< 2 Wafalme 2 >
1 Hivyo ilipokuja kuhusu, wakati Yahwe alipokuwa akienda kumchukua Eliya kwenda mbinguni kwa uvumi, ambapo Eliya aliondoka pamoja na Elisha kutoka Gigali.
Quand l’Eternel fit monter Elie au ciel dans un tourbillon, Elle et Elisée quittaient Ghilgal.
2 Eliya akamwambia Elisha, '“kaa hapa, tafadhali, kwa sababu Yahwe alinituma kwa Betheli.'” Elisha akajibu, “Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.'” Hivyo wakashuka chini kulekea Betheli.
Elie dit à Elisée: "Reste ici, de grâce, car l’Eternel m’a donné une mission pour Béthel. Vive Dieu et par ta propre vie! répondit Elisée, je ne te quitterai pas." Et ils se rendirent ensemble à Béthel.
3 Wana wa manabii ambao walikuwa Betheli walikuja kwa Elisha na kumwambia, je unajua kwamba Yahwe atamwondoa bwana wako kuanzia leo?”' Elisha akajibu, “Ndiyo, nalijua hilo, ila msizungumze kuhusu hilo.”'
Les jeunes prophètes établis à Béthel allèrent au-devant d’Elisée et lui dirent: "Sais-tu que l’Eternel t’enlève aujourd’hui ton maître, ton guide?" Il répondit: "Silence, oui, je le sais."
4 Eliya akamwambia, “Elisha, subiri hapa, tafadhali, kwa kuwa Yahwe amenituma niende Yeriko.” Kisha Elisha akajibu, '“Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.” Hivyo wakaenda Yeriko.
Elie reprit: "Elisée, reste ici, car l’Eternel m’a confié une mission pour Jéricho. Vive l’Eternel, répliqua-t-il, et par ta propre vie! Je ne te quitterai pas." Et ils vinrent ensemble à Jéricho.
5 Kisha wana wa manabii ambao walikuwa Yeriko wakaja kwa Elisha na kumwambia, “'Je unajua kwamba Yahwe atamwondoa bwana wako kutoka kwako leo?” Elisha akajibu, “Ndiyo, nalijua hilo, lakini msilizungumzie hilo.”
Les jeunes prophètes établis à Jéricho se rendirent auprès d’Elisée et lui dirent: "Sais-tu que l’Eternel t’enlève aujourd’hui ton maître, ton guide? Silence, répondit-il, oui, je le sais."
6 Kisha Eliya akamwambia, '“kaa hapa, tafadhali, kwa kuwa Yahwe amenituma kwenda Yeriko.” Elisha akajibu, “Kama Yahwe ishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.” Hivyo wawili wakaenda mbele.
Et Elie dit de nouveau: "Reste ici, je te prie, car l’Eternel m’envoie du côté du Jourdain." Il répondit: "Vive l’Eternel et par ta propre vie! Je ne te quitterai pas." Et ils continuèrent ensemble leur route.
7 Baadaye watu hamsini wa watoto wa wale manabii wakasimama kuwakabili kwa mbali kidogo wale wawili wakasimama karibu na Yordani.
Cinquante jeunes prophètes allèrent, de leur côté, et se placèrent en vue d’eux à une certaine distance; les deux prophètes s’étaient arrêtés près du Jourdain.
8 Eliya akachukua vazi lake, akaliviringisha, na kuyapiga maji kwa kutumia lile vazi. Ule mto ukagawanyika katika sehemu mbili hivyo basi wawili hao wakatembea hadi nchi kavu.
Elie prit son manteau, le roula, en frappa les eaux, qui se séparèrent en deux, et ils passèrent ensemble à pieds secs.
9 Ilitokea, walipokwisha kuvuka, kwamba Eliya akamwambia Elisha, “Niambie unachotaka nifanye kwako kabla sijaondolewa kutoka kwako.” Elisha akajibu, “Naomba sehemu kubwa ya roho yako ije kwangu.
Pendant qu’ils traversaient, Elie dit à Elisée: "Exprime un désir; que puis-je faire pour toi avant que je te sois enlevé?" Elisée répondit: "Puissé-je avoir une double part de l’esprit qui t’inspire!
10 Eliya akajibu, “Umeomba jambo gumu. Hata hivyo, kama ukiniona wakati nitakapoondolewa kutoka kwako, hii itatokea kwako, lakini kama sivyo, haitatokea.”
Tu as demandé quelque chose de difficile, répondit Elie; tu seras cependant satisfait si tu me vois disparaître à tes yeux, mais sinon, non."
11 Ikawa walipokuwa bado wakienda mbele na kuzungumza, gari la kukokotwa na farasi lenye moto na farasi wa moto ikatokea, ambapo iliwatenga wale watu wawili kutoka kila mmoja, na Eliya akaenda juu kwa uvumi wa upepo kwenda mbinguni.
Ils, poursuivaient leur chemin en conversant, quand tout à coup un char de feu, attelé de chevaux de feu, les sépara l’un de l’autre, et Elie monta au ciel dans un tourbillon.
12 Elisha akaiona akalia kwa sauti, “Baba yangu, baba yangu, gari la kukokotwa na farasi la Israeli na waendesha farasi!'” Hakumwona Eliya tena, na akashikilia nguo zake mwenyewe na kugawanya kwenye vipande viwili.
A cette vue, Elisée s’écria: "Mon père, mon père! Char et cavalerie d’Israël!" Et il ne le vit plus. Alors il saisit ses vêtements, et les déchira de part en part.
13 Akachukua vazi la Eliya lililokuwa limemwangukia, na kurudi kusimama kwenye ukingo wa Yordani.
Puis il ramassa le manteau qui était tombé des épaules d’Elie, et retourna sur les rives du Jourdain, où il s’arrêta.
14 Akayapiga maji pamoja na lile vazi la Eliya alilokuwa ameliangusha na kusema, “Yahwe yuko wapi, Mungu wa Eliya?'” Wakati alipoyapiga yale maji, yaligawanyika katika pande mbili na Elisha akavuka.
Il prit le manteau qui était tombé des épaules d’Elie, et en frappa les eaux en s’écriant: "Où est l’Eternel, le Dieu d’Elie?" et sous ses coups les eaux se séparèrent devant lui également, et il passa.
15 Wakati hao wana wa manabii ambao walitoka Yeriko walipomuona akikatiza kwao, wakasema, “roho ya Eliya imepumzika kwa Elisha!” Hivyo wakaja kuonana naye, na wakasujudu aridhini mbele yake.
Les jeunes prophètes de Jéricho avaient vu de loin ce qui s’était passé, et ils dirent: "L’Esprit d’Elie repose sur Elisée." Ils allèrent à sa rencontre, et se prosternèrent devant lui jusqu’à terre.
16 Wakamwambia, “Ona sasa, miongoni mwa watumishi wako kuna watu hamsini hodari. Tunakuomba Waache waende, na kumtafuta bwana wako, endapo huyo Roho wa Yahwe alipomchukua juu na kumtupa juu ya mlima mmoja au kwenye bonde moja.” Elisha akajibu, “Hapana, msiwatume.”
Ils lui dirent: "Il y a parmi tes serviteurs cinquante hommes vaillants: laisse-les donc aller à la recherche de ton maître. Peut-être le souffle de l’Eternel l’a-t-il emporté et jeté sur une des montagnes, ou dans une des vallées. N’Envoyez personne," répliqua-t-il.
17 Lakini walimsihi Elisha hadi akaona aibu, akasema, “Watume.”Ndipo wakawatuma watu hamsini, na wakatafuta kwa mda wa siku tatu, lakini hawakumpata.
Mais ils insistèrent au point de l’embarrasser, et il dit: "Envoyez!" Ils envoyèrent cinquante hommes, qui cherchèrent le prophète pendant trois jours, mais sans le trouver.
18 Wakarudi kwa Elisha, wakati alipokuwa bado yuko Yeriko, na akasema, “Je sikusema, 'msiende'?”
Quand ils revinrent auprès d’Elisée, qui était resté à Jéricho, il leur dit: "Ne vous avais-je pas conseillé de ne pas aller?"
19 Watu wa mjini wakamwambia Elisha, “Ona, tunakuomba, hali ya mjini hapa ni pazuri, kama bwana wangu awezavyo kuona, lakini maji ni mabaya na hiyo nchi haiwezi kuzaa matunda.”
Or, les habitants de Jéricho dirent à Elisée: "Le séjour de cette ville est agréable, comme mon seigneur le voit; mais l’eau y est malsaine et le sol meurtrier."
20 Elisha akajibu, “Nileteeni bakuli jipya na muweke chumvi ndani ya hilo bakuli,” hivyo wakamletea.
Il répondit: "Apportez-moi une cruche neuve que vous remplirez de sel;" et on la lui apporta.
21 Elisha akaenda hadi kwenye chemichemi za maji na kutupia chumvi ndani; halafu akasema, “Yahwe asema hivi, 'Nimeyaponya haya maji. Kuanzia mda huu, hakutakuwa na kifo au nchi isiyozaa matunda.
Il alla vers la source d’où venait l’eau et y jeta le sel en disant: "Telle est la parole de l’Eternel: Je vais rendre ces eaux salubres, et elles ne causeront plus ni mort ni ravages."
22 “Hivyo hayo maji yakaponya hata leo, kwa lile neno ambalo Elisha aliongea.
Les eaux devinrent salubres, jusqu’au jour présent, selon la prédiction faite par Elisée.
23 Ndipo Elisha akapanda kutoka pale mpaka Betheli. Naye alipokuwa akienda hadi kwenye barabara, wakatokea vijana nje ya mji na kumtania, wakamwambia, “Panda juu, wewe mwenye kipara! Panda juu, wewe mwenye kipara!”
Il se rendit de là à Béthel. Il suivait la montée, quand de jeunes garçons, sortant de la ville, l’insultèrent en ces termes: "Monte, chauve, monte, chauve!"
24 Elisha alipotazama nyuma yake na kuwaona; alimwambia Yahwe awalaani. Ndipo dubu wa kike wawili wakatokea kichakani na kuwajeruhi vijana arobaini na mbili.
Il se retourna pour les voir, et les maudit au nom de l’Eternel. Aussitôt, deux ours sortirent de la forêt et mirent en pièces quarante-deux de ces enfants.
25 Ndipo Elisha alipoondoka pale na kuelekea Mlima Karmeli, na kutoka huko alirudi samaria.
De là, il se dirigea vers le mont Carmel, d’où il revint à Samarie.