< 2 Wafalme 20 >

1 Katika siku hizo Hezekia aliugua akawa kwenye hatari ya kufa. Hivyo Isaya mwana wa Amozi, akaja, na kumwambia, “Yahwe asema, 'Weka nyumba yako kwenye mpangilio; kwa kuwa utakufa, na hutapona.'”
Kadagidiay nga al-aldaw, agsaksakit ni Hezekias ket matmatayen. Isu a napan kekuana ni propeta Isaias nga anak ni Amos ket kinunana kenkuana, “Kinuna ni Yahweh, 'Urnosemon ti balaymo; ta mataykan ket saankan nga agbiag.'”
2 Kisha Ahazi akageuza uso wake kwenye ukuta na kumuomba Yahwe, akisema,
Ket insango ni Hezekias ti rupana iti diding ket nagkararag kenni Yahweh a kinunana,
3 “Tafadhali, Yahwe, ukumbuke jinsi nilivyo mwaminifu kutembea mbele yako kwa moyo wangu wote, na jinsi nilivyofanya yaliyo mazuri usoni kwako.” Kisha Hezekia akalia kwa sauti.
“Pangaasim Yahweh, laglagipem no kasanoak a simmurot a sipupudno kenka iti amin a pusok ken no kasanoak a nagaramid ti naimbag iti panagkitam.” Ket nagsangit iti napigsa ni Hezekias.
4 Kabla ya Isaya hajatoka nje kwenye mji wa kati, neno la Yahwe likamjia, kusema,
Sakbay a makalasat ni Isaias iti akintengnga a paraangan, immay kenkuana ti sao ni Yahweh a kinunana,
5 '“Rudi, na umwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, 'Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi babu yako, asemavyo: “Nimesikia maombi yako, na nimeyaona machozi yako. Nitakuponya katika siku ya tatu, na utapanda juu kwenye nyumba ya Yahwe.
“Agsublika, ket ibagam kenni Hezekias, ti mangidadaulo kadagiti tattaok, 'Daytoy ti kinuna ni Yahweh a Dios ni David a kapuonam: “Nangngegko ti kararagmo, ket nakitak dagiti luam. Agasankanto iti maikatlo nga aldaw, ket sumang-atkanto iti balay ni Yahweh.
6 Nitakuongeza miaka kumi na tano ya maisha yako, na nitakulinda na huu mji kwa ajili yangu na kwa ajili ya mtumishi wangu."”'
Nayunak pay ti sangapulo ket lima a tawen ti biagmo, ket ispalenka ken daytoy a siudad manipud iti bileg ti ari ti Asiria, ken salaknibak daytoy a siudad para iti bukodko a dayaw ken gapu iti adipenko a ni David."”'
7 Hivyo Isaya akasema, “Chukueni mkate wa tini.” Walifanya hivyo na kuweka kwenye jipu lake, na akapona.
Isu a kinuna ni Isaias, “Mangalakayo iti namekmek nga igos.” Inaramidda ket intapalda iti lettegna, ket immimbag.
8 Hezekia akamwambia Isaya, “Je kutakuwa na alama gani ambayo Yahwe ataniponya, na kwamba nitapanda juu hadi kwenye hekalu la Yahwe katika siku ya tatu?”
Kinuna ni Hezekias kenni Isaias, “Anianto ti pagilasinan nga agasannak ni Yahweh, a makasang-atak idiay templona iti maikatlo nga aldaw?”
9 Isaya akajibu, “Hii ndiyo itakuwa ishara kwako kutoka kwa Yahwe, kwamba Yahwe atafanya kitu amacho alichokisema. Je kivuli kitaenda mbele hatua saba, au kurudi nyuma hatua saba?”
Simmungbat ni Isaias, “Daytoy ti pagilasinam manipud kenni Yahweh, nga aramidento ni Yahweh ti banag nga imbagana. Agpasangonto kadi ti aniniwan iti sangapulo a tukad wenno bumaba iti sangapulo a tukad?”
10 Hezekia akajibu, “Ni kitu chepesi kwa kivuli kwenda mbele hatua kumi. Hapana, hicho kivuli kirudi nyuma hatua kumi.”
Simmungbat ni Hezekias, “Nalaka a banag para iti aniniwan nga agpasango iti sangapulo a tukad. Pababaen lattan ti aniniwan iti sangapulo a tukad.”
11 Hivyo Isaya nabii akamlilia Yahwe, na akaleta kivuli hatua kumi nyuma, kutoka pale ambapo zilikuwa zimevuka kwenye ngazi za Ahazi.
Isu nga immawag ni Isaias a propeta kenni Yahweh, ket impababana ti aniniwan iti sangapulo a tukad, iti agdan ni Ahaz a nagakaranna.
12 Katika kipindi hicho Merodak Baladani mfalme wa Babeli alituma barua na zawadi kwa Hezekia, kwa kuwa alisikia kwamba Hezekia alikuwa anaumwa.
Iti dayta a tiempo, nangipatulod kadagiti surat ken sagut ni Merodak Baladan nga anak ni Baladan nga ari ti Babilonia kenni Hezekias, ta nadamagna nga agsaksakit ni Hezekias.
13 Hezekia akasikiliza hizo barua, na kisha kuwaonyesha wajumbe sehemu zote na sehemu zake za thamani, fedha, dhahabu, manukato na marhamu na nyumba yenye ghala la silaha zake, na yote yaliyokutwa kwenye ghala za nyumba zake. Hapakuwa na kitu kwenye nyumba, wala kwenye ufalme wake wote, ambao Hezekia hakuwaonyesha.
Dinengngeg ni Hezekias ti linaon dagitoy a surat, kalpasanna, impakitana kadagiti mensahero ti sibubukel a palasio ken ti kinabaknangna, dagiti pirak, dagiti balitok, dagiti rekado ken dagiti napapateg a lana, ken ti pagidulinan dagiti armasna, ken dagiti amin nga adda kadagiti pagidulinanna. Awan ti saan nga impakita ni Hezekias kadakuada nga adda iti balay ken pagarianna.
14 Kisha Isaya akaja kwa Hezekia na kumuuliza, “Hawa watu walikuwa wanakwambiaje? Wanatokea wapi?” Hezekia aksema, “Wamekuja kutoka nchi ya mbali ya Babeli.
Kalpasanna, napan ni propeta Isaias kenni Ari Hezekias ket dinamagna, “Ania ti imbaga dagitoy a lallaki kenka? Sadino ti naggapuanda? Kinuna ni Hezekias, “Naggapuda iti adayo a pagilian iti Babilonia.”
15 Isaya akauliza, “Wameona nini kwenye nyumba yako?” Hezekia akajibu, “Wameona kila kitu kwenye nyumba yangu. Hakuna kitu miongoni mwa vitu vyangu vya thamani ambavyo sijawaonyesha.”
Sinaludsod ni Isaias, “Ania ti nakitada iti uneg ti balaymo?” Simmungbat ni Hezekias, “Nakitada amin nga adda iti uneg ti balayko. Awan kadagiti napapateg a banbanag iti saanko nga impakita kadakuada.”
16 Basi Isaya akamwambia Hezekia, “Sikiliza neno la Yahwe:
Isu a kinuna ni Isaias kenni Hezekias, “Denggem ti sao ni Yahweh:
17 'Tazama siku zinakuja wakati kila kitu kwenye kwenye nyumba yako ya kifalme, vitu ambavyo babu zako walivitunza huko hadi leo, vitabebwa kwenda Babeli. Hakuna kitakachobakia, Yahwe asema.
Kitaem, dumtengto dagiti aldaw a maipan idiay Babilonia dagiti isu amin nga adda iti palasiom, dagiti banbanag nga impempen dagiti kapuonam agingga iti agdama nga aldaw. Awanto pulos iti mabati, kuna ni Yahweh.
18 Watoto waliozaliwa na wewe, ambao umewazaa wewe mwenyewe-watawachukua mbali, na watakuwa matowashi kwenye nyumba ya kifalme ya mfalme wa Babeli.'”
Italawdanto dagiti annakmo a lallaki, a pinutotmo—ket agbalindanto a eunoko iti palasio ti ari ti Babilonia.”'
19 Hezekia akamwambia Isaya, “neno la Yahwe uliloliongea ni jema.” Kwa kuwa alifikiri, Je sivyo ikiwapo amani na kweli katika siku zangu?”
Kinuna ni Hezekias kenni Isaias, “Nasayaat ti imbagam a sao ni Yahweh.” Ta impagarupna, “Awanto kadi iti kapia ken kinatalged kadagiti aldawko?”
20 Kama kwa mambo mengine yanamuhusu Hezekia, na ushujaa wake wote, na jinsi alivyotengeza bwawa la maji na mfereji, na kuleta maji kwenye mji-hayakuandikwa kwenye kitabu cha ya matukio ya wafalme wa Yuda?
No maipapan met kadagiti dadduma a banbanag maipapan kenni Hezekias, ti amin a kinabilegna, no kasano nga inaramidna ti pagurnongan ti danum ken iti usok a pagayusan ti danum, no kasano nga indanonna ti danum idiay siudad— saanda kadi a naisurat Iti Libro Dagiti Pakasaritaan Dagiti Ari-ari iti Juda?
21 Hezekia akalala na babu zake, na Manase mwanae akawa mfalme katika sehemu yake.
Pimmusay ni Hezekias ket ni Manases nga anakna ti nagbalin nga ari a kasukatna.

< 2 Wafalme 20 >