< 2 Wafalme 15 >
1 Katika mwaka wa ishirini na saba wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria mwana wa Amazia mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
I Kong Jeroboam af Israels syvogtyvende Regeringsår blev Azarja, Amazjas Søn, Konge over Juda.
2 Azaria alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka hamsini na mbili katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yekolia, na alikuwa anatokea Yerusalemu.
Han var seksten År gammel, da han blev Konge, og han herskede to og halvtredsindstyve År i Jerusalem. Hans Moder hed Jekolja og var fra Jerusalem.
3 Alifanya yaliyo mema machoni pa Yahwe, kama baba yake Amazia alivyofanya.
Han gjorde, hvad der var ret i HERRENs Øjne, ganske som hans Fader Amazja.
4 Lakini, mahali pa juu hapakuwa pameondolewa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kufukiza ubani katika mahala pa juu.
Kun forsvandt Offerhøjeneikke, men Folket blev ved med at ofre og tænde Offerild på Højene,
5 Yhawe akampiga mfalme hivyo basi akawa na ukoma mpaka siku ya kifo chake na alikaa kwenye nyumba ya pekee. Yothamu, mtoto wa mfalme, alikuwa juu ya watu na kuwaongoza watu wa nchi.
Men HERREN ramte Kongen, så han blev spedalsk til sin Dødedag; og han fik Lov at blive boende i sit Hus, medens Kongens Søn Jotam rådede i Paladset og dømte Folket i Landet.
6 Kama kwa mambo mengine yanayomhusu Azaria, yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Hvad der ellers er at fortælle om Azarja, alt, hvad han udførte, står jo optegnet i Judas Kongers Krønike.
7 Hivyo Azaria alilala pamoja na babu zake katika mji wa Daudi. Yothamu, mtoto wake, akawa mfalme katika mahala pake.
Så jagde han sig til Hvile hos sine Fædre, og man jordede ham hos hans Fædre i Davidsbyen; og hans Søn Jotam blev Konge i hans Sted.
8 Katika mwaka wa thelathini na nane mwaka wa Azaria mfalme wa Yuda, Zekaria mwana wa Yeroboamu akatawala juu ya Israeli katika Samaria kwa miezi sita.
I Kong Azarja af Judas otte og tredivte Regeringsår blev Zekarja, Jeroboams Søn, Konge over Israel, og han herskede seks Måneder i Samaria.
9 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe, kama baba zake waliyoyafanya. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alisababisha Israeli kuasi
Han gjorde, hvad der var ondt i HERRENs Øjne, ligesom hans Fædre, og han veg ikke fra de Synder, Jeroboam Nebats Søn, havde forledt Israel til.
10 Shalumu mwana wa Yabeshi akafanya njama dhidi ya Zekaria, akamshambulia katika Ibleamu, na kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahala pake.
Men Sjallum, Jabesjs Søn, stiftede en Sammensværgelse modham, huggede ham ned og dræbte ham i Jibleam og blev Konge i hans Sted.
11 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Zekaria, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
Hvad der ellers er at fortælle om Zekarja, står optegnet i Israels Kongers Krønike.
12 Hili ndilo lililokuwa neno la Yahwe ambalo aliongea na Yehu, kusema, “Kizazi chako kitakaa katika kiti cha Israeli mpaka kizazi cha nne.” Hiyo ikatokea.
Således opfyldtes det Ord HERREN havde talet til Jehu, da han sagde: "Dine Sønner skal sidde på Israels Trone indtil fjerde Led." Således gik det.
13 Shalumu mwana wa Yabeshi akaanza kutawala katika mwaka wa thelathini na tisa wa Azaria mfalme wa Yuda, na kutawala kwa mwezi mmoja tu katika Samaria.
I Kong Uzzija af Judas ni og tredivte Regeringsår blev Sjallum, Jabesjs Søn, Konge, og han herskede en Måneds Tid i Samaria.
14 Menahemu mwana wa Gadi akapanda kutoka Tirza kwenda Samaria. Akamshambulia Shalumu mwana wa Yabeshi hapo, katika Samria. Akamuua na kuwa mfalme katika mahali pake.
Da drog Menahem, Gadis Søn, op fra Tirza til Samaria, og der huggede han Sjallum, Jabesjs Søn, ned og dræbte ham og blev Konge i hans Sted.
15 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Shalumu na njama aliyoifanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafle wa Israeli.
Hvad der ellers er at fortælle om Sjallum og den Sammensværgelse, han stiftede, står optegnet i Israels Kongers Krønike.
16 Ndipo Menahemu akamshambulia Tifsa na wote waliokuwa pale, na mipaka yote kuzunguka Tizra, kwasababu hawakufungua kwenye mji. Hivyo akaushambulia, na akawapasua wanawake wajawazito wote katika hicho kijiji.
Fra Tirza hærgede Menahem ved den Tid Tappua og alt, hvad der var deri, og hele dets Område, fordi de ikke havde åbnet Portene for ham; derfor hærgede han det og lod Livet rive op på alle frugtsommelige Kvinder der.
17 Katika mwaka wa thelathini na tisa wa Ahazia mfalme wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akaanza kutawala; alitawala kwa miaka kumi katika Samaria.
I Kong Azarja af Judas ni og tredivte Regeringsår blev Menahem, Gadis Søn, Konge over Israel, og han herskede ti År i Samaria.
18 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Katika maisha yake yote, hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alifanya Israeli kufanya dhambi.
Han gjorde, hvad der var ondt i HERRENs Øjne, og veg ikke fra nogen af de Synder, Jeroboam, Nebats Søn, havde forledt Israel til. I hans Dage
19 Kisha Pulu mfalme wa Ashuru akaja kinyume cha nchi, na Menahemu akampatia Pulu talanta elfu moja za fedha, hivyo msaada wa Pulu ungeweza kuwa na yeye kuimarisha utawala wa Israeli katika nchi yake.
faldt Kong Pul af Assyrien ind i Landet. Men Menahem gav Pul 1000 Talenter Sølv, for at han skulde støtfe ham og sikre ham Magten;
20 Menahemu akatoza hii pesa kutoka Israeli kwa kumtaka kila mtu tajiri alipe shekeli hamsini za fedha kwake kumpatia mfalme wa Ashura. Hivyo mfalme wa Ashuru akarudi na hakukaa pale katika ile nchi.
Menahem inddrev disse Penge hos Israel, hos alle de velhavende, halvtredsindstyve Sekel Sølv hos hver, for at udbetale dem til Assyrerkongen. Så vendte Assyrerkongen hjem og blev ikke længer der i Landet.
21 Kama kwa mabo mengine yanayomuhusu Menahemu, na yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya waflme wa Israeli?
Hvad der ellers er at fortælle om Menahem, alt, hvad han udførte, står jo optegnet i Israels Kongers Krønike.
22 Hivyo Menahemu akalala pamoja na babu zake, na Pekahia mtoto wake akawa mfalme katika mahala pake.
Så lagde Menahem sig til Hvile hos sine Fædre, og hans Søn Pekaja blev Konge i hans Sted.
23 Katika mwaka wa hamsini wa Azaria mfalme wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka miwili.
I Kong Azarja af Judas halvtredsindstyvende Regeringsår blev Pekaja, Menahems Søn, Konge over Israel, og han herskede to År i Samaria.
24 Alifanya yaliyo maovu usoni pa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambazo kwa hizo alisababisha Israeli kufanya dhambi.
Han gjorde, hvad der var ondt i HERRENs Øjne, og veg ikke fra de Synder, Jeroboam, Nebats Søn, havde forledt Israel til.
25 Pekahia alikuwa na afisa aliyekuwa anaitwa Peka mwana wa Remalia, ambaye alifanya njama dhidi yake. Pamoja na watu hamsini wa Gileadi, Peka akamuua Pekahia pamoja na Argobu na Arie katika Samaria, katika ngome ya nyumba ya mfalme. Peka akamuua alipomua Pekahia akawa mfalme katika mahala pake.
Men hans Høvedsmand Peka, Remaljas Søn, stiftede en Sammensværgelse mod ham, og fulgt af halvtredsindstyve gileaditiske Mænd huggede han ham ned i Samada i Kongeborgen..., og efter at have dræbt ham blev han Konge i hans Sted.
26 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Pekahia, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
Hvad der ellers er at fortælle om Pekaja, alt, hvad han udførte, står optegnet i Israels Kongers Krønike.
27 Katika mwaka wa hamsini na mbili wa Azia mfalme wa Yuda, Peka mwana wa Remalia akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka Ishirini.
I Kong Azarja af Judas to og halvtredsindstyvende Regeringsår blev Peka, Remaljas Søn, Konge over Israel, og han herskede tyve År i Samaria.
28 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabati, ambaye alisababisha Israeli kufanya dhambi.
Han gjorde, hvad der var ondt i HERRENs Øjne, og veg ikke fra de Synder, Jeroboam, Nebats Søn, havde forledt Israel til.
29 Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru akaja na kuichukua Iyoni, Abel Beth Maaka, Yanoa, Kadeshi, Hazori, Gileadi, na nchi yote ya Naftali. Akawachukua hao watu hadi Ashuru.
I Kong Peka af Israels Dage kom Assyrerkongen Tiglat-Pileser og indtog Ijjon, Abel-Bet-Ma'aka, Ianoa, Kedesj, Hazor, Gilead og Galilæa, hele Naftalis Land, og førte Indbyggerne bort til Assyrien.
30 Hivyo Hoshea mwana wa Ela akafanya njama dhidi ya Peka mwana wa Remalia. Akaishambulia na kisha kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahali pake, katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia.
Men Hosea, Elas' Søn, stiftede en Sammensværgelse mod Peka, Remaljas Søn, huggede ham ned og dræbteham; og han blev Konge i hans Sted i Jotams, Uzzijas Søns, tyvende Regeringsår.
31 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Peka, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
Hvad der ellers er at fortælle om Peka, alt, hvad han udførte, står optegnet i Israels Kongers Krønike.
32 Katika mwaka wa pili wa Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, Yothamu mwana wa Azaria, mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
I Remaljas Søns, Kong Peka af Israels, andet Regeringsår blev Jotam, Azarjas Søn, Konge over Juda.
33 Alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala; alitawala kwa muda wa miaka kumi na sita katika Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Yerusha; alikuwa binti ya Sadoki.
Han var fem og tyve År gammel, da han blev Konge, og han herskede seksten År i Jerusalem. Hans Moder hed Jerusja og var en Datter af Zadok.
34 Yotahmu alifanya yaliyo sahihi usoni pa Yahwe. Alifuata mfano wa yote baba yake Azaria aliyofanya.
Han gjorde, hvad der var ret i HERRENs Øjne, ganske som hans Fader Uzzija.
35 Ila, mahali pa juu hapakuchukuliwa. Watu walikuwa wakitio sadaka na kufukiza ubani katika mahali pa juu. Yothamu akajenga lango la juu la nyumba ya Yahwe.
Kun forsvandt Offerhøjene ikke, men Folket blev ved med at ofre og tænde Offerild på Højene. Det var ham, der lod Øvreporten i HERRENs Hus opføre.
36 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yothamu, na yote aliyoyafanya, je yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Hvad der ellers er at fortælle om Jotam, alt, hvad han udførte, står jo optegnet i Judas Kongers Krønike.
37 Katika zamani hizo Yahwe akaanza kumtuma dhidi ya Yuda Rezini mfalme wa Sahmu, na Peka mwana wa Remalia.
På den Tid begyndte HERREN at lade Kong Rezin af Aram og Peka, Remaljas Søn, angribe Juda.
38 Yothamu akalala pamoja na babu zake na akazikwa pamoja na babu zake katika mji wa Daudi, babu yake. Kisha Ahazi, mtoto wake, akwa mfalme katika mhali pake.
Så lagde Jotam sig til Hvile hos sine Fædre, og han blev jordet hos sine Fædre i sin Fader Davids By; og hans Søn Akaz blev Konge i hans Sted.