< 2 Wafalme 2 >
1 Hivyo ilipokuja kuhusu, wakati Yahwe alipokuwa akienda kumchukua Eliya kwenda mbinguni kwa uvumi, ambapo Eliya aliondoka pamoja na Elisha kutoka Gigali.
Comme Yahvé était sur le point d'enlever Élie au ciel par un tourbillon, Élie partit de Gilgal avec Élisée.
2 Eliya akamwambia Elisha, '“kaa hapa, tafadhali, kwa sababu Yahwe alinituma kwa Betheli.'” Elisha akajibu, “Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.'” Hivyo wakashuka chini kulekea Betheli.
Élie dit à Élisée: « Attends ici, car Yahvé m'a envoyé jusqu'à Béthel. » Élisée dit: « Aussi vrai que Yahvé est vivant et que ton âme est vivante, je ne te quitterai pas. » Ils descendirent donc à Béthel.
3 Wana wa manabii ambao walikuwa Betheli walikuja kwa Elisha na kumwambia, je unajua kwamba Yahwe atamwondoa bwana wako kuanzia leo?”' Elisha akajibu, “Ndiyo, nalijua hilo, ila msizungumze kuhusu hilo.”'
Les fils des prophètes qui étaient à Béthel sortirent vers Élisée et lui dirent: « Sais-tu que Yahvé va enlever aujourd'hui ton maître de dessus toi? » Il a dit: « Oui, je le sais. Tiens-toi tranquille. »
4 Eliya akamwambia, “Elisha, subiri hapa, tafadhali, kwa kuwa Yahwe amenituma niende Yeriko.” Kisha Elisha akajibu, '“Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.” Hivyo wakaenda Yeriko.
Élie lui dit: « Élisée, attends ici, car l'Éternel m'a envoyé à Jéricho. » Il dit: « Aussi vrai que Yahvé est vivant et que ton âme est vivante, je ne te quitterai pas. » Ils arrivèrent donc à Jéricho.
5 Kisha wana wa manabii ambao walikuwa Yeriko wakaja kwa Elisha na kumwambia, “'Je unajua kwamba Yahwe atamwondoa bwana wako kutoka kwako leo?” Elisha akajibu, “Ndiyo, nalijua hilo, lakini msilizungumzie hilo.”
Les fils des prophètes qui étaient à Jéricho s'approchèrent d'Élisée et lui dirent: « Sais-tu que Yahvé va enlever aujourd'hui ton maître de dessus toi? » Il a répondu: « Oui, je le sais. Tiens-toi tranquille. »
6 Kisha Eliya akamwambia, '“kaa hapa, tafadhali, kwa kuwa Yahwe amenituma kwenda Yeriko.” Elisha akajibu, “Kama Yahwe ishivyo, na kama uishivyo, sintokuacha.” Hivyo wawili wakaenda mbele.
Élie lui dit: « Attends ici, car l'Éternel m'a envoyé au Jourdain. » Il dit: « Aussi vrai que Yahvé vit et que ton âme vit, je ne te quitterai pas. » Et ils partirent tous deux.
7 Baadaye watu hamsini wa watoto wa wale manabii wakasimama kuwakabili kwa mbali kidogo wale wawili wakasimama karibu na Yordani.
Cinquante hommes d'entre les fils des prophètes allèrent se placer à distance en face d'eux, et ils se tinrent tous deux au bord du Jourdain.
8 Eliya akachukua vazi lake, akaliviringisha, na kuyapiga maji kwa kutumia lile vazi. Ule mto ukagawanyika katika sehemu mbili hivyo basi wawili hao wakatembea hadi nchi kavu.
Élie prit son manteau, l'enroula, et frappa les eaux; elles se divisèrent ici et là, et ils passèrent tous deux à sec.
9 Ilitokea, walipokwisha kuvuka, kwamba Eliya akamwambia Elisha, “Niambie unachotaka nifanye kwako kabla sijaondolewa kutoka kwako.” Elisha akajibu, “Naomba sehemu kubwa ya roho yako ije kwangu.
Lorsqu'ils eurent traversé, Élie dit à Élisée: « Demande ce que je peux faire pour toi, avant que je sois enlevé d'avec toi. » Elisha a dit, « S'il te plaît, qu'une double portion de ton esprit soit sur moi. »
10 Eliya akajibu, “Umeomba jambo gumu. Hata hivyo, kama ukiniona wakati nitakapoondolewa kutoka kwako, hii itatokea kwako, lakini kama sivyo, haitatokea.”
Il dit: « Tu as demandé une chose difficile. Si tu me vois quand on m'enlèvera de toi, il en sera ainsi pour toi; sinon, il n'en sera pas ainsi. »
11 Ikawa walipokuwa bado wakienda mbele na kuzungumza, gari la kukokotwa na farasi lenye moto na farasi wa moto ikatokea, ambapo iliwatenga wale watu wawili kutoka kila mmoja, na Eliya akaenda juu kwa uvumi wa upepo kwenda mbinguni.
Comme ils continuaient à parler, voici qu'un char de feu et des chevaux de feu les séparèrent; et Élie monta au ciel dans un tourbillon.
12 Elisha akaiona akalia kwa sauti, “Baba yangu, baba yangu, gari la kukokotwa na farasi la Israeli na waendesha farasi!'” Hakumwona Eliya tena, na akashikilia nguo zake mwenyewe na kugawanya kwenye vipande viwili.
Élisée le vit, et il s'écria: « Mon père, mon père, les chars d'Israël et ses cavaliers! » Il ne le vit plus. Puis il saisit ses propres vêtements et les déchira en deux morceaux.
13 Akachukua vazi la Eliya lililokuwa limemwangukia, na kurudi kusimama kwenye ukingo wa Yordani.
Il prit aussi le manteau d'Élie qui était tombé de lui, et s'en retourna se placer sur la rive du Jourdain.
14 Akayapiga maji pamoja na lile vazi la Eliya alilokuwa ameliangusha na kusema, “Yahwe yuko wapi, Mungu wa Eliya?'” Wakati alipoyapiga yale maji, yaligawanyika katika pande mbili na Elisha akavuka.
Il prit le manteau d'Élie qui était tombé de lui, frappa les eaux, et dit: « Où est Yahvé, le Dieu d'Élie? » Quand il eut aussi frappé les eaux, elles se séparèrent, et Élisée passa outre.
15 Wakati hao wana wa manabii ambao walitoka Yeriko walipomuona akikatiza kwao, wakasema, “roho ya Eliya imepumzika kwa Elisha!” Hivyo wakaja kuonana naye, na wakasujudu aridhini mbele yake.
Lorsque les fils des prophètes qui étaient à Jéricho, en face de lui, le virent, ils dirent: « L'esprit d'Élie repose sur Élisée. » Ils vinrent à sa rencontre et se prosternèrent à terre devant lui.
16 Wakamwambia, “Ona sasa, miongoni mwa watumishi wako kuna watu hamsini hodari. Tunakuomba Waache waende, na kumtafuta bwana wako, endapo huyo Roho wa Yahwe alipomchukua juu na kumtupa juu ya mlima mmoja au kwenye bonde moja.” Elisha akajibu, “Hapana, msiwatume.”
Ils lui dirent: « Vois maintenant, il y a avec tes serviteurs cinquante hommes forts. Laisse-les, je te prie, aller chercher ton maître. Peut-être l'Esprit de Yahvé l'a-t-il enlevé et déposé sur quelque montagne ou dans quelque vallée. » Il a dit: « Ne les envoyez pas. »
17 Lakini walimsihi Elisha hadi akaona aibu, akasema, “Watume.”Ndipo wakawatuma watu hamsini, na wakatafuta kwa mda wa siku tatu, lakini hawakumpata.
Comme ils le pressaient jusqu'à la honte, il dit: « Envoyez-les. » Ils envoyèrent donc cinquante hommes; ils cherchèrent pendant trois jours, mais ne le trouvèrent pas.
18 Wakarudi kwa Elisha, wakati alipokuwa bado yuko Yeriko, na akasema, “Je sikusema, 'msiende'?”
Ils revinrent vers lui pendant qu'il restait à Jéricho, et il leur dit: « Ne vous ai-je pas dit: « N'y allez pas? »
19 Watu wa mjini wakamwambia Elisha, “Ona, tunakuomba, hali ya mjini hapa ni pazuri, kama bwana wangu awezavyo kuona, lakini maji ni mabaya na hiyo nchi haiwezi kuzaa matunda.”
Les hommes de la ville dirent à Élisée: « Voici, je vous en prie, la situation de cette ville est agréable, comme le voit mon seigneur; mais l'eau est mauvaise, et le pays est stérile. »
20 Elisha akajibu, “Nileteeni bakuli jipya na muweke chumvi ndani ya hilo bakuli,” hivyo wakamletea.
Il dit: « Apportez-moi une jarre neuve, et mettez-y du sel. » On la lui apporta.
21 Elisha akaenda hadi kwenye chemichemi za maji na kutupia chumvi ndani; halafu akasema, “Yahwe asema hivi, 'Nimeyaponya haya maji. Kuanzia mda huu, hakutakuwa na kifo au nchi isiyozaa matunda.
Il sortit vers la source des eaux, y jeta du sel, et dit: « L'Éternel dit: 'J'ai guéri ces eaux. Il n'y aura plus de mort ni de désert à partir de là ».
22 “Hivyo hayo maji yakaponya hata leo, kwa lile neno ambalo Elisha aliongea.
Et les eaux furent guéries jusqu'à ce jour, selon la parole qu'Élisée avait prononcée.
23 Ndipo Elisha akapanda kutoka pale mpaka Betheli. Naye alipokuwa akienda hadi kwenye barabara, wakatokea vijana nje ya mji na kumtania, wakamwambia, “Panda juu, wewe mwenye kipara! Panda juu, wewe mwenye kipara!”
De là, il monta à Béthel. Comme il montait par le chemin, des jeunes gens sortirent de la ville, se moquèrent de lui et lui dirent: « Monte, chauve! Monte, chauve! »
24 Elisha alipotazama nyuma yake na kuwaona; alimwambia Yahwe awalaani. Ndipo dubu wa kike wawili wakatokea kichakani na kuwajeruhi vijana arobaini na mbili.
Il regarda derrière lui et les vit, et il les maudit au nom de Yahvé. Deux ourses sortirent alors des bois et déchiquetèrent quarante-deux de ces jeunes gens.
25 Ndipo Elisha alipoondoka pale na kuelekea Mlima Karmeli, na kutoka huko alirudi samaria.
De là, il se rendit au Carmel et de là, il retourna à Samarie.