< 2 Wafalme 14 >

1 Katika mwaka wa pili wa Yehoashi mwana wa Yehoazi, mfalme wa Israeli, Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
Yn the secounde yeer of Joas, sone of Joachas, kyng of Israel, Amasie, sone of Joas, kyng of Juda, regnyde.
2 Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tanao wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu.
Amasie was of fyue and twenti yeer, whanne he bigan to regne; forsothe he regnyde in Jerusalem nyne and twenti yeer; the name of his modir was Joade of Jerusalem.
3 Mama yake alikuwa anaitwa Yehoyadani, wa Yerusalemu. Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa macho ya Yahwe, sio kama baba yake Daudi. Alifanya kila kitu ambacho Yoashi, baba yake, alichukuwa amekifanya.
And he dide riytfulnesse bifor the Lord, netheles not as Dauid, his fadir; he dide bi alle thingis whiche Joas, his fadir, dide, no but this oonli,
4 Lakini sehemu ya juu haikuondolewa. Watu wakaendelea kutoa dhabihu na kufukiza ubani katika sehemu mahala pa juu.
that he dide not awei hiy thingis; for yit the puple made sacrifice, and brent encence in hiy thingis.
5 Ikawa mara utawala wake ulipokuwa imara, aliwaua watumishi ambao waliokuwa wamemuua baba yake, mfalme.
And whanne he hadde gete the rewme, he smoot hise seruauntis, that hadden killid the kyng, his fadir;
6 Ila hakuwaweka watoto wa wale wauaji kwenye kifo; isipokuwa, alifanya kutokana na kile kilichokuwa kimeandikwa kwenye sheria, kwenye kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamuru, akisema, “Wababa wasife kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasife kwa ajili ya makosa ya wazazi wao. Isipokuwa, kila mtu atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”
but he killide not the sones of hem that hadden slayn `the kyng, bi that that is writun in the book of the lawe of Moyses, as the Lord comaundide to Moises, and seide, Fadris schulen not die for the sones, nethir the sones for the fadris, but eche man schal die in his owne synne.
7 Aliua maaskari elfu kumi wa Edomi kwenye bonde la chumvi; pia alimchukua Sela kwenye vita na kuiita Yoktheeli, ndivyo paitwavyo hadi leo.
He smoot Edom in the valey of makyngis of salt, `he smoot ten thousynde, and took `the Stoon in batel; and he clepide the name therof Jethel, `til in to present dai.
8 Kisha Amazia akatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli, akisema, “Njoo, tuonane kila mmoja macho kwa macho kwenye mashinadano.”
Thanne Amasie sente messangeris to Joas, sone of Joachaz, sone of Hieu, kyng of Israel, and seide, Come thou, and se we vs `in batel.
9 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akawatuma wajumbe kurudi kwa Amazia mfalme wa Yuda, akisema, “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma kwa mwerezi katika Lebanuni, kusema, 'Mpatie mwanangu binti yako amuoe; lakini hayawani aliyekuwako Lebanoni akaukanyaga chini ule mbaruti.
And Joas, kyng of Israel, sente ayen to Amasie, kyng of Juda, and seide, The cardue, `that is, a low eerbe, and ful of thornes, of the Liban sente to the cedre, which is in the Liban, and seide, Yyue thi douytir wijf to my sone; and the beestis of the forest, that ben in the Liban, passiden, and tredden doun the cardue.
10 Umempiga sana Edomu, na moyo wako umekuinua. Jisifu katika ushindi wako, lakini kaa nyumbani, kwa nini unataka kujisababishia mataizo na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?”
Thou hast smyte, and haddist the maistri on Edom, and thin herte hath reisid thee; be thou apaied with glorie, and sitte in thin hows; whi excitist thou yuel, that thou falle, and Juda with thee?
11 Lakini Amazia hakutaka kusikia. Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakutana uso kwa uso huko Beth Shemeshi, ambayo ilikuwa ya Yuda.
And Amasie assentide not `to be in pees; and Joas, kyng of Israel, stiede, and he and Amasie, kyng of Juda, sien hem silf in Bethsames, a citee of Juda.
12 Yuda walishindwa mbele ya Israeli, na kila mtu akakimbia nyumbani.
And Juda was smytun bifor Israel; and thei fledden ech man in to his tabernaclis.
13 Yehoashi mfalme wa Israeli, akamchukua Amazia, mfalme wa Yuda mwana wa Yehoashi mwana wa Ahazia, huko Beth Shemeshi. Akaja Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kutoka lango la Efraimu mpaka kwenye pembe ya lango, urefu wa mbali wa dhiraa mia nne.
Sotheli Joas, kyng of Israel, took in Bethsames Amasie, kyng of Juda, the sone of Joas, sone of Ocozie, and brouyte hym in to Jerusalem; and he brak the wal of Jerusalem, fro the yate of Effraym `til to the yate of the corner, bi foure hundrid cubitis.
14 Akachukua dhahabu na fedha zote, na vitu vyote ambavyo vilipatikana katika nyumba ya Yahwe, na vitu vya thamani kwenye nyumba ya mfalme, pamoja na mateka pia, na kurudi samaria.
And he took al the gold and siluer, and alle vessels, that weren foundun in the hows of the Lord, and in the tresours of the kyng; and he took ostagis, and turnede ayen in to Samarie.
15 Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoashi, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, na jinsi alivyopigana na Amazia mfalme wa Yuda, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Israeli?
Sotheli the resydue of wordis of Joas, whiche he dide, and his strengthe, bi which he fauyt ayens Amasie, kyng of Juda, whether these ben not writun in the book of wordis of dayes of the kyngis of Israel?
16 Kisha Yehoashi akalala na wazee wake na ailizikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli, na Yeroboamu, mwanaye, akawa mfalme katika eneo lake.
And Joas slepte with hise fadris, and was biried in Samarie with the kyngis of Israel; and Jeroboam, his sone, regnede for hym.
17 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, akaishi miaka kumi na tano baada ya Yehoashi mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
Forsothe Amasie, sone of Joas, kyng of Juda, lyuede fyue and twenti yeer, after that Joas, sone of Joachaz, kyng of Israel, was deed.
18 Kama ilivyo kwa mambo mengine yanayomhusu Amazia, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
Forsothe the residue of wordis of Amasie, whether these ben not writun in the book of wordis of daies of the kyngis of Juda?
19 Wakafanya njama dhidi ya Amazia katika Yerusalimu, akakimbilia Lakishi. Akakimbia hadi Lakishi, lakini wakawatuma watu kumfuata hadi Lakishi na kumuua huko.
And `sweryng togidir in Jerusalem was maad ayens hym, and he fledde in to Lachis; and thei senten aftir hym in to Lachis, and killiden hym there.
20 Wakamrudisha kwa farasi, na alizikwa pamoja na wazee wake katika mji wa Saudi.
And thei baren out hym in horsis, and he was biried in Jerusalem with hise fadris, in the citee of Dauid.
21 Watu wote wa Yuda wakamchukua Uzaria, ambaye alikuwa na umri wa miaka kumi na minne, na walimfanya kuwa mfalme katika nyumba ya kifalme wa baba yake Uzaria.
Forsothe al the puple of Juda took Azarie, hauynge sixtene yeer; and maden hym king for his fadir Amasie.
22 Alikuwa Uzaria ambaye alijenga Elathi na kuirudisha kwa Yuda, baada ya mfalme Uzaria akalala pamoja na mababu zake.
And he bildide Ahila, and restoride it to Juda, after that `the kyng slepte with hise fadris.
23 Katika mwaka wa kumi na tano wa Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa Yoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka arobaini na moja.
In the fiftenethe yeer of Amasie, sone of Joas, kyng of Juda, Jeroboam, sone of Joas, kyng of Israel, regnyde in Samarie oon and fourti yeer;
24 Akafanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi zake za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye aliisababisha Israeli kuasi.
and dide that, that is yuel bifor the Lord; he yede not awei fro alle the synnes of Jeroboam, sone of Nabath, that made Israel to do synne.
25 Akairudisha mipaka ya Israeli kutoka Lebo Hamathi mpaka kwenye Bahari ya Araba, kufuata amri ya neno la Yahwe, Mungu wa Israeli, ambalo aliongea kupitia mtumishi wake Yona mwana wa Amitai, yule nabii, ambaye alitokea Gathi Heferi.
He restoride the termes of Israel, fro the entryng of Emath `til to the see of wildirnesse, bi the word of the Lord God of Israel, which he spak bi his seruaunt Jonas, sone of Amathi, bi Jonas, the prophete, that was of Jeth, `which Jeth is in Ophir.
26 Kwa kuwa Yahwe aliyaona mateso ya Israeli, ambayo yalikuwa makali kwa kila mmoja, wote mtumwa na asyemtumwa, na kwamba hapakuwa na ulinzi kwa ajili ya Israeli.
For the Lord siy the ful bittir turment of Israel, and that thei weren wastid `til to the closid men of prisoun, and the laste men, and `noon was that helpide Israel.
27 Basi Yahwe akasema kwamba hatoweza kulifuta jina la Israeli chini ya mbingu; badala yake, aliwaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.
And the Lord spak not, that he schulde do awei Israel fro vndur heuene, but he sauyde hem in the hond of Jeroboam, sone of Joas.
28 Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yeroboamu, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, jinsi alivyo pigana vita na kuipata tena Damaskasi na Hamathi, ambayo ilikuwa ya Yuda, kwa Israeli, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Forsothe the residue of wordis of Jeroboam, and alle thingis whiche he dide, and the strengthe of hym, bi which he fauyt, and hou he restoride Damask, and Emath of Juda, in Israel, whether these ben not wrytun in the book of wordis of daies of the kyngis of Israel?
29 Yeroboamu akalala na mababu zake, pamoja na mfalme wa Israeli, na Zekaria mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
And Jeroboam slepte with hise fadris, the kyngis of Israel; and Azarie, his sone, regnede for hym.

< 2 Wafalme 14 >