< 2 Wafalme 12 >
1 Katika mwaka wa saba wa Yehu, utawala wa Yoashi ulianza; alitawala kwa mda wa miaka arobaini huko Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Sibia, wa Beersheba.
V sedmem letu Jehúja je Joáš začel kraljevati in v Jeruzalemu je kraljeval štirideset let. Ime njegove matere je bilo Cibjá iz Beeršébe.
2 Yoashi akafanya yaliyo mema usoni mwa Yahwe siku zote, kwa sababu Yehoyada kuhani alimfundisha.
Joáš je delal to, kar je bilo pravilno v Gospodovih očeh, vse svoje dni, ko ga je duhovnik Jojadá poučeval.
3 Lakini sehemu ya juu haikuchukuliwa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kuchoma ubani kwenye sehemu za juu.
Toda visoki kraji niso bili odstranjeni. Ljudstvo je še vedno žrtvovalo in zažigalo kadilo na visokih krajih.
4 Yoashi akamwambia kuhani, “Pesa zote zilizokuja kama sadaka takatifu kwenye nyumba ya Yahwe, pesa ya matumizi pesa ya watu kadiri alivyoandikiwa kila mtu, na pesa yote aonayo moyoni mwake kuileta kwenye nyumba ya Yahwe-
Joáš je rekel duhovnikom: »Ves denar od posvečenih stvari, ki je prinesen v Gospodovo hišo, celó denar vsakega, ki gre na račun, denar, ki je določen vsakemu možu in ves denar, ki pride v srce katerega človeka, da ga prinese v Gospodovo hišo,
5 makuhani watapokea pesa kutoka miongoni mwa mmoja wa watunza pesa na kutengeneza kila sehemu itakayoonekana imeharibika kwenye hekalu.”
naj ga duhovniki vzamejo k sebi, vsak človek od svojega znanca in naj popravijo vrzeli hiše, kjerkoli bi se našla kakršnakoli vrzel.«
6 Lakini kama mwaka wa ishirini na tatu wa mfalme Yoashi, makuhani hawakuwa wameandaa kitu chochote kwenye hekalu.
Toda bilo je tako, da v triindvajsetem letu kralja Joáša, duhovniki niso popravili vrzeli hiše.
7 Mfalme Yoashi akamwita Yehoyada kuhani na kuhani mwingine; akawaambia, “Kwa nini hamjaandaa kitu chochote kwenye hekalu? Sasa msichukue tena pesa kutoka kwa walipa kodi wenu, lakini chukueni kile kilichokuwa kikikusanywa kwa ajili ya matengenezo ya hekalu na uwapatia wale wanaoweza kufanya matengenezo.
Potem je dal kralj Joáš poklicati duhovnika Jojadája in druge duhovnike ter jim rekel: »Zakaj ne popravite vrzeli hiše? Sedaj torej ne sprejemajte več denarja od svojega znanca, temveč ga izročite za vrzeli hiše.«
8 Hivyo makuhani wakakubaliana wasichukue pesa tena kutoka kwa watu na wasitengeneze wenyewe.
Duhovniki so privolili, da od ljudstva ne sprejmejo nič več denarja niti za popravilo hišnih vrzeli.
9 Badala yake, Yehoyada yule kuhani akachukua kasha, akatoboa tundu kwenye kifuniko chake, na kuliweka karibu na madhabahu, upande wa kulia kama mtu anaingia kwenye madhabahu ya Yahwe. Makuhani ambao walikuwa wakilinda mlango wa hekalu wakatumbukiza pesa zote ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe.
Toda duhovnik Jojadá je vzel zaboj, v njegov pokrov izvrtal luknjo in ga postavil poleg oltarja, na desni strani, ko nekdo prihaja h Gospodovi hiši in duhovniki, ki varujejo vrata, so vanj polagali ves denar, ki je bil prinesen v Gospodovo hišo.
10 Ikawa walipoona kwamba kulikuwa na pesa za kutosha kwenye kasha, mwadishi wa mfalme na kuhani mkuu wakaja na kuweka pesa kwenye mifuko na kisha kuhesabu, pesa ikaonekana kwenye nyumba ya Yahwe.
Bilo je tako, ko so videli, da je bilo v zaboju veliko denarja, sta prišla gor kraljev pisar in véliki duhovnik ter ga spravila v torbe in preštela denar, ki je bil najden v Gospodovi hiši.
11 Wakawapa pesa ambayo ilikuwa imepimwa kwenye mikono ya watu ambao waliokuwa wanatunza nyumba ya Yahwe. Wakawalipa mafundi seremala na wajenzi ambao walikuwa wemefanya kazi kwenye nyumba ya Yahwe,
Denar sta izročila, kakor jima je bilo rečeno, v roke tistih, ki so opravljali delo, ki so nadzorovali Gospodovo hišo in ga izročila tesarjem in graditeljem, ki so delali na Gospodovi hiši,
12 na waashi na wakata mawe, kwa ajili ya kununua mbao na kukata mawe kwa ajili ya kutengenezea nyumba ya Yahwe, na yote iliyokuwa inahitajika kulipwa kwa ajili ya kuitengeneza.
zidarjem in kamnosekom, da kupijo lesa in klesanega kamna, da popravijo vrzeli Gospodove hiše in za vse, kar se je porabilo za hišo, da jo popravijo.
13 Lakini ile pesa iliyokuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe haikulipwa kwa ajili ya vikombe vya fedha, mabeseni, au dhahabu au fedha yoyote ya vyombo.
Vendar za Gospodovo hišo niso bile izdelane skledice iz srebra, utrinjala, umivalniki, trobente in vsakršne posode iz zlata ali posode iz srebra, od denarja, ki je bil prinesen v Gospodovo hišo,
14 Waliwapa hizi fedha wale ambao waliokuwa wamefanya kazi ya kutengeneza nyumba ya Yahwe.
temveč so ga dali delavcem in z njim popravljali Gospodovo hišo.
15 Pia, hakukuhitajika zile pesa zilipwe kwa ajili ya matengenezo ili kuwajibika kwa kuwa watu walizipokea nakuzilipa kwa watenda kazi, kwa sababu hawa watu walikuwa waadilifu.
Poleg tega niso delali obračuna z možmi, v čigar roko so izročili denar, da bi bil podeljen delavcem, kajti postopali so zvesto.
16 Lakini pesa kwa ajili ya matoleo ya hatia na pesa kwa ajili ya matoleo ya dhambi hazikuwa zimeletwa kwenye hekalu la Yahwe, kwa sababu zilikuwa mali ya makuhani.
Denar za prekršek in denar za greh ni bil prinesen v Gospodovo hišo. Ta je pripadal duhovnikom.
17 Kisha Hazaeli mfalme wa Shamu akashambuliwa na kupigana dhidi ya Gathi, na kuichukua.
Potem je sirski kralj Hazaél odšel gor, se boril zoper Gat, ga zavzel in Hazaél je svoj obraz nameril, da gre gor do Jeruzalema.
18 Ndipo Hazaeli akageuka kuishambulia Yerusalemu. Yoashi mfalme wa Yuda akavichukua vitu vyote ambavyo Yehoshefati na Yehoramu na Ahazia, baba zake, wafalme wa Yuda, na kuviweka wakfu, na vile alivyokuwa ameviweka wakfu, na dhahabu zote zilizokuwa zimeonekana kwenye gala la nyumba ya Yahwe na la mfalme akawatuma kwenda kwa Ahazi mfalme wa Shamu. Kisha Hazaeli akaenda zake kutoka Yerusamu.
Judov kralj Joáš je vzel vse posvečene stvari, ki so jih Józafat, Jehorám in Ahazjá, njegovi očetje, Judovi kralji, posvetili in svoje lastne posvečene stvari in vse zlato, ki je bilo najdeno v zakladnicah Gospodove hiše in v kraljevi hiši in to poslal sirskemu kralju Hazaélu in ta je odšel proč od Jeruzalema.
19 Kama mambo mengine yanayomuhusu Yoashi, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Ostala Joaševa dela in vse, kar je storil, mar niso zapisana v kroniški knjigi Judovih kraljev?
20 Watumishi wake wakainuka na kupanga pamoja; wakamteka Yoashi katika Bethi Milo, kwenye njia ya kushukia kwa Sila.
Njegova služabnika pa sta vstala, skovala zaroto in Joáša usmrtila v Milójevi hiši, ki gre dol do Sila.
21 Yozakari mwana wa Shimeathi, na Yehozabadi mwana wa Shomeri, watumishi wake, wakamshambulia na akafa. Wakamzika Yoashi pamoja na mababu zake katika mji wa Daudi, na Amazia, mtoto wake, akawa mfalme kwenye sehemu yake.
Kajti njegova služabnika Šimátin sin Jozakarja in Šomêrjev sin Jozabád sta ga udarila in je umrl. Pokopali so ga z njegovimi očeti v Davidovem mestu in namesto njega je zakraljeval njegov sin Amacjá.