< 2 Wafalme 16 >

1 Katika mwaka wa kumi na saba wa Peka mwana wa Pemalia, Ahazi mwana wa Yothamu mfalme wa Yuda, akaanza kutawala.
Uti sjuttonde årena Pekah, Remalia sons, vardt Ahas Konung, Jothams, Juda Konungs, son.
2 Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala, na alitawala kwa muda wa miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Alifanya yasiyo haki usoni mwa Yahwe Mungu wake, kama Daudi babu yake.
Tjugu åra gammal var Ahas, då han vardt Konung, och regerade sexton år i Jerusalem, och gjorde intet det Herranom hans Gud behagade, såsom hans fader David.
3 Badala yake, akatembea katika njia ya wafalme wa Israeli; hasa, akamuweka mwanaye kwenye moto kama sadaka ya kuteketeza, kufuatana na machukizo ya mataifa, ambayo Yahwe aliwafukuza wana wa Israeli.
Ty han vandrade på Israels Konungars väg; dertill lät han sin son gå igenom eld, efter de Hedningars styggelse, hvilka Herren för Israels barn fördrifvit hade.
4 Akatoa sadaka na kuchoma ubani mahali pa juu, juu ya milima, na chini ya kila mti mbichi.
Och han gjorde offer, och rökte på höjderna, och på alla backar, och under all grön trä.
5 Kisha Riseni, mfalme wa Shamu na Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, wakaja mpaka Yerusalemu kuteka. Wakamzunguka Ahazi, lakini hawakuweza kumshinda.
På den tiden drog Rezin, Konungen i Syrien, och Pekah, Remalia son, Israels Konung, upp till Jerusalem till att strida, och belade Ahas; men de kunde icke vinna det.
6 Katika kipindi hicho, Resini mfalme wa Shamu akamponya Elathi kwa Shamu na kuwapeleka watu wa Yuda nje ya Elathi. Kisha Washami wakaja kwa Elathi ambapo waliishi hadi leo.
På samma tiden fick Rezin, Konungen i Syrien, Elath igen till Syrien, och dref Judarna utur Elath. Och de Syrier kommo, och bodde deruti, allt intill denna dag.
7 Hivyo Ahazi akatuma wajumbe kwenda kwa Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru, akisema, “Mimi ni mtumishi wako na mwanao. Panda juu na uniokoe kutoka kwenye mikononi ya mfalme wa Shamu na kutoka kwenye mkono wa mfalme wa Israeli, ambao wameniteka.”
Men Ahas sände båd till Thiglath Pileser, Konungen i Assyrien, och lät säga honom: Jag är din tjenare, och din son. Kom hitupp, och hjelp mig utu Konungens hand i Syrien, och Israels Konungs, hvilka sig emot mig upprest hafva.
8 Hivyo Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa imepatikana katika nyumba ya Yahwe na mingoni mwa waweka hazina wa nyumba ya mfalme na kuituma kama zawadi kwa mfalme wa Ashuru.
Och Ahas tog det silfver och guld, som i Herrans huse och uti Konungshusens fatebur funnet vardt, och sände Konungenom i Assyrien skänker.
9 Kisha mfalme wa Ashuru akamsikiliza, na mfalme wa Ashuru akaenda juu dhidi ya Damaski, akaishinda na kuwabeba watu wake kama wafungwa hadi Kiri. Akamuua Resini pia yule mfalme wa Shamu.
Och Konungen i Assyrien hörde honom; och drog upp till Damascon, och vann det; och förde dem bort till Kir, och drap Rezin.
10 Mfalme Ahazi akaenda Dameski kuonana na Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru. akaiona mdhabahu huko Damski. Akampelekea Uria kuhani mfano wa ile madhabahu na mpangilio wake na mchoro kwa ustadi wote ulikuwa umehitajika.
Och Konung Ahas drog emot ThiglathPileser, Konungen i Assyrien, till Damascon. Och då han såg ett altare, som i Damascon var, sände Konung Ahas ett mönster och en efterliknelse till Presten Uria, såsom det gjordt var.
11 Hivyo Uria yule kuhani akajenga madhabahu kuwa kama mipango ambayo Mfalme Ahazi atakaporudi kutoka Damaski. Akaimaliza kabla mfalme Ahazi hajarudi kutoka Dameski.
Och Uria Presten byggde ett altare, och gjorde det efter det, som Konung Ahas honom sändt hade ifrå Damascon, tilldess Konung Ahas kom ifrå Damascon.
12 Kisha mfalme akaja kuto Dameski akaiona ile madhabahu; mfalme akaikaribia ile madhabahu na kutoa sadaka juu yake.
Och då Konungen kom ifrå Damascon och såg altaret, offrade han deruppå;
13 Akatengeneza sadaka yake ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka, na kunyunyiza damu ya washirika wake sadaka juu ya madhabahu.
Och upptände deruppå sitt bränneoffer, och spisoffer, och göt deruppå sitt drickoffer; och blodet af tackoffrena, som han offrade, lät han stänka på altaret.
14 Madhabahu ya shaba ambayo ilikuwa mbele ya Yahwe-akaileta kutoka mbele ya hekalu, kutoka kati ya madhabahu yake na hekalu la Yahwe na kuiweka upande wa kaskazini wa madhabahu yake.
Men det kopparaltaret, som för Herranom stod, tog han bort, så att det icke skulle stå emellan altaret och Herrans hus; utan satte det utmed sidona vid altaret norrut.
15 Kisha mfalme Ahazi akamwiamuru Uria kuhani, akisema, “Juu ya madhabahu kubwa teketeza sadaka ya kutekezwa ya asubuhi na sadaka ya kuteketezwa ya nafaka ya jioni, pamoja na sadaka ya watu wote wa nchi, na matoleo ya sadaka ya mazao na sadaka zao za kinywaji. Nyunyiza juu ya hiyo damu yote ya sadaka ya kuteketeza, na damu yote ya kuteketeza. Lakini ile madhabahu ya shaba itakuwa kwa ajili yangu ili niulize ushauri.”
Och Konung Ahas böd Prestenom Uria, och sade: På det stora altaret skall du upptända bränneoffer om morgonen, och spisoffer om aftonen, och Konungens bränneoffer, och hans spisoffer, och allt folkens bränneoffer i landena, samt med deras spisoffer, och drickoffer; och allt blodet af bränneoffret, och af allo andro offer skall du stänka deruppå; men om kopparaltaret vill jag vara förtänkt hvad jag göra skall.
16 Uria kuhani akafanya kile ambacho Ahazi aliamuru.
Presten Uria gjorde allt det Konung Ahas befallde honom.
17 Kisha mfalme Ahazi akaondoa jopo na mabeseni vitako vinavyobebeka; pia akachukua bahari kutoka juu ya ng'ombe wa shaba ambayo ilikuwa chini ya hiyo na kuiweka juu ya sakafu ya mawe.
Och Konung Ahas bröt bort sidorna af stolarna, och hof bort kettlarna deraf, och hafvet hof han utaf de kopparoxar, som voro derunder, och satte det uppå stengolfvet;
18 Aliondoa njia iliyokuwa kwa ajili ya kuingia kwenye Sabato ambayo walikuwa wamejenga kwenye hekalu, wote pamoja na mahali pa kuingilia mfalme kwenye hekalu la Yahwe, kwasababu ya mfalme wa Ashuru.
Dertill Sabbathspredikostolen, den de i husena byggt hade. Och Konungsgången utantill vände han i Herrans hus, för Konungens skull i Assyrien.
19 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Ahazi na yale aliyoyafanya, je yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Hvad nu mer af Ahas sägandes är? hvad han gjort hafver, si, det är skrifvet i Juda Konungars Chrönico.
20 Ahazi alilala pamoja na babu zake na kuzikwa pamoja babu zake katika mji wa Daudi. Hezekia mtoto wake akawa mfalme katika mahala pake.
Och Ahas afsomnade med sina fäder, och vardt begrafven när sina fäder uti Davids stad; och Hiskia hans son vardt Konung i hans stad.

< 2 Wafalme 16 >