< 2 Wafalme 22 >

1 Yosia alikuwa na umri wa miaka minane wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka thelathini na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yedida (Alikuwa binti wa Adaye wa Bozkathi).
Yosiya padishah bolghanda sekkiz yashta bolup, Yérusalémda ottuz bir yil seltenet qildi. Uning anisining ismi Yedidah idi; u Bozkatliq Adayaning qizi idi.
2 Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa Yahwe. Alitembea kwenye njia zote za Daudi babu yake, na hakugeuka wala upande wa kulia au kushoto.
Yosiya Perwerdigarning neziride durus bolghanni qilip, her ishta atisi Dawutning barliq yolida yürüp, ne onggha ne solgha chetnep ketmidi.
3 Ikawa kwamba katika mwaka wa kumi na nane mfalme Yosia, akamtuma Shafani mwana wa Azalia mwana wa Meshulamu, mwandishi, kwenye nyumba ya Yahwe, akisema,
Padishah Yosiya seltenitining on sekkizinchi yilida, padishah Meshullamning newrisi, Azaliyaning oghli katip Shafanni Perwerdigarning öyige ewetip:
4 “Panda juu kwa Hilkia yule kuhani mkuu na mwambie ahesabu pesa ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe, ambazo walinzi wa hekalu wamezikusanya kutoka kwa watu.
«Bash kahin Hilqiyaning qéshigha chiqip shuni buyrughinki, u Perwerdigarning öyige élip kélin’gen, derwaziwenler xelqtin yighqan pulni sanisun.
5 Zigawanywe kwenye mikono ya wafanyakazi ambao ni wasimamizi wa nyumba ya Yahwe, na waache wawapatie wafanya kazi ambao wako kwenye nyumba ya Yahwe, ili waweze kutengeneza pale palipoharibika.
Andin ular Perwerdigarning öyini ongshaydighan ishlarni nazaret qilghuchi ishchilargha tapshurup bersun. Bular hem Perwerdigarning öyidiki buzulghan yerlerni ongshashqa öyde ishligüchilerge, yeni yaghachchilar, tamchilar we tashtirashlargha bersun. Ular mushu pul bilen öyni ongshashqa lazim bolghan yaghach bilen oyulghan tashlarni sétiwalsun, dégin» — dédi.
6 Wapewe pesa maseremala, wajenzi, na waashi, na pia kununua mbao na kukata jiwe kukarabati nyumba ya Yahwe.”
7 Lakini zile pesa hazikutakiwa kuhesabiwa wakati walipokuwa wanapewa, kwa sababu waliimudu ile kazi kwa uaminifu.
Lékin ularning qoligha tapshurulghan pulning hésabi qilinmidi. Chünki ular insap bilen ish qilatti.
8 Hilkia kuhani mkuu akamwambia Shafani yule mwandishi, “Nimekipata kitabu cha sheria katika nyumba ya Yahwe.” Basi Hilkia akampatia kile kitabu Shafani, na kukisoma.
Bash kahin Hilqiya katip Shafan’gha: — Men Perwerdigarning öyide bir Tewrat kitabini taptim, dédi. Shuni éytip Hilqiya kitabni Shafan’gha berdi. U uni oqudi.
9 Shafani akaenda na kuchukua kile kitabu kwa mfalme, na pia kumjulisha, akisema, “Watumishi wako wamezitumia zile pesa ambazo zilizokuwa zimepatikana kwenye hekalu na zimegawiwa kwenye mikono ya wafanya kazi ambao husimamia kuangalia nyumba ya Yahwe.”
Andin kéyin katip Shafan padishahning qéshigha bérip padishahqa xewer bérip: — Xizmetkarliri ibadetxanidiki pulni yighip Perwerdigarning öyini ongshaydighan ish béshilirining qollirigha tapshurup berdi, dédi.
10 Kisha Shafani yule mwandishi akamwambia mfalme, “Hilkia yule kuhani amenipatia kitabu.” Kisha Shafani akakisoma mbele ya mfalme.
Andin katip Shafan padishahqa: Hilqiya manga bir kitabni berdi, dédi. Andin Shafan padishahqa uni oqup berdi.
11 Ikawa kwamba wakati mfalme aliposikia maneno ya sheria, alichana nguo zake.
We shundaq boldiki, padishah Tewrat kitabining sözlirini anglighanda, öz kiyimlirini yirtti.
12 Kisha mfalme akamwamuru Hilkia yule kuhani, Ahikamu mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, Shafani mwandishi, na Asaya, mtumishi wake mwenyewe, akisema,
Padishah Hilqiya kahin bilen Shafanning oghli Ahikamgha, Mikayaning oghli Akbor bilen Shafan katipqa we padishahning xizmetkari Asayagha buyrup: —
13 Nenda na ukaongee pamoja na Yahwe kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu na kwa Yuda yote, kwa sababu ya maneno ya hiki kitabu ambacho kilichopatikana. Kwa hasira kubwa ya Yahwe ambayo ametukasirikia dhidi yetu kwa sababu babu zetu hawakusikiliza maneno ya hiki kitabu hivyo kama kutii yote ambayo yalikuwa yameandikwa kuhusiana na sisi.
Bérip men üchün we xelq üchün, yeni pütkül Yehudadikiler üchün bu tépilghan kitabning sözliri toghrisida Perwerdigardin yol soranglar. Chünki ata-bowilirimiz bu kitabning sözlirige, uningdiki bizlerge pütülgenlirige emel qilishqa qulaq salmighanliqi tüpeylidin Perwerdigarning bizge qozghalghan ghezipi intayin dehshetlik, dédi.
14 Basi Hilkia yule kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani, na Asaya wakaenda kwa Hulda nabii wa kike, mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunza kabati la nguo (aliishi katika Yerusalemu katika mtaa wa pili), na wakaongea pamoja naye.
Shuning bilen Hilqiya kahin, Ahikam, Akbor, Shafan we Asayalar Xarxasning newrisi, Tikwahning oghli kiyim-kéchek bégi Shallumning ayali ayal peyghember Huldahning qéshigha bérip, uning bilen sözleshti. U Yérusalém shehirining ikkinchi mehelliside olturatti.
15 Akawaambia, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, asemavyo: 'Mwambie huyu mtu aliyekutuma kwangu,
U ulargha mundaq dédi: — Israilning Xudasi Perwerdigar mundaq deydu: — «Silerni ewetken kishige mundaq denglar: —
16 “Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: 'Tazama, nitaleta janga kwenye hii sehemu na juu ya wakaao hapa, kulingana na kila kitu kilichoandikwa kwenye kitabu ambacho mfalme wa Yuda alichokisoma.
Perwerdigar mundaq deydu: — Mana Men Yehudaning padishahi oqughan kitabning hemme sözlirini emelge ashurup, bu jaygha we bu yerde turghuchilargha balayi’apet chüshürimen.
17 Kwa sababu wamenitelekeza na kufukiza ubani kwa miungu mingine, hivyo basi wanaweza kunichochea hasira pamoja na matendo yote waliyoyafanya-kwa hiyo hasira yangu ilikuwa inawaka dhidi ya hii sehemu, na haitazimika.”'
Chünki ular Méni tashlap, bashqa ilahlargha xushbuy yéqip, qollirining hemme ishliri bilen Méning achchiqimni keltürdi. Uning üchün Méning qehrim bu yerge qarap yandi hem öchürülmeydu.
18 Lakini kwa mfalme wa Yuda, aliye watuma kuuliza mapenzi ya Yahwe, hivi ndivyo mtakavyo mwambia: “Yahwe, Mungu wa Israeli asema hivi: Kuhusu yale maneno uliyoyasikia,
Lékin silerni Perwerdigardin yol sorighili ewetken Yehudaning padishahigha bolsa shundaq denglar: Sen anglighan sözler toghrisida Israilning Xudasi Perwerdigar shundaq deydu: —
19 kwa sababu moyo wako ulikuwa mlaini, na kwa sababu umejinyenyekesha mwenyewe mbele za Yahwe, wakati uliposikia nilichokisema dhidi ya hii sehemu na wenyeji wake, kwamba wanaweza kuwa wakiwa na laana, na kwasaabu ulizozirarua nguo zako na kulia mbele yangu, Nami pia nimekusikia-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
Chünki könglüng yumshaq bolup, mushu jay we uningda turghuchilarning weyrane we lenetke aylandurulidighanliqi toghrisida ularni eyiblep éytqan sözlirimni anglighiningda, Perwerdigarning aldida özüngni töwen qilip, kiyimliringni yirtip, Méning aldimda yighlighining üchün, Menmu duayingni anglidim, deydu Perwerdigar.
20 Tazama, nitakukusanya na babu zako, nawe utawekwa kaburini kwako kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote ambayo nitayaleta kwenye hii sehemu. “"” Hivyo watu wakachukua ujumbe huu kuurudisha kwa mfalme.
Buning üchün séni ata-bowiliring bilen yighilishqa, öz qebrengge aman-xatirjemlik ichide bérishqa nésip qilimen; séning közliring Men bu jay üstige chüshüridighan barliq külpetlerni körmeydu». Ular yénip bérip, bu xewerni padishahqa yetküzdi.

< 2 Wafalme 22 >