< 2 Yohana 1 >
1 Kutoka kwa mzee kwenda kwa mwanamke mteule na watoto wake, ambao niwapendao katika kweli na si mimi tu, bali na wote wale wanao ifahamu kweli,
Unuhuma hugogolo uhuluta nuvadala avasayiwe na vana vavene vavo nevaganile katiha uvolweli sio umwe netu bali navoni avavihwelewa uvuyalweli.
2 kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn )
Husababu yeyo yelegati mvenena yigona sana ipaha humwisio. (aiōn )
3 Neema, rehema, amani zitakuwa nasi kutoka kwa Mungu Baba na kutoka kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, katika kweli na pendo.
Ukuhungu nu huhovaka chale nufwe uhuhuma hwangulove na hwa swambe Uyesu avana va Daada vale nulugano.
4 Ninafurahi sana kwamba nimegundua baadhi ya watoto wanaenenda katika kweli, kama vile tu tulivyoipokea amri hii kutoka kwa Baba.
Naho wihe sana navile nigundula baazi ya vana vavile viluta vunonu, vavile vipohela ululagelo hwa Daada.
5 Na sasa nakusihi wewe, mwanamke, siyo kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tokea mwanzo, kwamba tunapaswa kupendana sisi kwa sisi. Na huu ndiyo upendo, tunaopaswa kuenenda, kulingana na amri yake.
Ululino ni huhudova, vedala, sio nihuhwa ndihela ululagilo ulupya, nayuve vidala yinogiwa uhuganana yufwe hwa yufwe. uvu vuvugane uvunigiwa tugendage nalwo.
6 Hii ndiyo ile amri, kama mlivyoisikia tokea mwanzo, kwamba mnapaswa kuenenda katika hiyo.
Ulu lulagelo ulwutapoline uhuhuma pavutengulelo tutahiwa uhugenda nalwo.
7 Kwa kuwa wadanganyifu wengi wamesambaa katika ulimwengu, na hawakiri kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili. Huyu ndiye mdanganyifu na mpinga Kristo.
Uhuva avadesivingi vahumile mkelunga savaeli we uhumwedena ava wotwita vadesi.
8 Jiangalieni wenyewe kwamba hampotezi mambo yale tuliyokwisha fanyia kazi, lakini ili kwamba mweze kuipokea tuzo kamili.
Mwelole mwevene amambo gago samwayalohe gala aga mwavombile.
9 Yeyote aendeleae mbele na hadumu katika fundisho la Kristo, hana Mungu. Yeye adumuye katika fundisho anaye Baba na Mwana pia.
Hela mnu endelele huvulongo ehuduma eyale nayo eya Kelesti.
10 Kama mtu anakuja kwenu na haleti fundisho hili, msimkaribishe katika nyumba zenu na msimsalimie.
Kama umunu ihwicha huliomwensileta amafundesio msite unupohela mnyumba namsite uhuponia.
11 Kwa kuwa amsalimuye hushiriki katika matendo yake maovu.
Umnu uviponia iva alungine humbivi.
12 Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, na sikutaka kuyaandika kwa karatasi na wino. Lakini natumaini kuja kwenu na kuongea uso kwa uso, kwamba furaha yetu ipate kufanywa kamili.
Nelenago amambo mingi aga huusimbila, sana nogwe uhasimbila mlikalatasi nu wino. Lakini ninogwa uhwi cha twa gane humiho, uhuta uhuhovosha hweto huve sawa.
13 Watoto wa dada yenu mteule wanawasalimia.
Avana va naacha venyo wigane che vihuvaponia.