< 2 Wafalme 22 >
1 Yosia alikuwa na umri wa miaka minane wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka thelathini na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yedida (Alikuwa binti wa Adaye wa Bozkathi).
Walo ti tawen ni Josias idi nangrugi isuna a nagturay, tallo pulo ket maysa a tawen a nagturay isuna idiay Jerusalem. Jedida ti nagan ti inana (anak a babai isuna ni Adaias a taga-Bozkat).
2 Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa Yahwe. Alitembea kwenye njia zote za Daudi babu yake, na hakugeuka wala upande wa kulia au kushoto.
Inaramidna ti nasayaat iti imatang ni Yahweh. Simmurot isuna kadagiti amin a wagas nga inaramid ni David a kapuonanna, ket saan isuna a simmiasi, agpakannawan man wenno agpakannigid.
3 Ikawa kwamba katika mwaka wa kumi na nane mfalme Yosia, akamtuma Shafani mwana wa Azalia mwana wa Meshulamu, mwandishi, kwenye nyumba ya Yahwe, akisema,
Ket napasamak nga idi maikasangapulo ket walo a tawen a panagturay ni Ari Josias, imbaonna ni Safan nga eskriba nga anak ni Azalia nga anak ni Mesullam iti balay ni Yahweh, kinunana,
4 “Panda juu kwa Hilkia yule kuhani mkuu na mwambie ahesabu pesa ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe, ambazo walinzi wa hekalu wamezikusanya kutoka kwa watu.
“Sumang-atka iti ayan ni Hilkias a kangatoan a padi ket ibagam kenkuana a bilangenna ti kuarta a naiyeg iti balay ni Yahweh, a naurnong dagiti guardia manipud kadagiti tattao.
5 Zigawanywe kwenye mikono ya wafanyakazi ambao ni wasimamizi wa nyumba ya Yahwe, na waache wawapatie wafanya kazi ambao wako kwenye nyumba ya Yahwe, ili waweze kutengeneza pale palipoharibika.
Ipaitulodmo dagitoy kadakuada kadagiti trabahador a mangimatmaton iti balay ni Yahweh, ken itedda dagitoy kadagiti trabahador nga adda iti balay ni Yahweh para iti pannakatarimaan dagiti nadadael idiay templo.
6 Wapewe pesa maseremala, wajenzi, na waashi, na pia kununua mbao na kukata jiwe kukarabati nyumba ya Yahwe.”
Itedda ti kuarta kadagiti karpintero, dagiti agpatpatakder, ken kadagiti agkabkabiti, kasta pay a paggatangda iti troso ken bato a pangtarimaanda iti templo.”
7 Lakini zile pesa hazikutakiwa kuhesabiwa wakati walipokuwa wanapewa, kwa sababu waliimudu ile kazi kwa uaminifu.
Ngem saandan a sinapul ti listaan para iti kuarta a naited kadakuada gapu ta mapagtalkanda a nangaramat iti kuarta.
8 Hilkia kuhani mkuu akamwambia Shafani yule mwandishi, “Nimekipata kitabu cha sheria katika nyumba ya Yahwe.” Basi Hilkia akampatia kile kitabu Shafani, na kukisoma.
Kinuna ni Hilkias a kangatoan a padi kenni Safan nga eskriba, “Nasarakak ti Libro ti Linteg iti balay ni Yahweh.” Isu nga inted ni Hilkias ti Libro kenni Safan, ket binasana daytoy.
9 Shafani akaenda na kuchukua kile kitabu kwa mfalme, na pia kumjulisha, akisema, “Watumishi wako wamezitumia zile pesa ambazo zilizokuwa zimepatikana kwenye hekalu na zimegawiwa kwenye mikono ya wafanya kazi ambao husimamia kuangalia nyumba ya Yahwe.”
Impan ni Safan ti libro iti ari ket impakaammona met kenkuana, kinunana, “Inusar dagiti adipenmo ti kuarta a naala iti templo ket naited daytoy kadagiti mangimatmaton iti balay ni Yahweh.”
10 Kisha Shafani yule mwandishi akamwambia mfalme, “Hilkia yule kuhani amenipatia kitabu.” Kisha Shafani akakisoma mbele ya mfalme.
Ket kinuna ni Safan nga eskriba iti ari, “Adda inted ni Hilkias a padi kaniak a maysa a libro.” Ket binasa daytoy ni Safan iti ari.
11 Ikawa kwamba wakati mfalme aliposikia maneno ya sheria, alichana nguo zake.
Ket napasamak nga idi nangngeg ti ari dagiti linaon ti linteg, rinay-abna ti pagan-anayna.
12 Kisha mfalme akamwamuru Hilkia yule kuhani, Ahikamu mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, Shafani mwandishi, na Asaya, mtumishi wake mwenyewe, akisema,
Imbaon ti ari da Hilkias a padi, ni Ahikam nga anak ni Safan, ni Akbor nga anak ni Macaias, ni Safan nga eskriba ken ni Asaias nga adipenna, kunana,
13 Nenda na ukaongee pamoja na Yahwe kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu na kwa Yuda yote, kwa sababu ya maneno ya hiki kitabu ambacho kilichopatikana. Kwa hasira kubwa ya Yahwe ambayo ametukasirikia dhidi yetu kwa sababu babu zetu hawakusikiliza maneno ya hiki kitabu hivyo kama kutii yote ambayo yalikuwa yameandikwa kuhusiana na sisi.
“Mapankayo makiuman kenni Yahweh para kaniak, para kadagiti amin a tattao ken para iti entero a Juda, gapu kadagiti linaon daytoy a libro a nasarakan. Ta napalalo unay ti pungtot ni Yahweh ket narubruban maibusor kadatayo. Napalalo unay daytoy gapu ta saan nga impangag dagiti kapuonantayo dagiti linaon daytoy a libro a tungpalentayo koma dagiti naisurat maipapan kadatayo.”
14 Basi Hilkia yule kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani, na Asaya wakaenda kwa Hulda nabii wa kike, mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunza kabati la nguo (aliishi katika Yerusalemu katika mtaa wa pili), na wakaongea pamoja naye.
Isu a napan da Hilkias a padi, Ahikam, Akbor, Safan ken Asaias kenni Hulda a maysa a babai a profeta, nga asawa ni Sallum nga anak ni Tikva nga anak ni Harhas, a mangay-aywan iti pagiduldulinan kadagiti pagan-anay (ni Hulda ket nagnaed iti maikaddua a paset ti Jerusalem) ket nakitungtongda kenkuana.
15 Akawaambia, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, asemavyo: 'Mwambie huyu mtu aliyekutuma kwangu,
Kinunana kadakuada, “Daytoy ti kuna ni Yahweh a Dios ti Israel: Ibagayo iti tao a nangibaon kadakayo nga umay kaniak,
16 “Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: 'Tazama, nitaleta janga kwenye hii sehemu na juu ya wakaao hapa, kulingana na kila kitu kilichoandikwa kwenye kitabu ambacho mfalme wa Yuda alichokisoma.
“Daytoy ti kuna ni Yahweh: “Kitaem, mangiyegak iti didigra iti daytoy a lugar ken kadagiti agnanaed ditoy, amin a linaon ti libro a binasa ti ari ti Juda.
17 Kwa sababu wamenitelekeza na kufukiza ubani kwa miungu mingine, hivyo basi wanaweza kunichochea hasira pamoja na matendo yote waliyoyafanya-kwa hiyo hasira yangu ilikuwa inawaka dhidi ya hii sehemu, na haitazimika.”'
Gapu ta linipatdak ken nagipuorkayo iti insenso a maipaay kadagiti didiosen, tapno pagpungtotendak kadagiti amin nga inaramidda—ngarud narubruban ti pungtotko iti daytoy a lugar, ket saanto daytoy a maiddep.'”
18 Lakini kwa mfalme wa Yuda, aliye watuma kuuliza mapenzi ya Yahwe, hivi ndivyo mtakavyo mwambia: “Yahwe, Mungu wa Israeli asema hivi: Kuhusu yale maneno uliyoyasikia,
Ngem iti ari ti Juda a nangibaon kadakayo a mangdamag iti pagayatan ni Yahweh, daytoy ti ibagayo kenkuana: 'Daytoy ti kuna ni Yahweh a Dios ti Israel: Maipapan iti nangngegam a linaon ti libro:
19 kwa sababu moyo wako ulikuwa mlaini, na kwa sababu umejinyenyekesha mwenyewe mbele za Yahwe, wakati uliposikia nilichokisema dhidi ya hii sehemu na wenyeji wake, kwamba wanaweza kuwa wakiwa na laana, na kwasaabu ulizozirarua nguo zako na kulia mbele yangu, Nami pia nimekusikia-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
'gapu ta nalukneng ti pusom ken gapu ta nagpakumbabaka iti sangoanan ni Yahweh, idi nangngegmo ti imbagak maibusor iti daytoy a lugar ken kadagiti agnanaed ditoy, a mabaybay-an ken mailunoddanto, gapu ta rinay-abmo ti pagan-anaymo ken nagsangitka iti sangoanak, dimngegak met kenka' — daytoy ti pakaammo ni Yahweh.
20 Tazama, nitakukusanya na babu zako, nawe utawekwa kaburini kwako kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote ambayo nitayaleta kwenye hii sehemu. “"” Hivyo watu wakachukua ujumbe huu kuurudisha kwa mfalme.
Kitaem, itiponkanto iti ayan dagiti kapuonam, maitabonkanto a sitatalna iti tanemmo, ket saanto a maimatangan dagiti matam ti didigra nga iyegko iti daytoy a lugar ken kadagiti agnanaed ditoy.'” Isu nga indanon dagiti lallaki daytoy a mensahe iti ari.