< 2 Wafalme 19 >

1 Ikawa kuhusu kwamba wakati Mfalme Hezekia aliposikia taazrifa zao, akararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia, na kwenda kwenye nyumba ya Yahwe.
Manghai Hezekiah loh a yaak van neh a himbai te a phen. Tlamhni te a bai tih BOEIPA im la cet.
2 Akamtuma Elkana, ambaye alikua msimamizi wa nyumba ya mfalme, na Shebna yule mwandishi, na wazee wa makuhani, wote walikuwa wamefunikwa na nguo za magunia, kwenda kwa Isaya mwana wa Amozi, yule nabii.
Te phoeiah im aka hung Eliakim, cadaek Shebna, tlamhni aka bai khosoih ham rhoek te Amoz capa tonghma Isaiah taengla a tueih.
3 Wakamwambia, “Hezekia wakisema, 'siku hii ni siku ya mateso, shutuma, na fedheha, kwa kuwa wakati umewadia watoto kuzaliwa, lakini hakuna nguvu ili wazaliwe.
Te phoeiah Isaiah te, “Hezekiah loh he ni a thui. Tahae khohnin he tah citcai neh, toelthamnah neh kokhahnah khohnin coeng ni. Camoe om ham a pha coeng dae a cun ham thadueng om pawh.
4 Inaweza kuwa Yahwe Mungu wako atasikia maneno yote ya amiri jeshi mkuu, ambaye mfalme wa Ashuru bwana wake amemtuma kumkaidi Mungu aliye hai, naye atayakemea yale maneno ambayo Yahwe Mungu wako aliyasikia. Sasa inua maombi yako juu kwa ajili ya mabaki yaliyo bakia hapo.”'
Rabshakeh kah ol cungkuem te na Pathen BOEIPA loh a yaak khaming. Anih te a boei Assyria manghai loh aka hing Pathen veet hamla a tueih. Na Pathen BOEIPA loh a yaak bangla a ol soah a tluung bitni. Te dongah a meet la a hmuh rhoek ham mah thangthuinah khueh mai laeh,” a ti uh.
5 Hivyo watumishi wa mfalme Hezekia wakaja kwa Isaya,
Manghai Hezekiah kah sal rhoek te khaw Isaiah taengla pawk uh tangloeng.
6 na Isaya akawaambia, “Mwambieni bwana wenu: 'Yahwe asema hivi, “Usiyaogope maneno ambayo uliyoyasikia, pamoja na kwamba watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana.
Te vaengah amih te Isaiah loh, “Na boei rhoek te thui pah. BOEIPA loh he ni a thui. Ol na yaak soah rhih uh boeh. Assyria manghai kah tueihyoeih rhoek loh kai n'hliphen uh.
7 Tazama, nitaweka roho ndani yake, na yamkini atasikia taarifa na kurudi kwenye nchi yake mwenyewe. Nitamfanya aanguke kwa upanga katika nchi yake mwenyewe."”'
Kai loh a khuiah mueihla ka paek tih olthang a yaak coeng ke. Te dongah amah kho la mael bitni. Anih te amah kho ah cunghang dongla ka cungku sak ni,” a ti nah.
8 Kisha amiri jeshi mkuu akarudi na kumkuta mfalme wa Ashuru akipigana dhidi ya Libna, kwa kuwa alisikia kwamba mfalme alikuwa ameenda kutoka Lakishi.
Lakhish lamkah a caeh te a yaak vaengah Rabshakeh khaw nong tih Assyria manghai loh Libnah a vathoh thil te a hmuh.
9 Kisha Senakeribu akasikia kwamba Tirhaka mfalme wa Kushi na Misri alihamasisha kupigana dhidi yake, hivyo akatuma wajumbe tena kwa Hezekia pamoja na ujumbe:
Kusah manghai Tirhakah kawng a yaak vaengah khaw, “Nang vathoh thil ham ha pawk coeng ke,” a ti nah. Te dongah mael tih Hezekiah taengla puencawn a tueih.
10 “Mwambieni Hezekia mfalme wa Yuda, 'Asikudanganye Mungu wako unayemwamini, kusema, “Yerusalemu haitawekwa kwenye mikono ya mikono ya mfalme wa Ashuru.”
Te vaengah, “Judah manghai Hezekiah te thui pah lamtah, ‘A soah na pangtung thil na Pathen loh nang n'rhaithi boel saeh. Jerusalem te Assyria manghai kut ah tloeng mahpawh,’ na ti.
11 Tazama, umesikia kwamba wafalme wa Ashuru wamemaliza nchi zote kwa kuziharibu kabisa. Kwa hiyo je utaokoka?
Assyria manghai rhoek loh diklai tom ah a saii te na yaak coeng he. ‘Amih te a thup ham coeng dongah na huul uh hatko.
12 Je wale miungu wa mataifa wamewaokoa, mataifa ambao baba zangu waliyaharibu: Gozani, Harani, Resefu, na watu wa Edeni katika Telasari?
Kai napa rhoek aka phae namtom pathen loh amih Gozan neh Haran, Rezeph neh Telassar kah Eden ca rhoek te a huul aya?
13 Je yuko wapi mfalme wa Hamathi, mfalme Arpadi, mfalme wa miji ya Sefarvaimu, wa Hena, na Iva?”'
Khamath manghai neh Arpad manghai, Hena Sepharvaim neh Ivvah khopuei manghai te ta?’ na ti,” a ti nah.
14 Hezekia akapokea hii barua kutoka wale wajumbe na kuisoma. Kisha akapanda hata kwenye nyumba ya Yahwe na kuukunjua mbele yake.
Hezekiah loh puencawn kut lamkah capat te a doe tih a tae. Te phoeiah BOEIPA im la cet tih Hezekiah loh BOEIPA mikhmuh ah a kut a phuel.
15 Kisha Hezekia akaomba mbele ya Yahwe na kusema, “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, uketiye juu ya makerubi, wewe ni Mungu wa pekee juu ya tawala zote za dunia. Uliyeziumba mbingu na nchi.
Hezekiah te BOEIPA mikhmuh ah thangthui tih, “Cherubim ah aka ngol Israel Pathen BOEIPA aw, nang namah bueng ni diklai ram boeih soah Pathen la na om. Namah loh vaan neh diklai na saii.
16 Tega sikio lako, Yahwe, na usikie. Fungua macho yako, Yahwe, na tazama, na sikia maneno ya Senakeribu, ambayo ameyatuma kumdhihaki Mungu aliye hai.
BOEIPA aw na hna kaeng lamtah ya lah, BOEIPA aw na mik dai lamtah hmu laeh. A hing Pathen veet hamla Sennacherib loh ol a pat te hnatun nawn.
17 Ni kweli, Yahwe, wafalme wa Ashuru ameyaharibu mataifa na nchi zao.
BOEIPA aw Assyria manghai rhoek loh namtom rhoek neh a khohmuen te khaw a khah coeng.
18 Wameiweka miungu yao kwenye moto, kwa kuwa hawakuwa miungu lakini ilikuwa kazi ya mikono ya watu, ilikuwa miti na mawe. Hivyo Waashuru wamewaharibu.
Amih kah pathen rhoek te hmai khuila a pup coeng. Te rhoek te pathen pawt tih hlang kut dongkah bibi, thing neh lungto la a om dongah milh uh coeng.
19 Basi sasa, Yahwe Mungu wetu, tuokoe, nakusihi, kutoka kwenye nguvu zake, ili kwamba mamlaka zote za dunia zipate kujua yakwamba wewe, Yahwe, ndiye Mungu wa pekee.”
Kaimih kah Pathen BOEIPA aw tahae ah kaimih he anih kut lamloh n'khang laeh. Te daengah ni diklai ram pum loh nang namah bueng te Pathen BOEIPA la m'ming eh,” a ti.
20 Kisha Isaya mwana wa Amozi akatuma ujumbe kwa Hezekia, akisema, “Yahwe, Mungu wa Israeli asema, 'Kwasababu umeomba kwangu kuhusiana na Senakeribu mfalme wa Ashuru, nimekusikia.
Te dongah Amoz capa Isaiah loh Hezekiah taengla ol atah tih, “Israel Pathen BOEIPA loh he ni a thui. Assyria manghai Sennacherib kongah kai taengla na thangthui te ka yaak coeng.
21 Hili ndilo neno ambalo Yahwe ameliongea kuhusu yeye: “Bikira binti Sayuni amekudharau na kukucheka kwa dharau. Binti wa Yerusalemu akatikisa kichwa juu yako.
Ol he BOEIPA loh anih a thui thil coeng. Zion nu, oila nang te n'hnoelrhoeng thil uh tih nang te n'tamdaeng coeng. Na hnuk ah Jerusalem nu loh lu a hinghuen.
22 Je ni nani uliyemchokoza na kumtukana? Dhidi ya nani umeinua sauti yako na kuinua macho yako katika majivuno? Juu ya Mtakatifu wa Israeli!
Unim na veet tih na hliphen? U taengah nim ol na huel? Israel kah a cim la na maelhmai kah koevoeinah na phueih thil.
23 Kupitia wajumbe wako wamemdharau Bwana, na kusema, 'Pamoja na wingi wa magari yangu ya farasi nimeenda juu ya vilele ya milima, hata juu ya kilele cha Lebanoni. Nitaikata mierezi mirefu na kuchagua miti ya mivinje huko. Nitaingia sehemu za makazi yake yaliyo mbali, msitu wake uzaao sana.
Na puencawn rhoek kah kut lamloh ka Boeipa te na veet tih, ‘Leng khaw kamah kah leng muep om, kai tah Lebanon hlaep kah tlang sang la ka luei, a lamphai thing sang neh hmaical a hloe khaw ka top. A cangphil cangngol duup a bawtnah kah rhaehim khaw ka pha.
24 Nimechimba visima na kunywa maji mageni. Nimekausha mito yote ya Misri chini ya soli ya miguu yangu.'
Kamah loh ka rhawt dae kholong tui ni ka ok. Ka kho dongkah khopha loh Egypt sokko khaw boeih ka kak sak,’ na ti.
25 Je hukusikia jinsi nilivyoagiza tangu zamani, na kuyafanya tangu siku za zamani? Sasa ninalileta kupita. Uko hapa kupunguza miji isiyoingilika kwenye rundo la maangamizi.
Hlamat tue lamloh ka saii te na ya daengrhae pawt nim? Te te ka hlinsai tih ka thoeng sak coeng. Te dongah vong cak khopuei aka hnuei tih lungkuk aka pong sak la na om coeng.
26 Makazi yao, ya nguvu kidogo, imevunjwa vunjwa na aibu. Wamekuwa mimea katika shamba, majani ya kijani, majani juu kwenye dari au kwenye shamba, lililochomwa kabla halijakua.
A khuikah khosa rhoek khaw a kut toi uh coeng. Rhihyawp uh tih yak uh coeng. Lohma kah baelhing neh imphu kah baeldaih sulnoe khopol bangla om uh tih canghli kah mawn bangla om.
27 Lakini najua kuketi kwako chini, na kutoka kwako, kuingia kwako dhidi yangu.
“Tedae na ngol khaw, na vuenva neh na kunael khaw, kai nan tlai thil te khaw ka ming.
28 Kwasababu kiburi chako kimeyafikia masikio yangu, Nitaweka kulabu yangu kwenye pua yako, na hatamu yangu kwenye mdomo wako; nitakurudisha nyuma kwa njia ile ile uliyoijia.”
“Kai nan tlai thil tih nan lawn khaw kai hna la ha pawk coeng. Te dongah ka thisum neh na hnarhong ah kan toeh vetih ka kamrhui he na hmuilai ah kam bang ni. Te lamkah na pawk vanbangla nang te tekah longpuei lamloh kam mael sak ni.
29 Hii ndiyo itakuwa ishara kwako: Mwaka huu mtakula vitu viotavyo porini, na katika mwaka wa pili vile vikuavyo katika huo. Lakini katika mwaka wa tatu ni lazima mpande na kuvuna, kupanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.
“He tah nang ham miknoek la om saeh. Kum khat pong vetih kum bae dongah anboe te ca. Kum thum dongah tawn uh lamtah at uh. Misur khaw phung uh lamtah a thaih te ca uh.
30 Mabaki ya nyumba ya Yuda ambayo yataokoka yatachukua tena mizizi na kuzaa matunda.
A dang ah a yung aka sueng Judah imkhui kah rhalyong te a koei vetih a soah a thaih thai ni.
31 Kwa kuwa mabaki yatatoka Yerusalemu, kutoka Mlima Sayuni wenye kuokoka utakuja. Wivu wa Yahwe wa majeshi utafanya hivyo.
Jerusalem lamkah a meet neh Zion tlang lamkah rhalyong loh a pawk vaengah, caempuei BOEIPA kah thatlainah khaw cung bitni.
32 Kwa hiyo Yahwe asema hivi kuhusu mfalme wa Ashuru: “Hatakuja kwenye huu mji wala kupiga mshale hapa. Wala hatakuja mbele yake na ngao au kujenga boma dhidi yake.
“Te dongah BOEIPA loh Assyria manghai kongah he ni a thui. Anih te he khopuei la ha pawk mahpawh. Heah he thaltang khaw nuen mahpawh. photling te khaw dan pawt vetih tanglung khaw lun thil mahpawh.
33 Njia ile ile aliyoijia ndiyo njia atakayoondokea; hatoingia mji huu - hivi ndivyo asemavyo Yahwe.”
Tekah longpuei lamloh ha pawk vanbangla te lamlong ni a mael eh. He khopuei khuila kun mahpawh. He tah BOEIPA kah olphong coeng ni.
34 Kwa maana nitaulinda huu mji na kuuokoa, kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”'
Kamah ham neh ka sal David kongah khopuei he daem sak ham ka tungaep ni,” a ti nah.
35 Ikawa kuhusu usiku huo ambao malaika wa Yahwe alitoka na kuvamia kambi ya Waashuru, akawaua maaskari 185, 000. Kisha watu wakaamka asubuhi na mapema, miili ya watu waliokuwa wamekufa ilikuwa imelala kila mahali.
Te khoyin ah tah BOEIPA kah puencawn te cet tangloeng tih Assyria caem khuikah te thawng yakhat sawmrhet thawng nga a ngawn. Te dongah mincang kah a thoh uh vaengah tah amih te a rhok la boeih ana duek.
36 Hivyo Senakeribu mfalme wa Ashuru akaondoka Israeli na kwenda nyumbani na kuishi katika Ninawi.
Te dongah puen uh tih a nong phoeiah tah Assyria manghai Sennacherib khaw mael tih Nineveh ah kho a sak.
37 Baadaye, alipokuwa akiabudu kwenye nyumba ya Nisroki mungu wake, watoto wake Adramaleki na Shareza wakamuua kwa upanga. Kisha wakakimbilia kwenye nchi ya Ararati. Kisha Esarhodani mwanaye akawa mfalme katika mahali pake.
Te phoeiah om tih anih te a pathen Nisrock im ah tho a thueng dae a capa Adrammelech neh Sharezer loh cunghang neh a ngawn. Amih rhoi te Ararat kho la a poeng rhoi dongah a capa Esarhaddon te anih yueng la manghai.

< 2 Wafalme 19 >