< 2 Wafalme 10 >
1 Basi Ahabu alikuwa na watoto sabini katika Samaria. Yehu akaandika barua na kuzituma kwenda Samaria, kwa watawala wa Yezreeli, pamoja na wazee na walinzi wa wana wa Ahabu akisema,
Ie amy zao, nanañ’ anake fitom-polo e Somerone ao t’i Akabe. Aa le nanokitse taratasy t’Ieho vaho nampihitrife’e mb’e Somerone mb’eo, amo mpifehe’ Iezreeleo, naho amo androanavio, vaho amo mpañabey o ana’ i Akabeoo, nanao ty hoe:
2 “Wana wa bwana wako wako pamoja na wewe, na wewe pia una magari ya farasi na farasi na kuimarisha mji dhidi ya maadui na silaha. Hivyo basi, haraka iwezekanavyo barua hii ikufikiapo,
Ie mivotrak’ ama’ areo ty taratasy toy, zoeñe te ama’ areo o anan-talè’ areoo naho sarete reke-tsoavala naho rova vaho fialiañe;
3 mchagueni aliye bora na anayestahili miongoni mwa mtoto wa bwana wenu na kumuweka kwenye kiti cha kifalme cha baba yake, na kupigania ufalme wa bwana wenu.”
le paiao ty soa mañeva amo anan-talè’ areoo, le ajoño am-piambesan-drae’e eo vaho mialia ho a i anjomban-talè’ areoy.
4 Lakini waliogopa na kusema miongoni mwao, “Tazama, wafalme wawili hawatasimama mbele ya Yehu. Hivyo tutasimamaje?”
F’ie nangebahebake, nifanao ty hoe: Hehe te roe ty mpanjaka tsy nahafiatreatre aze; akore arè ty hijohañan-tika?
5 Kisha yule mtu ambaye alikuwa kiongozi kwenye nyumba ya mfalme, na wale waliowalea watoto, wakatuma ujumbe kwa Yehu, kusema, “Sisi ni watumishi wako. Tutafanya chochote utakacho tuamuru. Hatutamfanya mtu yeyote kuwa mfalme. Fanya lile lililojema machoni pako.”
Aa le nañitrik’ am’ Ieho ty talè’ i anjombay naho i bein-drovay naho o androanavio vaho i mpañabey i ajaja reiy, ty hoe; Mpitoro’o zahay, le hene hanoe’ay ze hatoro’o anay; tsy aman-dahilahy hanoe’ay mpanjaka; aa le ano ze soa am-pihaino’o.
6 Kisha Yehu akaandika barua mara ya pili, akisema, “Kama mko upande wangu, na kama mtasikiliza sauti yangu, mtachukua vichwa vya watu wa wana wa mabwana wenu, na mje kwangu Yezreeli kesho mda kama huu.” Ndipo wana wa wafalme, sabini kwa hesabu, waliokuwa watu muhimu huko mjini, ambao walikuwa wakiwaleta.
Nanokira’e taratasy fañindroe’e, nanao ty hoe; Aa ie ho mpiamako vaho mahafitsendreñe ty feoko, le rambeso ty loha’ o lahilahin’ anan-talè’ areoo vaho mihavia amako e Iezreele atoy hamaray manahake henaneo. O anam-panjakao amy zao, i fitompolo rey, le tam’ ondati-bei’ i rovaio amo mpañabey iareoo.
7 Hivyo barua ilipokuja kwao, waliwachukua wana wa wafalme na kisha kuwaua, watu sabini, wakaweka vichwa vyao kwenye vikapu, na kuivituma kwa Yehu katika Yezreeli.
Aa ie pok’ am’ iereo i taratasiy, le rinambe’ iereo i anam-panjaka rey, naho zinevo’ iareo indaty fitompolo rey naho najoñe an-koroñe ao o loha’ iareoo vaho nampihitrifeñe mb’e Iezreele mb’eo.
8 Mjumbe mmoja akaja kwa Yehu, akisema, “Wamevileta vile vichwa vya watoto wa wafalme.” Hivyo akasema, viwekeni kwenye mafungu mawili kwenye lango hadi asubuhi.”
Nandoak’ ao amy zao ty ìrake, nitalily ama’e, ty hoe: Fa nendese’ iereo ty loha’ o ana-dahi’ i mpanjakaio. Le hoe re, Apoho am-botry roe am-pimoahañe an-dalambey eo pake maraindray.
9 Asubuhi Yehu akatoka nje na kusimama, na kusema kwa watu wote, “Ninyi hamna hatia. Tazameni, nimefanya fitina dhidi ya bwana wangu na kumuua, lakini ni nani aliyewaua hawa wote?
Ie maraindray, niavotse le nijohañe eo, nanao ty hoe am’ ondaty iabio: Votsotse nahareo; Heheke, nikilily amy talèkoy iraho le nanjevoñ’ aze; fa ia ka ty nañoho-doza amo retoañeo?
10 Sasa hakika tafakarini kwamba hakuna sehemu ya neno la Yahwe, lile alilonena Yahwe kuhusu familia ya Ahabu, itaanguka kwenye aridhini, kwa kuwa Yahwe amefanya kile alichokiongea kupitia mtumishi wake Eliya.”
Mahafohina te ndra loli’e tsy hipok’ an-tane amy nitsaràe’ Iehovà i anjomba’ i Akabeiy, fa nanoe’ Iehovà i tsinara’e añamy mpitoro’e Eliàiy.
11 Basi Yehu akawaua wote waliokuwa wamebakia wa familia ya Ahabu katika Yezreeli, na watu wake muhimu wote, marafiki zake wa karibu, na makuhani wake, hakuna hata mmoja wao alisalia.
Fonga zinevo’ Ieho ze sehanga’ ty anjomba’ i Akabe e Iezreele ao, naho ondati-bei’eo naho ze hene longo’e naho o mpisoro’e iabio, ampara’ te tsy aman-konka’e.
12 Kisha Yehu akainuka na kuondoka; akaenda Samaria. Kadiri alivyokuwa akikaribia Bethi Ekedi ya wachungaji,
Niavotse amy zao re nienga mb’eo vaho nigodañe e Somerone ao. Ie nioza an-trañom-pañitsifam-bolon’ añondry an-dalañe ey,
13 akamlaki na ndugu wa Ahazia mfalme wa Yuda. Yehu akawaambia, “Ninyi ni akina nani?” Wakajibu, “Sisi ni ndugu zake na Ahazia, na tunashuka chini kuwasalimia watoto wa mfalme na watoto wa Malkia Yezebeli.”
le nifanampe aman-drolongo’ i Ahkazià, mpanjaka’ Iehoda, naho nanao ty hoe; Ia v’inahareoo? vaho hoe ty natoi’ iareo: Longo’ i Ahkazià zahay, mizotso mb’eo hifañontane amo anam-panjakao naho amo ana’ i mpanjaka-ampelaio.
14 Yehu akawaambia watu wake mwenyewe, “Wachukue wakiwa hai.” Hivyo wakawachukua wakiwa hai na kuwaua kwenye kisima cha Bethi Ekedi, watu wote arobaini na mbili. Hakumwacha hata mmoja wao akiwa hai.
Le hoe re: Itsepaho veloñe. Aa le rinambe veloñe vaho zinevo’ iereo an-kobo’ i trañom-pihitsifañey t’indaty efa-polo-ro’ amby; le tsy napo’e sehanga’e.
15 Baada ya Yehu kuondoka huko, akakutana na Yehonadabu mwana wa Rekabu anakuja kukutana naye. Yehu akamsalimia na kisha akamwambia, “Je moyo wako uko na mimi, kama moyo wangu ulivyo pamoja na wako?” Yehonadabu akajibu, Ndio.” Yehu akasema, “kama ni ndio, nipatie mkono wako.” Kisha Yehonadabu akampatia mkono wake, na Yehu akampandisha Yehonadabu juu kwenye magari ya farasi pamoja naye.
Ie nienga ao, le tendreke Iehonadabe ana’ i Rekabe, ie nimb’ eo hifanalaka ama’e; le nañontanea’e ty hoe: Mazava hao ty arofo’o manahake ty troko amo arofo’oo? Eka, hoe ty natoi’ Iehonadabe. Aa naho izay, atoloro ahy o fità’oo. Le nahiti’e ama’e i fità’ey vaho rinambe’e amy sarete’ey.
16 Yehu akasema, “Fuatana pamoja nami na uone wivu wangu kwa Yahwe.” Hivyo alikuwa na Yehonadabu akiendesha gari la farasi.
Le hoe re: Mindreza amako, hahaisaha’o ty fahimbañako am’ Iehovà. Aa le najo’e an-tsarete’e ao.
17 Wakati alipokuja Samaria, Yehu akawaua wote waliobakia kutoka uzao wa Ahabu katika Samaria, hata akawaangamiza ukoo wa kifalme wa Ahabu, kama walivyokuwa wameambiwa kabla ya neno la Yahwe, ambalo aliloambiwa Eliya.
Ie nivotrake e Somerone le fonga linihi’e ze nisisa’ i Akabe e Somerone ao, ampara’ te nimongore’e, ty amy tsara’ Iehovà nitsarae’e amy Eliày.
18 Kisha Yehu akawakusanya watu wote akwaambia, “Ahabu alimtumikia Baali kidogo, lakini Yehu atamtumikia sana.
Hene natonto’ Ieho amy zao ondatio le nanoe’e ty hoe; Nitoroñe i Baale tsy ampeampe t’i Akabe; fa hitoroñe aze fatratse ka t’Ieho.
19 Basi niitieni manabii wote wa Baali, wote wamwabuduo, na makuhani wake wote. Asikosekane mtu hata mmoja, kwa kuwa nina dhabihu kubwa nataka kutoa kwa Baali. Yeyote atakayeshindwa kuja hataishi.” Lakini Yehu alifanya haya kwa udanganyifu, kwa dhamira ya kuwaua wanaomwabudu Baali.
Aa le koiho iaby o mpitoki’ i Baaleo, ze hene mpitalaho ama’e, o fonga mpisoro’eo, le ko apo’o ndra raike; fa hanao sorom-bey amy Baale iraho, tsy ho veloñe ze tsy eo. Fe am-pamañahiañe ty nanoe’ Ieho i hoe zay hanjamana’e o mpitalaho amy Baaleo.
20 Yehu akasema, “Tengeni mda tuwe na mkutano kwa ajili ya Baali.” Hivyo wakalitangaza.
Le hoe t’Ieho: Añefero fivory miambake amy Baale. Le kinoi’ iereo.
21 Kisha Yehu akatuma Israeli yote na wamwabuduo Baali waje, hivyo basi hakuna mtu hata mmoja ambaye aliacha kuja. Walikuja kwenye hekalu la Baali, na ilijaa kutoka mwanzo hadi mwisho.
Aa le nañitrik’ am-panitsihañe Israele t’Ieho; le nimb’eo iaby o mpitalaho amy Baaleo, ampara’ t’ie fonga niavy tsy poke raike. Ie nimoak’ an-tsokemitraha’ i Baaley le ninitse sikal’ am-pata’e pak’an-tondohà’e i anjomba’ i Baaley.
22 Yehu akamwambia yule mtu aliyekuwa anatunza kabati la nguo za makuhani, “Uwatolee mavazi wote wamwabuduo Baali.” Basi yule mtu akawatolea nguo.
Le hoe re amy mpamandroñe saroñey, Añakaro sikiñe iaby o mpitalaho amy Baaleo. Le sindre nañakara’e saroñe.
23 Basi Yehu akaingia pamoja na Yohonadabu mwana wa Rekabu kwenye nyumba ya Baali, na kisha akawaambia wanaomwabudu Baali, “Tafuteni na muhahakishe kwamba hakuna mtu hapa pamoja na ninyi kutoka watumishi wa Yahwe, lakini wamwabuduo Baali peke yao.”
Nimoak’ añ’anjomba’ i Baaley t’Iohabe rekets’ Iehonadabe ana’ i Rekabe; le hoe re amo mpitalaho amy Baaleo; Paiavo, le rendreho tsy ho zoeñe ama’ areo ao ndra raik’ amo mpitoro’ Iehovà fa mpitoro’ i Baale avao.
24 Kisha wakaenda kutoa dhabihu na sadaka ya kutekeza. Basi Yehu alichagua watu themanini ambao walikuwa wamesimama nje, na aliwaambia, Kama mtu yeyote miongoni mwa hawa watu ambao nimewaleta kwenye mikono yenu atoroke, yeyote atakayemwacha huyo mtu atoroke, maisha yake yatachukuliwa kwa ajili ya yule aliyeokoka.”
Aa le nimb’ ao iereo hañenga naho hisoroñe. Ie amy zao fa nanendre ondaty valompolo alafe’e ao, ami’ty hoe: Naho mipolititse ty raik’ am’ ondaty hatoloko am-pità’ areoo le ty fiai’ i nañaha azey ty hisolo ty fiai’e.
25 Hivyo kisha baada ya mda mfupi Yehu alipomaliza kutoa sadaka ya kutekezwa, akamwambia mlinzi na manahodha, “Ingieni na muwaue. Msimwache mtu yeyote atoke.” Basi waliwaua kwa makali ya upanga, na mlinzi na manahodha wakawatupa nje na kwenda kwenye chumba cha ndani cha nyumba ya Baali.
Aa ie vata’e nigadoñe i fisoroñañey, le hoe t’Ieho amo mpañambeñeo naho amo mpifeheo. Mimoaha, le zevòño; ko apo’ areo hiakatse, leo raike. Aa le zinevo’ iereo an-delam-pibara; le navokovoko’ o mpañambeñeo naho o mpifeheo alafe’e ao vaho nizilik’ añate’ ty efe’ i Baale ao.
26 Wakazitoa nguzo za mawe ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Baali, na kisha kuzichoma.
Nakare’ iereo o hazomanga añ’ anjomba’ i Baaleo, le niforototoeñe.
27 Kisha wakazivunja zile nguzo za Baali, na kuiharibu nyumba ya Baali na kuifanya choo, ambacho kipo hadi leo.
Nakoroma’ iereo i hazomanga’ i Baaley naho narotsa’ iereo i anjomba’ i Baaley vaho nanoe’ iereo fieveñañe am-para’ henanekeo.
28 Hivi ndivyo ambavyo Yehu alivyomharibu muabudu Baali kutoka Israeli.
Izay ty namongora’ Ieho i Baale am’ Israele.
29 Lakini Yehu hakuacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambayo ilfanya Israeli kutenda dhambi-ambayo ni, kumwabudu ndama wa dhahabu katika Betheli na Dani.
Fe, tsy napo’ Ieho ty hakeo’ Iarovame ana’ i Nebate, i nampanan-tahiñe Israele amy bania volamena e Betele naho e Dane ao rey.
30 Hivyo Yahwe akamwambia Yehu, “Kwa kuwa umefanya vema kwa kufanya yaliyo sahihi kwenye macho yangu, na kumailiza kwenye nyumba ya Ahabu kulingana na yote yaliyokuwa kwenye moyo wangu, uzao wako utakaa kwenye kiti cha Israeli hadi kizazi cha nne.”
Le hoe t’Iehovà am’Ieho, Ami’ty hasoa nanoe’o a masoko amy nitoloña’o amy anjomba’ i Akabeiy, ie hene nanoe’o ze tan-troko, le hiambesatse amy fiambesa’ Israeley o ana’oo am-para’ty tariratse fah’efatse.
31 Lakini Yehu hakujali kutembea kwenye sheria ya Yahwe, Mungu wa Israeli, kwa moyo wake wote. Hakugeuka kutoka kwenye dhambi za Yeroboamu, ambayo iliwafanya Israeli kutende dhambi.
Fe tsy nihaoñe’ Ieho añ’ àmpon’arofo ty fañaveloa’e amy Tsara’ Iehovà Andrianañahare’ Israeley, vaho tsy nisitaha’e o hakeo’ Iarovame nampanan-tahiñe Israeleo.
32 Siku zile Yahwe akaanza kupunguza mikoa ya Israeli, na Hazaeli kuwashinda Waisraeli mipakani mwa Israeli,
Niorotse nampitomotse Israele t’Iehovà; le linafa’ i Kazaele o añ’olon-tane’ Israeleo iabio;
33 kutoka Yordani upande wa mashariki, nchi yote ya Gileadi, Wagadi, na Wareubeni, na Wamanase, kutoka Aroeri, alipo karibu na bonde la Arnoni, kupita Geleadi hadi Bashani.
boak’ am’ Iordaney maniñanañe, i tanen-Gilade iabiy, o nte-Gadeo, naho o nte Reobeneo, vaho o nte-Menasèo, boak’ amy Aroere, añ’ ilam-bavatane’ Arnone eo le i Gilade naho i Basane.
34 Kama kwa mambo mengine yamhusuyo Yehu, na yote aliyoyafanya, na ushujaa wake, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Aa naho o fitoloña’ Ieho ila’eo naho ze he’e nanoe’e, i haozara’e iabiy, tsy fa sinokitse am-bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Israeleo hao?
35 Yehu akalala na wazee wake, na walimzika katika Samaria. Kisha Yehoahazi mwanaye akawa mfalme katika sehemu yake.
Nitrao-piròtse aman-droa’e t’Ieho, ie nalente’ iareo e Somerone ao. Nandimbe aze nifehe t’Iehoakaze ana’e.
36 Mda ambao Yehu alitawala juu ya Israeli katika Samaria ulikuwa miaka ishini na nane.
Roapolo-valo’ amby taoñe ty nifehea’ Ieho Israele e Somerone ao.