< 2 Wafalme 17 >

1 Katika mwaka wa kumi na moja wa Ahazi mfalme Yuda, utawala wa Hoshea mwana wa Elahi ulianza. Alitawala katika Samaria juu ya Israeli kwa muda wa miaka minane.
В лето второенадесять Ахаза царя Иудина, царствова Осиа сын Илы в Самарии над Израилем девять лет,
2 Alifanya yaliyo maovu usoni pa Yahwe, ila sio kama waflme wa Israeli ambao ulikuwa kabla yake.
и сотвори лукавое пред очима Господнима, обаче не якоже царие Израилевы, иже беша прежде его.
3 Shalmanesa mfalme wa Ashuru akamshambulia, na Hoshea akawa mtumishi na kumletea kodi.
И взыде нань Саламанассар царь Ассирийск. И бысть ему Осиа раб и даваше ему дань.
4 Kisha mfalme wa Ashuru akaona kwamba Hoshea alikuwa na njama dhidi ya yake, kwa kuwa Hoshea aliwatuma wajumbe kwa So mfalme wa Misri; pia, hakumpatia kodi mfalme wa Ashuru, kama alivyofanya mwaka hadi mwaka.
И обрете царь Ассирийск во Осии неправду, занеже посла послы к Сигору царю Египетску и не принесе дани царю Ассирийску лета того. И осади его царь Ассирийский и связа его в храмине темничней.
5 Basi mfalme wa Ashuru akamfunga akamtia kifungoni. Kisha mfalme wa Ashuru akaishambulia nchi yote, akaishambulia Samaria na kuizunguka kwa miaka mitatu.
И прииде царь Ассирийск во всю землю (его), и взыде в Самарию, и воева ю три лета.
6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru akaichukua Samaria na akawapeleka Israeli hadi Ashuru. Akawaweka kwenye Hala, kwenye Habori Mto wa Gozani, na katika mji wa Wamedi.
В лето девятое Осии взя царь Ассирийский Самарию, и заведе Израилтян во Ассирию, и посели их на Алаи и на Аворе, реках Гозанских, и в пределех Мидских.
7 Utekwaji huu ulitokea kwa sababu wana wa Israeli walifanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wao, ambaye aliwaleta kutoka nchi ya Misri, kutoka chini ya mkono wa Farao mfalme wa Misri. Watu walikuwa wakiabudu miungu mingine
И (сие) бысть, яко согрешиша сынове Израилевы Господу Богу своему изведшему их из земли Египетския, из под руки фараона царя Египетска, и убояшася богов инех,
8 na kutembea katika matendo ya wamataifa ambao Yahwe aliwafukuza mbele ya watu wa Israeli, na katika matendo ya wafalme wa Israeli ambayo waliyokuwa wameyafanya.
и ходиша по преданием языков, ихже истреби Господь от лица сынов Израилевых, и царие Израилевы елицы сотвориша,
9 Wana wa Israeli wakafanya kwa siri mambo mabaya dhidi ya Yahwe Mungu wao. Wakajijengea mahala pa juu katika miji yao yote, kutoka mnara wa walinzi hadi mji wenye boma.
и елицы сокрыша сынове Израилевы словеса, не тако на Господа Бога своего: и создаша себе высокая во всех градех своих, от столпа стрегущих даже до града тверда,
10 Pia wakasimamisha nguzo za mawe na Ashera juu ya kila mlima chini ya kila mti mbichi.
и поставиша себе кумиры и Дубравы на всяцем холме высоце и под всяким древом чащным,
11 Huko wakafukiza ubani katika mahali pa juu pote, kama mataifa walivyokuwa wamefanya, ambao Yahwe aliwafukuza mbele yao. Waisraeli wakafanya mambo maovu ili kuchochea hasira ya Yahwe,
и кадяху тамо на всех высоких, якоже языцы, яже удали Господь от лица их, и сотвориша общники, и начаша яве прогневляти Господа,
12 wakaabudu sanamu, ambazo Yahwe alizokuwa amewaambia, “Msifanye jambo hili.”
и послужиша идолом, о нихже рече им Господь: не сотворите глагола сего Господеви.
13 Bado Yahwe aliwashuhudia Israeli na Yuda kwa kila nabii na kila muonaji, kusema, “Geukeni kutoka nija zenu mbaya na kuzishika amri zangu na hukumu zangu, na kuwa makini kufuata ile sheria yote niliyowaamuru baba zenu, na ambayo niliwapelekea kwa watumishi wangu manabii.”
И засвидетелствова Господь во Израили и во Иуде, и руками всех пророк Своих всякаго прозорливаго, глаголя: обратитеся от путий ваших лукавых, и сохраните заповеди Моя и оправдания Моя, и весь закон, егоже заповедах отцем вашым, елика послах им руками раб Моих пророков.
14 Lakini hawakuweza kusikia; badala yake walikuwa wakaidi kama baba zao ambao hawakumwamini Yahwe Mungu wao.
И не послушаша, и ожесточиша выю свою паче выи отец своих, иже не вероваша Господу Богу своему:
15 Walizikataa sheria zake na lile agano ambalo alilifanya pamoja na babu zao, na hilo agano wakakubaliana wapewe. Wakafuata mambo yao yasiyofaa na wakawa hawafai. Wakawafuata mataifa ya kipagani ambao waliwazunguka, ambao Yahwe alikuwa amewaamuru wasiige.
и отвергоша завет Его и оправдания, яже завеща отцем их и свидений Его, елика засвидетелствова им, не сохраниша, и идоша вслед суетных и осуетишася, и вслед языков сущих окрест их, о нихже заповеда Господь их, еже не сотворити по сему:
16 Wakazipuuza amri zote za Yahwe Mungu wao. Wakatengeneza sanamu za kusubu za ndama wawili kuziabudu. Wakatengeza nguzo ya Ashera, na wakaziabudu nyota zote za mbinguni na Baali.
и оставиша заповеди Господа Бога своего и сотвориша себе две юницы слиты, и сотвориша дубравы, и поклонишася всей силе небесней и послужиша Ваалу:
17 Wakawatupia watoto wao wakike kwa wakiume kwenye moto, wakapiga ramli na uchawi, wakajiuza wenyewe kufanya yale ambayo yalikuwa maovu usoni pa Yahwe, na kuichochea hasira yake.
и превождаху сыны своя и дщери своя чрез огнь, и волхвоваху волхвованием и вражаху: и продашася, еже творити лукавое пред очима Господнима, еже прогневати Его.
18 Kwa hiyo Yahwe alikuwa na hasira na Israeli na kuwaondoa usoni mwake. Hakubakia mtu hata mmoja isipokuwa kabila la Yuda peke yake.
И разгневася Господь на Израиля зело и отрину их от лица Своего, и не остася, токмо едино колено Иудино.
19 Hata watu wa Yuda hawakushika amri za Yahwe Mungu wao, lakini badala yake walifuata mambo hayo hayo ya kipagani ambayo Israeli walifuata.
И Иуда такожде не сохрани заповедий Господа Бога своего: и хождаху по оправданием Израилевым, яже сотвориша, и отвергошася Господа.
20 Hivyo Yahwe akawakataa vizazi vyote vya Israeli; akawatesa na kuwatia kwenye mkono wa wale wenye kuwateka nyara, hadi atakapokuwa amewatupa usoni mwake.
И разгневася Господь на все семя Израилево и поколеба я, и даде я в руки расхищающым я дондеже отверже я от лица Своего.
21 Akawatoa Israeli kutoka kwenye mstari wa kifalme wa Daudi, na wakamfanya Yeroboamu mwana wa Nabeti mfalme. Yeroboamu akawapeleka Israeli mbali kutoka kumfuata Yahwe na kuwafanya wafanye dhambi kubwa.
Яко отторжеся Израиль от дому Давидова, и поставиша себе царя Иеровоама сына Наватова: и отрину Иеровоам Израиля от Господа и введе их во грех великий.
22 Wana wa Israeli wakafuata dhambi zote za Yeroboamu na hawakujiepusha nazo,
И хождаху сынове Израилевы по всему греху Иеровоамлю, егоже сотвори: не отступиша от него,
23 basi Yahwe akawaondoa Israeli kutoka usoni pake, kama alivyokuwa amesema kupitia watumishi wake wote manabii kwamba angeweza kufanya. Hivyo Israeli walichukuliwa kutoka nchi yao kwenda Ashuru, na iko hivyo hata leo.
дондеже отверже Господь Израиля от лица Своего, якоже глагола Господь рукою всех раб Своих пророков. И преселен бысть Израиль от земли своея во Ассирианы, даже до дне сего.
24 Mfalme wa Ashuru akawaleta watu kutoka Babeli na kutoka Kutha, na kutoka Ava, na kutoka Hamathi na Sefarvaimu, na kuwaweka katika mji wa Samaria na kuishi katika huo mji wake.
И приведе царь Ассирийский из Вавилона иже от Хуфы и от Аиа, и от Емафа и Сепфаруима, и вселени быша во градех Самарийских вместо сынов Израилевых, и наследиша Самарию и вселишася во градех ея.
25 Ikatokea wakati walipoanza kuishi huko hawakumcha Yahwe. Hivyo Yahwe akatuma simba miongoni mwao ambao waliwaua baadhi yao.
И бысть в начале седения их, не убояшася Господа, и пусти на ня Господь львы, и бяху убивающе я.
26 Basi wakaongea na mfalme wa Ashuru, wakisema, “Wale mataifa uliowaamisha na kuwaweka kwenye miji ya Samaria hawayajui mambo wanayotakiwa kuyafanya kutokana na mungu wa nchi. Hivyo alikuwa amewatuma simba kwenda kwao, na, tazama, wale simba walikuwa wakiwauua watu huko kwa sababu hawakufahamu yale mambo waliyokuwa wanatakiwa kuyafanya kwa mungu wa nchi.”
И реша царю Ассирийску, глаголюще: языки, ихже превел и пресадил еси во градех Самарийских, не разумеша суда Бога земли, и посла Господь на них львы, и се, суть убивающе их, яко не разумеша суда Бога земли.
27 Kisha mfalme wa Ashuru akatoa amri, akisema, “Mchukueni mmoja wa makuhani hapo ambaye mmemleta kutoka huko, na mumwache aende na kuishi huko, na mumwache awafundishe mambo yanayotakiwa kwa mungu wa nchi.”
И заповеда царь Ассирийский глаголя: отведите тамо единаго жерца от плененых, да идут и да вселятся тамо, и да просветит их судом Бога земли.
28 Hivyo mmoja wa makuhani ambaye walimchukua kutoka Samaria akaja na kuishi katika Betheli; akawafundisha jinsi wavyotakiwa mcha Yahwe.
И отведоша единаго от жерцев ихже взяша от Самарии, и седе в Вефили, и бе просвещая жрец их, яко да убоятся Господа.
29 Watu wa kila kabila wakajifanyia miungu yao wenyewe, na kuiweka mahala pa juu ambapo Wasamaria walifanya kila kabila katika mji ambako walipoishi.
И беша творяще кийждо язык боги своя: и поставиша я во храмех на высоких, ихже сотвориша Самаряне, кийждо язык во градех своих, в нихже живяху.
30 Watu wa Babeli wakatengeneza Sakoth Benithi; watu wa Sakoth wakatengeneza Nergali; watu wa Hamathi wakatengeza Ashima;
И мужие Вавилонстии сотвориша Сокхоф Вениф, и мужие Хуфовы сотвориша Гигель, и мужие Емафовы сотвориша Асимаф,
31 Waavi wakatengeneza Nibhazi na Tartaki. Nao Wasefarvi wakwachoma watoto wao kwenye moto kwa Adrameleki na Anameleki, wale miungu wa Sefarvaimu.
и Евее сотвориша Авлазер и Фарфак и Сепфаруим, егда сожигаху сыны своя огнем Андрамелеху и Анемелеху, богом Сепфаруимским.
32 Pia wakamcha Yahwe, na kuwateua kutoka miongoni mwao makuhani wa mahali pa juu, ambao waliteketeza kwa ajili yao kwenye hekalun mahali pa juu.
И бяху боящеся Господа: и вселиша мерзости своя во храмех на высоких, ихже сотвориша в Самарии, кийждо язык во граде, в немже живяху.
33 Wakamcha Yahwe na pia kuabudu miungu yao wenyewe, sawa sawa na tamaduni za mataifa kutoka miongoni mwao waliokuwa wamewachukua.
И беша боящеся Господа и сотвориша себе жерцы в высоких, и сотвориша себе в храмине высоких и Господа бояхуся, и идолом своим служаху по обычаю языков отюнудуже преселиша их.
34 Hadi siku hii ya leo wameshikilia tamaduni zao za zamani. Wala hawamwogopi Yahwe, wala hawazifuati sheria zake, torati, au amri ambazo Yahwe aliwapa watu wa Yakobo ambaye alemwita jina Israeli
Даже до дне сего тии творяху по обычаю их: не бояхуся Господа, и не творяху по оправданием их, и по суду их, и по закону, и по заповеди, юже заповеда Господь сыном Иаковлим, идеже и нарече имя ему Израиль.
35 pamoja na ambao Yahwe alifanya agano nao na kuwaamuru, “Msiiche miungu mingine, wala kuisujudia, wala kuiabudu, wala kuitolea sadaka.
И положи Господь с ними завет и заповеда им, глаголя: не убойтеся богов иных и не поклонитеся им, и не послужите им и не пожрите им:
36 Lakini Yahwe, ambaye aliwatoa kutoka nchi ya Misri kwa nguvu kubwa na mkono ulionyooshwa, yeye ndiye mnayetakiwa kumwabudu, yeye ndiye manayetakiwa kumsujudia, na yeye ndiye mnayetakiwa kumtolea sadaka.
но токмо Господеви, иже изведе вы из земли Египта крепостию великою и мышцею высокою: Того убойтеся, и Тому поклонитеся, и Тому пожрите:
37 Na sheria na hukumu, na torati na amri ambazo alizoziandika kwa ajili yenu, mtazishika milele. Hivyo msiiche miungu mingine,
и оправдания Его, и суды Его, и закон Его, и заповеди, яже написа вам творити, храните во вся дни, и не убойтеся богов иных:
38 na agano ambalo nimelifanya pamoja nanyi, hamtalisahau; wala kuicha miungu mingine.
и завета, егоже завеща с вами, не забывайте: и не убойтеся богов иных,
39 Lakini Yahwe Mungu wenu, ndiye ambaye mtakayemcha. Atawalinda mbali na nguvu ya maadui zenu,”
но токмо Господа и вашего убойтеся, и Той измет вы от всех враг ваших.
40 Hawatasikia, kwasababu waliendelea kufanya yale waliyokuwa wameyafanya nyuma.
И не послушаша сего, но по обычаем своим преждним твориша.
41 Hivyo haya mataifa wakamcha Yahwe na pia wakaabudu sanamu zao za kuchonga, na watoto wao wakafanya hivyo hivyo na watoto wa watoto wao. Wakaendelea kufanya yale ambayo babu zao waliyoyafanya, hata leo.
И бяху языцы сии боящеся Господа, и изваянным своим служаще: такожде и сынове их и сынове сынов их, якоже сотвориша отцы их, тако творят и до сего дне.

< 2 Wafalme 17 >