< 2 Wafalme 12 >

1 Katika mwaka wa saba wa Yehu, utawala wa Yoashi ulianza; alitawala kwa mda wa miaka arobaini huko Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Sibia, wa Beersheba.
in/on/with year seven to/for Jehu to reign Jehoash and forty year to reign in/on/with Jerusalem and name mother his Zibiah from Beersheba Beersheba
2 Yoashi akafanya yaliyo mema usoni mwa Yahwe siku zote, kwa sababu Yehoyada kuhani alimfundisha.
and to make: do Jehoash [the] upright in/on/with eye: appearance LORD all day his which to show him Jehoiada [the] priest
3 Lakini sehemu ya juu haikuchukuliwa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kuchoma ubani kwenye sehemu za juu.
except [the] high place not to turn aside: remove still [the] people to sacrifice and to offer: offer in/on/with high place
4 Yoashi akamwambia kuhani, “Pesa zote zilizokuja kama sadaka takatifu kwenye nyumba ya Yahwe, pesa ya matumizi pesa ya watu kadiri alivyoandikiwa kila mtu, na pesa yote aonayo moyoni mwake kuileta kwenye nyumba ya Yahwe-
and to say Jehoash to(wards) [the] priest all silver: money [the] holiness which to come (in): bring house: temple LORD silver: money to pass man: anyone silver: money soul: person valuation his all silver: money which to ascend: rise upon heart man to/for to come (in): bring house: temple LORD
5 makuhani watapokea pesa kutoka miongoni mwa mmoja wa watunza pesa na kutengeneza kila sehemu itakayoonekana imeharibika kwenye hekalu.”
to take: take to/for them [the] priest man: anyone from with acquaintance his and they(masc.) to strengthen: strengthen [obj] breach [the] house: home to/for all which to find there breach
6 Lakini kama mwaka wa ishirini na tatu wa mfalme Yoashi, makuhani hawakuwa wameandaa kitu chochote kwenye hekalu.
and to be in/on/with year twenty and three year to/for king Jehoash not to strengthen: strengthen [the] priest [obj] breach [the] house: home
7 Mfalme Yoashi akamwita Yehoyada kuhani na kuhani mwingine; akawaambia, “Kwa nini hamjaandaa kitu chochote kwenye hekalu? Sasa msichukue tena pesa kutoka kwa walipa kodi wenu, lakini chukueni kile kilichokuwa kikikusanywa kwa ajili ya matengenezo ya hekalu na uwapatia wale wanaoweza kufanya matengenezo.
and to call: call to [the] king Jehoash to/for Jehoiada [the] priest and to/for priest and to say to(wards) them why? nothing you to strengthen: strengthen [obj] breach [the] house: home and now not to take: take silver: money from with acquaintance your for to/for breach [the] house: home to give: give him
8 Hivyo makuhani wakakubaliana wasichukue pesa tena kutoka kwa watu na wasitengeneze wenyewe.
and to consent [the] priest to/for lest to take: take silver: money from with [the] people and to/for lest to strengthen: strengthen [obj] breach [the] house: home
9 Badala yake, Yehoyada yule kuhani akachukua kasha, akatoboa tundu kwenye kifuniko chake, na kuliweka karibu na madhabahu, upande wa kulia kama mtu anaingia kwenye madhabahu ya Yahwe. Makuhani ambao walikuwa wakilinda mlango wa hekalu wakatumbukiza pesa zote ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe.
and to take: take Jehoiada [the] priest ark one and to pierce hole in/on/with door his and to give: put [obj] him beside [the] altar (from right *Q(K)*) in/on/with to come (in): come man: anyone house: temple LORD and to give: put there [to] [the] priest to keep: guard [the] threshold [obj] all [the] silver: money [the] to come (in): bring house: temple LORD
10 Ikawa walipoona kwamba kulikuwa na pesa za kutosha kwenye kasha, mwadishi wa mfalme na kuhani mkuu wakaja na kuweka pesa kwenye mifuko na kisha kuhesabu, pesa ikaonekana kwenye nyumba ya Yahwe.
and to be like/as to see: see they for many [the] silver: money in/on/with ark and to ascend: rise secretary [the] king and [the] priest [the] great: large and to confine and to count [obj] [the] silver: money [the] to find house: temple LORD
11 Wakawapa pesa ambayo ilikuwa imepimwa kwenye mikono ya watu ambao waliokuwa wanatunza nyumba ya Yahwe. Wakawalipa mafundi seremala na wajenzi ambao walikuwa wemefanya kazi kwenye nyumba ya Yahwe,
and to give: give [obj] [the] silver: money [the] to measure upon (hand *Q(K)*) to make: [do] [the] work ([the] to reckon: overseer *Q(K)*) house: temple LORD and to come out: send him to/for artificer [the] tree: carpenter and to/for to build [the] to make: do house: temple LORD
12 na waashi na wakata mawe, kwa ajili ya kununua mbao na kukata mawe kwa ajili ya kutengenezea nyumba ya Yahwe, na yote iliyokuwa inahitajika kulipwa kwa ajili ya kuitengeneza.
and to/for to wall up/off and to/for to hew [the] stone and to/for to buy tree: wood and stone hewing to/for to strengthen: strengthen [obj] breach house: temple LORD and to/for all which to come out: issue upon [the] house: home to/for to strengthen: strengthen
13 Lakini ile pesa iliyokuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe haikulipwa kwa ajili ya vikombe vya fedha, mabeseni, au dhahabu au fedha yoyote ya vyombo.
surely not to make house: temple LORD basin silver: money snuffer bowl trumpet all article/utensil gold and article/utensil silver: money from [the] silver: money [the] to come (in): bring house: temple LORD
14 Waliwapa hizi fedha wale ambao waliokuwa wamefanya kazi ya kutengeneza nyumba ya Yahwe.
for to/for to make: [do] [the] work to give: give him and to strengthen: strengthen in/on/with him [obj] house: temple LORD
15 Pia, hakukuhitajika zile pesa zilipwe kwa ajili ya matengenezo ili kuwajibika kwa kuwa watu walizipokea nakuzilipa kwa watenda kazi, kwa sababu hawa watu walikuwa waadilifu.
and not to devise: count with [the] human which to give: give [obj] [the] silver: money upon hand their to/for to give: pay to/for to make: do [the] work for in/on/with faithfulness they(masc.) to make: do
16 Lakini pesa kwa ajili ya matoleo ya hatia na pesa kwa ajili ya matoleo ya dhambi hazikuwa zimeletwa kwenye hekalu la Yahwe, kwa sababu zilikuwa mali ya makuhani.
silver: money guilt (offering) and silver: money sin: sin offering not to come (in): bring house: temple LORD to/for priest to be
17 Kisha Hazaeli mfalme wa Shamu akashambuliwa na kupigana dhidi ya Gathi, na kuichukua.
then to ascend: rise Hazael king Syria and to fight upon Gath and to capture her and to set: make Hazael face his to/for to ascend: rise upon Jerusalem
18 Ndipo Hazaeli akageuka kuishambulia Yerusalemu. Yoashi mfalme wa Yuda akavichukua vitu vyote ambavyo Yehoshefati na Yehoramu na Ahazia, baba zake, wafalme wa Yuda, na kuviweka wakfu, na vile alivyokuwa ameviweka wakfu, na dhahabu zote zilizokuwa zimeonekana kwenye gala la nyumba ya Yahwe na la mfalme akawatuma kwenda kwa Ahazi mfalme wa Shamu. Kisha Hazaeli akaenda zake kutoka Yerusamu.
and to take: take Jehoash king Judah [obj] all [the] holiness which to consecrate: dedicate Jehoshaphat and Jehoram and Ahaziah father his king Judah and [obj] holiness his and [obj] all [the] gold [the] to find in/on/with treasure house: temple LORD and house: home [the] king and to send: depart to/for Hazael king Syria and to ascend: rise from upon Jerusalem
19 Kama mambo mengine yanayomuhusu Yoashi, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
and remainder word: deed Joash and all which to make: do not they(masc.) to write upon scroll: book word: deed [the] day to/for king Judah
20 Watumishi wake wakainuka na kupanga pamoja; wakamteka Yoashi katika Bethi Milo, kwenye njia ya kushukia kwa Sila.
and to arise: rise servant/slave his and to conspire conspiracy and to smite [obj] Joash Beth-millo Beth-millo [the] to go down Silla
21 Yozakari mwana wa Shimeathi, na Yehozabadi mwana wa Shomeri, watumishi wake, wakamshambulia na akafa. Wakamzika Yoashi pamoja na mababu zake katika mji wa Daudi, na Amazia, mtoto wake, akawa mfalme kwenye sehemu yake.
and Jozacar son: child Shimeath and Jehozabad son: child Shomer servant/slave his to smite him and to die and to bury [obj] him with father his in/on/with city David and to reign Amaziah son: child his underneath: instead him

< 2 Wafalme 12 >