< 2 Wafalme 22 >
1 Yosia alikuwa na umri wa miaka minane wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka thelathini na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yedida (Alikuwa binti wa Adaye wa Bozkathi).
Josias was of eiyte yeer, whanne he bigan to regne, and he regnyde oon and thritti yeer in Jerusalem; the name of his modir was Ydida, the douytir of Phadaia of Besechath.
2 Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa Yahwe. Alitembea kwenye njia zote za Daudi babu yake, na hakugeuka wala upande wa kulia au kushoto.
And he dide that, that was plesaunt bifor the Lord, and he yede be alle the wayes of Dauid, his fadir; he bowide not, nethir to the riytside, nethir of the leftside.
3 Ikawa kwamba katika mwaka wa kumi na nane mfalme Yosia, akamtuma Shafani mwana wa Azalia mwana wa Meshulamu, mwandishi, kwenye nyumba ya Yahwe, akisema,
Forsothe in the eiytenthe yeer of kyng Josias, the kyng sente Saphan, sone of Asua, the sone of Mesulam, scryueyn, ethir doctour, of the temple of the Lord,
4 “Panda juu kwa Hilkia yule kuhani mkuu na mwambie ahesabu pesa ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe, ambazo walinzi wa hekalu wamezikusanya kutoka kwa watu.
and seide to him, Go thou to Elchie, the grete preest, that the money, which is borun in to the temple of the Lord, be spendid, which money the porteris of the temple han gaderid of the puple;
5 Zigawanywe kwenye mikono ya wafanyakazi ambao ni wasimamizi wa nyumba ya Yahwe, na waache wawapatie wafanya kazi ambao wako kwenye nyumba ya Yahwe, ili waweze kutengeneza pale palipoharibika.
and that it be youun to crafti men bi the souereyns of the hows of the Lord; which also departide that money to hem that worchen in the temple of the Lord, to reparele the rooues of the temple of the Lord,
6 Wapewe pesa maseremala, wajenzi, na waashi, na pia kununua mbao na kukata jiwe kukarabati nyumba ya Yahwe.”
that is, to carpenteris, and to masouns, and to hem that maken brokun thingis, and that trees and stoonus of quarieris be bouyt, to reparele the temple of the Lord;
7 Lakini zile pesa hazikutakiwa kuhesabiwa wakati walipokuwa wanapewa, kwa sababu waliimudu ile kazi kwa uaminifu.
netheles siluer, which thei taken, be not rekynyd to hem, but haue thei in power, and in feith.
8 Hilkia kuhani mkuu akamwambia Shafani yule mwandishi, “Nimekipata kitabu cha sheria katika nyumba ya Yahwe.” Basi Hilkia akampatia kile kitabu Shafani, na kukisoma.
Forsothe Helchie, the bischop, seide to Saphan, the scryuen, Y haue founde the book of the lawe in the hows of the Lord. And Elchie yaf the book to Saphan, the scryuen, which also redde it.
9 Shafani akaenda na kuchukua kile kitabu kwa mfalme, na pia kumjulisha, akisema, “Watumishi wako wamezitumia zile pesa ambazo zilizokuwa zimepatikana kwenye hekalu na zimegawiwa kwenye mikono ya wafanya kazi ambao husimamia kuangalia nyumba ya Yahwe.”
Also Saphan, the scryuen, cam to the kyng, and telde to hym tho thingis, whiche Elchie hadde comaundid, and he seide, Thi seruauntis han spendid the monei, which was foundun in the hows of the Lord, and yauen, that it schulde be departid to crafti men of the souereyns of werkis of the temple of the Lord.
10 Kisha Shafani yule mwandishi akamwambia mfalme, “Hilkia yule kuhani amenipatia kitabu.” Kisha Shafani akakisoma mbele ya mfalme.
Also Saphan, the scriueyn, telde to the kyng, and seide, Helchie, the preest of God, yaf to me a book; and whanne Saphan hadde red that book bifor the kyng,
11 Ikawa kwamba wakati mfalme aliposikia maneno ya sheria, alichana nguo zake.
and the kyng hadde herd the wordis of the book of the lawe of the Lord, he to-rente hise clothis.
12 Kisha mfalme akamwamuru Hilkia yule kuhani, Ahikamu mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, Shafani mwandishi, na Asaya, mtumishi wake mwenyewe, akisema,
And he comaundide to Elchie, the preest, and to Aicham, sone of Saphan, and to Achabor, sone of Mycha, and to Saphan, the scryuen, and to Achia, seruaunt of the kyng,
13 Nenda na ukaongee pamoja na Yahwe kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu na kwa Yuda yote, kwa sababu ya maneno ya hiki kitabu ambacho kilichopatikana. Kwa hasira kubwa ya Yahwe ambayo ametukasirikia dhidi yetu kwa sababu babu zetu hawakusikiliza maneno ya hiki kitabu hivyo kama kutii yote ambayo yalikuwa yameandikwa kuhusiana na sisi.
and seide, Go ye, and `counsele ye the Lord on me, and on the puple, and on al Juda, of the wordis of this book, which is foundun; for greet ire of the Lord is kyndlid ayens vs, for oure fadris herden not the wordis of this book, to do al thing which is writun to vs.
14 Basi Hilkia yule kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani, na Asaya wakaenda kwa Hulda nabii wa kike, mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunza kabati la nguo (aliishi katika Yerusalemu katika mtaa wa pili), na wakaongea pamoja naye.
Therfor Helchie, the preest, and Aicham, and Achabor, and Saphan, and Asia, yeden to Olda, the prophetesse, the wijf of Sellum, sone of Thecue, sone of Aras, kepere of the clothis, which Olda dwellide in Jerusalem, in the secounde dwellyng; and thei spaken to hir.
15 Akawaambia, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, asemavyo: 'Mwambie huyu mtu aliyekutuma kwangu,
And sche answeride to hem, The Lord God of Israel seith these thingis, Seie ye to the man,
16 “Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: 'Tazama, nitaleta janga kwenye hii sehemu na juu ya wakaao hapa, kulingana na kila kitu kilichoandikwa kwenye kitabu ambacho mfalme wa Yuda alichokisoma.
that sente you to me, The Lord God of Israel seith these thingis, Lo! Y schal brynge yuelis on this place, and on the dwelleris therof, alle the wordis `of the lawe, whiche the kyng of Juda redde;
17 Kwa sababu wamenitelekeza na kufukiza ubani kwa miungu mingine, hivyo basi wanaweza kunichochea hasira pamoja na matendo yote waliyoyafanya-kwa hiyo hasira yangu ilikuwa inawaka dhidi ya hii sehemu, na haitazimika.”'
for thei forsoken me, and maden sacrifice to alien goddis, and terriden me to ire in alle the werkis of her hondis; and myn indignacioun schal be kyndlid in this place, and schal not be quenchid.
18 Lakini kwa mfalme wa Yuda, aliye watuma kuuliza mapenzi ya Yahwe, hivi ndivyo mtakavyo mwambia: “Yahwe, Mungu wa Israeli asema hivi: Kuhusu yale maneno uliyoyasikia,
Sotheli to the kyng of Juda, that sente you, that ye schulen `counsele the Lord, ye schulen seie thus, The Lord God of Israel seith these thingis, For thou herdist the wordis of the book,
19 kwa sababu moyo wako ulikuwa mlaini, na kwa sababu umejinyenyekesha mwenyewe mbele za Yahwe, wakati uliposikia nilichokisema dhidi ya hii sehemu na wenyeji wake, kwamba wanaweza kuwa wakiwa na laana, na kwasaabu ulizozirarua nguo zako na kulia mbele yangu, Nami pia nimekusikia-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
and thin herte was aferd, and thou were maad meke bifor the Lord, whanne the wordis weren herd ayens this place and ayens the dwelleris therof, that is, that thei schulden be maad in to wondryng, and in to cursyng, and thou to-rentist thi clothis, and weptist bifor me, and Y herde, seith the Lord;
20 Tazama, nitakukusanya na babu zako, nawe utawekwa kaburini kwako kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote ambayo nitayaleta kwenye hii sehemu. “"” Hivyo watu wakachukua ujumbe huu kuurudisha kwa mfalme.
herfor Y schal gadere thee to thi fadris, and thou schalt be gaderid to thi sepulcre in pees; that thin iyen se not alle the yuelis, whiche Y schal brynge yn on this place.