< 2 Wafalme 18 >

1 Ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea mwana wa Ela, mfalme wa Israeli, Hezekia mwana wa Ahazi, mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
I Elas Søns, Kong Hosea af Israels, tredje Regeringsaar blev Ezekias, Akaz's Søn, Konge over Juda.
2 Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake alikuwa anaitwa Abija; alikuwa binti wa Zekaria.
Han var fem og tyve Aar gammel, da han blev Konge, og han herskede ni og tyve Aar i Jerusalem. Hans Moder hed Abi og var en Datter af Zekarja.
3 Alifanya yaliyo mema usoni pa Yahwe, kufuata mfano wa yote ambayo Daudi, babu yake, aliyoyafanya.
Han gjorde, hvad der var ret i HERRENS Øjne, ganske som hans Fader David.
4 Alipaondoa mahali pa juu, akaiharibu nguzo ya jiwe, akaikata hiyo nguzo ya Ashera. Akavunja vipande vipande ile nyoka ambayo Musa aliyokuwa ameifanya, kwa sababu siku zile wana wa Israeli walikuwa wakichoma ubani katika hiyo; ilikuwa inaitwa “Nehushtani.”
Han skaffede Offerhøjene bort, sønderbrød Stenstøtterne, omhuggede Asjerastøtten og knuste Kobberslangen, som Moses havde lavet; thi indtil den Tid havde Israeliterne tændt Offerild for den, og man kaldte den Nehusjtan.
5 Hezekia alimwamini Yahwe, Mungu wa Israeli, hivyo basi baada ya yeye hapakuwa kama yeye miongoni mwa wafalme wote wa Yuda, wala miongoni mwa wafalme ambao walikuwa kabla yake.
Til HERREN, Israels Gud, satte han sin Lid, og hverken før eller siden fandtes hans Lige blandt alle Judas Konger.
6 Aliambatana na Yahwe. Hakuacha kumfuata lakini alizifuata amri zake, ambazo Yahwe alimwamuru Musa.
Han holdt fast ved HERREN og veg ikke fra ham, og han overholdt de Bud, HERREN havde givet Moses.
7 Hivyo Yahwe alikuwa na Hezekia, kila alipokwenda alifanikiwa. Akaasi dhidi ya mfalme wa Ashuru na hakumtumikia.
Og HERREN var med ham; i alt, hvad han tog sig for, havde han Lykken med sig. Han gjorde Oprør mod Assyrerkongen og vilde ikke staa under ham.
8 Akawashambulia Wafilisti hadi Gaza na mipaka inayoizunguka, kutoka mnara wa walinzi hadi hadi mji wenye ngome.
Han slog Filisterne lige til Gaza og dets Omegn, baade Vagttaarnene og de befæstede Byer.
9 Katika mwaka wa nne wa Mfalme Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa saba wa Hoshea mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Shalmanesa mfalme wa Ashuru akapanda hadi Samaria na kuizunguka.
I Kong Ezekias's fjerde, Elas Søns, Kong Hosea af Israels, syvende Regeringsaar, drog Assyrerkongen Salmanassar op mod Samaria, belejrede
10 Mwishoni mwa miaka mitatu wakaichukua, katika mwaka wa sita wa Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa tisa wa Hoshea mfalme wa Israeli; hivi ndivyo Samaria ilivyotekwa.
og indtog det. Efter tre Aars Forløb, i Ezekias's sjette, Kong Hosea af Israels niende Regeringsaar, blev Samaria indtaget.
11 Basi mfalme wa Ashuru akawachukua Israeli kwenda Ashuru na kuwaweka kwenye Hala, na katika mto Habori katika Gozani, na katika mji wa Wamedi.
Og Assyrerkongen førte Israel i Landflygtighed til Assyrien og lod dem bosætte sig i Hala, ved Habor, Gozans Flod, og i Mediens Byer,
12 Alifanya hivi kwasababu hakutii sauti ya Yahwe Mungu wao, lakini walikiuka makubaliano ya agano lake, yote yale ambayo Musa yule mtumishi wa Yahwe aliwaamuru. Walikataa kuyasikiliza au kuyafanya.
til Straf for at de ikke havde adlydt HERREN deres Guds Røst, men overtraadt hans Pagt, alt hvad HERRENS Tjener Moses havde paabudt; de hørte ikke derpaa og gjorde ikke derefter.
13 Kisha katika mwaka wa kumi na nne wa mfalme Hezekia, Senakerebu mfalme wa Ashuru akaishambulia miji yote yenye boma na kuwateka mateka.
I Kong Ezekias's fjortende Regeringsaar drog Assyrerkongen Sankerib op mod alle Judas befæstede Byer og indtog dem.
14 Basi Hezekia mfalme wa Yuda akatuma neno kwenda kwa mfalalme wa Yuda akatuma neno kwa mfalme wa Ashuru, ambaye alikuwa Lachishi, akisema, “Nimekuudhi. Nichukue. Popote utakaponiweka nitavumulia”. Mfalme wa Ashuru akamtaka Hezekia mfalme wa Yuda kulipa talanta mia tatu za fedha na talanta thelathini za dhahabu.
Da sendte Kong Ezekias af Juda Bud til Assyrerkongen i Lakisj og lod sige: »Jeg har forbrudt mig; drag bort fra mig igen! Hvad du paalægger mig, vil jeg tage paa mig!« Da paalagde Assyrerkongen Kong Ezekias af Juda at udrede 300 Talenter Sølv og 300 Talenter Guld;
15 Hivyo Hezekia akampatia fedha zote ambazo zilikuwa zimepatikana kwenye nyumba ya Yahwe na kawenye hazina nyumba ya mfalme.
og Ezekias udleverede alt det Sølv, der var i HERRENS Hus og i Skatkamrene i Kongens Palads.
16 Kisha Hezekia akaikata ile dhahabu kutoka kwenye milango ya hekalu la Yahwe na kutoka juu ya nguzo; akampatia dhahabu mfalme wa Ashuru.
Ved den Lejlighed plyndrede Ezekias Dørene i HERRENS Helligdom og Pillerne for det Guld, han selv havde overtrukket dem med, og udleverede det til Assyrerkongen.
17 Lakini mfalme wa Ashuru akalihamasisha jeshi lake kubwa, akawatuma Tartani na Rabsarisi na amiri jeshi mkuu kutoka Lakishi kwenda kwa Hezekia huko Yerusalemu. Wakasafiri hadi kwenye mabarabara na kufika nje ya Yerusalemu. Wakakaribia karibu na mfereji wa birika la juu, kwenye barabara kuu ya shamba la dobi, na kusimama hapo.
Assyrerkongen sendte saa Tartan, Rabsaris og Rabsjake med en anselig Styrke fra Lakisj til Kong Ezekias i Jerusalem, og de drog op og kom til Jerusalem og gjorde Holdt ved Øvredammens Vandledning, ved Vejen til Blegepladsen.
18 Wakati walipokuwa wamemwita Mfalme Hezekia, Eliakimu mwana wa Hilkia, ambaye alikuwa kiongozi wa nyumba ya mfalme na Shebna mwandishi, na Joa mwana wa Asafu, anayeandika kumbukumbu, wakatoka nje kwenda kuwalaki
Da de krævede at faa Kongen i Tale, gik Paladsøversten Eljakim, Hilkijas Søn, Statsskriveren Sjebna og Kansleren Joa, Asafs Søn, ud til dem.
19 Basi yule amiri jeshi mkuu akawaambia wamwambie Hezekia kile alichosema mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru, amesema: “Nini chanzo cha ujasiri wako?
Rabsjake sagde til dem: »Sig til Ezekias: Saaledes siger Storkongen, Assyrerkongen: Hvad er det for en Fortrøstning, du hengiver dig til?
20 Unaongea maneno yasiyo na maana, kusema lipo neno na nguvu ya vita. Sasa unamtumainia nani? Nani anakupa ujasiri wa kuasi dhidi yangu?
Du mener vel, at et blot og bart Ord er det samme som Plan og Styrke i Krig? Og til hvem sætter du egentlig din Lid, siden du gør Oprør imod mig?
21 Tazama, unatumainia kutembelea fimbo ya mwanzi huu uliopondeka wa Misri, lakini kama mtu akiutegemea, utamchapa kwenye mkono wake na kuutoboa. Hicho ndicho Farao mfalme wa Misri kwa ymtu yeyote ambaye anayemtumainia.
Se nu, du sætter din Lid til Ægypten, denne brudte Rørkæp, som river Saar i Haanden paa den, der støtter sig til den! Thi saaledes gaar det alle dem, der sætter deres Lid til Farao, Ægyptens Konge.
22 Lakini kama ukiniambia, 'Tunamwamini Yahwe Mungu watu; je si yeye ambaye mahali pa juu na madhabahu Hezekia amezichukua, na kumwambia Yuda na kwa Yerusalemu, 'Lazima uabudu mbele ya hii madhabahu katika Yerusalemu'?
Men vil I sige til mig: Det er HERREN vor Gud, vi sætter vor Lid til! er det saa ikke ham, hvis Offerhøje og Altre Ezekias skaffede bort, da han sagde til Juda og Jerusalem: Foran dette Alter, i Jerusalem skal I tilbede!
23 Basi kwa hiyo, nataka kukufanyia ahadi nzuri kutoka kwa bwana wangu mfalme wa Ashuru. Nitakupatia farasi elfu mbili, kama unaweza kuwatafuta kuwaendesha kwa ajili yao.
Og nu, indgaa et Væddemaal med min Herre, Assyrerkongen: Jeg giver dig to Gange tusind Heste, hvis du kan stille Ryttere til dem!
24 Wanawezaje kumpinga hata nahodha mmoja wa watumishi walio wadogo? Mmeweka tumaini lenu katika Misri kwa magari ya farasi na waendesha farasi!
Hvorledes vil du afslaa et Angreb af en eneste Statholder, en af min Herres ringeste Tjenere? Og du sætter din Lid til Ægypten, til Vogne og Heste?
25 Je nimesafiri kwenda huko juu bila Yahwe kupapigania hapa mahali na kupaharibu? Yahwe ameniambia, 'Ishambulie hii nchi na uiharibu.”'
Mon det desuden er uden HERRENS Vilje, at jeg er draget op mod dette Sted for at ødelægge det? Det var HERREN selv, der sagde til mig: Drag op mod dette Land og ødelæg det!«
26 Kisha Elikana mwana wa Hilkia, na Shebna, na Joa wakamwambia amiri jeshi mkuu, “Tafadhali ongea na watumishi wako katika lugha ya Kiaramu, kwa kuwa tunaielewa. Usiongee nasi katika lugha ya Yuda katika masikio ya watu ambao wako ukutani.”
Men Eljakim, Hilkijas Søn, Sjebna og Joa sagde til Rabsjake: »Tal dog Aramaisk til dine Trælle, det forstaar vi godt; tal ikke Judæisk til os, medens Folkene paa Muren hører paa det!«
27 Lakini yule amiri jeshi mkuu akawaambia, “Je bwana wangu amenituma kwa bwana wako na kuwachukua kuongea haya maneno? Je hajanituma kwa hawa watu ambao wameketi kwenye ukuta, ambao watakula kinyesi chao na kunywa mkojo wao wenyewe?”
Men Rabsjake svarede dem: »Er det til din Herre og dig, min Herre har sendt mig med disse Ord? Er det ikke til de Mænd, der sidder paa Muren hos eder og æder deres eget Skarn og drikker deres eget Vand!«
28 Kisha yule amiri jeshi mkuu akasimama na akapiga kelele kubwa kwa lugha ya Kiyahudi, akisema, “Sikilizeni neno la mfalme mkuu, mfale wa Ashuru.
Og Rabsjake traadte hen og raabte med høj Røst paa Judæisk: »Hør Storkongens, Assyrerkongens, Ord!
29 Mfalme asema, 'Msimwache Hezekia akawadanganya, kwa kuwa hataweza kuwaokoa kwenye nguvu yangu.
Saaledes siger Kongen: Lad ikke Ezekias vildlede eder, thi han er ikke i Stand til at frelse eder af min Haand!
30 Msimwache Hezekia akawatumainisha katika Yahwe, akisema, “Yahwe atatuokoa hakika, na huu mji hautawekwa kwenye mkono wa mfalme wa Ashuru.'”
Og lad ikke Ezekias forlede eder til at sætte eders Lid til HERREN, naar han siger: HERREN skal sikkert frelse os, og denne By skal ikke overgives i Assyrerkongens Haand!
31 Msikilize Hezekia, kwa kuwa hivi ndivyo mfalme wa Ashuru asemavyo: 'Fanyeni amani pamoja nami na njooni kwangu. Kisha kila mmoja wenu atakula kutoka kwenye mzabibu wake mwenyewe na kutoka kwenye mtini wake mwenyewe, na kunywa kutoka kwenye maji kwenye maji ya birika lake mwenyewe.
Hør ikke paa Ezekias; thi saaledes siger Assyrerkongen: Vil I slutte Fred med mig og overgive eder til mig, saa skal enhver af eder spise af sin Vinstok og sit Figentræ og drikke af sin Brønd,
32 Mtafanya hivyo hadi nitakapokuja na kuwachukua kwenda kwenye nchi kama nchi yenu, nchi ya nafaka na divai, nchi ya mkate na mashamba ya mizabibu, nchi ya miti ya mizaituni na asali, ili muweze kuishi na sio kufa.' Msimsikilize Hezekia wakati atakapojaribu kuwashawishi, akisema, 'Yahwe atatuokoa.'
indtil jeg kommer og tager eder med til et Land, der ligner eders, et Land med Korn og Most, et Land med Brød og Vingaarde, et Land med Oliventræer og Honning; saa skal I leve og ikke dø. Hør derfor ikke paa Ezekias, naar han vil forføre eder og siger: HERREN vil frelse os!
33 Je miungu yeyote ya watu inayewaokoa kutoka kwenye nchi ya mfalme wa Ashuru?
Mon nogen af Folkeslagenes Guder har kunnet frelse sit Land af Assyrerkongens Haand?
34 Iko wapi miungu ya Hamathi na Arpadi? iko wapi miungu ya Sefarvaimu, Hena, na Iva? Je imeiokoa Samaria kutoka mkono wangu?
Hvor er Hamats og Arpads Guder, hvor er Sefarvajims, Henas og Ivvas Guder? Hvor er Landet Samarias Guder? Mon de frelste Samaria af min Haand?
35 Miongoni mwa miungu yote ya nchi, je kuna mungu ambaye ameiokoa nchi yake kutoka kwenye nguvu yangu? Inawezekanaje Yahwe akaiokoa Yerusalemu kutoka kwenye uwezo wangu?”
Hvor er der blandt alle Landes Guder nogen, der har frelst sit Land af min Haand? Mon da HERREN skulde kunne frelse Jerusalem?«
36 Lakini watu wakabaki kimya na hawakujibu, kwa kuwa mfalme alikuwa ameamuru, “Msimjibu.”
Men de tav og svarede ham ikke et Ord, thi Kongens Bud lød paa, at de ikke maatte svare ham.
37 Kisha Eliakimu mwana wa Hilkia, ambaye alikuwa juu ya nyumba ya mfalme; Shebna yule mwandishi; na Joa mwana wa Asafu, mtunza kumbukumbu, akaja kwa Hezekia pamoja na nguo zao zilizoraruliwa, na kumpatia taarifa ya maneno ya yule amiri mkuu.
Derpaa gik Paladsøversten Eljakim, Hilkijas Søn, Statsskriveren Sjebna og Kansleren Joa Asafs Søn, med sønderrevne Klæder til Ezekias og meddelte ham, hvad Rabsjake havde sagt.

< 2 Wafalme 18 >