< 2 Wafalme 2 >

1 Hivyo ilipokuja kuhusu, wakati Yahwe alipokuwa akienda kumchukua Eliya kwenda mbinguni kwa uvumi, ambapo Eliya aliondoka pamoja na Elisha kutoka Gigali.
زمان آن رسیده بود که خداوند ایلیا را در گردباد به آسمان ببرد. ایلیا وقتی با الیشع از شهر جلجال خارج می‌شد، به او گفت: «تو در اینجا بمان، چون خداوند به من فرموده است به بیت‌ئیل بروم.» ولی الیشع جواب داد: «به خداوند زنده و به جان تو قسم، من از تو جدا نمی‌شوم!» پس با هم به بیت‌ئیل رفتند.
2 Eliya akamwambia Elisha, '“kaa hapa, tafadhali, kwa sababu Yahwe alinituma kwa Betheli.'” Elisha akajibu, “Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.'” Hivyo wakashuka chini kulekea Betheli.
3 Wana wa manabii ambao walikuwa Betheli walikuja kwa Elisha na kumwambia, je unajua kwamba Yahwe atamwondoa bwana wako kuanzia leo?”' Elisha akajibu, “Ndiyo, nalijua hilo, ila msizungumze kuhusu hilo.”'
گروهی از انبیا که در بیت‌ئیل بودند به استقبال آنان آمده، به الیشع گفتند: «آیا می‌دانی که امروز خداوند قصد دارد مولای تو را از تو بگیرد؟» الیشع جواب داد: «بله، می‌دانم. ساکت باشید!»
4 Eliya akamwambia, “Elisha, subiri hapa, tafadhali, kwa kuwa Yahwe amenituma niende Yeriko.” Kisha Elisha akajibu, '“Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.” Hivyo wakaenda Yeriko.
سپس ایلیا به الیشع گفت: «همین‌جا بمان، چون خداوند به من فرموده است به شهر اریحا بروم.» اما الیشع باز جواب داد: «به خداوند زنده و به جان تو قسم، من از تو جدا نمی‌شوم.» پس با هم به اریحا رفتند.
5 Kisha wana wa manabii ambao walikuwa Yeriko wakaja kwa Elisha na kumwambia, “'Je unajua kwamba Yahwe atamwondoa bwana wako kutoka kwako leo?” Elisha akajibu, “Ndiyo, nalijua hilo, lakini msilizungumzie hilo.”
در آنجا هم گروه انبیای اریحا نزد الیشع آمده، از او پرسیدند: «آیا خبر داری که خداوند می‌خواهد امروز مولایت را از تو بگیرد؟» او گفت: «بله، می‌دانم. ساکت باشید!»
6 Kisha Eliya akamwambia, '“kaa hapa, tafadhali, kwa kuwa Yahwe amenituma kwenda Yeriko.” Elisha akajibu, “Kama Yahwe ishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.” Hivyo wawili wakaenda mbele.
آنگاه ایلیا به الیشع گفت: «در اینجا بمان، زیرا خداوند فرموده است به طرف رود اردن بروم.» اما الیشع مثل دفعات پیش جواب داد: «به خداوند زنده و به جان تو قسم، من از تو جدا نمی‌شوم.» پس با هم رفتند و در کنار رود اردن ایستادند، در حالی که پنجاه نفر از گروه انبیا از دور ایشان را تماشا می‌کردند.
7 Baadaye watu hamsini wa watoto wa wale manabii wakasimama kuwakabili kwa mbali kidogo wale wawili wakasimama karibu na Yordani.
8 Eliya akachukua vazi lake, akaliviringisha, na kuyapiga maji kwa kutumia lile vazi. Ule mto ukagawanyika katika sehemu mbili hivyo basi wawili hao wakatembea hadi nchi kavu.
آنگاه ایلیا ردای خود را پیچیده آن را به آب زد. آب رودخانه دو قسمت شد و ایلیا و الیشع از راه خشک وسط آن عبور کردند.
9 Ilitokea, walipokwisha kuvuka, kwamba Eliya akamwambia Elisha, “Niambie unachotaka nifanye kwako kabla sijaondolewa kutoka kwako.” Elisha akajibu, “Naomba sehemu kubwa ya roho yako ije kwangu.
وقتی به آن سوی رود اردن رسیدند، ایلیا به الیشع گفت: «پیش از آنکه به آسمان بروم بگو چه می‌خواهی تا برایت انجام دهم.» الیشع جواب داد: «دو برابر قدرت روح خود را به من بده!»
10 Eliya akajibu, “Umeomba jambo gumu. Hata hivyo, kama ukiniona wakati nitakapoondolewa kutoka kwako, hii itatokea kwako, lakini kama sivyo, haitatokea.”
ایلیا گفت: «چیز دشواری خواستی. اگر وقتی به آسمان می‌روم مرا ببینی، آنگاه آنچه خواستی به تو داده خواهد شد؛ در غیر این صورت خواسته‌ات برآورده نخواهد شد.»
11 Ikawa walipokuwa bado wakienda mbele na kuzungumza, gari la kukokotwa na farasi lenye moto na farasi wa moto ikatokea, ambapo iliwatenga wale watu wawili kutoka kila mmoja, na Eliya akaenda juu kwa uvumi wa upepo kwenda mbinguni.
در حالی که آن دو با هم قدم می‌زدند و صحبت می‌کردند، ناگهان ارابه‌ای آتشین که اسبان آتشین آن را می‌کشیدند، ظاهر شد و آن دو را از هم جدا کرد و ایلیا در گردباد به آسمان بالا رفت.
12 Elisha akaiona akalia kwa sauti, “Baba yangu, baba yangu, gari la kukokotwa na farasi la Israeli na waendesha farasi!'” Hakumwona Eliya tena, na akashikilia nguo zake mwenyewe na kugawanya kwenye vipande viwili.
الیشع این را دید و فریاد زد: «ای پدرم! ای پدرم! ارابه‌ها و سواران اسرائیل را می‌بینم!» پس از آن الیشع دیگر او را ندید. سپس الیشع ردای خود را پاره کرد
13 Akachukua vazi la Eliya lililokuwa limemwangukia, na kurudi kusimama kwenye ukingo wa Yordani.
و ردای ایلیا را که افتاده بود، برداشت و به کنار رود اردن بازگشت و آن را به آب زد و با صدای بلند گفت: «کجاست خداوند، خدای ایلیا؟» آب دو قسمت شد و الیشع از راه خشک وسط آن عبور کرد.
14 Akayapiga maji pamoja na lile vazi la Eliya alilokuwa ameliangusha na kusema, “Yahwe yuko wapi, Mungu wa Eliya?'” Wakati alipoyapiga yale maji, yaligawanyika katika pande mbili na Elisha akavuka.
15 Wakati hao wana wa manabii ambao walitoka Yeriko walipomuona akikatiza kwao, wakasema, “roho ya Eliya imepumzika kwa Elisha!” Hivyo wakaja kuonana naye, na wakasujudu aridhini mbele yake.
گروه انبیای اریحا چون این واقعه را دیدند گفتند: «قدرت روح ایلیا بر الیشع قرار گرفته است!» سپس به استقبالش رفتند و او را تعظیم کرده، گفتند:
16 Wakamwambia, “Ona sasa, miongoni mwa watumishi wako kuna watu hamsini hodari. Tunakuomba Waache waende, na kumtafuta bwana wako, endapo huyo Roho wa Yahwe alipomchukua juu na kumtupa juu ya mlima mmoja au kwenye bonde moja.” Elisha akajibu, “Hapana, msiwatume.”
«اجازه بفرمایید پنجاه نفر از مردان قوی خود را به جستجوی مولای شما بفرستیم، شاید روح خداوند او را به کوهی یا دره‌ای برده باشد.» الیشع گفت: «نه، آنها را نفرستید.»
17 Lakini walimsihi Elisha hadi akaona aibu, akasema, “Watume.”Ndipo wakawatuma watu hamsini, na wakatafuta kwa mda wa siku tatu, lakini hawakumpata.
ولی آنها آنقدر اصرار کردند که سرانجام الیشع با رفتن ایشان موافقت نمود. پس آن پنجاه نفر رفتند و سه روز جستجو کردند؛ ولی ایلیا را نیافتند.
18 Wakarudi kwa Elisha, wakati alipokuwa bado yuko Yeriko, na akasema, “Je sikusema, 'msiende'?”
وقتی بازگشتند، الیشع هنوز در اریحا بود و به ایشان گفت: «مگر به شما نگفتم نروید؟»
19 Watu wa mjini wakamwambia Elisha, “Ona, tunakuomba, hali ya mjini hapa ni pazuri, kama bwana wangu awezavyo kuona, lakini maji ni mabaya na hiyo nchi haiwezi kuzaa matunda.”
در این هنگام، چند نفر از اهالی شهر اریحا نزد الیشع آمده، به او گفتند: «همان‌طور که می‌دانید شهر ما در جای خوبی قرار دارد، ولی آب آن سالم نیست و باعث بی‌حاصلی زمین ما می‌شود.»
20 Elisha akajibu, “Nileteeni bakuli jipya na muweke chumvi ndani ya hilo bakuli,” hivyo wakamletea.
الیشع گفت: «در یک تشت تازه نمک بریزید و نزد من بیاورید.» تشت را آوردند.
21 Elisha akaenda hadi kwenye chemichemi za maji na kutupia chumvi ndani; halafu akasema, “Yahwe asema hivi, 'Nimeyaponya haya maji. Kuanzia mda huu, hakutakuwa na kifo au nchi isiyozaa matunda.
الیشع به سر چشمهٔ شهر رفت و نمک را در آن ریخته، گفت: «خداوند این آب را سالم کرده است تا پس از این دیگر موجب بی‌حاصلی زمین و مرگ نشود.»
22 “Hivyo hayo maji yakaponya hata leo, kwa lile neno ambalo Elisha aliongea.
آب آن شهر همان‌گونه که الیشع گفته بود از آن پس سالم شد.
23 Ndipo Elisha akapanda kutoka pale mpaka Betheli. Naye alipokuwa akienda hadi kwenye barabara, wakatokea vijana nje ya mji na kumtania, wakamwambia, “Panda juu, wewe mwenye kipara! Panda juu, wewe mwenye kipara!”
الیشع از اریحا عازم بیت‌ئیل شد. در بین راه عده‌ای پسر نوجوان از شهری بیرون آمدند و او را به باد مسخره گرفته، گفتند: «آی کچل، از اینجا برو. آی کچل، از اینجا برو.»
24 Elisha alipotazama nyuma yake na kuwaona; alimwambia Yahwe awalaani. Ndipo dubu wa kike wawili wakatokea kichakani na kuwajeruhi vijana arobaini na mbili.
او نیز برگشت و به نام خداوند آنها را نفرین کرد. آنگاه دو خرس از جنگل بیرون آمدند و چهل و دو نفر از آنان را پاره کردند.
25 Ndipo Elisha alipoondoka pale na kuelekea Mlima Karmeli, na kutoka huko alirudi samaria.
سپس الیشع به کوه کرمل رفت و از آنجا به سامره بازگشت.

< 2 Wafalme 2 >