< 2 Wafalme 2 >

1 Hivyo ilipokuja kuhusu, wakati Yahwe alipokuwa akienda kumchukua Eliya kwenda mbinguni kwa uvumi, ambapo Eliya aliondoka pamoja na Elisha kutoka Gigali.
Or il arriva, lorsque le Seigneur voulut enlever Élie au ciel dans le tourbillon, qu’Élie et Élisée sortaient de Galgala.
2 Eliya akamwambia Elisha, '“kaa hapa, tafadhali, kwa sababu Yahwe alinituma kwa Betheli.'” Elisha akajibu, “Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.'” Hivyo wakashuka chini kulekea Betheli.
Et Élie dit à Élisée: Demeure ici, parce que le Seigneur m’a envoyé jusqu’à Béthel. Élisée lui répondit: Le Seigneur vit, et votre âme vit! je ne vous abandonnerai pas. Ils allèrent donc à Béthel,
3 Wana wa manabii ambao walikuwa Betheli walikuja kwa Elisha na kumwambia, je unajua kwamba Yahwe atamwondoa bwana wako kuanzia leo?”' Elisha akajibu, “Ndiyo, nalijua hilo, ila msizungumze kuhusu hilo.”'
Et les enfants des prophètes qui étaient à Béthel sortirent vers Élisée, et lui dirent: Ne sais-tu pas qu’aujourd’hui le Seigneur t’enlèvera ton maître? Élisée répondit: Je le sais; gardez le silence.
4 Eliya akamwambia, “Elisha, subiri hapa, tafadhali, kwa kuwa Yahwe amenituma niende Yeriko.” Kisha Elisha akajibu, '“Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.” Hivyo wakaenda Yeriko.
Élie dit encore à Élisée: Demeure ici, parce que le Seigneur m’a envoyé à Jéricho. Et celui-ci répondit: Le Seigneur vit et votre âme vit! je ne vous abandonnerai pas. Or lorsqu’ils furent arrivés à Jéricho,
5 Kisha wana wa manabii ambao walikuwa Yeriko wakaja kwa Elisha na kumwambia, “'Je unajua kwamba Yahwe atamwondoa bwana wako kutoka kwako leo?” Elisha akajibu, “Ndiyo, nalijua hilo, lakini msilizungumzie hilo.”
Les fils des prophètes qui étaient à Jéricho s’approchèrent d’Élisée, et lui dirent: Ne sais-tu pas que le Seigneur aujourd’hui t’enlèvera ton maître? Il leur répondit: Je le sais; gardez le silence.
6 Kisha Eliya akamwambia, '“kaa hapa, tafadhali, kwa kuwa Yahwe amenituma kwenda Yeriko.” Elisha akajibu, “Kama Yahwe ishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.” Hivyo wawili wakaenda mbele.
Mais Élie dit à Élisée: Demeure ici, parce que le Seigneur m’a envoyé jusqu’au Jourdain. Élisée lui répondit: Le Seigneur vit et votre âme vit! je ne vous abandonnerai point. Ils allèrent donc tous deux ensemble,
7 Baadaye watu hamsini wa watoto wa wale manabii wakasimama kuwakabili kwa mbali kidogo wale wawili wakasimama karibu na Yordani.
Et cinquante hommes des fils des prophètes les suivirent, lesquels s’arrêtèrent vis-à-vis d’eux au loin; mais eux étaient tous deux debout sur le Jourdain.
8 Eliya akachukua vazi lake, akaliviringisha, na kuyapiga maji kwa kutumia lile vazi. Ule mto ukagawanyika katika sehemu mbili hivyo basi wawili hao wakatembea hadi nchi kavu.
Alors Élie prit son manteau et le plia, et frappa les eaux, qui se divisèrent d’un côté et de l’autre, et ils passèrent tous deux à sec.
9 Ilitokea, walipokwisha kuvuka, kwamba Eliya akamwambia Elisha, “Niambie unachotaka nifanye kwako kabla sijaondolewa kutoka kwako.” Elisha akajibu, “Naomba sehemu kubwa ya roho yako ije kwangu.
Et lorsqu’ils eurent passé, Élie dit à Élisée: Demande-moi ce que tu veux que je fasse pour toi, avant que je sois enlevé d’auprès de toi. Et Élisée dit: Je demande avec instance que votre double esprit passe en moi.
10 Eliya akajibu, “Umeomba jambo gumu. Hata hivyo, kama ukiniona wakati nitakapoondolewa kutoka kwako, hii itatokea kwako, lakini kama sivyo, haitatokea.”
Élie répondit: C’est une chose difficile que tu m’as demandée. Cependant, si tu me vois lorsque je serai enlevé d’auprès de toi, tu auras ce que tu as demandé; mais, si tu ne me vois pas, tu ne l’auras point.
11 Ikawa walipokuwa bado wakienda mbele na kuzungumza, gari la kukokotwa na farasi lenye moto na farasi wa moto ikatokea, ambapo iliwatenga wale watu wawili kutoka kila mmoja, na Eliya akaenda juu kwa uvumi wa upepo kwenda mbinguni.
Et. lorsqu’ils poursuivaient leur chemin, et que marchant, ils s’entretenaient, voilà un char de feu et des chevaux de feu qui les séparèrent l’un de l’autre; et Élie monta au ciel dans le tourbillon.
12 Elisha akaiona akalia kwa sauti, “Baba yangu, baba yangu, gari la kukokotwa na farasi la Israeli na waendesha farasi!'” Hakumwona Eliya tena, na akashikilia nguo zake mwenyewe na kugawanya kwenye vipande viwili.
Or Élisée le voyait et criait: Mon père, mon père, vous le char d’Israël et son conducteur. Après cela il ne le vit plus; et il prit ses vêtements et les déchira en deux parts.
13 Akachukua vazi la Eliya lililokuwa limemwangukia, na kurudi kusimama kwenye ukingo wa Yordani.
Et il ramassa le manteau d’Élie qui était tombé pour lui; et revenu, il s’arrêta sur la rive du Jourdain,
14 Akayapiga maji pamoja na lile vazi la Eliya alilokuwa ameliangusha na kusema, “Yahwe yuko wapi, Mungu wa Eliya?'” Wakati alipoyapiga yale maji, yaligawanyika katika pande mbili na Elisha akavuka.
Et avec le manteau d’Élie qui était tombé pour lui, il frappa les eaux, et elles ne furent point divisées. Alors il dit: Où est le Dieu d’Élie maintenant? Et il frappa les eaux, et elles se partagèrent d’un côté et de l’autre, et Élisée passa.
15 Wakati hao wana wa manabii ambao walitoka Yeriko walipomuona akikatiza kwao, wakasema, “roho ya Eliya imepumzika kwa Elisha!” Hivyo wakaja kuonana naye, na wakasujudu aridhini mbele yake.
Voyant cela, les fils des prophètes qui étaient à Jéricho, vis-à-vis, dirent: L’esprit d’Élie s’est reposé sur Élisée. Et, venant à sa rencontre, ils se prosternèrent, inclinés vers la terre,
16 Wakamwambia, “Ona sasa, miongoni mwa watumishi wako kuna watu hamsini hodari. Tunakuomba Waache waende, na kumtafuta bwana wako, endapo huyo Roho wa Yahwe alipomchukua juu na kumtupa juu ya mlima mmoja au kwenye bonde moja.” Elisha akajibu, “Hapana, msiwatume.”
Et ils lui dirent: Voilà qu’avec tes serviteurs sont cinquante hommes forts qui peuvent aller et chercher ton maître: car peut-être que l’Esprit du Seigneur l’aura enlevé et jeté quelque part sur une des montagnes ou dans une des vallées. Élisée répondit: N’envoyez point.
17 Lakini walimsihi Elisha hadi akaona aibu, akasema, “Watume.”Ndipo wakawatuma watu hamsini, na wakatafuta kwa mda wa siku tatu, lakini hawakumpata.
Mais ils le pressèrent jusqu’à ce qu’il consentit et qu’il dît: Envoyez. Ils envoyèrent donc cinquante hommes, qui, l’ayant cherché pendant trois jours, ne le trouvèrent point.
18 Wakarudi kwa Elisha, wakati alipokuwa bado yuko Yeriko, na akasema, “Je sikusema, 'msiende'?”
Et ils revinrent vers Élisée, qui habitait à Jéricho, et il leur dit: Ne vous avais-je pas dit: N’envoyez point?
19 Watu wa mjini wakamwambia Elisha, “Ona, tunakuomba, hali ya mjini hapa ni pazuri, kama bwana wangu awezavyo kuona, lakini maji ni mabaya na hiyo nchi haiwezi kuzaa matunda.”
Les hommes de la ville dirent aussi à Élisée: Voilà que l’habitation de cette ville est excellente, comme vous-même, seigneur, le voyez; mais les eaux sont très mauvaises, et la terre stérile.
20 Elisha akajibu, “Nileteeni bakuli jipya na muweke chumvi ndani ya hilo bakuli,” hivyo wakamletea.
Et Élisée répondit: Apportez-moi un vase neuf, et mettez-y du sel. Lorsqu’ils l’eurent apporté,
21 Elisha akaenda hadi kwenye chemichemi za maji na kutupia chumvi ndani; halafu akasema, “Yahwe asema hivi, 'Nimeyaponya haya maji. Kuanzia mda huu, hakutakuwa na kifo au nchi isiyozaa matunda.
Etant sorti vers la fontaine, il jeta le sel dans l’eau, et dit: Voici ce que dit le Seigneur: J’ai rendu ces eaux saines, et il n’y aura plus en elles de mort ni de stérilité.
22 “Hivyo hayo maji yakaponya hata leo, kwa lile neno ambalo Elisha aliongea.
Ces eaux donc ont été saines jusqu’à ce jour, selon la parole qu’Élisée dit.
23 Ndipo Elisha akapanda kutoka pale mpaka Betheli. Naye alipokuwa akienda hadi kwenye barabara, wakatokea vijana nje ya mji na kumtania, wakamwambia, “Panda juu, wewe mwenye kipara! Panda juu, wewe mwenye kipara!”
Or il monta de là à Béthel; et, lorsqu’il montait par la voie, de petits enfants sortirent de la ville et le raillaient, disant: Monte, chauve; monte, chauve.
24 Elisha alipotazama nyuma yake na kuwaona; alimwambia Yahwe awalaani. Ndipo dubu wa kike wawili wakatokea kichakani na kuwajeruhi vijana arobaini na mbili.
Lorsqu’Élisée eut regardé, il les vit, et les maudit au nom du Seigneur; et deux ours sortirent du bois, et déchirèrent quarante-deux de ces enfants.
25 Ndipo Elisha alipoondoka pale na kuelekea Mlima Karmeli, na kutoka huko alirudi samaria.
Élisée s’en alla ensuite sur la montagne du Carmel, et de là il revint à Samarie.

< 2 Wafalme 2 >