedrakt av og åt stadig ved hans bord, så lenge han levde.
30 na Yekinia akala siku zote kwenye meza ya mfalme katika maisha yake yote yaliyokuwa yamebakia.
Og han fikk sitt stadige underhold fra kongen, hver dag det han den dag tiltrengte, så lenge han levde.