< 2 Wafalme 15 >

1 Katika mwaka wa ishirini na saba wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria mwana wa Amazia mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
Uti sjunde och tjugonde årena Jerobeams, Israels Konungs, vardt Asaria Konung, Amazia son, Juda Konungs;
2 Azaria alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka hamsini na mbili katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yekolia, na alikuwa anatokea Yerusalemu.
Och var sexton åra gammal, då han Konung vardt, och regerade tu och femtio år i Jerusalem; hans moder het Jecholia af Jerusalem.
3 Alifanya yaliyo mema machoni pa Yahwe, kama baba yake Amazia alivyofanya.
Och han gjorde det Herranom väl behagade, alldeles såsom hans fader Amazia;
4 Lakini, mahali pa juu hapakuwa pameondolewa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kufukiza ubani katika mahala pa juu.
Undantagno, att de icke bortlade höjderna; ty folket offrade och rökte ännu på höjderna.
5 Yhawe akampiga mfalme hivyo basi akawa na ukoma mpaka siku ya kifo chake na alikaa kwenye nyumba ya pekee. Yothamu, mtoto wa mfalme, alikuwa juu ya watu na kuwaongoza watu wa nchi.
Men Herren plågade Konungen, så att han var spitelsk allt intill döden, och bodde uti ett fritt hus; men Jotham, Konungens son, regerade huset, och dömde folket i landena.
6 Kama kwa mambo mengine yanayomhusu Azaria, yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Hvad nu mer af Asaria sägandes är, och allt det han gjort hafver, si, det är skrifvet i Juda Konungars Chrönico.
7 Hivyo Azaria alilala pamoja na babu zake katika mji wa Daudi. Yothamu, mtoto wake, akawa mfalme katika mahala pake.
Och Asaria afsomnade med sina fäder, och man begrof honom när sina fäder uti Davids stad; och hans son Jotham vardt Konung i hans stad.
8 Katika mwaka wa thelathini na nane mwaka wa Azaria mfalme wa Yuda, Zekaria mwana wa Yeroboamu akatawala juu ya Israeli katika Samaria kwa miezi sita.
Uti åttonde och tretionde årena Asaria, Juda Konungs, vardt Zacharia, Jerobeams son, Konung öfver Israel i Samarien, i sex månader;
9 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe, kama baba zake waliyoyafanya. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alisababisha Israeli kuasi
Och gjorde det ondt var för Herranom, såsom hans fäder gjort hade. Han vände icke igen ifrå Jerobeams synder, Nebats sons, den Israel kom till att synda.
10 Shalumu mwana wa Yabeshi akafanya njama dhidi ya Zekaria, akamshambulia katika Ibleamu, na kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahala pake.
Och Sallum, Jabes son, gjorde ett förbund emot honom, och slog honom för folkena, och drap honom; och vardt Konung i hans stad.
11 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Zekaria, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
Hvad mer af Zacharia sägandes är, si, det är skrifvet uti Israels Konungars Chrönico.
12 Hili ndilo lililokuwa neno la Yahwe ambalo aliongea na Yehu, kusema, “Kizazi chako kitakaa katika kiti cha Israeli mpaka kizazi cha nne.” Hiyo ikatokea.
Och det är det som Herren till Jehu talat hade, sägandes: Din barn skola sitta på Israels stol, allt intill fjerde led. Och det skedde så.
13 Shalumu mwana wa Yabeshi akaanza kutawala katika mwaka wa thelathini na tisa wa Azaria mfalme wa Yuda, na kutawala kwa mwezi mmoja tu katika Samaria.
Sallum, Jabes son, vardt Konung uti nionde och tretionde årena Usia, Juda Konungs, och regerade en månad i Samarien.
14 Menahemu mwana wa Gadi akapanda kutoka Tirza kwenda Samaria. Akamshambulia Shalumu mwana wa Yabeshi hapo, katika Samria. Akamuua na kuwa mfalme katika mahali pake.
Ty Menahem, Gadi son, drog upp ifrå Thirza, och kom till Samarien, och slog Sallum, Jabes son, i Samarien, och drap honom; och vardt Konung i hans stad.
15 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Shalumu na njama aliyoifanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafle wa Israeli.
Hvad nu mer af Sallum sägandes är, och om hans förbund, som han gjorde, si, det är skrifvet uti Israels Konungars Chrönico.
16 Ndipo Menahemu akamshambulia Tifsa na wote waliokuwa pale, na mipaka yote kuzunguka Tizra, kwasababu hawakufungua kwenye mji. Hivyo akaushambulia, na akawapasua wanawake wajawazito wote katika hicho kijiji.
På den tiden slog Menahem Thiphsah, med alla de som derinne voro, och dess gränsor, allt ifrå Thirza; derföre att de icke ville låta honom in; och slog alla deras hafvande qvinnor, och sönderref dem.
17 Katika mwaka wa thelathini na tisa wa Ahazia mfalme wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akaanza kutawala; alitawala kwa miaka kumi katika Samaria.
Uti nionde och tretionde årena Asaria, Juda Konungs, vardt Menahem, Gadi son, Konung öfver Israel i tio år, i Samarien;
18 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Katika maisha yake yote, hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alifanya Israeli kufanya dhambi.
Och gjorde det ondt var för Herranom, och öfvergaf icke i sin lifstid Jerobeams synder, Nebats sons, den Israel kom till att synda.
19 Kisha Pulu mfalme wa Ashuru akaja kinyume cha nchi, na Menahemu akampatia Pulu talanta elfu moja za fedha, hivyo msaada wa Pulu ungeweza kuwa na yeye kuimarisha utawala wa Israeli katika nchi yake.
Och Phul, Konungen i Assyrien, kom i landet; och Menahem gaf Phul tusende centener silfver, på det han skulle hålla med honom, och befästa honom i rikena.
20 Menahemu akatoza hii pesa kutoka Israeli kwa kumtaka kila mtu tajiri alipe shekeli hamsini za fedha kwake kumpatia mfalme wa Ashura. Hivyo mfalme wa Ashuru akarudi na hakukaa pale katika ile nchi.
Och Menahem lade en skatt i Israel uppå de rikesta, femtio siklar silfver på hvar man, att han skulle gifva det Konungenom i Assyrien. Alltså drog Konungen af Assyrien hem igen, och blef icke i landena.
21 Kama kwa mabo mengine yanayomuhusu Menahemu, na yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya waflme wa Israeli?
Hvad nu mer af Menahem sägandes är, och allt det han gjort hafver, si, det är skrifvet i Israels Konungars Chrönico.
22 Hivyo Menahemu akalala pamoja na babu zake, na Pekahia mtoto wake akawa mfalme katika mahala pake.
Och Menahem afsomnade med sina fader; och Pekahia hans son vardt Konung i hans stad.
23 Katika mwaka wa hamsini wa Azaria mfalme wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka miwili.
Uti femtionde årena Asaria, Juda Konungs, vardt Pekahia, Menahems son, Konung öfver Israel i Samarien, i tu år;
24 Alifanya yaliyo maovu usoni pa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambazo kwa hizo alisababisha Israeli kufanya dhambi.
Och gjorde det ondt var för Herranom; ty han vände icke åter af Jerobeams, Nebats sons, synder, den Israel kom till att synda.
25 Pekahia alikuwa na afisa aliyekuwa anaitwa Peka mwana wa Remalia, ambaye alifanya njama dhidi yake. Pamoja na watu hamsini wa Gileadi, Peka akamuua Pekahia pamoja na Argobu na Arie katika Samaria, katika ngome ya nyumba ya mfalme. Peka akamuua alipomua Pekahia akawa mfalme katika mahala pake.
Och Pekah, Remalia son, hans riddare, gjorde ett förbund emot honom, och slog honom i Samarien, uti Konungshusets palats, med Argob, och Arie, och femtio män med honom af Gileads barn; och drap honom, och vardt Konung i hans stad.
26 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Pekahia, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
Hvad mer af Pekahia; sägandes är, och allt det han gjort hafver, si, det är skrifvet uti Israels Konungars Chrönico.
27 Katika mwaka wa hamsini na mbili wa Azia mfalme wa Yuda, Peka mwana wa Remalia akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka Ishirini.
Uti andra och femtionde årena Asaria, Juda Konungs, vardt Pekah, Remalia son, Konung öfver Israel i Samarien i tjugu år;
28 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabati, ambaye alisababisha Israeli kufanya dhambi.
Och gjorde det ondt var för Herranom; ty han vände icke åter af Jerobeams synder, Nebats sons, den Israel kom till att synda.
29 Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru akaja na kuichukua Iyoni, Abel Beth Maaka, Yanoa, Kadeshi, Hazori, Gileadi, na nchi yote ya Naftali. Akawachukua hao watu hadi Ashuru.
Uti Pekah, Israels Konungs, tid kom ThiglathPileser, Konungen i Assyrien, och tog Ijon, AbelBethMaacha, Janoha, Kedes, Hazor, Gilead, Galilea och hela Naphthali land, och förde dem bort i Assyrien.
30 Hivyo Hoshea mwana wa Ela akafanya njama dhidi ya Peka mwana wa Remalia. Akaishambulia na kisha kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahali pake, katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia.
Och Hosea, Ela son, gjorde ett förbund emot Pekah, Remalia son, och slog honom ihjäl, och vardt Konung i hans stad, uti tjugonde årena Jothams, Usia sons.
31 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Peka, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
Hvad nu mer af Pekah sägandes är, och allt det han gjort hafver, si, det är skrifvet uti Israels Konungars Chrönico.
32 Katika mwaka wa pili wa Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, Yothamu mwana wa Azaria, mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
Uti andra årena Pekah, Remalia sons, Israels Konungs, vardt Jotham Konung, Usia son, Juda Konungs;
33 Alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala; alitawala kwa muda wa miaka kumi na sita katika Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Yerusha; alikuwa binti ya Sadoki.
Och var fem och tjugu åra gammal, då han Konung vardt, och regerade i sexton år i Jerusalem; hans moder het Jerusa, Zadoks dotter;
34 Yotahmu alifanya yaliyo sahihi usoni pa Yahwe. Alifuata mfano wa yote baba yake Azaria aliyofanya.
Och gjorde det Herranom väl behagade, alldeles såsom hans fader Usia gjort hade;
35 Ila, mahali pa juu hapakuchukuliwa. Watu walikuwa wakitio sadaka na kufukiza ubani katika mahali pa juu. Yothamu akajenga lango la juu la nyumba ya Yahwe.
Undantagno, att han icke bortlade höjderna; ty folket offrade och rökte ännu på höjderna. Han byggde den höga porten på Herrans hus.
36 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yothamu, na yote aliyoyafanya, je yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Hvad nu mer af Jotham sägandes är, och allt det han gjort hafver, si, det är skrifvet i Juda Konungars Chrönico.
37 Katika zamani hizo Yahwe akaanza kumtuma dhidi ya Yuda Rezini mfalme wa Sahmu, na Peka mwana wa Remalia.
I den tiden begynte Herren sända till Juda Rezin, Konungen i Syrien, och Pekah, Remalia son.
38 Yothamu akalala pamoja na babu zake na akazikwa pamoja na babu zake katika mji wa Daudi, babu yake. Kisha Ahazi, mtoto wake, akwa mfalme katika mhali pake.
Och Jotham afsomnade med sina fäder, och vardt begrafven när sina fäder, uti sins faders Davids stad; och Ahas hans son vardt Konung i hans stad.

< 2 Wafalme 15 >