< 2 Yohana 1 >

1 Kutoka kwa mzee kwenda kwa mwanamke mteule na watoto wake, ambao niwapendao katika kweli na si mimi tu, bali na wote wale wanao ifahamu kweli,
Une ne m'baha mukipugha ikya vitiki, nikukulembela uve ghwe mukijuva ghwe n'salulua, palikimo na vana vako vano nivaghanile mu kyang'ani na kwe kuuti nivaghanile june, looli naange vooni vanovalukagwile uvwakyang'ani.
2 kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn g165)
Tuvaghanile ulwakuva tuvakagwile mu lweli jino jpalikimo jilikukala n'kate jiitu palikimo nusue ifighono fyoni. (aiōn g165)
3 Neema, rehema, amani zitakuwa nasi kutoka kwa Mungu Baba na kutoka kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, katika kweli na pendo.
Ulusungu, ulupyana nulutengano filiiva alikimo nusue kuhuma kwa Nguluve Nhaata nakwa Yesu Kilisite, umwana ghwa Baba mulweli nulughano.
4 Ninafurahi sana kwamba nimegundua baadhi ya watoto wanaenenda katika kweli, kama vile tu tulivyoipokea amri hii kutoka kwa Baba.
Nilinulukelo fijo kuti nikaghwile kuti avana vamonga vilutila mu lweli, ndavule tulyupile indaghilo iji kuhuma kwa Naata.
5 Na sasa nakusihi wewe, mwanamke, siyo kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tokea mwanzo, kwamba tunapaswa kupendana sisi kwa sisi. Na huu ndiyo upendo, tunaopaswa kuenenda, kulingana na amri yake.
Nalino nukukusuma uve n'dala nakwekuti nikukulembela indaghilo imiya, pepano indaghilo jila jinotulyale najo. kuhumila kuvutengulilo. kuti tuvaghile kughanana jusue kuling'ana nindaghilo jake.
6 Hii ndiyo ile amri, kama mlivyoisikia tokea mwanzo, kwamba mnapaswa kuenenda katika hiyo.
Iji e ndaghilo jila ndavule finimulyapulike kuhuma muvutengulile kuti munoghile kulutila muuluo.
7 Kwa kuwa wadanganyifu wengi wamesambaa katika ulimwengu, na hawakiri kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili. Huyu ndiye mdanganyifu na mpinga Kristo.
Ulwakuva avasyangi viinga mu iisi jooni kange avuo navikwitikila kuuti uYesu Kilisite alisile nu m'bili hene munhu juno naikwitikila uluo ujuo n'syangi kange mulugu ghwa Kilisite.
8 Jiangalieni wenyewe kwamba hampotezi mambo yale tuliyokwisha fanyia kazi, lakini ili kwamba mweze kuipokea tuzo kamili.
Mujilolelelaghe jumue kuuti, namusofia sila sinotulyavombile imbombo, neke kuuti mwupile ingigha jino jinoghile.
9 Yeyote aendeleae mbele na hadumu katika fundisho la Kristo, hana Mungu. Yeye adumuye katika fundisho anaye Baba na Mwana pia.
Umunhu ghweni juno naivingilila imbulanisio isa Kilisite naalilumo nu Nguluve. looli juno ivingilila alilumo nu Nhaata nu mwanake.
10 Kama mtu anakuja kwenu na haleti fundisho hili, msimkaribishe katika nyumba zenu na msimsalimie.
Ndeve umunhu ikwisa kulyumue kuvulanisia imbulanisio sino nasikwiting'ana nisa Kilisite namungan'kalibisiaghe mumakaaja ghinu kange namungamwungilaghe.
11 Kwa kuwa amsalimuye hushiriki katika matendo yake maovu.
Ulwakuva juno ikumwungila ghwope iva itangila kuvomba isa vuhosi.
12 Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, na sikutaka kuyaandika kwa karatasi na wino. Lakini natumaini kuja kwenu na kuongea uso kwa uso, kwamba furaha yetu ipate kufanywa kamili.
Nilinagho minga gha ta kukulembela, nanikanoghilue kukuvalembela ikalata. neke nihuvila kukwisa kulyumue neke tujove maso kwa maso kuti ulukelo lwitu lupate kuvombeka vwimike.
13 Watoto wa dada yenu mteule wanawasalimia.
Avana va lumbu liinu n'kemelua vikuvahungila.

< 2 Yohana 1 >