< 2 Wafalme 13 >

1 Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Yoashi mwana wa Ahazia mfalme wa Yuda, Yehoazi mwana wa Yehu alianza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka kumi na saba.
In yac aklongoul tolu ma Joash wen natul Ahaziah el tokosra lun Judah, Jehoahaz wen natul Jehu el tokosrala lun Israel, ac el leum in Samaria ke yac singoul itkosr.
2 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe na kufuata dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambaye alisababisha Israeli kuasi; na Yehoazi hakurudi kutoka kwao
El oana Jeroboam su tokosra meet lukel, in oru ma koluk lain LEUM GOD, ac kolla mwet Israel in oru ma koluk, ac el tiana fuhleak ouiya koluk lal inge.
3 Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, na akaendelea kuwakabidhi kwenye mikono ya Hazaeli mfalme wa Shamu na kwenye mikono ya Ben Hadadi mwana wa Hazaeli.
Ouinge LEUM GOD El kasrkusrak sin mwet Israel, ac El lela Tokosra Hazael lun Syria ac Benhadad, wen natul, in kutangla Israel pacl na pus.
4 Hivyo Yehoazi akamsihi Yahwe, na Yahwe akamsikiliza kwa sababu aliona mateso ya Israeli, vile mfalme wa Shamu alivyokuwa akiwatesa.
Na Jehoahaz el pre nu sin LEUM GOD, ac ke LEUM GOD El liye lah tokosra lun Syria el arulana akkeokye mwet Israel, na El topuk pre lal.
5 Basi Yahwe akawapa Israeli ulinzi, na wakakimbia kutoka kwenye mikono ya Washami, na watu wa Israeli wakaanza kuishi kwenye nyumba zao kama walivyokuwa kabla.
LEUM GOD El supwala sie mwet kol nu sin mwet Israel in aksukosokyalosla liki mwet Syria. Ouinge mwet Israel muta in misla oana meet.
6 Hata hivyo, hawakuziacha dhambi za nyumba ya Yeroboamu, ambaye alisabisha Israeli kuasi, na wakaendelea katika hayo; na huyo Ashera akabaki hivyo katika Samaria.
Tusruktu elos tiana fuhleak luman ma koluk su Tokosra Jeroboam el tuh kololosla in oru, a elos srakna oru ma koluk inge, ac ma sruloala ke god mutan Asherah srakna oan in Samaria.
7 Washami wakamuacha Yehoazi pamoja na waendesha farasi hamsini tu, magari ya farasi kumi, na watembea kwa miguu elfu kumi, kwa ajili ya mfalme wa Shamu alikuwa ameiharibu na kuwafanya kama makapi yaliyopurwa.
Wangin un mwet mweun lula lal Jehoahaz sayen mwet kasrusr fin horse lumngaul, chariot singoul, ac singoul tausin mwet mweun ma fahsrna, mweyen tokosra Syria el kunausla inkaiyalos, ac longolosi oana kutkut uh.
8 Kama mambo mengine yanayomuhusu Yehoazi, na yote aliyoyafanya na nguvu zake, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Ma nukewa saya ma Jehoahaz el orala, ac orekma pulaik lal, simla oasr in [Sramsram Matu Ke Tokosra Lun Israel].
9 Basi Yehoyazi akalala na mababu zake, na wakamzika katika samaria. Yohoashi mwanaye akawa mfalme katika sehemu yake.
El misa ac pukpuki Samaria, ac Jehoash wen natul, el aolul in tokosra.
10 Katika mwaka wa thelathini na saba wa Yoashi mfalme wa Yuda, utawala wa Yehoashi mwana wa Yehoazi ulianza juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka kumi na sita.
In yac aktolngoul itkosr ke pacl in leum lal Tokosra Joash in Judah, Jehoash wen natul Jehoahaz el tokosrala lun Israel, ac el leum in Samaria ke yac singoul onkosr.
11 Akafanya yaliyo maovu kwenye uso wa Yahwe. Hakuacha nyuma dhambi zozote za Yeroboamu mwana wa Nebati, kwa kuwa aliwafanya Israeli kuasi, lakini alitembea pamoja nao.
El oayapa oru ma koluk lain LEUM GOD ac fahsr tukun srikasrak koluk lal Tokosra Jeroboam su kolla mwet Israel nu ke ma koluk.
12 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yehoashi, na yote aliyoyafanya, na shujaa wake ambaye aliyepigana dhidi ya Amazia mfalme wa Yuda, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Ma nukewa saya ma Jehoash el orala, weang pulaik lal ke el mweun lainul Tokosra Amaziah lun Judah, simla oasr in [Sramsram Matu Ke Tokosra Lun Israel].
13 Yehoashi akalala na mababu zake, na Yeroboamu akakalia kiti chake cha enzi cha kifalme. Yehoashi akazikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli.
Jehoash el misa ac pukpuki inkulyuk lun tokosra in Samaria, ac Jeroboam Akluo, wen natul, el aolul in tokosra.
14 Basi Elisha akaugua ugonjwa ambao baadae ulimuua, hivyo Yehoashi yule mfalme wa Israeli akashuka chini kwake na kumlilia juu yake. Akasema, “Baba yangu, baba yangu, haya magari ya farasi ya Israeli na hawa waendesha farasi wanakuchukua!”
Mwet palu Elisha el mas ke sie mas keok ma el ac tia kwela kac, ac ke el apkuran in misa Tokosra Jehoash lun Israel el som in yorol. El tung ac fahk, “Papa, Papa! Kom pa mwet se ma ku oemeet in loangela Israel!”
15 Elisha akamwambia, “Chukua upinde na mishale,” basi Yoashi akachukua upinde na mishale.
Elisha el sapkin nu sel, “Use sie mwe pisr an ac kutu osra in pisr nu kac.” Jehoash el use ma inge,
16 Elisha akamwambia mfalme wa Israeli, “Weka mkono wako kwenye upinde,” basi akaweka mkono wake kwenye huo. Kisha Elisha akalaza mikono yake kwenye mikono ya mfalme.
na Elisha el fahk nu sel elan akola in pisrik. Ac tokosra el oru oana ma fwack nu sel, na Elisha el filiya paol fin paol tokosra.
17 Elisha akasema, “Fungua dirisha upande wa mashariki,” basi akalifungua. Kisha Elisha akasema, “Funga”, na akafunga. Elisha akasema, “Huu ndiyo mshale wa ushindi wa Yahwe, huu mshale wa ushindi juu ya Shamu, kwa kuwa utawapiga Washami katika Afeki hadi utakapowaangamiza.”
Na tokosra el ikasla winto se ma oan nget nu Syria, oana ma mwet palu sac fahk nu sel. Elisha el sap, “Pusrukla pisr an!” In pacl se na ma tokosra el pusrukla osra in pisr soko ah, na mwet palu sac fahk, “Kom pa osra in pisr soko nutin LEUM GOD su El ac fah sang in kutangla Syria. Kom ac fah mweuni mwet Syria in acn Aphek nwe ke kom kutangulosla.”
18 Kisha Elisha aksema, “Chukua mishale,” basi Yoashi akaichukua. Akamwambia mfalme wa Israeli, “Piga chini pamoja nao,” na akapiga chini mara tatu, kisha akaacha.
Na Elisha el fahk nu sel tokosra elan eis osra in pisr lula ac sang sringilya infohk ah, ac tokosra el sringilya infohk ah pacl tolu, na el tui.
19 Lakini mtu wa Mungu alikuwa na hasira naye na akasema, “Ungelipiga chini mara tano au mara sita. Ndipo ungeipiga Shamu hadi kuiangamiza, lakini sasa utaipiga Shamu mara tatu tu.”
Ma se inge oru Elisha el kasrkusrak ac fahk nu sel tokosra, “Kom ku tia sringilya pacl limekosr ku onkosr, kom lukun kutangla na pwaye acn Syria, a inge kom ac kutangla pacl tolu na.”
20 Kisha Elisha akafa, na wakamzika. Sasa vikundi vya Wamoabi wakaingia kwenye nchi mwanzoni mwa mwaka.
Elisha el misa ac pukpuki. Meet liki infulwen yac nukewa, un mwet Moab ac utyak in orek lokoalok in acn Israel.
21 Ikawa walipokuwa wakimzika huyo mtu, wakaona kundi la Wamoabi, hivyo wakautupia ule mwili kwenye kaburi la Elisha. Mara yule mtu alipoigusa mifupa ya Elisha, alifufuka na kusimama kwa miguu yake.
Sie pacl ah, pukmas se orek na liyeyukyak sie un mwet lokoalok inge. Mwet ah sisla mwet se ma misa ah nu in luf kial Elisha ac kaingla. Pacl se na mano sac pusralla sri kacl Elisha ah, na mwet sac moulyak ac tuyak.
22 Hazaeli mfalme wa Shamu akawatesa Israeli siku zote za Yehoazi.
Tokosra Hazael lun Syria el akkeokye mwet Israel in pacl in leum lal Jehoahaz nufon,
23 Lakini Yahwe aliwahurumia Israeli, na alikuwa na huruma juu yao na kushuhulika kwa ajili yao, kwa sababu ya agano lake na Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Hivyo Yahwe hakuwaangamiza, na bado hakuwatupa kutoka kwenye uwepo wake.
tusruktu LEUM GOD El kulang ac pakoten nu selos. El tia lela in kunausyukla elos, a El kasrelos ke sripen wuleang lal nu sel Abraham, Isaac, ac Jacob. El tiana mulkunla mwet lal.
24 Hazaeli mfalme wa Shamu akafa, na Ben Hadadi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
Ke Tokosra Hazael lun Syria el misa, na Benhadad wen natul, el tokosrala.
25 Yehoashi mwana wa Yehoazi akairudisha kutoka kwa Ben Hadadi mwana wa Hazaeli miji ambayo aliichukua kutoka Yehoazi baba yake kwa vita. Yehoashi akamshambulia mara tatu, na akaipata miji ya Israeli.
Na Tokosra Jehoash lun Israel el kutangulla Benhadad pacl tolu, ac sifilpa folokonma siti nukewa ma Benhadad el tuh sruokya ke pacl in leum lal Jehoahaz, papa tumal Jehoash.

< 2 Wafalme 13 >