< 2 Yohana 1 >
1 Kutoka kwa mzee kwenda kwa mwanamke mteule na watoto wake, ambao niwapendao katika kweli na si mimi tu, bali na wote wale wanao ifahamu kweli,
Nene gogo chilongosi, nikuyandikila veve Wamawu mweuhaguliwi na Chapanga pamonga na vana vaku venivaganili kwa mtima wangu woha. Namwene lepi mwenivaganili nambu na vala vevaumanyili uchakaka vavaganili nyenye,
2 kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn )
tivaganili ndava muni uchakaka uwu utama mugati yitu na yati uvya na tete hati magono goha gangali mwishu. (aiōn )
3 Neema, rehema, amani zitakuwa nasi kutoka kwa Mungu Baba na kutoka kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, katika kweli na pendo.
Dadi Chapanga pamonga na Yesu Kilisitu, Mwana wa Dadi, vakutipela ubwina na lipyana na uteke, vindu ivyo vivyai pamonga na tete muuchakaka na uganu.
4 Ninafurahi sana kwamba nimegundua baadhi ya watoto wanaenenda katika kweli, kama vile tu tulivyoipokea amri hii kutoka kwa Baba.
Nasangalwiki neju panavaweni vana vaku vangi vitama muuchakaka ngati Dadi Chapanga cheatilagizi.
5 Na sasa nakusihi wewe, mwanamke, siyo kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tokea mwanzo, kwamba tunapaswa kupendana sisi kwa sisi. Na huu ndiyo upendo, tunaopaswa kuenenda, kulingana na amri yake.
Hinu, Mau mweuhaguliwi na Chapanga nivi na luyupu lumonga kwaku, tigananayi. Muhilu uwu wamupya lepi, ndi lilalila latavili nalu kuhuma utumbukanu nikuyupa tiganana.
6 Hii ndiyo ile amri, kama mlivyoisikia tokea mwanzo, kwamba mnapaswa kuenenda katika hiyo.
Wenuwu ndi uganu, ndi kutama kwa kuyidakila mihilu ya Chapanga. Ngati chemwatumbwili kuyuwana, muhilu uwu mganikiwa kutama kwa uganu.
7 Kwa kuwa wadanganyifu wengi wamesambaa katika ulimwengu, na hawakiri kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili. Huyu ndiye mdanganyifu na mpinga Kristo.
Muni vadese vamahele vahumalili pamulima, vandu vangayidakila kuvya Yesu Kilisitu abwelili kwitu ngati mundu. Mundu mweijova chenicho ndi mdese na akumbela Kilisitu.
8 Jiangalieni wenyewe kwamba hampotezi mambo yale tuliyokwisha fanyia kazi, lakini ili kwamba mweze kuipokea tuzo kamili.
Mujiyangalila mwavene muni mkoto kuyagisa gala gemwagahengelili lihengu, nambu mkakita chenicho mwipata lepi njombi yinu yeyitimiliki.
9 Yeyote aendeleae mbele na hadumu katika fundisho la Kristo, hana Mungu. Yeye adumuye katika fundisho anaye Baba na Mwana pia.
Mundu yeyoha mweangatama mu mawuliwu ga Kilisitu, nambu akugaleka mambu gangi mu mawuliwu ago mundu mwenuyo avi lepi na Chapanga ndi mweilanda mawuliwu ago avi navu voha vavili, Dadi na Mwana.
10 Kama mtu anakuja kwenu na haleti fundisho hili, msimkaribishe katika nyumba zenu na msimsalimie.
Ngati mundu akabwelayi kwinu changali kuvaletela mawuliwu ga Kilisitu, mkoto kumpokela kunyumba yinu amala kumjambusa.
11 Kwa kuwa amsalimuye hushiriki katika matendo yake maovu.
Yeyoha mweakumpokela mundu mwenuyo, ndi iwungana nayu mukukita mambu gahakau.
12 Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, na sikutaka kuyaandika kwa karatasi na wino. Lakini natumaini kuja kwenu na kuongea uso kwa uso, kwamba furaha yetu ipate kufanywa kamili.
Nivi nagu gamahele ga kuvajovela, nambu mbwitu kukita chenicho kwa kuvayandikila. Nambu nigana kubwela tilongela mihu kwa mihu muni luheku lwitu lukamilikayi.
13 Watoto wa dada yenu mteule wanawasalimia.
Vana va mlumbu waku mweahaguliwi na Chapanga vakujambusa.