< 2 Wafalme 14 >
1 Katika mwaka wa pili wa Yehoashi mwana wa Yehoazi, mfalme wa Israeli, Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
Israelin kuninkaan Jooaan, Jooahaan pojan, toisena hallitusvuotena tuli Amasja, Jooaan poika, Juudan kuninkaaksi.
2 Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tanao wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu.
Hän oli kahdenkymmenen viiden vuoden vanha tullessaan kuninkaaksi, ja hän hallitsi Jerusalemissa kaksikymmentä yhdeksän vuotta. Hänen äitinsä oli nimeltään Jooaddin, Jerusalemista.
3 Mama yake alikuwa anaitwa Yehoyadani, wa Yerusalemu. Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa macho ya Yahwe, sio kama baba yake Daudi. Alifanya kila kitu ambacho Yoashi, baba yake, alichukuwa amekifanya.
Hän teki sitä, mikä on oikein Herran silmissä, ei kuitenkaan niinkuin hänen isänsä Daavid. Kaikessa hän teki, niinkuin hänen isänsä Jooas oli tehnyt.
4 Lakini sehemu ya juu haikuondolewa. Watu wakaendelea kutoa dhabihu na kufukiza ubani katika sehemu mahala pa juu.
Kuitenkaan eivät uhrikukkulat hävinneet, vaan kansa uhrasi ja suitsutti yhä edelleen uhrikukkuloilla.
5 Ikawa mara utawala wake ulipokuwa imara, aliwaua watumishi ambao waliokuwa wamemuua baba yake, mfalme.
Ja kun kuninkuus oli vahvistunut hänen käsissään, surmautti hän ne palvelijansa, jotka olivat murhanneet kuninkaan, hänen isänsä.
6 Ila hakuwaweka watoto wa wale wauaji kwenye kifo; isipokuwa, alifanya kutokana na kile kilichokuwa kimeandikwa kwenye sheria, kwenye kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamuru, akisema, “Wababa wasife kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasife kwa ajili ya makosa ya wazazi wao. Isipokuwa, kila mtu atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”
Mutta murhaajain lapset hän jätti surmaamatta, niinkuin on kirjoitettu Mooseksen lain kirjaan, jossa Herra on käskenyt: "Älköön isiä rangaistako kuolemalla lasten tähden älköönkä lapsia isien tähden; kukin rangaistakoon kuolemalla oman syntinsä tähden".
7 Aliua maaskari elfu kumi wa Edomi kwenye bonde la chumvi; pia alimchukua Sela kwenye vita na kuiita Yoktheeli, ndivyo paitwavyo hadi leo.
Hän voitti edomilaiset Suolalaaksossa, kymmenentuhatta miestä, ja valloitti Seelan asevoimalla ja antoi sille nimen Jokteel, joka sillä tänäkin päivänä on.
8 Kisha Amazia akatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli, akisema, “Njoo, tuonane kila mmoja macho kwa macho kwenye mashinadano.”
Silloin Amasja lähetti sanansaattajat Israelin kuninkaan Jooaan, Jooahaan pojan, Jeehun pojanpojan luo ja käski sanoa hänelle: "Tule, otelkaamme keskenämme".
9 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akawatuma wajumbe kurudi kwa Amazia mfalme wa Yuda, akisema, “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma kwa mwerezi katika Lebanuni, kusema, 'Mpatie mwanangu binti yako amuoe; lakini hayawani aliyekuwako Lebanoni akaukanyaga chini ule mbaruti.
Mutta Jooas, Israelin kuningas, lähetti Amasjalle, Juudan kuninkaalle tämän sanan: "Libanonilla kasvava ohdake lähetti setripuulle, joka kasvoi Libanonilla, sanan: 'Anna tyttäresi vaimoksi minun pojalleni'. Mutta metsän eläimet Libanonilla kulkivat ohdakkeen ylitse ja tallasivat sen maahan.
10 Umempiga sana Edomu, na moyo wako umekuinua. Jisifu katika ushindi wako, lakini kaa nyumbani, kwa nini unataka kujisababishia mataizo na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?”
Sinä olet voittanut Edomin, ja siitä olet käynyt ylpeäksi. Tyydy siihen kunniaan ja pysy kotonasi. Minkätähden tuotat onnettomuuden? Sinä kukistut itse ynnä Juuda sinun kanssasi."
11 Lakini Amazia hakutaka kusikia. Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakutana uso kwa uso huko Beth Shemeshi, ambayo ilikuwa ya Yuda.
Mutta Amasja ei totellut. Niin Jooas, Israelin kuningas, lähti liikkeelle, ja he, hän ja Amasja, Juudan kuningas, ottelivat keskenään Beet-Semeksessä, joka on Juudan aluetta.
12 Yuda walishindwa mbele ya Israeli, na kila mtu akakimbia nyumbani.
Ja israelilaiset voittivat Juudan miehet, ja nämä pakenivat kukin majallensa.
13 Yehoashi mfalme wa Israeli, akamchukua Amazia, mfalme wa Yuda mwana wa Yehoashi mwana wa Ahazia, huko Beth Shemeshi. Akaja Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kutoka lango la Efraimu mpaka kwenye pembe ya lango, urefu wa mbali wa dhiraa mia nne.
Ja Jooas, Israelin kuningas, otti Juudan kuninkaan Amasjan, Jooaan pojan, Ahasjan pojanpojan, Beet-Semeksessä vangiksi. Kun hän tuli Jerusalemiin, revitti hän Jerusalemin muuria Efraimin portista Kulmaporttiin saakka, neljäsataa kyynärää.
14 Akachukua dhahabu na fedha zote, na vitu vyote ambavyo vilipatikana katika nyumba ya Yahwe, na vitu vya thamani kwenye nyumba ya mfalme, pamoja na mateka pia, na kurudi samaria.
Ja hän otti kaiken kullan ja hopean sekä kaikki kalut, mitä Herran temppelissä ja kuninkaan linnan aarrekammioissa oli, ynnä panttivankeja, ja palasi Samariaan.
15 Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoashi, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, na jinsi alivyopigana na Amazia mfalme wa Yuda, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Israeli?
Mitä muuta on kerrottavaa Jooaasta, siitä, mitä hän teki, ja hänen urotöistään, kuinka hän soti Amasjaa, Juudan kuningasta, vastaan, se on kirjoitettuna Israelin kuningasten aikakirjassa.
16 Kisha Yehoashi akalala na wazee wake na ailizikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli, na Yeroboamu, mwanaye, akawa mfalme katika eneo lake.
Ja Jooas meni lepoon isiensä tykö, ja hänet haudattiin Samariaan Israelin kuningasten viereen. Ja hänen poikansa Jerobeam tuli kuninkaaksi hänen sijaansa.
17 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, akaishi miaka kumi na tano baada ya Yehoashi mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
Mutta Juudan kuningas Amasja, Jooaan poika, eli Israelin kuninkaan Jooaan, Jooahaan pojan, kuoleman jälkeen viisitoista vuotta.
18 Kama ilivyo kwa mambo mengine yanayomhusu Amazia, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
Mitä muuta on kerrottavaa Amasjasta, se on kirjoitettuna Juudan kuningasten aikakirjassa.
19 Wakafanya njama dhidi ya Amazia katika Yerusalimu, akakimbilia Lakishi. Akakimbia hadi Lakishi, lakini wakawatuma watu kumfuata hadi Lakishi na kumuua huko.
Ja häntä vastaan tehtiin Jerusalemissa salaliitto. Hän pakeni Laakiiseen, mutta Laakiiseen lähetettiin miehiä hänen jälkeensä, ja ne surmasivat hänet siellä.
20 Wakamrudisha kwa farasi, na alizikwa pamoja na wazee wake katika mji wa Saudi.
Hänet nostettiin hevosten selkään ja haudattiin Jerusalemiin isiensä viereen Daavidin kaupunkiin.
21 Watu wote wa Yuda wakamchukua Uzaria, ambaye alikuwa na umri wa miaka kumi na minne, na walimfanya kuwa mfalme katika nyumba ya kifalme wa baba yake Uzaria.
Mutta koko Juudan kansa otti Asarjan, joka oli kuudentoista vuoden vanha, ja teki hänet kuninkaaksi hänen isänsä Amasjan sijaan.
22 Alikuwa Uzaria ambaye alijenga Elathi na kuirudisha kwa Yuda, baada ya mfalme Uzaria akalala pamoja na mababu zake.
Hän linnoitti Eelatin ja palautti sen Juudalle, sittenkuin kuningas oli mennyt lepoon isiensä tykö.
23 Katika mwaka wa kumi na tano wa Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa Yoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka arobaini na moja.
Juudan kuninkaan Amasjan, Jooaan pojan, viidentenätoista hallitusvuotena tuli Jerobeam, Jooaan poika, Israelin kuninkaaksi, ja hän hallitsi Samariassa neljäkymmentä yksi vuotta.
24 Akafanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi zake za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye aliisababisha Israeli kuasi.
Hän teki sitä, mikä on pahaa Herran silmissä; hän ei luopunut mistään Jerobeamin, Nebatin pojan, synneistä, joilla tämä oli saattanut Israelin tekemään syntiä.
25 Akairudisha mipaka ya Israeli kutoka Lebo Hamathi mpaka kwenye Bahari ya Araba, kufuata amri ya neno la Yahwe, Mungu wa Israeli, ambalo aliongea kupitia mtumishi wake Yona mwana wa Amitai, yule nabii, ambaye alitokea Gathi Heferi.
Hän palautti entiselleen Israelin alueen, siitä, mistä mennään Hamatiin, aina Aromaan mereen saakka, sen sanan mukaan, jonka Herra, Israelin Jumala, oli puhunut palvelijansa, profeetta Joonan, Amittain pojan, kautta, joka oli kotoisin Gat-Heeferistä.
26 Kwa kuwa Yahwe aliyaona mateso ya Israeli, ambayo yalikuwa makali kwa kila mmoja, wote mtumwa na asyemtumwa, na kwamba hapakuwa na ulinzi kwa ajili ya Israeli.
Sillä Herra oli nähnyt Israelin ylen katkeran kurjuuden, kuinka kaikki tyynni menehtyivät eikä Israelilla ollut auttajaa.
27 Basi Yahwe akasema kwamba hatoweza kulifuta jina la Israeli chini ya mbingu; badala yake, aliwaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.
Herra ei ollut vielä sanonut, että hän oli pyyhkivä Israelin nimen pois taivaan alta, ja niin hän vapautti heidät Jerobeamin, Jooaan pojan, kautta.
28 Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yeroboamu, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, jinsi alivyo pigana vita na kuipata tena Damaskasi na Hamathi, ambayo ilikuwa ya Yuda, kwa Israeli, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Mitä muuta on kerrottavaa Jerobeamista, kaikesta, mitä hän teki, ja hänen urotöistänsä, kuinka hän kävi sotaa ja kuinka hän palautti Israelille Damaskosta ja Hamatista sen, mikä oli ollut Juudan, se on kirjoitettuna Israelin kuningasten aikakirjassa.
29 Yeroboamu akalala na mababu zake, pamoja na mfalme wa Israeli, na Zekaria mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
Ja Jerobeam meni lepoon isiensä, Israelin kuningasten, tykö. Ja hänen poikansa Sakarja tuli kuninkaaksi hänen sijaansa.