< 2 Wafalme 21 >
1 Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Hefziba.
Manassé avait douze ans lorsqu’il commença à régner, et il régna cinquante-cinq ans dans Jérusalem: le nom de sa mère était Haphsiba.
2 Alifanya maovu usoni kwa Yahwe, kama machukizo ya mataifa ambayo Yahwe aliyafukuza nje mbele ya wana wa Israeli.
Et il fit le mal devant le Seigneur, selon le culte des idoles des nations que le Seigneur avait exterminées à la face des enfants d’Israël.
3 Kwa kupajenga tena mahala pa juu ambapo Hezekia baba yake alipaharibu, na akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali, akafanya Ashera, kama Ahabu mfalme wa Israeli alivyofanya, akasujudu kwa nyota zote za mbinguni na kuwaabudu wao.
Et il en revint à bâtir les hauts lieux qu’avait détruits Ezéchias son père, il dressa des autels à Baal; il fit planter des bois sacrés, comme avait fait Achab, roi d’Israël; il adora toute la milice du ciel, et la servit.
4 Manase akajenga madhabahu za kipagani kwenye nyumba ya Yahwe, ingawaje Yahwe aliamuru, “Jina langu litakuwa Yerusalemu daima.”
Il construisit aussi des autels dans la maison du Seigneur, de laquelle le Seigneur avait dit: C’est dans Jérusalem que j’établirai mon nom.
5 Akajenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika behewa mbili za nyumba ya Yahwe.
Et il construisit des autels à toute la milice du ciel dans les deux parvis du temple du Seigneur.
6 Akamuweka mtoto wake wa kiume kwenye moto; akatazama bao ushirikina na kujishuhulisha pamoja wale ambao wenye pepo wa utambuzi na wale wachawi. Akafanya maovu mengi usoni kwa Yahwe na kuchochea hasira kwa Mungu.
Et il fit passer son fils par le feu, il aima les divinations, observa les augures, et établit des pythoniens et multiplia les aruspices, pour faire le mal devant le Seigneur, et l’irriter.
7 Sanamu ya kuchongwa ya Ashera ambayo aliitnegeneza, akaiweka kwenye nyumba ya Yahwe. Nyumba hii ndiyo ambayo Yahwe alimwambia Daudi na Sulemani mwanawe; alisema: “Ni nyumba hii na katika Yerusalemu, ambayo nimeichagua kutoka makabila yote ya Isaraeli, ambako nitaliweka jina langu milele.
Il mit aussi l’idole du bois sacré qu’il avait planté, dans le temple du Seigneur, dont le Seigneur avait dit à David et à Salomon, son fils: C’est dans ce temple, et dans Jérusalem, que j’ai choisie d’entre toutes les tribus d’Israël, que j’établirai mon nom pour jamais.
8 Sintofanya miguu ya Israeli kushindwa tena nje ya nchi ambayo niliwapa babu zao, kama tu watakuwa makini kutii yale yote niliyowaamuru, na kufuata sheria zote ambazo mtumishi wangu Musa aliwaamuru.”
Et je ne ferai plus que le pied d’Israël se meuve dehors de la terre que j’ai donnée à leurs pères; si cependant ils mettent à exécution tout ce que je leur ai ordonné, et la loi tout entière que leur a prescrite mon serviteur Moïse.
9 Lakini watu hawakusikia, na Manase akawaongoza kufanya maovu zaidi kuliko yale ya mataifa ambayo Yahwe aliyaharibu mbele ya watu wa Israeli.
Or eux n’ont point écouté; mais ils ont été séduits par Manassé, pour faire le mal plus que les nations qu’a brisées le Seigneur à a face des enfants d’Israël.
10 Basi Yahwe akaongea na watumishi wake manabii, akisema,
Le Seigneur a parlé ensuite par l’entremise de ses serviteurs, les prophètes, disant:
11 Kwasababu Manase mfalme wa Yuda amefanya haya machukizo, na kutenda maovu zaidi kuliko yote waliyoyatenda Waamori ambao walikuwa mbele yake walikubali, na pia aliwafanya Yuda kuasi kwa sanamu zake,
Parce que Manassé, roi de Juda, a fait ces abominations, bien plus mauvaises que tout ce qu’ont fait les Amorrhéens avant lui, et qu’il a fait pécher même Juda par ses impuretés,
12 kwa hiyo Yahwe, Mungu wa Israeli, akasema hivi: Tazama, nakaribia kuleta uovu juu ya Yerusalemu na Yuda ambayo kila mtu asikiapo kuhusu hilo, masikio yake yote yatang'aa.
C’est pourquoi le Seigneur Dieu d’Israël, dit ceci: Voilà que moi j’amènerai des maux sur Jérusalem et sur Juda; en sorte que quiconque les entendra, ses deux oreilles tinteront.
13 Nitanyoosha juu ya Yerusalemu kipimo kilichotumika dhidi ya Samaria, na kuangusha msatari utakaotumika dhidi ya nyumba ya Ahabu; Nitaifuta Yerusalemu safi, kama kufuta sahani, kuifuta na kuifunika juu chini.
J’étendrai sur Jérusalem le cordeau de Samarie, et le poids de la maison d’Achab, et j’effacerai Jérusalem comme on a coutume d’effacer les tablettes; et en l’effaçant, je tournerai et passerai souvent le style sur sa face.
14 Nitawatupa masalia ya urithi wangu na kuwaweka mikononi mwa maadui zao. Watakuwa nyara na mateka kwa maadui zao wote,
Et j’abandonnerai les restes de mon héritage, et je les livrerai aux mains de leurs ennemis, et ils seront un objet de ravage et de rapine pour tous ceux qui les haïssent,
15 kwa sababu wamefanya yaliyo maovu usoni kwangu, na kunichochea hasira, tangu siku babu zao walipotoka Misri, hadi leo.”
Parce qu’ils ont fait le mal devant moi, et qu’ils ont continué à m’irriter, depuis le jour que leurs pères sortirent de l’Egypte, jusqu’à ce jour.
16 Aidha, Manase akazimwaga damu nyingi za wasio na hatia, hadi alipoijaza Yerusalemu kutoka upande huu kwenda mwingine kwa kifo. Hii ilikuwa ni kuongeza kwenye dhambi ambayo aliifanya Yuda kuasi, wakati walipofanya uovu mbele za Yahwe.
De plus, Manassé répandit même une quantité prodigieuse de sang innocent, au point d’en remplir Jérusalem jusqu’à la bouche, outre les péchés par lesquels il fit pécher Juda, pour faire le mal devant le Seigneur.
17 Kama kwa mambo mengine yamhusuyo Manase, yote aliyoyafanya, na dhambi ambayo aliyoifanya, je haya hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafalme wa Yuda?
Mais le reste des actions de Manassé et tout ce qu’il a fait, et le péché qu’il a commis, n’est-ce pas écrit dans le Livre des actions des jours des rois de Juda?
18 Manase akalala pamoja na babu zake na alizikwa kwenye bustani ya nyumba yake, katika bustani ya Uza. Amoni mwanawe akawa mfalme katika sehemu yake.
Et Manassé dormit avec ses pères, et il fut enseveli dans le jardin de sa maison, dans le jardin d’Oza; et Amon, son fils, régna en sa place.
19 Amoni alikuwa na miaka kumi na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Meshlemethi; alikuwa binti wa Haruzi wa Yotba.
Amon avait vingt-deux ans lorsqu’il commença à régner; il régna aussi deux ans à Jérusalem: le nom de sa mère était Messalémeth, fille de Harus de Jétéba.
20 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe, kama manase baba yake alivyofanya.
Et il fit le mal en la présence du Seigneur, comme avait fait Manassé, son père.
21 Amoni alifuata njia zote ambazo baba yake alizotembelea na kuabudu sanamu ambazo baba yake aliziabudu, na kuzisujudia.
Et il marcha dans toutes les voies par lesquelles avait marché son père; il servit les impuretés qu’avait servies son père, et il les adora,
22 Akajitenga na Yahwe, Mungu wa baba zake, na hakutembea katika njia ya Yahwe.
Et il abandonna le Seigneur Dieu de ses pères, et il ne marcha pas dans la voie du Seigneur;
23 Watumishi wa Amoni wakafanya njama dhidi yake na kumuua mfalme kwenye nyumba yake mwenyewe.
Et ses serviteurs lui dressèrent des embûches, et tuèrent le roi dans sa maison.
24 Lakini watu wa nchi wakawaua watu wote waliofanya njama dhidi ya mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia mtoto wake kuwa mfalme katika sehemu yake.
Mais le peuple tua tous ceux qui avaient conspiré contre le roi Amon, et ils établirent pour leur roi, Josias, son fils, en sa place.
25 Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Amoni yale aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Mais le reste des actions que fit Amon, n’est-il pas écrit dans le Livre des actions des jours des rois de Juda?
26 Watu wakamzika kwenye kaburi lake katika bustani ya Uza, na Yosia mwanawe akawa mfalme katika sehemu yake.
On l’ensevelit en son sépulcre dans le jardin d’Oza; et Josias, son fils, régna en sa place.