< 2 Wafalme 13 >

1 Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Yoashi mwana wa Ahazia mfalme wa Yuda, Yehoazi mwana wa Yehu alianza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka kumi na saba.
Juudan kuninkaan Jooaan, Ahasjan pojan, kahdentenakymmenentenä kolmantena hallitusvuotena tuli Jooahas, Jeehun poika, Israelin kuninkaaksi, ja hän hallitsi Samariassa seitsemäntoista vuotta.
2 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe na kufuata dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambaye alisababisha Israeli kuasi; na Yehoazi hakurudi kutoka kwao
Ja hän teki sitä, mikä on pahaa Herran silmissä, ja vaelsi Jerobeamin, Nebatin pojan, synneissä, joilla tämä oli saattanut Israelin tekemään syntiä; hän ei luopunut niistä.
3 Hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, na akaendelea kuwakabidhi kwenye mikono ya Hazaeli mfalme wa Shamu na kwenye mikono ya Ben Hadadi mwana wa Hazaeli.
Niin Herran viha syttyi Israelia kohtaan, ja hän antoi heidät Hasaelin, Aramin kuninkaan, ja Benhadadin, Hasaelin pojan, käsiin koko siksi ajaksi.
4 Hivyo Yehoazi akamsihi Yahwe, na Yahwe akamsikiliza kwa sababu aliona mateso ya Israeli, vile mfalme wa Shamu alivyokuwa akiwatesa.
Mutta Jooahas lepytti Herraa, ja Herra kuuli häntä, sillä hän näki Israelin sorron, kun Aramin kuningas sorti heitä.
5 Basi Yahwe akawapa Israeli ulinzi, na wakakimbia kutoka kwenye mikono ya Washami, na watu wa Israeli wakaanza kuishi kwenye nyumba zao kama walivyokuwa kabla.
Ja Herra antoi Israelille vapauttajan, ja he pääsivät aramilaisten käsistä. Ja israelilaiset asuivat majoissansa niinkuin ennenkin.
6 Hata hivyo, hawakuziacha dhambi za nyumba ya Yeroboamu, ambaye alisabisha Israeli kuasi, na wakaendelea katika hayo; na huyo Ashera akabaki hivyo katika Samaria.
Eivät he kuitenkaan luopuneet Jerobeamin suvun synneistä, joilla hän oli saattanut Israelin tekemään syntiä, vaan he vaelsivat niissä; aserakin jäi paikoilleen Samariaan.
7 Washami wakamuacha Yehoazi pamoja na waendesha farasi hamsini tu, magari ya farasi kumi, na watembea kwa miguu elfu kumi, kwa ajili ya mfalme wa Shamu alikuwa ameiharibu na kuwafanya kama makapi yaliyopurwa.
Niin ei Herra jättänyt Jooahaalle väkeä enempää kuin viisikymmentä ratsumiestä, kymmenet sotavaunut ja kymmenentuhatta jalkamiestä; sillä Aramin kuningas oli hävittänyt ne ja pannut ne tomuksi, niinkuin puitaessa tulee tomua.
8 Kama mambo mengine yanayomuhusu Yehoazi, na yote aliyoyafanya na nguvu zake, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Mitä muuta on kerrottavaa Jooahaasta, kaikesta, mitä hän teki, ja hänen urotöistänsä, se on kirjoitettuna Israelin kuningasten aikakirjassa.
9 Basi Yehoyazi akalala na mababu zake, na wakamzika katika samaria. Yohoashi mwanaye akawa mfalme katika sehemu yake.
Ja Jooahas meni lepoon isiensä tykö, ja hänet haudattiin Samariaan. Ja hänen poikansa Jooas tuli kuninkaaksi hänen sijaansa.
10 Katika mwaka wa thelathini na saba wa Yoashi mfalme wa Yuda, utawala wa Yehoashi mwana wa Yehoazi ulianza juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka kumi na sita.
Juudan kuninkaan Jooaan kolmantenakymmenentenä seitsemäntenä hallitusvuotena tuli Jooas, Jooahaan poika, Israelin kuninkaaksi, ja hän hallitsi Samariassa kuusitoista vuotta.
11 Akafanya yaliyo maovu kwenye uso wa Yahwe. Hakuacha nyuma dhambi zozote za Yeroboamu mwana wa Nebati, kwa kuwa aliwafanya Israeli kuasi, lakini alitembea pamoja nao.
Hän teki sitä, mikä on pahaa Herran silmissä: hän ei luopunut mistään Jerobeamin, Nebatin pojan, synneistä, joilla tämä oli saattanut Israelin tekemään syntiä, vaan vaelsi niissä.
12 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yehoashi, na yote aliyoyafanya, na shujaa wake ambaye aliyepigana dhidi ya Amazia mfalme wa Yuda, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Mitä muuta on kerrottavaa Jooaasta, kaikesta, mitä hän teki, ja hänen urotöistään, kuinka hän soti Juudan kuningasta Amasjaa vastaan, se on kirjoitettuna Israelin kuningasten aikakirjassa.
13 Yehoashi akalala na mababu zake, na Yeroboamu akakalia kiti chake cha enzi cha kifalme. Yehoashi akazikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli.
Ja Jooas meni lepoon isiensä tykö, ja Jerobeam istui hänen valtaistuimellensa. Ja Jooas haudattiin Samariaan Israelin kuningasten viereen.
14 Basi Elisha akaugua ugonjwa ambao baadae ulimuua, hivyo Yehoashi yule mfalme wa Israeli akashuka chini kwake na kumlilia juu yake. Akasema, “Baba yangu, baba yangu, haya magari ya farasi ya Israeli na hawa waendesha farasi wanakuchukua!”
Mutta kun Elisa sairasti kuolintautiansa, tuli Jooas, Israelin kuningas, hänen tykönsä. Ja kumartuneena hänen kasvojensa yli hän itki ja sanoi: "Isäni, isäni! Israelin sotavaunut ja ratsumiehet!"
15 Elisha akamwambia, “Chukua upinde na mishale,” basi Yoashi akachukua upinde na mishale.
Niin Elisa sanoi hänelle: "Nouda jousi ja nuolia". Ja hän nouti hänelle jousen ja nuolia.
16 Elisha akamwambia mfalme wa Israeli, “Weka mkono wako kwenye upinde,” basi akaweka mkono wake kwenye huo. Kisha Elisha akalaza mikono yake kwenye mikono ya mfalme.
Sitten hän sanoi Israelin kuninkaalle: "Laske kätesi jouselle". Ja kun hän oli laskenut kätensä, pani Elisa kätensä kuninkaan kätten päälle.
17 Elisha akasema, “Fungua dirisha upande wa mashariki,” basi akalifungua. Kisha Elisha akasema, “Funga”, na akafunga. Elisha akasema, “Huu ndiyo mshale wa ushindi wa Yahwe, huu mshale wa ushindi juu ya Shamu, kwa kuwa utawapiga Washami katika Afeki hadi utakapowaangamiza.”
Ja hän sanoi: "Avaa ikkuna itään päin". Ja kun tämä oli avannut sen, sanoi Elisa: "Ammu". Ja hän ampui. Niin hän sanoi: "Herran voitonnuoli, voitonnuoli Aramia vastaan! Sinä olet voittava aramilaiset Afekissa perinpohjin."
18 Kisha Elisha aksema, “Chukua mishale,” basi Yoashi akaichukua. Akamwambia mfalme wa Israeli, “Piga chini pamoja nao,” na akapiga chini mara tatu, kisha akaacha.
Sitten hän sanoi: "Ota nuolet". Ja kun hän oli ne ottanut, sanoi hän Israelin kuninkaalle: "Lyö maahan". Niin hän löi kolme kertaa ja lakkasi sitten.
19 Lakini mtu wa Mungu alikuwa na hasira naye na akasema, “Ungelipiga chini mara tano au mara sita. Ndipo ungeipiga Shamu hadi kuiangamiza, lakini sasa utaipiga Shamu mara tatu tu.”
Mutta Jumalan mies vihastui häneen ja sanoi: "Sinun olisi pitänyt lyödä viisi tai kuusi kertaa: silloin olisit voittanut aramilaiset perinpohjin. Mutta nyt olet voittava aramilaiset ainoastaan kolme kertaa."
20 Kisha Elisha akafa, na wakamzika. Sasa vikundi vya Wamoabi wakaingia kwenye nchi mwanzoni mwa mwaka.
Sitten Elisa kuoli, ja hänet haudattiin. Ja mooabilaisten partiojoukkoja tuli maahan vuosi vuodelta.
21 Ikawa walipokuwa wakimzika huyo mtu, wakaona kundi la Wamoabi, hivyo wakautupia ule mwili kwenye kaburi la Elisha. Mara yule mtu alipoigusa mifupa ya Elisha, alifufuka na kusimama kwa miguu yake.
Ja kerran, kun he haudatessaan erästä miestä näkivät partiojoukon, heittivät he miehen Elisan hautaan ja menivät matkoihinsa. Kun mies kosketti Elisan luita, virkosi hän ja nousi jaloilleen.
22 Hazaeli mfalme wa Shamu akawatesa Israeli siku zote za Yehoazi.
Hasael, Aramin kuningas, sorti Israelia, niin kauan kuin Jooahas eli.
23 Lakini Yahwe aliwahurumia Israeli, na alikuwa na huruma juu yao na kushuhulika kwa ajili yao, kwa sababu ya agano lake na Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Hivyo Yahwe hakuwaangamiza, na bado hakuwatupa kutoka kwenye uwepo wake.
Mutta Herra oli heille laupias, armahti heitä ja kääntyi heidän puoleensa liiton tähden, jonka hän oli tehnyt Aabrahamin, Iisakin ja Jaakobin kanssa. Sillä hän ei tahtonut tuhota heitä, eikä hän ollut vielä heittänyt heitä pois kasvojensa edestä.
24 Hazaeli mfalme wa Shamu akafa, na Ben Hadadi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
Ja Hasael, Aramin kuningas, kuoli, ja hänen poikansa Benhadad tuli kuninkaaksi hänen sijaansa.
25 Yehoashi mwana wa Yehoazi akairudisha kutoka kwa Ben Hadadi mwana wa Hazaeli miji ambayo aliichukua kutoka Yehoazi baba yake kwa vita. Yehoashi akamshambulia mara tatu, na akaipata miji ya Israeli.
Ja Jooas, Jooahaan poika, otti Benhadadilta, Hasaelin pojalta, takaisin ne kaupungit, jotka tämä oli asevoimalla ottanut hänen isältänsä Jooahaalta. Kolme kertaa Jooas voitti hänet ja otti takaisin Israelin kaupungit.

< 2 Wafalme 13 >