< 2 Wafalme 24 >

1 Katika siku za Yehoyakimu, Nebukadreza mfalme wa Babeli akaiteka Yuda; Yehoyakimu akawa mtumishi kwa muda wa miaka mitatu. Kisha Yehoyakimu akarudi na kuasi dhidi ya Nebukadreza.
Yahuda Kralı Yehoyakim'in krallığı döneminde Babil Kralı Nebukadnessar Yahuda'ya saldırdı. Yehoyakim üç yıl ona boyun eğdiyse de sonradan fikrini değiştirerek Nebukadnessar'a başkaldırdı.
2 Yahwe akatuma vikosi vya Wakaldayo dhidi ya Yehoyakimu, Washami, Wamoabu, na Waamoni; akawatuma dhidi ya Yuda kuiharibu. Hii ilikuwa ni kuthibitisha pamoja na neno la Yahwe ambalo aliloliongea kupitia watumishi wake manabii.
RAB, kulları peygamberler aracılığıyla söylediği söz uyarınca, Yahuda'yı yok etmek üzere Kildani, Aramlı, Moavlı ve Ammonlu akıncıları ona karşı gönderdi.
3 Ilikuwa baada ya mda mfupi kwenye kinywa cha Yahwe kwamba hili likaja juu ya Yuda, kuwaondoa usoni mwa uso wake, kwa sabau ya dhambi za Manase, yote aliyoyafanya,
Bütün bunlar RAB'bin buyruğuyla Yahudalılar'ın başına geldi. Manaşşe'nin işlediği bütün günahlar, döktüğü suçsuz kan yüzünden RAB Yahudalılar'ı huzurundan atmak istedi. Çünkü Manaşşe Yeruşalim'i suçsuzların kanıyla doldurmuştu ve RAB bunu bağışlamak niyetinde değildi.
4 na pia kwa sababu ya damu isiyokuwa na hatia aliyoimwaga, kwa kuijaza Yerusalemu kwa damu isiyokuwa na hatia. Yahwe hakuwa tayari kusamehe hilo.
5 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yehoyakimu, na yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Yehoyakim'in krallığı dönemindeki öteki olaylar ve bütün yaptıkları Yahuda krallarının tarihinde yazılıdır.
6 Yehoyakimu akalala pamoja na wazee wake, na Yekonia mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
Yehoyakim ölüp atalarına kavuşunca, yerine oğlu Yehoyakin kral oldu.
7 Mfalme wa Misri hakushambulia tena nje ya nchi yake, kwa sababu mfalme wa Babeli alakuwa amezishinda nchi zote ambazo zilikuwa zikitawaliwa na mfalme wa Misri, kutoka kwenye kitabu cha Misri mpaka Mto wa Frati.
Mısır Kralı bir daha ülkesinden dışarı çıkamadı. Çünkü Babil Kralı Mısır Vadisi'nden Fırat'a kadar daha önce Mısır Firavunu'na ait olan bütün toprakları ele geçirmişti.
8 Yekonia alikuwa na umri wa miaka kumi na nane alipoanza kutawala; alitawala Yerusalemu miezi mitatu. Mama yake alikuwa anaitwa Nehushta; alikuwa binti wa Elnathani wa Yerusalemu.
Yehoyakin on sekiz yaşında kral oldu ve Yeruşalim'de üç ay krallık yaptı. Annesi Yeruşalimli Elnatan'ın kızı Nehuşta'ydı.
9 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe; alifanya yale yote ambayo baba yake aliyafanya.
O da babası gibi RAB'bin gözünde kötü olanı yaptı.
10 Katika kipindi hicho jeshi la Nebukadreza mfalme wa Babeli liliishambulia Yerusalemu na kuuzunguka mji.
O sırada Babil Kralı Nebukadnessar'ın askerleri Yeruşalim'in üzerine yürüyüp kenti kuşattı.
11 Nebukadreza mfalme wa Babeli akaja kwenye mji wakati maaskari wake walipokuwa wameuzunguka,
Kuşatma sürerken Nebukadnessar geldi.
12 na Yekonia mfalme wa Yuda akatoka nje kwenda kwa mfalme wa Babeli, yeye, mama yake, watumishi wake, watoto wake, na maafisa wake. Mfalme wa Babeli akamteka katika mwaka wa nane wa utawala wake.
Yahuda Kralı Yehoyakin, annesi, görevlileri, yöneticileri ve hadımlarıyla birlikte, Nebukadnessar'a teslim oldu. Babil Kralı krallığının sekizinci yılında Yehoyakin'i tutsak etti.
13 Nebukadreza akachukua kutoka pale vitu vyote vya thamani katika nyumba ya Yahwe, na walio katika nyumba ya kifalme. Akavikata vipande vipande vitu vyote vya dhahabu ambavyo Suleimani mfalme wa Israeli alivitengeneza katika hekalu la Yahwe, kama alivyokuwa amesema ingetokea.
RAB'bin sözü uyarınca, Nebukadnessar RAB'bin Tapınağı'nın ve kral sarayının bütün hazinelerini boşalttı, İsrail Kralı Süleyman'ın RAB'bin Tapınağı için yaptırdığı altın eşyaların tümünü parçaladı.
14 Akawachukua wote utumwani Yerusalemu, viongozi wote, na wapiganaji wote, mateka elfu kumi, na mafundi wote, na wafua vyuma. hakuna aliyekuwa amesalia isipokuwa watu maskini katika nchi.
Bütün Yeruşalim halkını, komutanları, yiğit savaşçıları, zanaatçıları, demircileri, toplam on bin kişiyi sürgün etti. Yahuda halkının en yoksul kesimi dışında kimse kalmadı.
15 Nebukadreza akamchukua Yekonia utumwani Babeli, pia na mama yake na mfalme, wake, maafisa, na wakuu wa nchi. Akawachukua kwenda utumwani kutoka Yerusalemu mpaka Babeli.
Babil Kralı Nebukadnessar Yehoyakin'i tutsak olarak Babil'e götürdü. Onunla birlikte annesini, karılarını, hadımlarını ve ülkenin ileri gelenlerini de Yeruşalim'den Babil'e sürdü. Ayrıca yedi bin deneyimli yiğit savaşçıyı ve bin zanaatçıyla demirciyi Babil'e sürgün etti.
16 Wapiganaji wote, elfu saba kwa hesabu, na mafundi elfu moja na wafua vyuma, wote wanaostahili kumpiga- mfalme wa Babeli aliwaleta hawa watu kwenye utumwa Babeli.
17 Mfalme wa Babeli akamfanya Matania, kaka yake na baba yake na Yehokimu, mfalme katika sehemu yake, na kubadilisha jina lake kuwa Sedekia.
Yehoyakin'in yerine amcası Mattanya'yı kral yaptı ve adını değiştirip Sidkiya koydu.
18 Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na moja wakati alipoanza kutawala; alitawala miaka kumi na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Hamutali; alikuwa binti wa Yeremia kutoka Libna.
Sidkiya yirmi bir yaşında kral oldu ve Yeruşalim'de on bir yıl krallık yaptı. Annesi Livnalı Yeremya'nın kızı Hamutal'dı.
19 Alifanya yaliyo maovu machoni mwa Yahwe; aliyafanya yale yote ambayo Yehokimu aliyoyafanya.
Yehoyakim gibi Sidkiya da RAB'bin gözünde kötü olanı yaptı.
20 Kupitia hasira ya Yahwe, haya matukio yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, hadi alipowaondoa kwenye uso wake. Kisha Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.
RAB Yeruşalim'le Yahuda'ya öfkelendiği için onları huzurundan attı. Sidkiya Babil Kralı'na karşı ayaklandı.

< 2 Wafalme 24 >