< 2 Wafalme 16 >

1 Katika mwaka wa kumi na saba wa Peka mwana wa Pemalia, Ahazi mwana wa Yothamu mfalme wa Yuda, akaanza kutawala.
Pekan Remaljan pojan seitemäntenä vuonna toistakummentä tuli Ahas, Jotamin Juudan kuninkaan poika, kuninkaaksi.
2 Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala, na alitawala kwa muda wa miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Alifanya yasiyo haki usoni mwa Yahwe Mungu wake, kama Daudi babu yake.
Kahdenkymmenen ajastaikainen oli Ahas tullessansa kuninkaaksi, ja hallitsi kuusitoistakymmentä ajastaikaa Jerusalemissa; ja ei tehnyt sitä, mikä oli kelvollinen Herralle hänen Jumalallensa, niinkuin David hänen isänsä.
3 Badala yake, akatembea katika njia ya wafalme wa Israeli; hasa, akamuweka mwanaye kwenye moto kama sadaka ya kuteketeza, kufuatana na machukizo ya mataifa, ambayo Yahwe aliwafukuza wana wa Israeli.
Sillä hän vaelsi Israelin kuningasten tiellä, ja hän käytti poikansa tulen lävitse pakanain kauhistuksen jälkeen, jotka Herra Israelin lasten edestä oli ajanut ulos.
4 Akatoa sadaka na kuchoma ubani mahali pa juu, juu ya milima, na chini ya kila mti mbichi.
Hän uhrasi ja suitsutti korkeuksilla ja kukkuloilla, ja kaikkein viheriäisten puiden alla.
5 Kisha Riseni, mfalme wa Shamu na Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, wakaja mpaka Yerusalemu kuteka. Wakamzunguka Ahazi, lakini hawakuweza kumshinda.
Silloin matkusti Retsin Syrian kuningas ja Peka Remaljan poika Israelin kuningas Jerusalemiin sotimaan; ja he piirittivät Ahaksen, ja ei kuitenkaan voittaneet häntä.
6 Katika kipindi hicho, Resini mfalme wa Shamu akamponya Elathi kwa Shamu na kuwapeleka watu wa Yuda nje ya Elathi. Kisha Washami wakaja kwa Elathi ambapo waliishi hadi leo.
Silloin myös Retsin Syrian kuningas sai Syrialaisille Elatin jälleen ja ajoi Juudalaiset Elatista ulos; mutta Syrialaiset tulivat Elatiin ja asuivat siinä tähän päivään asti.
7 Hivyo Ahazi akatuma wajumbe kwenda kwa Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru, akisema, “Mimi ni mtumishi wako na mwanao. Panda juu na uniokoe kutoka kwenye mikononi ya mfalme wa Shamu na kutoka kwenye mkono wa mfalme wa Israeli, ambao wameniteka.”
Mutta Ahas lähetti sanansaattajat Tiglat Pilesserin Assyrian kuninkaan tykö ja käski hänelle sanoa: minä olen sinun palvelias ja poikas: matkusta tänne ja vapahda minua Syrian kuninkaan kädestä ja Israelin kuninkaan kädestä, jotka ovat nousseet minua vastaan.
8 Hivyo Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa imepatikana katika nyumba ya Yahwe na mingoni mwa waweka hazina wa nyumba ya mfalme na kuituma kama zawadi kwa mfalme wa Ashuru.
Ja Ahas otti kultaa ja hopiaa, mitä hän löysi Herran huoneesta ja kuninkaan huoneen tavaroista, ja lähetti Assyrian kuninkaalle lahjoja.
9 Kisha mfalme wa Ashuru akamsikiliza, na mfalme wa Ashuru akaenda juu dhidi ya Damaski, akaishinda na kuwabeba watu wake kama wafungwa hadi Kiri. Akamuua Resini pia yule mfalme wa Shamu.
Assyrian kuningas kuuli häntä ja meni ylös Damaskuun, ja voitti sen ja vei heidät Kiriin; ja hän löi Retsinin kuoliaaksi.
10 Mfalme Ahazi akaenda Dameski kuonana na Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru. akaiona mdhabahu huko Damski. Akampelekea Uria kuhani mfano wa ile madhabahu na mpangilio wake na mchoro kwa ustadi wote ulikuwa umehitajika.
Ja kuningas Ahas matkusti Tiglat Pilesseriä Assyrian kuningasta vastaan Damaskuun; ja kuin hän näki alttarin Damaskussa, lähetti kuningas Ahas alttarin kuvan ja muodon papille Urialle, juuri niinkuin se tehty oli.
11 Hivyo Uria yule kuhani akajenga madhabahu kuwa kama mipango ambayo Mfalme Ahazi atakaporudi kutoka Damaski. Akaimaliza kabla mfalme Ahazi hajarudi kutoka Dameski.
Niin rakensi pappi Uria alttarin ja teki kaiken sen jälkeen, minkä Ahas kuningas hänelle oli lähettänyt Damaskusta: ja näin teki Uria pappi siihenasti kuin Ahas kuningas tuli Damaskusta.
12 Kisha mfalme akaja kuto Dameski akaiona ile madhabahu; mfalme akaikaribia ile madhabahu na kutoa sadaka juu yake.
Ja kuin kuningas tuli ja näki alttarin, astui hän alttarin tykö ja uhrasi sen päällä,
13 Akatengeneza sadaka yake ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka, na kunyunyiza damu ya washirika wake sadaka juu ya madhabahu.
Ja sytytti sen päällä polttouhrinsa ja ruokauhrinsa, ja kaasi sen päälle juomauhrinsa; ja kiitosuhrinsa veren, jonka hän uhrasi, antoi hän pirskottaa alttarille.
14 Madhabahu ya shaba ambayo ilikuwa mbele ya Yahwe-akaileta kutoka mbele ya hekalu, kutoka kati ya madhabahu yake na hekalu la Yahwe na kuiweka upande wa kaskazini wa madhabahu yake.
Mutta vaskialttarin, joka Herran edessä seisoi, siirsi hän pois huoneen edestä, niin ettei se seisonut alttarin ja Herran huoneen välillä; vaan pani sen alttarin sivulle pohjan puoleen.
15 Kisha mfalme Ahazi akamwiamuru Uria kuhani, akisema, “Juu ya madhabahu kubwa teketeza sadaka ya kutekezwa ya asubuhi na sadaka ya kuteketezwa ya nafaka ya jioni, pamoja na sadaka ya watu wote wa nchi, na matoleo ya sadaka ya mazao na sadaka zao za kinywaji. Nyunyiza juu ya hiyo damu yote ya sadaka ya kuteketeza, na damu yote ya kuteketeza. Lakini ile madhabahu ya shaba itakuwa kwa ajili yangu ili niulize ushauri.”
Ja kuningas Ahas käski Urialle papille, sanoen: suuremmalla alttarilla pitää sinun uhraaman polttouhrin huomeneltain ja ruokauhrin ehtoona, ja kuninkaan polttouhrin ja hänen ruokauhrinsa, ja kaiken maan kansan polttouhrin, heidän ruokauhrinsa ja juomauhrinsa ja kaiken polttouhrin veren, ja kaikkein muiden uhrien veren pitää sinun priiskottaman sen päälle: vaan vaskialttarista tahdon minä vielä ajatella.
16 Uria kuhani akafanya kile ambacho Ahazi aliamuru.
Uria pappi teki kaikki niinkuin Ahas kuningas hänelle käskenyt oli.
17 Kisha mfalme Ahazi akaondoa jopo na mabeseni vitako vinavyobebeka; pia akachukua bahari kutoka juu ya ng'ombe wa shaba ambayo ilikuwa chini ya hiyo na kuiweka juu ya sakafu ya mawe.
Ja kuningas Ahas särki istuimen sivut, ja siirsi kattilan niiden päältä, ja hän otti meren pois vaskihärjistä, jotka sen alla olivat, ja pani sen kivipermannolle,
18 Aliondoa njia iliyokuwa kwa ajili ya kuingia kwenye Sabato ambayo walikuwa wamejenga kwenye hekalu, wote pamoja na mahali pa kuingilia mfalme kwenye hekalu la Yahwe, kwasababu ya mfalme wa Ashuru.
Sitälikin sabbatin peitteen, jonka he huoneesen rakentaneet olivat. Ja kuninkaan huoneen ulkonaisen sisällekäytävän käänsi hän Herran huoneen ympäri Assyrian kuninkaan tähden.
19 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Ahazi na yale aliyoyafanya, je yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Mitä enempi Ahaksesta sanomista on, ja mitä hän tehnyt on: eikö se ole kirjoitettu Juudan kuningasten aikakirjassa?
20 Ahazi alilala pamoja na babu zake na kuzikwa pamoja babu zake katika mji wa Daudi. Hezekia mtoto wake akawa mfalme katika mahala pake.
Ja Ahas nukkui isäinsä kanssa ja haudattiin isäinsä tykö Davidin kaupunkiin; ja Hiskia hänen poikansa tuli kuninkaaksi hänen siaansa.

< 2 Wafalme 16 >