< 2 Wafalme 22 >

1 Yosia alikuwa na umri wa miaka minane wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka thelathini na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yedida (Alikuwa binti wa Adaye wa Bozkathi).
Josias avait huit ans lorsqu’il commença à régner, et il régna trente-un ans à Jérusalem: le nom de sa mère était Idida, fille de Hadaïa de Bésécath.
2 Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa Yahwe. Alitembea kwenye njia zote za Daudi babu yake, na hakugeuka wala upande wa kulia au kushoto.
Et il fit ce qui était agréable devant le Seigneur, et marcha dans toutes les voies de David, son père, et il ne se détourna ni à droite ni à gauche.
3 Ikawa kwamba katika mwaka wa kumi na nane mfalme Yosia, akamtuma Shafani mwana wa Azalia mwana wa Meshulamu, mwandishi, kwenye nyumba ya Yahwe, akisema,
Or la dix-huitième année du roi Josias, le roi envoya Saphan, fils d’Aslia, fils de Messulam, le scribe du temple du Seigneur, lui disant:
4 “Panda juu kwa Hilkia yule kuhani mkuu na mwambie ahesabu pesa ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe, ambazo walinzi wa hekalu wamezikusanya kutoka kwa watu.
Va vers Helcias, le grand prêtre, afin qu’on fasse fondre l’argent qui a été porté au temple du Seigneur, que les portiers du temple ont recueilli du peuple;
5 Zigawanywe kwenye mikono ya wafanyakazi ambao ni wasimamizi wa nyumba ya Yahwe, na waache wawapatie wafanya kazi ambao wako kwenye nyumba ya Yahwe, ili waweze kutengeneza pale palipoharibika.
Et qu’il soit donné par les préposés de la maison du Seigneur aux ouvriers, et que ceux-ci le distribuent à ceux qui travaillent, dans le temple du Seigneur, à faire les réparations du temple,
6 Wapewe pesa maseremala, wajenzi, na waashi, na pia kununua mbao na kukata jiwe kukarabati nyumba ya Yahwe.”
C’est-à-dire aux charpentiers, aux maçons, et à ceux qui réparent les brèches, et afin qu’on achète du bois et des pierres des carrières, pour réparer le temple du Seigneur.
7 Lakini zile pesa hazikutakiwa kuhesabiwa wakati walipokuwa wanapewa, kwa sababu waliimudu ile kazi kwa uaminifu.
Cependant, qu’on ne leur compte pas l’argent qu’ils reçoivent; mais qu’ils l’aient en leur pouvoir, et selon leur bonne foi.
8 Hilkia kuhani mkuu akamwambia Shafani yule mwandishi, “Nimekipata kitabu cha sheria katika nyumba ya Yahwe.” Basi Hilkia akampatia kile kitabu Shafani, na kukisoma.
Or Helcias, le pontife, dit à Saphan, le scribe: J’ai trouvé le Livre de la Loi dans la maison du Seigneur. Et Helcias donna le volume à Saphan, qui le lut.
9 Shafani akaenda na kuchukua kile kitabu kwa mfalme, na pia kumjulisha, akisema, “Watumishi wako wamezitumia zile pesa ambazo zilizokuwa zimepatikana kwenye hekalu na zimegawiwa kwenye mikono ya wafanya kazi ambao husimamia kuangalia nyumba ya Yahwe.”
Saphan, le scribe, vint aussi vers le roi, et lui rendit compte de ce qu’il lui avait ordonné, et il dit: Vos serviteurs ont fondu l’argent qui a été trouvé dans la maison du Seigneur, et ils l’ont donné pour qu’il fût distribué aux ouvriers par les préposés aux travaux du temple du Seigneur.
10 Kisha Shafani yule mwandishi akamwambia mfalme, “Hilkia yule kuhani amenipatia kitabu.” Kisha Shafani akakisoma mbele ya mfalme.
Saphan, le scribe, raconta aussi au roi, disant: Helcias, le prêtre, m’a donné un Livre. Lorsque Saphan l’eut lu devant le roi,
11 Ikawa kwamba wakati mfalme aliposikia maneno ya sheria, alichana nguo zake.
Et que le roi eut entendu les paroles du livre de la loi du Seigneur, il déchira ses vêtements.
12 Kisha mfalme akamwamuru Hilkia yule kuhani, Ahikamu mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, Shafani mwandishi, na Asaya, mtumishi wake mwenyewe, akisema,
Et il ordonna à Helcias, le prêtre, à Ahicam, fils de Saphan, à Achobor, fils de Micha, à Saphan, le scribe, et Asaïas, serviteur du roi, disant:
13 Nenda na ukaongee pamoja na Yahwe kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu na kwa Yuda yote, kwa sababu ya maneno ya hiki kitabu ambacho kilichopatikana. Kwa hasira kubwa ya Yahwe ambayo ametukasirikia dhidi yetu kwa sababu babu zetu hawakusikiliza maneno ya hiki kitabu hivyo kama kutii yote ambayo yalikuwa yameandikwa kuhusiana na sisi.
Allez, et consultez le Seigneur sur moi, sur le peuple et sur tout Juda, touchant les paroles de ce volume qui a été trouvé; car la grande colère du Seigneur s’est allumée contre nous, parce que nos pères n’ont point écouté les paroles de ce Livre, pour faire ce qui a été écrit pour nous.
14 Basi Hilkia yule kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani, na Asaya wakaenda kwa Hulda nabii wa kike, mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunza kabati la nguo (aliishi katika Yerusalemu katika mtaa wa pili), na wakaongea pamoja naye.
C’est pourquoi Helcias, le prêtre, Ahicam, Achobor, Saphan et Asaïas, allèrent vers Holda, la prophétesse, femme de Sellum, fils de Thécua, fils d’Araas, le gardien des vêtements, laquelle demeurait à Jérusalem dans la Seconde; et ils lui parlèrent.
15 Akawaambia, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, asemavyo: 'Mwambie huyu mtu aliyekutuma kwangu,
Et Holda leur répondit: Voici ce que dit le Seigneur Dieu d’Israël: Dites à l’homme qui vous a envoyés vers moi:
16 “Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: 'Tazama, nitaleta janga kwenye hii sehemu na juu ya wakaao hapa, kulingana na kila kitu kilichoandikwa kwenye kitabu ambacho mfalme wa Yuda alichokisoma.
Le Seigneur dit ceci: Voilà que moi j’amènerai des maux sur ce lieu et sur ses habitants, accomplissant toutes les paroles de la Loi, qu’a lues le roi de Juda,
17 Kwa sababu wamenitelekeza na kufukiza ubani kwa miungu mingine, hivyo basi wanaweza kunichochea hasira pamoja na matendo yote waliyoyafanya-kwa hiyo hasira yangu ilikuwa inawaka dhidi ya hii sehemu, na haitazimika.”'
Parce qu’ils m’ont abandonné, qu’ils ont sacrifié à des dieux étrangers, et qu’ils m’ont irrité par toutes les œuvres de leurs mains; mon indignation s’allumera en ce lieu, et elle ne s’éteindra pas.
18 Lakini kwa mfalme wa Yuda, aliye watuma kuuliza mapenzi ya Yahwe, hivi ndivyo mtakavyo mwambia: “Yahwe, Mungu wa Israeli asema hivi: Kuhusu yale maneno uliyoyasikia,
Mais au roi de Juda, qui vous a envoyés pour consulter le Seigneur c’est ainsi que vous direz: Voici ce que dit le Seigneur Dieu d’Israël: Parce que tu as écouté les paroles du volume,
19 kwa sababu moyo wako ulikuwa mlaini, na kwa sababu umejinyenyekesha mwenyewe mbele za Yahwe, wakati uliposikia nilichokisema dhidi ya hii sehemu na wenyeji wake, kwamba wanaweza kuwa wakiwa na laana, na kwasaabu ulizozirarua nguo zako na kulia mbele yangu, Nami pia nimekusikia-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
Que ton cœur en a été épouvanté, et que tu t’es humilié devant le Seigneur, ayant entendu mes paroles contre ce lieu et ses habitants, c’est-à-dire qu’ils seraient un objet de stupeur et de malédiction; et parce que tu as déchiré tes vêtements et pleuré devant moi, et que moi je t’ai écouté, dit le Seigneur:
20 Tazama, nitakukusanya na babu zako, nawe utawekwa kaburini kwako kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote ambayo nitayaleta kwenye hii sehemu. “"” Hivyo watu wakachukua ujumbe huu kuurudisha kwa mfalme.
C’est pourquoi je te réunirai à tes pères, et tu seras conduit au sépulcre en paix, afin que tes yeux ne voient point tous les maux que je vais amener sur ce lieu.

< 2 Wafalme 22 >